mother tongue

1256. BHUTONGI IPOLU NI NUMA IPOLU.

Aho kale olihoyi munhu uyo ali na makoye mingi umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, ojizukaga ishuku yakwe ijo jabhita osunduhala umu moyo gokwe kunguno ya makoye mingi ayo agabhitila. Uweyi agayugiganika amakoye genayo gabhiza guti obhitilaga ng’wipolu mpaga nose ni shiku jakwe ja bhutongi oyujibhona jili na makoye guti ajile ng’wipolu, kunguno ya mayange ayo ogiyumilijaga genayo umukikalille kakwe. Hunagwene agayomba giki, “bhutongi ipolu ni numa ipolu.”

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gugamala makoye mingi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga ukoya na makoye mingi ayo agagamala chiza bhuli makanza ulu gigela kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho. Uweyi agailelaga chiza ikaya yakwe bho gwigunana ugugamala amakoye kihamo kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo okoyiyagwa na makoye mingi wiyumilija mpaga ogamala chiza, kunguno nuweyi agapandika makoye wiyumilija oguginja mpaka gashila chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “bhutongi ipolu ni numa ipolu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhumo bho gwiyambilija na gwiyumilija kihamo ugugamala amakoye gabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Petro 5:8-9.

Yeremia 10:19.

Yakobo 5:7.

2Timotheo 1:8.

KISWAHILI: MBELE PORI NA NYUMA PORI.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyekuwa na matatizo mengi maishani mwake. Mtu huyo, alikuwa akizikumbuka siku zake zilizopita anahuzunika moyoni mwake kwa sababu ya matatizo mengi aliyoyapitia. Yeye aliyafikiria matatizo hayo yakawa kama alipitia kwenye pori mpaka mwishowe na siku za mbele zinakuwa za matatizo kama anaenda kwenye pori, kwa sababu ya mahangaiko hayo aliyoyavumilia, katika maisha yake. Ndiyo maana alisema kwamba, “mbele pori na nyuma pori.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia matatizo mengi katika maisha yake. Mtu huyo, huhangaika katika kuyatatua matatizo yanayompata mpaka anayamalia vizuri, kwa sababu ya uvumilivu wake huo. Yeye huilea vizuri familia yake kwa kusaidiana katika kuyatatua kwa pamoja matatizo yanayowakumba, kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeyatatua kwa uvumilivu matatizo yaliyokuwa yakimsumbua, kwa sababu naye huyamaliza kwa uvumilivu matatizo yanayomkumba katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mbele pori na nyuma pori.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ushirikiano wa kuyatatua kwa uvumilivu matatizo yanayowakumba katika maisha yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

1Petro 5:8-9.

Yeremia 10:19.

Yakobo 5:7.

2Timotheo 1:8.

ENGLISH: FRONT WILD AND BACK WILD

Once upon a time there was a man who had numerous problems in his life. Such person used to remember his past days until he became sad in his heart because of a number of problems which he went through. He thought of these problems as if he went through the forest until the end and the days ahead become difficult as if he goes to the forest, because of worries he endured in his life. That is why he said that, “front wild and back wild.”

This saying is equaled to a person who endures many problems in his life. Such person struggles to solve problems that happen to him until he finishes them well, because of his patience. He takes care of his family well by helping each other to solve together problems which they face, because of his patience in life.

This person relates to the one who patiently solved the problems that were bothering him, because he also patiently solves the problems that plague him in his life. That is why he says that, “front wild and back wild.”

This saying imparts in people an idea of having strong cooperation enough to solve with patience the problems which they face in their lives, so that they can bring progress to their families, in their lives.

1 Peter 5:8-9.

Jeremiah 10:19.

James 5:7.

2 Timothy 1:8.

male-4673194_1280

africa-209332_1280

1255. UNG’WUNUYU NSEBHEJI DUHU NAWE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo otumamaga nimo uyo guti gokwe. Umunhu ng’wunuyo, ogutumamaga chiza unimo gunuyo mpaga nose abhanhu bhuyuhaya giki, unimo gunuyo guli gokwe, kunguno ya gugudilila chiza chiniko. Nose nuweyi agaiganika giki unimo gunuyo guli gokwe aho obhigwa bhanhu bhingi bhalihaya chene. Hunagwene abhanhu abho bhabhumanile ubhunhana bho nimo gunuyo, bhagayomba giki, “ung’wunuyu nsebheji duhu nawe.”

Akahayike kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigimbilaga milimo iyo idiyakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga jibalubha uyihaya giki alimungunda gokwe kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya gutumama mumajipande na wigimbi bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga nimo go bhangi uyiganika giki, guligokwe, kunguno nuweyi agatumamaga mujibalubha uyuhaya giki, alimungunda gokwe. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ung’wunuyu nsebheji duhu nawe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumamila bhutengeke imilimo ya bhanhu, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Zaburi 33:4.

2Samweli 22:7.

Maombolezo 3:23.

Mathayo 25:20-23.

Wagalatia 5:22.

Tito 2:10.

KISWAHILI: HUYU NAYE NI DALALI TU.

Chanzo cha msemo huo, huongelea mtu aliyekuwa akifanya kazi isiyo yake. Mtu huyo, alikuwa akiifanya vizuri kazi hiyo mpaka baadhi ya watu wakaanza kufikiria kwamba, kazi ile ni yake kwa sababu ya kuijali vizuri. Naye aliposikia watu wengi wakimsifia hivyo, alianza kuifikiria kazi hiyo kama ni yake mwenyewe. Ndiyo maana wale walioufahamu ukweli wa kazi hiyo walisema kwamba, “huyu naye ni dalali tu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujivunia kazi isiyo yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi kwenye kibarua na kusema kwamba, anafanya kazi kwenye shamba lake, kwa sababu ya majivuno yake hao, maishani mwake. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya kufanya kazi kwenye vibarua vya mashamba ya watu na majivuno yake hayo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi ya mtu mwingine, akafikiria kuwa ni yake, kwa sababu naye hufanya kazi kwenye vibarua na kusema kwamba, anafanya kazi kwenye Shamba lake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “huyu naye ni dalali tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi za watu kwa uaminifu na unyofu wa kweli, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 33:4.

2Samweli 22:7.

Maombolezo 3:23.

Mathayo 25:20-23.

Wagalatia 5:22.

Tito 2:10.

ENGLISH: THIS ONE IS JUST A BROKER.

The source of this saying speaks of a person who was doing a job that did not belong to him. That person was doing the job well until some people started thinking that the job was his because he cared about it well. And when he heard many people praising him like that, he began to think of the work as his own. That is why those who knew the truth of such work said that, “this one is just a broker.”

This saying is equated to a person who is proud of a job that is not his, in his life. Such man works as a laborer and says that he works on his farm, because of his pride, in his life. He fails to develop his family properly because of working in the fields of people and his pride in his life.

This person is similar to the one who did someone else’s work, and thought it was his, because he also works on the laborers and said that, he is working on his Farm. That is why people say about him that, “this one is just a broker.”

This saying teaches people about doing people’s work with honesty and sincerity, so that they can raise their families well in their life.

Psalm 33:4.

2 Samuel 22:7.

Lamentations 3:23.

Matthew 25:20-23.

Galatians 5:22.

Titus 2:10.

hiring-2402042__480

1254. MAYU NIHOLELE.

Bhalihoyi bhakima abho bhahoyaga umuchalo ja Ng’watuma. Umo obho agilembekejiwa na ng’wiye giki witaga ginhu jilebhe aliyo uweyi adajitile. Umayu ng’wunuyo agashosha giki, “nadajitile iginhu jinijo.” Ung’wiye aganhadikija bho guyomba, “ojiita ulilema duhu.” Hunagwene uyo wilembekejiyagwa agayomba giki, “mayu niholele.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agilembekijiyagwa mihayo ya bhulongo wiyumilija bho guyomba bhunhana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikomejaga guyomba bhunhana bhuli ikanza ulu wilembekejiwa mihayo iyo adayimanile, kunguno ya bhutungilija na wiyumilija bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga na bhanhu chiza aha kaya yakwe kunguno ya bhutungilija na wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo agikolaga nuyo agilembekeji limhaho ilo adalimanile wiyumilija bho guyomba bhunhana, kunguno nuweyi agilembekejiyagwa mihano iyo adayimanile wiyumiliga bho guyomba bhunhana, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “mayu niholele.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhilembekeja bhichabho mihayo iyo bhadaitile, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

2Samweli 19:27-28.

Zaburi 15:3.

Warumi 1:30.

Yakobo 4:11.

KISWAHILI: MAMA KUMURADHI.

Walikuwepo wakinamama waliokuwa akiongea kwenye kijiji cha Mwatuma. Mmoja wao alisingiziwa na mwenzake jambo ambalo hakulitenda. Mama yule aliyesingiziwa, alielewa kuwa “sikulifanya na silijui.” Mwenzake huyo alilazimisha akisema, “ulilifanya unakataa tu.” Ndiyo maana yule aliyesingiziwa alisema kwamba, “mama kumuradhi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kwa kusema ukweli anaposingiziwa maneno ya uongo, katika maisha yake. Mtu huyo, huendelea kusema ukweli kila wakati anaposingiziwa jambo asilolifahamu, kwa sababu ya unyofu na uvumilivu wake huo. Yeye huishi na watu vizuri kwenye familia yake kwa sababu ya unyofu na uvumilivu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyevumilia kwa kusema ukweli aliposingiziwa jambo na mwenzake, kwa sababu naye huvumilia kwa kusema ukweli anaposingiziwa maneno asiyo yafahamu, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mama kumuradhi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwasingizia wenzao maneno ambayo hawakuyatenda, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

2Samweli 19:27-28.

Zaburi 15:3.

Warumi 1:30.

Yakobo 4:11.

ENGLISH: PLEASE MOTHER.

There were women who were talking in the village of Mwatuma. One of them was hypnotized by the other, which she did not do. The mother who was accused, said, “I did not do it and I do not know.” The colleague forced her by saying, “You did it, you just refuse.” That is why the one who was insulted said that, “please mother.”

This saying is compared to a person who endures sufferings by telling the truth when he is accused of false words, in his life. Such person continues to tell the truth every time he is accused of something which he does not know, because of his honesty and patience. He lives well with people in his family because of his honesty and patience in life.

This person resembles the one who endured hardships by speaking the truth when she was slandered by her colleague, because he also endures sufferings by speaking the truth when he is slandered by deceitful words in his life. That is why he says that, “please mother.”

This saying imparts in people an idea of stopping gossiping about their people in their lives, so that they can develop their families well in their societies.

2 Samuel 19:27-28.

Psalm 15:3.

Romans 1:30.

James 4:11.

girl-8918049_1280

1251. MHIYA YA GWIKUGA UDITUULA MMHINDA YA NUMA.

Aho kale ulihoyi munhu uyo agikuga hela. Aho ojikuga ohela jinijo, umunhu ng’wunuyo, agajituula kumhinda ya kunuma ukunu ajile umulendo lokwe lunulo. Gashinaga abhiye bhamona aho ajilituula umumhinda yakwe ya kunuma yuniyo, bhujisola bho nduhu ugumana uweyi.

Ogashiga ikaya ujikagayiwa umhinda yakwe yiniyo, ubhawila abhiye giki, ojimijaga hela ijo oliojikugaga umunzila ujituula mmhinda ya kunuma. Hunagwene abhiye bhenebho bhagang’wila giki, “mhiya ya gwikuga udituula mmhinda ya numa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga sabho ujikenagula sagala umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajitumilaga isabho ijo agajipandikaga bho gujigulila maginhu ayo gadina solobho yose yose kunguno ya gugayiwa witegeleja umukatumile ka sabho jakwe jinijo. Uweyi agajimalilaga isabho jakwe kuma mihayo ga sagala bho guileka ikaya yakwe igukoyaga na nzala, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agikuga hela ujituula sagala mpaga nose jujimila, kunguno nuweyi agajipandika isabho ujimalila mmamihayo ga sagala mpaga ikaya yakwe yayukosa ya nzaga, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mhiya ya gwikuga udituula mmhinda ya numa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitumamila chiza isabho ijo bhagajipandikaga umubhutumami bhobho, kugiki jidule gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 12:16-18.

KISWAHILI: FEDHA YA KUOKOTA USIIWEKE KWENYE MFUKO WA NYUMA.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliye okota pesa. Alipoziokota hivyo, mtu huyo, aliziweka kwenye mfuko wake wa nyuma huku akiendelea na safari yake. Kumbe wenzake waliomuona alipokuwa anaziweka pesa hizo kwenye mfuko wake huo wa nyuma wakazichukua bila ya yeye kuelewa.

Alipofika nyumbani alizikosa pesa zake hizo kwenye mfuho huo wa nyuma, akawaambia wenzake kwamba, amepoteza pesa alizoziokota njiani akaziweka kwenye mfuko wake huo wa nyuma. Ndiyo maana wenzake hao walimwambia kwamba, “fedha ya kuokota usiiweke kwenye mfuko wa nyuma.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia hovyo mali anazozipata, katika maisha yake. Mtu huyo, huzitumia mali anazozipata kwa kununulia vitu visivyo na faida yoyote ile kwa sababu ya kukosa umakini katika matumizi ya mali zake hizo. Yeye huzimalizia mali zake kwenye mambo ya hovyo na kuiacha familia yake katika matatizo ya njaa kwa sababu ya kukosa umakini katika matumizi ya mali zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeokota pesa akaiweka hovyo mpaka ikapotea, kwa sababu naye huzimalizia kwenye mambo ya hovyo mali anazozipata mpaka familia yake hufikia hatua ya kukumbwa na tatizo la njaa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “fedha ya kuokota usiiweke kwenye mfuko wa nyuma.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitumia vizuri mali wanazozipata katika utekelezaji wa majukumu yao, ili ziweze kuwasaidia katika kuziendelea vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 12:16-18.

ENGLISH: DO NOT PUT THE PICKED UP MONEY IN YOUR BACK POCKET.

Once upon a time there was a man who picked up money. When he picked them up, he put them in his back pocket while continuing with his journey. However, his colleagues who saw him putting the money in his back pocket took it without him knowing.

When he got home, he lost his money in the back pocket, he told his colleagues that he had lost the money he had picked up on the way and put it in his back pocket. That is why his colleagues told him that, “do not put the picked up money in your back pocket.”

This proverb is compared to a person who uses the wealth he gets carelessly in his life. Such person uses the assets he gets by buying things that do not have any benefit because of lack of attention in using his assets. He spends his wealth on frivolous things and leaves his family in hunger problems because of lacking attention in using his wealth in life.

This person is like the one who picked up money and kept it carelessly until it was lost, because he spends the wealth he gets in careless things until his family reaches the point of experiencing famine problems in his life. That is why people tell him that, “do not put the picked up money in your back pocket.”

This proverb teaches people to be careful enough to use nicely their assets in fulfilling their duties, so that they can help them in developing their families in their lives.

Luke 12:16-18.

money-2518389_1280

man-6029064_1280

1250. NAHENE ITINA MHAYO.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile munhu uyo agitilya mhayo uyo gutigowiza wiyumilija. Umunhu ng’wunuyo, agabegejiwa mhayo go gupunjiwa sabho jakwe na ng’wiye uyo oliadandililaga chiza ulu onomba isabho jakwe jinijo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayomba giki, “nahene itina mhayo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilija bho gubhalekeja abho bhagamhubhilaga umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo, agibhonelagwa na bhiye obhalekeja kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho. Uweyi agayilelaga chiza ikaya yakwe bho gwiyambilija gutumama milimo yabho kihamo kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agapumjiwa sabho jakwe na ng’wiye wiyumilija bho gulekeja, kunguno nuweyi agibhonelagwa na bhiye obhalekaja, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nahene itina mhayo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gwilekeja ulubhihubhaga umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

2 Samweli 13:6.

Mathayo 5:43-45.

KISWAHILI: HAYA HAINA NENO.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mtu aliyefanyiwa jambo baya akavumilia. Mtu huyo, alitendewa neno hilo baya kwa kudhulumiwa mali zake na mwenzake ambaye alikuwa hamjali vizuri anapomuomba mali zake hizo. Ndiyo maana mtu huyo alisema kwamba, “haya haina neno.”

Msemo huyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kwa kuwasamehe wale wanaomkosea katika maisha yake. Mtu huyo, anapoonewa na wenzake hujitahidi kuwasamehe kwa sababu ya uvumilivu wake huo. Yeye huilea vizuri familia yake kwa kusaidiana katika kufanya kazi kwa pamoja kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyedhulumiwa mali zake na mwenzake akavumilija kwa kusamehe, kwa sababu naye huwasamehe wale wanaomuonea, maishani mwake. Ndiyo maana husema kwamba, “haya haina neno.”

Msemo huo, huwafundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kusameheana wanapokoseana katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuzilea vizuri, familia zao, maishani mwao.

2 Samweli 13:6.

Mathayo 5:43-45.

ENGLISH: THIS DOES NOT HAVE A WORD.

The cradle of this saying looks at a person who suffered a ruthless thing and endured it. Such person was treated with that wicked word for being abused by his colleague who took his property. His teammate did not take good care of him when he asked for his property. That is why the man said that, “this does not have a word.”

This saying is compared to a person who endures sufferings by forgiving those who do wrong to him in his life. Such person when bullied by his colleagues, tries to forgive them because of his tolerance. He raises his family members well by helping each other in working together because of his patience in life.

This person resembles the one who was wronged by his partner who endured by forgiving him, because he also forgives those who oppress him in his life. That is why the forgiven ones say that, “this does not have a word.”

This saying instills in people an idea about having good patience enough to forgive each other when they make mistakes in fulfilling their duties, so that they can raise their societal members well in their families.

2 Samuel 13:6.

Matthew 5:43-45.

family-7240486_1280