heritage

1225. DAGELALA GUBHONA KALYETO DUHU.

Bhalihoyi bhanhu abho bhalibhaja gujunlola ngeni uyo obhitilaga umuchalo jabho. Abhanhu bhenabho bhagaduma ugumona na gundebha chiza ungeni ng’wunuyo, kunguno agabhita wangu wangu aho bhasangwa bhiyebhaga. Hunagwene bhagayomba giki, “dagelela gubhona kalyeto duhu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagiyebhaga ugutumama imilimo yabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagajaga ugujutumama imilimo yabho bhagalendela yingi duhu iyo idina solobho kunguno ya wiyebhu bhobho bhunubho, umubhutumami bho milimo yabho. Abhoyi bhagakelaga bhuli ng’waka umukaya jabho kunguno ya gwiyebha kutumama milimo yabho yiniyo, bho gulendela yingi iyo idina solobho yoseyose, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhagaja gujunola ngeni bhugiyebha mpaga ubhita bhadamonile chiza, kunguno nabhoyi bhagajaga ugutumama imilimo yabho bhagiyibha bho gulendela iyo idina solobho yoseyose umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “dagelega kubhona kalyeto duhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka gwiyebha gutumama milimo yabho bho gwigulambija guitumama na bhukamu bhutale, kugiki bhadule kupandima matwajo mingi, umukaya jabho.

Habakuki 1:11.

Luka 19:1-3.

KISWAHILI: TUMEKOMEA KUONA NUSU TU.

Walikuwepo watu walioenda kumuona mgeni aliyekuwa akipita katika kijiji chao. Watu hao, hawakuweza kumuona na kumfahamu vizuri mgeni huyo kwa sababu yeye alipita haraka wakati wao wakiwa wamejisahamu. Ndiyo maana walisema kwamba, “tumekomea kuona nusu tu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hujisahau kufanya kazi zao, katika maisha yao. Watu hao, huenda kufanya kazi zao na kupoteza muda wao kwa kujali vitu visivyo na faida yoyote kwao, kwa sababu ya kujisahamu kwao huko, katika utekelezaji wa majukumu yao. Wao hukosa chakula kila mwaka kwenye mashamba yao, kwa sababu ya kujisahamu kwao huko kufanya kazi zao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale walioenda kumuona mgeni wakajisahau na kukomea kumuona nusu, kwa sababu nao pia huenda kufanya kazi zao na kupoteza muda wao kwa kujali vitu visivyo na faida yoyote, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tumekomea kuona nusu tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kujisahau katika kuyatekeleza majukumu yao kwa kujibidisha kuzifanya kazi hizo kwa bidii kubwa, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika familia zao.

Habakuki 1:11.

Luka 19:1-3.

ENGLISH: WE HAVE ONLY SEEN HALF.

There were people who went to see a stranger who was passing through their village. Those people could not see and get to know the stranger well because he passed quickly while they were busy. That is why they said that, “we have only seen half.”

This saying is compared to people who forget to do their works, in their lives. Those people go to do their works by wasting their time caring about things that are of no benefit to them, because of their self-indulgence in the implementation of their duties. They lack food every year in their fields, because of their indulgence in doing their works, in their lives.

Those people are like those who went to see a stranger and forgot themselves by wasting their time in useless things until they ended up seeing him only half way, because they also go to do their works and waste their time worrying about things that have no benefit in their lives. That is why they say that, “we have only seen half.”

This saying imparts in people an idea of stopping from wasting their time in useless things themselves enough to carry out their responsibilities by forcing themselves to do those tasks with great effort, so that they can get a lot of success, in their families.

Habakkuk 1:11.

Luke 19:1-3.

africa-5274086_1280

 

 

 

1218. LIKOLO LIGULU NULU UGULINYAMANGA NA OLIKANGILA.

Yaliyohi nholo iyo yalidigwaga uguhang’wa na bhadimi bhayo. Inholo yiniyo yajaga gujulya jiliwa ja jamumigunda ya bhanhu bho nduhu ugushoka nulu ilitulwa na bhadimi bhayo, kunguno ya bhugulu bhoyo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “likolo ligulu nulu ugulinyamaga na olikangila.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alemile uguhang’wa na bhiye ulu ohubhaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahadikijaga gwita iyo alitogwa bho nduhu ugushoshiwa ijina guhang’wa nabhiye nulu ibhize ya bhubhi adoyaga kunguno ya bhujidahang’wa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga ukoya na mihayo yagwikenya na bhiye aha kaya yakwe kunguno ya gubhiitila yabhubhi yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni likolo iligulu ilo lyalemaga uguhang’wa na bhadimi bhalyo, kunguno nuweyi alemile uguhang’wa na bhiye uluohubhaga, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “likolo ligulu nulu ugulinyamaga na olikangila.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza bhigwi ulu bhalilemejiwa gwita miito gabhubhi na bhichabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yahana 10:1-4.

Zaburi 115:6.

1Petro 5:5-7.

Isaya 6:10.

KISWAHILI: KONDOO KIZIWI HATA UNAMRUDISHA NDIO UNAMSINDIKIZA.

Alikuwepo kondoo aliyekuwa hazikii anaporudishwa na wachungaji wake. Kondoo huyo, alikuwa akienda kula mazao ya chakula cha watu bila kukubali kurudishwa hata kama akipigwa na wachungaji hao aliendelea na safari yake ya kwenda kula mazao hayo, kwa sababu ya kutokusikia kwake huko. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “kondoo kiziwi hata unamrudisha ndio unamsindikiza.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukataa kuong’wa na wenzake anapokosea, katika maisha yake. Mtu huyo, hulazishimisha kufanya jambo bila kuacha hata kama litakuwa ovu kwa kutokubari kuong’wa au kushauriwa na wenzake hao, kwa sababu ya kutokusikia kwake huko, maishani mwake. Yeye huishi katika mahangaiko ya ugonvi na watu kwenye familia yake, kwa sababu ya kuwatendea maovu wenzake hao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule kondoo kiziwi aliyekataa kurudishwa na wachungaji wake, kwa sababu naye hukataa kushauriwa na wenzake anapoamua kutenda maovu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kondoo kiziwi hata unamrudisha ndio unamsindikiza.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na usikivu wanaposhauriwa kuacha kutenda maovu, ili waweze kutenda mema yawezayo kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Yahana 10:1-4.

Zaburi 115:6.

1Petro 5:5-7.

Isaya 6:10.

ENGLISH: A DEAF SHEEP EVEN IF YOU BRING IT BACK, YOU ARE JUST ESCORTING IT.

There was a sheep that was not hearing when it was returned by its shepherds. Such sheep normally went to eat people’s food crops without accepting to be returned even if it was beaten by the shepherds. It continued his journey to eat those crops, because of his deafness. That is why those people said that, “a deaf sheep even if you bring it back you are just escorting it.”

This saying is related to a person who refuses to be told by his nobles when he is wrong, in his life. Such person forces to do something without stopping even if it is an evil one by not accepting to be persuaded or advised by those colleagues, because of his lack of hearing in his life. He lives in worries of conflict with people in his family, because of his evil treatments to his family members in life.

This person is like a deaf sheep that refused to be taken back by its shepherds, because he also refuses to be advised by his people when he decides to do evil in his life. That is why people tell him that, “a deaf sheep even if you bring it back you are just escorting it.”

That saying, teaches people to be attentive when they are advised to stop doing evil, so that they can do good things that can develop their families well, in their lives.

John 10:1-4.

Psalm 115:6.

1 Peter 5:5-7.

Isaiah 6:10.

sheep-7723970_1280

1216. NHUNGULU NJOBHA IGAPEJAGA MANANA GAYO.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile nhungulu. Inhungulu iniyo ili nonii iyo igapelelaga bho gulala ulu yapyeniwagwa na ng’wichaloyo kugiki idule gwipija guminyiwa nulu gubhulagwa. Iyoyi igagatumilaga amanana gayo genayo bho gwiyinja mumakoye gaguminyiwa nulu gubhulagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki “nhungulu njobha igapejaga manana gayo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagatumilaga amasala gakwe bho gwiyinja umumakoye, umuwikaji bhokwe. Munhu ng’wunuyo, agagatumalaga amasala gakwe genayo bho gubhalumanya chiza abhanhu bhakwe kunguno atogilwe gwikala bho mholele na bhiye, umuchalo jakwe. Uweyi agayilangaga lilange lya gwikala chiza na bhanhu ikaya yakwe, kunguno ya wikaji bho ubhowiza bhunubho, umuchalo jakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nhungulu iyo igipijaga gwinga mumakoye bho gugapeja amanana gayo, kunguno nuweyi agagatumilaga amasala gakwe bho gwikala chiza na bhiye umuchalo jakwe jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nhungulu njobha igapejaga manana gayo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwikenya bho gugatumila chiza amasala gabho gwikala na bhanhu, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umukaya jabho.

Mathayo 26:51-52.

Mathayo 2:13-15.

KISWAHILI: KUNGULU MWOGA HURUKA KWA MBAWA ZAKE.

Chanzo cha msemo huo, huangalia kungulu. Kungulu huyo ni ndege ambaye huruka kwa mbawa zake anapozidiwa na mwenzake katika ugonvi ili kujiokoa kutoka kwenye hatari ya kuumizwa au kuuliwa na mwenzako huo. Yeye huzitumia mbawa zake hizo kwa kujiondoa kwenye matatizo ya kuumizwa au kuuliwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kungulu mwoga huruka kwa mbawa zake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia akili zake kwa kujiokoa kutoka katika hatari ya kuumizwa au kupoteza maisha yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huzitumila vizuri akili zake hizo kwa kuwaunganisha watu wake vizuri kwa sababu ya kupenda watu waishi vizuri na kwa amani, katika maisha  yake. Yeye huwalea vyema watu walioko kwenye familia yake kwa sababu ya malezi yake mema aliyo nayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule kungulu aliyetumia mbawa zake katika kujiondoa kutoka matatizo ya kuumizwa au kuuliwa, kwa sababu naye hutumia akili zake kwa kuishi vizuri na wenzake maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kungulu mwoga huruka kwa mbawa zake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kugombana kwa kuzitumia akili zao vizuri ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika familia zao.

Mathayo 26:51-52.

Mathayo 2:13-15.

ENGLISH: A COWARD CROW FLIES WITH ITS WINGS.

This saying looks at a crow. The crow is a bird that flies with its wings when it is overwhelmed by its partner in a fight to save itself from a danger of being hurt or killed by that partner. It uses its wings to get out of a trouble of being hurt or killed. That is why people say that, “a coward crow flies with its wings.”

This saying is equated to a person who uses his mind to save himself from a risk of being hurt or losing his life, in his life. Such person uses his intelligence well to connect his people because he loves them enough to live well and peacefully in his life. He takes good care of the people in his family because of a good upbringing which he has in his life.

This person is similar to the crow which used its wings to escape from problems of being hurt or killed, because he also uses his intelligence for living well with his companions in life. That is why people tell him that, “a coward crow flies with its wings.”

This saying teaches people on how to stop fighting by using their minds well so that they can live in peace with their societal members in their families.

Matthew 26:51-52.

Matthew 2:13-15.

raven-1347374_1280

1215. GULYA GUNONU GULIMAJIDIMU.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya gulwa jiliwa go ng’wa munhu nnebhe. Ugujilya ijiliwa jinijo ili jinogu noyi kunguno bhulihoyi bhohoji bho chiza chiza niyo unii agikalaga wigashije duhu. Aliyo lulu, ugujilima ijiliwa jinijo guni nimo ndimu niyo gogunoja gete.

Oliyohi munhu uyo ojilyaga duhu ijiliwa ijo bhajitumamila abhiye, aliyo ugujilima uweyi ogabhonaga jidimu, kunguno ya guduma gwiyumilija gutumama milimo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “gulya gunonu gulima jidimu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga wigashije duhu bho ndugu ugutumama imilimo nulu lyashikagaga ilikanza ilya gulima kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agajimalaga gujilya ijikolo jakwe mpaga oyulala nzala akaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ojilyaga ijiliwa ja bhiye alugujilima nduhu, kunguno nuweyi agajilyaga ijikolo ja bhiye bho nduhu ugutumama imilima aha kaya yakwe, mpaga nose oyulala nzala, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “gulya gunonu gulima jidimu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwiyumilija gutumama milimo yabho bho wigulambija bhutale umuwkikaji bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umukaya jabho jinijo.

Mithali 12:27.

Mithali 19:15.

KISWAHILI: KULA KUTAMU KULIMA VIGUMU.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya kula chakula kwa mtu fulani. Kula chakula ni kutamu sana kwa sababu ya radha nzuri anayoipata mlaji huyo tena hata akiwa amekaa tu. Lakini kukilima chakula hicho ni vigumu kwa sababu kunahitaji uvumilivu wa kupigwa jua na kutoka jabho jingi mpaga anachoka sana mkulima huyo.

Alikuwepo mtu katika kijiji fulani aliyependa kula chakula vizuri, lakini kukilima chakula hicho, aliona kuwa ni vigumu, kwa sababu ya kushindwa kufumilia kazi ngumu katika maisha yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “kula kutamu kulima vigumu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kufanya kazi, katika maisha yake. Mtu huyo, hupendelea kukaa tu bila ya kufanya kazi hata wakati wa kulima, kwa sababu ya uvivu wake huo, maishani mwake. Yeye hukimalima kukila chakula walichokifanyia kazi wenzake, mpaga anafikia hatua ya kulala bila kula kwa sababu ya kukosa chakula kwenye familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula chakula walichokifanyia kazi wenzake bila yeye kukilima, kwa sababu naye hula mali za wenzake bila ya yeye kuzifanyia kazi, mpaga anafikia hatua ya kukosa chakula katika familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwambia, “kula kutamu kulima vigumu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kujibidisha kufanya kazi vizuri maishani mwao, ili waweze kupata mafaniko mengi zaidi katika familia zao.

Mithali 12:27.

Mithali 19:15.

ENGLISH: EATING IS SWEET TO CULTIVATE IS HARD.

The overhead saying talks about eating food of a certain person. Eating food is very tasty because of a good pleasure that the eater gets again even if he is just sitting. But growing that food is difficult because it requires patience to be exposed to the sun and from a lot of heat until the farmer gets very tired.

There was a man in a certain village who liked to eat good food, but to cultivate that food, he found it difficult, because of his inability to endure hard work in his life. That is why people told him that, “Eating is sweet to cultivate is hard.”

This saying is related to a person who is lazy to work, in his life. Such person prefers to sit idle even when during the farming time, because of his laziness, in his life. He finished to eat the food that his colleagues worked for, until he reaches the stage of sleeping without eating because of the lack of food in his family.

This person is similar to the one who ate the food that his colleagues worked for without him cultivating it, because he also eats the property of his colleagues without him working for it, until he reaches the point of not having food in his family. That is why people tell him that, “Eating is sweet to cultivate is hard.”

This saying imparts in people an idea of having strong patience enough to work hard in their lives, so that they can find more success in their families.

Proverbs 12:27.

Proverbs 19:15.

african-food-3957740_1280

1213. GWIWILA GULIHO UGWIYIGWA NDUHU.

Bhaliho bhanhu bha ha kaya ndebhe abho bhilomelaga higulya ya kutumama milimo yabho. Aliyo lulu, umuwilomeji bhobho bhunubho abhanhu bhenabho, bhalidiigwagwa chiza, kunguno ya gukija gwidegeleka chiza umumahoya gabho genayo. Abhoyi bhayoganyaga ulu bhaliyomba kunguno ya bhuli ng’wene guhaya adegelekwe wei duhu. Hunagwene bhagayomba giki, “gwiwila guliho ugwiyigwa nduhu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagapangaga chiza imilimo ya gutumama aha kaya yabho, aliyo ugutimija nduhu. Abhanhu bhenabho bhagilomelaga higulya ya kutumama nimo nnebhe bhiyigwa chiza, aliyo lulu ulu lyushiga ilikanza lya gugumama unimo gunuyo, bhuli ng’wene agajaga kunimo gokwe duhu, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagadumaga kujibheja chiza ikaya jabho jinijo, kunguno ya kuleka uguitimija imilimo iyo bhagayipangaga guyitumama, aha kaya jabho jinijo.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhahoyaga bhiigwa bho nduhu ugwidegeleka chiza, kunguno nabhoyi bhapangaga milimo yao bho mihayo aliyo uguitimiza nduhu aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene bhagayombaga giki, “gwiwila guliho ugwiyigwa nduhu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano gogujilanija chiza, umubhupangi bho milimo yabho kihamo na guyitumama chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 11:23.

Luka 11:27-28.

Luka 15:9-10.

Marko 14:17-21.

Yohana 15:1-3.

KISWAHILI: KUAMBIANA KUPO KUELEWANA HAKUNA.

Walikuwepo watu kwenye familia fulani waliokuwa katika maongezi yao juu ya kufanya kazi zao. Lakini katika maongezi hayo watu hao walikuwa hawaelewani vizuri, kwa sababu ya kutosikilizana vizuri katika maongezi hayo. Wao walikuwa wakipiga kelele katika kuongea kwao kwa sababu ya kila mmoja wao kutaka asikilizwe yeye tu. Ndiyo maana walisema kwamba, “kuambiana kupo kuelewana hakuna.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wanaopanga vizuri kazi za kufanya bila kuzitekeleza, kwenye familia yao. Watu hao huongea juu ya kufanya kazi fulani na kuelewana vizuri, lakini ukifika wakati wa kuifanya kazi hiyo, kila mmoja huenda kwenye kazi yake tu, maishani mwao. Wao hushindwa kuziendeleza vizuri familia zao hizo, kwa sababu ya kuacha kuzitekeleza kazi zao walizozipanga, katika familia zao hizo.

Watu hao, hufanana na wale waliopanga kufanya kazi zao vizuri, bila kuzitekeleza, kwa sababu nao hupanga kazi za kufanya vizuri bila kuzitimiza, kwenye familia zao hizo. Ndiyo maana wao husema kwamba, “kuambiana kupo kuelewana hakuna.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kushirikiana vizuri katika kupanga kazi zao na kuzitekeleza kwa pamoja, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 11:23.

Luka 11:27-28.

Luka 15:9-10.

Marko 14:17-21.

Yohana 15:1-3.

ENGLISH: TALKING TO EACH OTHER WHERE THERE IS NO MUTUAL UNDERSTANDING.

There were people in a family who were talking about doing their jobs. But in their conversations, they did not understand each other well, because of not listening well to each other while talking. They were shouting in their speech because each of them wanted to be listened by others. That is why they said that, “talking to each other where there is no mutual understanding.”

This saying is related to people who plan well the tasks to be done without carrying them out, in their family. Those people talk about doing some works and get along well, but when a time of doing them comes, everyone just goes to his/her works, in their lives. They fail to develop their families well, because of stopping to carry out their planned tasks, in their lives.

Those people are similar to those who planned to do their jobs well, without carrying them out, because they also plan jobs to do well without fulfilling them, in their families. That is why they say that, “talking to each other where there is no mutual understanding.”

This saying teaches people about having an understanding that is good enough to cooperate well in planning their works and carrying them out together, so that they can develop their families well, in their lives.

Luke 11:23.

Luke 11:27-28.

Luke 15:9-10.

Mark 14:17-21.

John 15:1-3.

women-6886782_1280