mother tongue

1305. UBHUSAMISAMI UBHUCHA MIDAMU.

Akahayile kenako kahoyelile bhusamisami bho ng’wa munhu uyo bhugang’wenheleja kupandika midamu umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo omanaga usama umuchalo jakwe oja muchalo jingi, kunguno bhuli kwene ukosamilaga opandikaga midamu umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ubhusamisami ubhucha midamu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agandyaga kutumama milimo yakwe bho nduhu uguyitilia ubhukengeji ubho gudula gung’wambilija uguidebha chiza haho atali uguyandya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agandyaga gutumama nimo gonemela wandya gutumama gungi, nu gwene uduma ugugumala kunguno ya gugaiwa witegeleja bho guitila bhukengeji imilimo yakwe yiniyo, haho atali uguyandya uguitumama umumilimo yakwe yiniyo. Uweyi agakoyiyagwa na makoye ga gugayiwa jiliwa aha kaya yakwe kunguno ya guduma uguimala imilimo iyo agandyaga guitumama bho nduhu gwiteleja chiza, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo osamilaga muchalo bho nduhu ugujitila bhukengeji, ogapandika makoye, kunguno nuweyi agandyaga gutumama milimo yakwe bho nduhu uguitila bhukengeji, oduma uguimala, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ubhusamisami ubhucha midamu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guitilila bhukengeji imilimo yabho ubho gudula gubhambilija uguidebha chiza, haho bhatali uguyandya uguitumama, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umubhutumami bhobho.

Luka 10:7.

1 Mambo ya nyakati 17:5.

KISWAHILI: KUHAMA HAMA UTABEBA MAGUMU.

Msemo huo huongelea uhamaji wa mtu uliyemletea matatizo magumu katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa akihamahama kutoka kwenye kijiji chake kwenda kwenye kijiji kingine kwa sababu ya kuendelea kupata matatizo kila alikohamia. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “kuhama hama utabeba magumu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huanza kufanya kazi zake bila kuzifanyia utafiti wa kutosha kuzielewa vizuri katika maisha yake. Mtu huyo, huanza kufanya kazi ambazo hushindwa kuzimaliza kwa sababu ya kukosa umakini wa kuzifanyia utafiti kwanza kabla ya kuzianza, katika utekelezaji wa majumu yake hayo. Yeye husumbuliwa na matatizo ya kukosa chakula katika familia yake, kwa sababu ya kushindwa kuzimaliza kazi ambazo huzianza kuzifanya bila kuzifanyia utafiti, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyehamia kwenye kijiji bila kufanya utafiti akapata matatizo, kwa sababu naye huanza kuzifanya kazi zake bila kuzifanyia utafiti wa kutosha kuzielewa vizuri, maishani mwake.  Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kuhama hama utabeba magumu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzifanyia utafiti kazi zao ule wa kutosha kuzielewa vizuri, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vizuri, familia zao, maishani mwake.

Luka 10:7.

1 Mambo ya nyakati 17:5.

ENGLISH: MOVING FROM PLACE TO ANOTHER WILL CARRY HARDSHIPS.

This saying parleys about movements of a person that brought him difficult hitches in his life. There a man who moved from his village to another one because of facing glitches wherever he moved to. That is why people told him that “moving from place to another will carry hardships.”

This saying is likened to a person who starts doing works without doing good research enough to understand them well in his life. This person starts doing tasks that he fails to finish because lacking good attention enough to research them first before starting them in his life. He suffers from famine hitches in his family, because of inability to finish the tasks that he starts doing without researching them in his life.

This person resembles the one who moved from one village to another without doing research which brought him glitches, because he also starts doing his work without doing good research enough to understand it well in his life. That is why people tell him that, “moving from place to another will carry hardships.”

This saying teaches people about being attentive to research their jobs well for understanding before starting them, so that they can get success in their families.

Luke 10:7.

1 Chronicles 17:5.

 

animals-4606461_1280

africa-139343_1280

woman-4707174_1280

 

1304. LELO NANE NALILYIMBILA.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhanhu abho bhimbilaga mbina bho ndiima bhuli ng’wene ludima lokwe. Abhanhu bhenabho bhatumamaga milimo lihamo bho ludima kunguno bhuli ng’wene obhimbilaga abhiye bho gutumila ng’oma iyo yabhambilijaga uigutumama imilimo yabho. Umo obhanhu bhenabho obhimbilaga chiza noyi abhiye ulu loshiga uludima lokwe kunguno oliagutogilwe noyi unimo gokwe gunuyo. Hunagwene agayomba aho obhimbila abhiye giki, “lelo nane nalilyimbila.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe ugugutumama chiza unimo gokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agamishiga diyu ogagutumama bho bhuyegi unimo gokwe mpaga ogumala chiza kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe chiza bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe ubho uguyitumama chiza imilimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agalyimbila chiza ililima oho loshiga uludima lokwe umubhutumami bhokwe bhunubho, kunguno nuweyi agaitumamaga chiza imilimo yakwe mpaga oyimala, umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “lelo nane nalilyimbila.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gwigulambija guitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumila umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Luka 12:38.

1 Wakorintho 14:27.

1 Mambo ya nyakati 6:32.

KISWAHILI: LEO NA MIMI NIMEWAIMBISHA.

Chanzo cha msemo huu huongelea watu wanaimbisha kwa zamu kila mmoja zamu yake. Watu hao walikuwa wakifanya kazi pamoja kwa zamu kwa sababu kila mmoja wao aliwaimbisha wenzake kwa kutumia ngoma iliyowasaidia kufanya kazi zao vizuri. Mmoja wao aliwaambisha vizuri sana wenzake kila ilipofika zamu yake kwa sababu alikuwa anaipenda sana kazi yake hiyo. Ndiyo maana alipowaimbisha wenzake alisema kwamba, “leo na mimi nimewaimbisha.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule anayependa kuitekeleza vizuri kazi yake katika maisha yake. Mtu huyo, huamuka asubuhi na kwenda kuifanya kazi kwa furaha mpaka anaimaliza vizuri kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kuyatekeleza majukumu yake hayo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi katika familia yake kwa sababu ya kujibisha kwake huko kuyatekeleza majukumu yake vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewaimbisha vizuri wenzake ilipofisha zamu yake katika kazi yake hiyo, kwa sababu naye huzitekeleza vizuri kazi zake mpaka anazimaliza, maishani mwake. Ndiyo maana husema kwamba, “leo na mimi nimewaimbisha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kujibidisha kuzifanya vizuri kazi zao, ili waweze kupata mali za kutosha kutumia katika familia zao, maishani mwao.

Luka 12:38.

1 Wakorintho 14:27.

1 Mambo ya nyakati 6:32.

guitar-435094_1280

south-africa-1091396_1280

boy-5975586_1280

 

ENGLISH: TODAY I ALSO HAVE SUNG THEM.

This saying speaks of people who sing in turn each in opportunity. These people were working together in chances because each of them sang to their colleagues by using a dance that helped them do their jobs well. One of them told his colleagues very well every time it was his turn because he liked his job so much. That is why when he sang to his colleagues he said, “Today I also have sung them.”

This saying is related to a person who likes to carry out his duties well in his life. Such person wakes up in the morning and goes to work happily until he finishes it well because of his hard working life enough to carry out his duties in his life. He gets a lot of wealth in his family because of carrying out nicely his responsibility of fulfilling his duties in life.

This person resembles the one who sang well to his colleagues when his turn in his work came, because he also performs his tasks well until he finishes them in his life. That is why he says that, “Today I also have sung them.”

This saying imparts in people an idea of developing good interest enough to work hard in doing their jobs, so that they can get enough wealth to spend in their families, in their lives.

Luke 12:38.

1 Corinthians 14:27.

1 Chronicles 6:32.

 

1303. AB’AYANDA B’ANG’WASINZO MDACHAGA SONI.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhugayiwa bho soni bho b’ayanda bha ng’wa Sinzo. Olihoyi munhu uyo agaja kukaya yabho ugaiyitila ya wiza ikaya ya ng’wa Sinzo yiniyo. Uweyi wiganikaga giki abhanhu bhenabho bhagufunya bhulumbi ukuli weyi kunguno ya wiza bhunubho ubho obhitila. Aliyo lulu, ab’ayanda bha ha kaya yiniyo bhagang’witila mihayo ya bhubhi. Hunagwene agayomba giki, “ab’ayanda bho ng’wa sinzo mdachaga soni.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adalumbaga ulu witilagwa mihayo ya wiza na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadalahijaga abhiye abho bhagang’witilaga mihayo ya wiza kunguno ya bhujidalumba bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa abhanhu bha gung’wambilija aha kaya yakwe ulu opandikaga makoye kunguno ya gubhitila mihayo ya bhubhi abhanhu abho bhagang’wambilijaga bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga na b’ayanda bha ng’wa sinzo abho bhagang’witila mihayo ya bhubhi uyo agabhitila ya wiza aha kaya yabho, kunguno nuweyi agabhadahilijaga abhiye abho bhagang’witilaga mihayo ya wiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ab’ayanda bho ng’wa sinzo mdachaga soni.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhulumbilija ukubhanhu abho bhagabhitilaga mihayo ya wiza, kugiki bhadule gwiyambilija ugujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Zaburi 25:4.

Marko 14:41.

Yohane 13:18.

KISWAHILI: WAVULANA WA SINZO HAMUONI AIBU.

Chanzo cha msemo huo huangalia hali ya kutokujisikia aibu kwa wavulana wa Sinzo. Alikuwepo mtu aliyeenda kwenye familia ya hao wavulana akaitendea wema familia hiyo ya Sinzo. Yeye alitegemea kwamba, watu hao wangetoa shukrani kwake kwa wema huo aliowatendea. Lakini basi, wavulana wa kwenye familia hiyo, walimtendea uovu. Ndiyo maana alisema kwamba, “wavulana wa sinzo hamuoni aibu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu asiyekuwa na moyo wa shukrani anapotendewa wema na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo huwadharau wenzake wanaomtendea mema kwa kutokuwajali kwa sababu ya kukosa moyo wa shukrani maishani mwake. Yeye hukosa watu wa kumsaidia anapokumbwa na matatizo katika familia yake hiyo kwa sababu ya kuwatendea uovu huo wale wanaomsaidia, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale wavulana wa sinzo waliomtendea uovu yule aliyewatendea wema, kwa sababu naye huwatendea uovu wa kuwadharau wenzake wanaomtendea wema, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “wavulana wa sinzo hamuoni aibu.”

Msemo huo, huwafundisha watu juu ya kuwa na moyo wa shukrani kwa watu wanaowatendea wema, ili waweze kusaidiana katika kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 25:4.

Marko 14:41.

Yohane 13:18.

ENGLISH:  SINZO BOYS ARE NO ASHAMED.

The cradle of this saying stares at shamelessness of Sinzo’s boys. There was someone who went to Sinzo’s boys of boys and treated such family well. He hoped that those people would thank him for such kindness which he did to them. But then, these boys treated him severely. That is why he said that, “Sinzo boys are not ashamed.”

This saying is compared to a person who does not have a heart of gratitude when he is treated well by his colleagues in his life. Such person despises his colleagues who treat him well with indifference because of a lack of gratitude in his life. He has no people who can help him when he is faced with hitches in his family because of evil treatment to those who help him in his life.

This person is similar to Sinzo’s boys who treated maliciously the one who treated them well, because he also treats them with evil of despising his colleagues who treat him well, in his life. That is why those people tell him that, “Sinzo boys are not ashamed.”

This saying teaches people about having a gratitude heart to people who treat them well, so that they can help each other in developing their families in their lives.

Psalm 25:4.

Mark 14:41.

John 13:18.

 

africa-2629970_1280

1302. ABHANGI NDUHU.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile winhiwa bho bhutale bho ng’wa munhu nhebhe. Olihoyi munhu uyo ong’winhaga bhutale munhu uyo oliandebhile.  Aho lyashika ilikanza, umunhu ng’winuyo agabhona bhaliza bhanhu bhangi abho adabhahayile mpaga nose ubhawila giki bhanjile ung’winikili bhutale bhunubho. Hunagwene agabhalema abhangi bhenabho bho guyomba giki, “abhangi nduhu.”

Akahahile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aginhagwa nimo ogutumama chiza gitumo gudakililwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agaidebhaga chiza imilimo iyo aginhiyagwa na ogatumama chiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bha ha kaya yakwe gutumama milimo yabho chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agaja gujung’winha bhutale ung’wilikili bhutale ng’wunuyo, kunguno nuweyi agaitumama chiza imilimo iyo aginhiyagwa na bhiye umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhalemaga abhangi bho guyomba giki, “abhangi nduhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gutumama chiza imimo yabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Kutoka 31:6.

Hesabu 16:5.

Kumbukumbu la Torati 10:15.

Matendo ya mitume 22:14.

Luka 6:13.

KISWAHILI: WENGINE HAPANA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia upewaji wa ukubwa wa mtu fulani. Alikuwepo mtu aliyeenda akimpatia ukubwa mtu aliyekuwa anamfahamu. Ulipofika ule wakati, mtu huyo aliona watu wengine wanafika kwake wale ambao hakuwataka mpaka mwishowe aliwaambia watu wamfuate mwenye ukubwa huo. Ndiyo maana aliwakataa wengine kwa kusema kwamba, “wengine hapana.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupewa kazi na kuzitekeleza vizuri kama inavyotakiwa, katika maisha yake. Mtu huyo, huzielewa vizuri kazi anazopewa ndipo anazitekeleza vizuri kwa sababu ya unyoofu wake huo wa kutenda haki, maishani mwake. Yeye huwafundisha watu wa kwenye familia yake kufanya kazi zao vizuri, kwa sababu ya unyoofu wake huo wa kutenda haki, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeenda kumpatia ukubwa yule aliyemfahamu akahakikisha kuwa anampatia mwenye ukubwa huo, kwa sababu naye huzitekeza vizuri kazi anazopewa na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana watu huwakataa wengine kwa kusema kwamba, “wengine hapana.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyoofu wa kutenda haki kwa kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Kutoka 31:6.

Hesabu 16:5.

Kumbukumbu la Torati 10:15.

Matendo ya mitume 22:14.

Luka 6:13.

zulu-kingdom-3411052_1280

ENGLISH: OTHERS ARE NOT.

This saying looks at a given leadership of a certain person. There was a person who went to give a leadership to someone whom he knew. When that time came, such man saw other people coming to him whom he did not know until finally he told all people to follow the chosen one. That is why he rejected others by saying, “others are not.”

This saying is related to a person who is given tasks and performs them well as they are required be done in his life. Such person understands well the tasks which are given to him and then he executes them well because of his sincerity of doing justice in his life. He teaches him family members on how to correctly do their jobs, because of his honesty in his life.

This person resembles the one who went to give leadership to someone whom he knew and made sure that he gives it to such chosen one, because he also performs well the tasks which are given to him by his colleagues in his life. That is why people reject others by saying, “others are not.”

This saying imparts in people a clue of being honesty enough to do justice to their societal members by performing their duties well, so that they can quickly advance their families in their lives.

Exodus 31:6.

Numbers 16:5.

Deuteronomy 10:15.

Acts 22:14.

Luke 6:13.

1301. DUBHULANGULILE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile kalile ka jiliwa ka bhanhu. Abhanhu abho bhalilya jiliwa bhagalangula tamu na bhamila ijiliwa ijo bhalijilya jinijo kunguno bhadadulile ugumila ijiliwa ukunu bhagundamile. Hunagwene abhanhu ulubhalilya bhagikomelejaga bho guyomba giki, “dubhulangulile.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga chiza ijikolo jakwe giti numo jidakililwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajitilaga bhukengeji bho gujidebha chiza pye ikolo jakwe na wandya ugujitumamila kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga matwajo mingi aha kaya yakwe kunguno ya kujitumamila chiza ijikolo jakwe jinijo, umumilimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhalangulaga na bhajimila ijiliwa ijo bhajilyaga jinijo, kunguno nuweyi agajitumamilaga ijikolo jakwe chiza kitumo jidakililwe ugutumamilwa, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agabhawilaga abhiye giki, “dubhulangulile.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitila bhukengeji bho gujidebha chiza ijikolo jabho na bhandye ugujitumamila, kugiki jidule gubhambilija chiza ugujilanhana ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Marko 14:22-26.

Wakolosai 3:1.

Mwanzo 26:30.

Mwanzo 19:3.

Luka 5:29.

KISWAHILI: TUUINULIE VICHWA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia ulaji wa chakula wa watu. Watu wanapokula chakula huinua vichwa vyao ndipo wanameza kwa sababu haiwezekani kumeza chakula hicho wakiwa wameinama. Ndiyo maana watu wanapokula huhimizana kwa kusema kwamba, “tuuinulie vichwa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitumia vizuri vitu vyake kama vinavyotakiwa kutumiwa, katika maisha yake. Mtu huyo, huvifanyia utafiti wa kutosha kuvielewa vizuri vitu vyake hivyo ndipo anaanza kuvitumia kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi katika familia yake kwa sababu ya kuvitumia vizuri vitu vyake hivyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliokuwa wakiviinue vichwa vyao ndipo wanavimeza vyakula walivyokuwa wanakula, kwa sababu naye huvitumia vitu vyake vizuri kama vinavyotakiwa kutumiwa, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “tuuinulie vichwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuvifanyia vitu vyao utafiti wa kutosha kuvielewa vizuri, ndipo waanze kuvitumia ili viweze kuwasaidia vizuri katika kuzitunza familia zao, maishani mwao.

Marko 14:22-26.

Wakolosai 3:1.

Mwanzo 26:30.

Mwanzo 19:3.

Luka 5:29.

village-children-5175542__480

ENGLISH: LET US LIFT UP OUR HEADS FOR IT.

The source of this saying stares at people’s food intake. When people eat food raise their head for swallowing because it is impossible to swallow such food while bending down. That is why when they eat, encourage each other by saying, “Let us lift up our heads for it.”

This saying is paralleled to a man who uses his belongings well as they are supposed to be used, in his life. Such person does good research enough to understand his possessions well and then he starts using them nicely because of his thoughtfulness, in his life. He gets a lot of success in his family because of using his properties well, in his life.

This person is similar to those who used to raise their heads while swallowing the food which they ate, because he also courteously uses his possessions as they should be used, in his life. That is why he tells people that, “Let us lift up our heads for it.”

This saying instills in people an idea of being careful to enough do research on their possessions for understanding them well, then they start using them so that these possessions can help them well in taking care of their families in their lives.

Mark 14:22-26.                                                    

Colossians 3:1.

Genesis 26:30.

Genesis 19:3.

Luke 5:29.