mother tongue

1233. MPANDAGE ALIYO AGUGULYA.

Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, oipandaga isii bho nguvu noyi kunguno ya gulya jiliwa mpaga wiguta noyi. Uweyi wiganikaga giki adalacha na gujikwa umugati ya sii iyo ayipandaga yiniyo, kunguno ya lwiguto lokwe lunulo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “mpandage aliyo agugulya.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu nsabhi uyo agiganikaga giki adalacha, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajisanyaga isabho jakwe bho gwita mihayo iyo atogilwe weyi umusii ng’wenumu, kunguno ya bhudoshi bho gwiganika giki isabho jigung’wingija pye amakoye mpaka nu lufu, umuwikaji bhokwe, bhunubho. Uweyi agadumaga uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya gwisanya sabho jakwe bho gwita mihayo iyo atogilwe weyi, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agiguta jiliwa uipanda isii bho nguzu, kunguno nuweyi agajisanyaga isabho jakwe bho gwita mihayo iyo atogilwe weyi umusii guti giki adalacha, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mpandage aliyo agugulya.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwita mihayo ya wiza umusi hayo ingelelo yabho idinashiga, kunguno bhuli ng’wene alina ngelelo yakwe, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho bhunubho.

Hesabu 16:29-30.

Ayubu 7:21.

Ayubu 20:11.

KISWAHILI: MKANYAGE LAKINI ATAKULA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akiishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo, alikuwa akiikanyaga ardhi kwa nguvu sana kwa sababu ya kula chakula mpaka akashiba sana. Yeye alikuwa akifikiri kwamba hatakufa na kuzikwa ndani ya ardhi hiyo aliyokuwa akiikanyaga kwa sababu ya kushiba kwake chakula alichokula. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mkanyage lakini atakula.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu tajiri ambaye hufikiria kwamba, hatakufa, katika maisha yake. Mtu huyo, huutegemea utajiri wa wali zake katika kutatua matatizo yake yote kwa kufanya atakalo yeye kwa sababu ya majivuno ya kuufikiria utajiri wake kwamba utamwondolea matatizo yote hata kumzuia kufa, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kutegemea mali zake hizo kwa kuzifikiria kama mtatuzi wa matatizo yake yote, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeshiba chakula mpaka akaanza kuikanyaga ardhi kwa mguvu, kwa sababu naye huutegemea utajiri wa mali zake mpaka anafanya anachotaka hapa duniani kama kwamba, hatakufa, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mkanyage lakini atakula.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutenda matendo mema hapa duniani kabla ya kufika mwisho wao, kwa sababu kila mmoja ana mwisho wake, ili waweze kuzilea vyema familia zao, wakati wa uhai wao wote.

Hesabu 16:29-30.

Ayubu 7:21.

Ayubu 20:11.

ENGLISH: TREAD IT BUT IT WILL EAT YOU.

There was a man who lived in a certain village. Such man was treading the ground very hard because of eating food until he was very full. He was thinking that he will not die and be buried in the ground which he was treading. That is why people told him that, “Tread it but it will eat you.”

This saying is equaled to a rich man who thinks that he will not die in his life. Such person depends on the wealth of his parents in solving all his problems by doing what he wants because of thinking that his wealth will remove all problems and even prevent him from dying in his life. He fails to raise his family well because of relying on his possessions by thinking of them as the solution to all his problems, in his life.

This person resembles the one who ate food until he began to tread the ground with strength, because he also depends on the wealth of his possessions until he does what he wants in this world as if he will not die. That is why people tell him that, “Tread it but it will eat you.”

This saying imparts in people an idea about doing good deeds on this world before reaching their end, because everyone has his/her end, so that they can raise their families well, during their whole lives.

Numbers 16:29-30.

Job 7:21.

Job 20:11.

death-2421821_1280

 

1232. JIDUMULA BHABODO.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo otulaga bhanhu abho abhakile amasala. Umunhu ng’wunuyo, oyelaga na nanha gokwe go guntulila uluumona uyo annebhije amasala kunguno ya miganiko gakwe ayo galigantuula chiniko. Uweyi agakumuka noyi umuchalo jakwe kunguno ya kikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagayung’witana giki, “jidumula bhabodo.”

Akahayile kenako, kagalengijiyagwa kuli munhu uyo agabhibhonelaga abhanhu abho bhali na masala magehu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhibhonelaga abhanhu abho bhali na masala magehu uko alibhitila kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga mamihayo mingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wibhoneji bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhatulaga abhanhu abho abhalebhije amasala, kunguno nuweyi agabhibhonelaga abhanhu abha masala magehu umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhang’witanaga giki, “jidumula bhabodo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhibhonela abhanhu abho bhadidujije umumasala gabho, bho gubhambilija chiza, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza na bhichabho, umukaya jabho.

1Wakorintho 14:11.

Warumi 2:20.

1Wakorintho 14:16.

Wagalatia 3:3.

KISWAHILI: MPIGA WENYE AKILI PUNGUFU.

Chanzo cha msemo huo, huongelea mtu yule aliyekuwa akiwapiga watu aliowazidi akili. Mtu huyo, alikuwa akitembea na fimbo ya kuwapigia watu hao aliowazidi akili kwa sababu ya mawazo yake kumtuma kufanya hivyo. Yeye alijulikana sana katika kijiji chake kwa sababu ya maisha yake hayo. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mgiga wenye akili pungufu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaonea watu wenye akili pungufu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaonea watu hao wenye akili pungufu anakotembelea kwa sababu ya majivuno yakwe ya kuwadharau watu hao, maishani mwake. Yeye hupata matatizo ya kusumbulia na kesi nyingi kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuwaonea watu hao wasiona hatia, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewapiga watu aliowazidi akili, kwa sababu naye huwaonea watu walio na akili pungufu, katika maisha yake. Ndio maana watu humuita jina la “mgiga wenye akili pungufu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwaonea watu wasiojiweza maishani mwao, kwa kuwasaidia vizuri watu hao, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa amani na wenzao, katika familia, zao.

1Wakorintho 14:11.

Warumi 2:20.

1Wakorintho 14:16.

Wagalatia 3:3.

ENGLISH: A HITTER OF THOSE WHO HAVE LESS INTELLIGENCE.

The source of this saying speaks of the person who used to beat people who were out of their mind. Such man walked with a stick for hitting those people because of his thoughts that caused him to do so. He was well known in his village because of such behavior. That is why people called him “a hitter of those who have less intelligence.”

This saying is compared to a person who oppresses the mentally retarded ones in his life. Such person treats those people who have are slow in thinking where he visits because of his pride. He gets many problems and lawsuits in his family because of oppressing those innocent people in his life.

This person is similar to the one who beat people who had less intelligent, because he also oppresses people who are slow in thinking in his life. That is why people call him “a hitter of those who have less intelligence.”

This saying teaches people to stop oppressing the less fortunate ones in their lives, by helping them well, so that they can receive blessings of living in peace with their people in their families.

1 Corinthians 14:11.

Romans 2:20.

1 Corinthians 14:16.

Galatians 3:3.

zulu-kingdom-3411052_1280

1230. TULAGA NGASHI.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile nimo go ngashi. Ungashi gunuyo jiliginhu ja gutinila myenda nulu gumogela nzwili. Olihoyi munhu uyo alina nzwili ndihu mpaga jubhipila ukuntwe gokwe gunuyo kunguno ya gujileka shigu ningi bho nduhu ugujitina. Abhanhu bhagayung’wila giki atijine kugiki abhelele ukuntwe gokwe gunuyo. Hunagwene bhagang’wila giki, “tulaga ngashi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli ntongeji o bhatumami uyo agabhapejaga umumilimo abhatumami abho bhadatumamaga chiza imilimo iyo agabhinhaga. Umunhu ng’wunuyo, agabhagabhilaga milimo abha bhatumami bhokwe na gubhimila chiza kugiki bhadule gutumama chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukilile kakwe. Uweyi abhagapejaga bhatumami abho bhagadumaga uguitumama chiza imilimo yakwe, kunguno adahaile gukenagujiwa milimo yakwe, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagang’wila uo nzwili ndihu giki ajitile, kunguno nuweyi agabhinjaga umumilimo bhatumami abho bhadatumamaga chiza imilimo yakwe. Hunagwene agabhawilaga abhiye giki, “tulaga ngashi.”

Akahayile kenako, kalanga bhatumami bha milimo higulya ya guitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gwendelea na bhutumami bhobho bhunubho chiza, umuwikaji bhokwe.

Mwanzo 3:14-24.

Mwanzo 4:1-16.

KISWAHILI: PIGA MKASI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya kazi za mkasi. Mkasi huo, ni kitu cha kukatia nguo, au kunyolea ng’wele. Alikuwepo mtu aliye kuwa na nywele ndefu kichwani mwake mpaka zikamfanya aonekane vibaya kwa wenzake kwa sababu ya kuziacha kwa muda mrefu bila kuzikata nywele hizo. Watu walianza kumwambia kwamba azikate ili kichwa chake kipendeze. Ndiyo maana walimwambia kwamba, “piga mkasi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa kiongozi anayewasimamia watu wake vizuri katika kazi zao. Mtu huyo, huwagawia kazi wafanya kazi hao na kuwasimamia vizuri kwa sababu ya unyofu wake huo, katika utumishi wake. Yeye huwafukuza kazi wafanya kazi wanaoshindwa kuyatekeleza vizuri majukumu yao, kwa sababu ya kutokupenda kazi yake iharibiwe na watendaji hao walio wavivu, katika utumishi wake huo.

Mtu huyo, hufanana na wale waliomwambia mwenye nywele ndefu azikate, kwa sababu naye huwafukuza kazi wale wasioweza kuyatekeleza vizuri majukumu yao, katika mshamba yake. Ndiyo maana huwaambia wenzake kwamba, “piga mkasi.”

Msemo huo, hufundisha wafanya kazi juu ya kuyatekeleza kwa makini majukumu yao ya kila siku kwenye kazi zao, ili waweze kupata nafasi ya kuendelea kubaki katika kazi zao hizo, maishani mwao.

Mwanzo 3:14-24.

Mwanzo 4:1-16.

 ENGLISH: BEAT SCISSORS.

The source of this saying talks about works of scissors. The scissors are tools for cutting clothes, or shaving hairs. There was a man who had long hairs on his head until them made him look badly to his colleagues because he left them for a long time without cutting them. People started telling him to cut them so that his head would look nice. That is why they told him that, “beat scissors.”

This saying is equated to a leader who manages his people well in their works. That person, assigns work to those workers and supervises them well because of his sincerity, in his service. He fires workers who fail to perform their duties well, because he does not like his work to be ruined by those lazy workers, in his service.

This person is similar to those who told the one who had long hears to cut them, because he also fires those who cannot perform their duties well, in his field. That is why he tells his colleagues that, “beat scissors.”

This saying imparts in workers an idea to carefully carry out their daily duties in their works, so that they can have a chance to continue staying in their works, in their lives.

Genesis 3:14-24.

Genesis 4:1-16.

hairdresser-3572051_1280

1229. NAGISHA NABHULICHA.

Imbuki ya ulusumo lunulo, ilolile munhu uyo agabhagiisha bhanhu abho bhalibhingi, bhuzunya bhagehu duhu. Hunagwene agayomba giki, “nagisha nabhulicha.” Umunhu ng’wunuyo, agashokela ugugiisha bho lilaka litale, huna bhuzunya bhingi.

Ugubhulicha ili gulima na gubhibha mbiyu juzwa bho kulekule, nulu yuzwa imo duhu. Giko lulu, unimi ng’wunuyo agashokelaga ugubhiza mbiyu huna jazwa nyingi niyo chiza.

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho jelwa ng’holo chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe bho gumana ushokela aho obhona giki itali ugubhelela chiza, kunguno ya witegeleja na bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe chiza bhunubho. Uweyi agaponaga majiliwa mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya gutumama milimo yakwe bho bhukamu na witegeleja bhutale bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agashokela chiza ugiisha aho bhazunya bhagehu mpaga nose bhuzunya bhingi, kunguno nuweyi agatumama milimo yakwe na witegeleja bho gushokela gutumama aho itali ugubhelela chiza, umumilimo yakwe yiniyo. Hunagwene agayombaga giki, “nagisha nabhulicha.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho na witegeleja bho gushokela chiza aho idinabhelela imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umukaya jabho.

2Wakorintho 9:6.

Wagalatia 6:7-9.

KISWAHILI: NIMESALIMIA WAMEITIKIA WACHACHE.

Chanzo cha methali hiyo huangalia mtu aliyesalimia watu wengi, wakaitikia wachache tu. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimesalimia wameitikia wachache.” Mtu huyo, alirudia kuwasalimia tena hao watu kwa sauti kubwa zaidi kuliko ile aliyoitumia mwanzoni. Yeye alipofanya hivyo, waliitikia watu wengi zaidi kuliko wale wa kwanza.

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kwa ufuatiliaji mzuri sana, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kurudia kila pale anapoona kuwa hapajaisha vizuri, kwa sababu ya bidii yake na umakini wake huo katika kufanya kazi zake. Yeye hupata mazao mengi sana katika familia yake kwa sababu ya kufanya kazi kwa bidii na umakini mkubwa, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesalimia watu wengi, wakaitikia wachache, akarudia kuwasalimia watu hao kwa sauti kubwa zaidi, mpaka wakaitikia wengi, kwa sababu naye huyatekeleza majukumu yake kwa kurudia pale anapoona kwamba hapajaisha vizuri, mpaka kazi yote inaisha. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimesalimia wameitikia wachache.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kutekeleza majukumu yao kwa umakini wa kuparudia pale ambapo hapajafanyika vizuri, mpaka kazi yote imalizike vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika familia zao.

2Wakorintho 9:6.

Wagalatia 6:7-9.

ENGLISH: I HAVE GREETED A FEW OF THEM HAVE RESPONDED.

The source of the over head proverb looks at a person who greeted many people, only a few of them responded. That is why he said that, “I have greeted a few of them have responded.”

This man repeated to greet them in a louder voice than the one which he used at first. When he did that, they responded to more people than the first ones.

This proverb is compared to a person who does his works with a very good follow-up, in his life. Such person carries out his duties by repeating whenever he sees that it has not ended well, because of his diligence and his focus in doing his works. He gets a lot of crops in his family because of hard working and great focus, in his life.

This person is similar to the one who greeted many people but a few of them responded, and repeated greeting them with a louder voice, until they responded to many, because he also carries out his duties by repeating when he sees that it has not ended well, until all the work is finished. That is why he says that, “I have greeted a few of them have responded.”

This proverb teaches people about increasing enough effort to carry out their duties with the attention to repeat where it is not done well, until all the work is finished well, so that they can get a lot of success, in their families.

2 Corinthians 9:6.

Galatians 6:7-9.

woman-7455964_1280

1228. KOLAGA BHUGILIMILAGA UKO ALIJA.

Olihoyi munhu uyo omanaga usamila muchalo jingi ijo bhaponaga jiliwa abhanhu. Umunhu ng’wunuyo, obhizaga giki, ulu ogakela uko chalo ijo osamilaga jinijo osamilaga kuchalo jingi hangi uko wigwaga giki bhaponile ijiliwa. Uweyi okelaga ijiliwa kunguno ya gukija uguidilila chiza imigunda iyo oilimaga bho guilimila ingese pye iyose. Hunagwene abhanhu bhagaiwila giki, “kolaga bhugilimilaga uko alija.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu ngokolo ugutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunyo, agalimaga migunda yakwe okija ugumala uguilimila ingese kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga ukoya na nzala aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho, ubhoguduma uguilimila pye ngese ya mumigunda yakwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo okelaga ijiliwa osamila muchalo jingi, ijo bhaponaga, kunguno nuweyi agalimaga imigunda yakwe oduuma uguilimila ingese pye iyose, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “kolaga bhugilimilaga uko alija.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umukaya jabho.

Methali 27: 11-15.

Mhubiri 10:18.

KISWAHILI: KWANI PALIZI HUJIPALILIA ANAKOENDA!

Alikuwepo mtu ambaye alikuwa akihamia kwenye kijiji walichopata chakula vizuri kwa mwaka huo. Mtu huyo, alikuwa akikosa chakula kwenye kijiji hicho kwa mwaka huo alihamia kwenye kijiji kingine alichosikia kuwa watu wake walipata mazao mengi ya chakula. Yeye alikuwa akikosa chakula katika familia yake kwa sababu ya kutoyatunza vizuri mashamba yake aliyoyalima kwa kuipalilia palizi mpaka kuimaliza. Ndiyo maana watu walisema juu yake kwamba, “kwani palizi hujipalilia anakoenda!

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu kufanya zake, katika maisha yake. Mtu huyo, hulima mashamba ya chakula na kuacha bila kuyapalilia palizi kwa sababu ya uvivu wake huo, maishani mwake. Yeye alikuwa akihangaika na tatizo na njaa katika familia yake hiyo, kwa sababu ya uvivu wake huo, wa kushindwa kupalilia palizi yote ya kwenye mashamba yake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekosa chakula katika kijiji chake na kuhamia kwenye kijiji kingine, ambacho wakazi wake walipata chakula, kwa sababu naye hukosa chakula kwa hulima mashamba na kuyaacha bila kuyapalilia palizi zake, maishani mwake. Ndiyo maana watu huongea juu yake kwamba “kwani palizi hujipalilia anakoenda!

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa bidii kubwa, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika familia zao, maishani mwao.

Methali 27: 11-15.

Mhubiri 10:18.

ENGLISH: DOES IT MEAN THAT WEEDS ARE WED BY THEMSELVES WHERE HE IS GOING!

There was a person who was moving to a village where they had good food in that year. This man lacked food in his village in that year. Then he moved to another village where he heard that his people got a lot of food crops. He was lacking food in his family because of not taking good care of his cultivated fields. He did not finish weeding them. That is why people said about him that, “does it mean that weeds are wed by themselves where he is going!”

This saying is compared to a person who is lazy in doing his own works, in his life. That person, cultivates food fields and leaves without weeding them because of his laziness. He was struggling with problems and hunger in his family, because of his laziness, of not being able to weed all the weeds in his fields.

This person resembles the one who lacked food in his village and moved to another village where its inhabitants got food, because he also lacks food because he cultivates the fields and leaves them without weeding his weeds, in his life. That is why people talk about him that “does it mean that weeds are wed by themselves where he is going!”

This saying imparts in people an idea about forcing themselves to do their works with great effort, so that they can get a lot of success, in their families.

Proverbs 27: 11-15.

Ecclesiastes 10:18.

hope-3467922__480