Sukuma Sayings

1151. LEGENDO KI ULWENULU?

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhanhu abho bhali mulugendo lo guja hanhu. Abhanhu bhenabho bhikilakilaga umulugendo lobho lunulo kunguno abhangi bhajaga bhagololile bho gukaja chiza, aliyo lulu bhangi bhitujatujaga bho gwigedyagedya umunzila.yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagabhabhuja giki “lugendo ki ulwenulu?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho bho nduhu ugujilanija chiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagatumamaga milimo yabho bho gwigedyagedya kunguno ya gugayiwa witegeleja umubhutumami bho milimo yabho yiniyo. Abhoyi bhagadumaga udupandika isabho umu kaya jabho kunguno ya gugayiwa uwitegeleja bhunubho ubho gujilanija chiza umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhasiminzaga bho nduhu ugujilanija chiza umulugendo lobho lunulo, kunguno nabhoyi bhadajilanijaga chiza umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, umukikalile kabho kenako. Hunagwene abhanhu bhagabhabhujaga giki “lugendo ki ulwenulu?”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gujilanija chiza, kugiki bhadule kupandika sabho ningi umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 25:1-13.

Luka 13:24.

KISWAHILI: SAFARI GANI HII?

Chanzo cha msemo huo kilianzia kwa watu waliokuwa katika safari yao ya kwenda sehemu fulani. Watu hao, walikuwa wakitembea kwa kutofautiana, huku wengine walinyosha wakitembea kwa haraka katika safari yao hiyo, lakini baadhi yao walitembea polepole huku wakisimama sehemu mbalimbali. Ndiyo maana watu waliwauliza kwamba, “safari gani hii?’

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao bila kuwa na umoja wenye ushirikiano mzuri, katika maisha yao. Watu hao, hufanya kazi zao kwa kusitasita kwa sababu ya kukosa umaskini wa kushikiriana kwa umoja katika utekelezaji wa majukumu yao hayo. Wao hushindwa kupata mali nyingi kwenye familia zao, kwa sababu ya kukosa huo umakini wenye ushirikiano wa kufanya kazi zao vizuri, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliosafiri bila kuwa na umoja wa kuendana kwa pamoja katika safari yao hiyo, kwa sababu nao huwa hawaendani vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana watu huwauliza kwamba, “safari gani hii?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa kuwa na ushirikiano wa kuendena vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mali nyingi, maishani mwao.

Mathayo 25:1-13.

Luka 13:24.

ENGLISH: WHAT JOURNEY IS THIS?

The source of the above saying started from people who were on their journey to a certain place. They were walking differently, while others stretched out walking quickly on their journey, but some of them walked slowly while stopping at different places. That is why people asked them that, “What journey is this?”

This saying is related to people who do their works without having good cooperation in their families. Those people do their works reluctantly because of the lack of unity in fulfilling their duties. They fail to get good enough wealth to run their families, because of lack of that cooperative focus in doing their daily jobs well in their societies.

These people are similar to those who traveled without having unity of going together in their journey, because they also do not go well together in fulfilling their daily duties. That is why people ask them that, “What journey is this?”

This saying imparts in people an idea of doing their jobs by having good cooperation enough to go well in fulfilling their daily responsibilities, so that they can get a lot of wealth in their families.

Matthew 25:1-13.

Luke 13:24.

people-7271043__480

1150. NISENGEKELAGA MACHIMU NA MASONGA.

Ugwisengekela ili gubhucha nulu guzega michimu na masonga. Amachimu jili jilanga ja guchimila. Amasonga gali jilanga ja gulasila ginhu nulu bhanishi bho gutumila bhuta.

Ulihoyi munhu uyo agazega jilanga jakwe kunguno ojaga gujitula na bhanishi bhakwe. Hunagwene abhanhu obhawilaga giki, “nisengekelaga machimu na masonga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasolaga jilanga ja gutumamila milimo yakwe chiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga higiki bhuli makanza bho gutumamila jilanga jawiza umumilimo yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga sabho ningi umubhutumami bhokwe kunguno ya gutumila jilanga ja wiza umumilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agabhucha machimu na masonga aho ajile kubhulugu, kunguno nuweyi agasolaga jitumamilo jawiza umubhutumami bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nisengekelaga machimu na masonga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumamila jilanga jawiza umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Luka 14:31.

KISWAHILI: NIMEBEBA MIKUKI NA MISHALE.

Mikuki ni silaha za kuchomea kitu fulani. Mishale nazo ni silaha za kuchomea kitu au adui kwa kutumia upinde. Alikuwepo mtu aliyebeba silaha zake hizo kwenda kupigana na adui zake. Ndiyo maana aliwaambia watu kwamba, “nimebeba mikuki na mishale.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hubeba silaha nzuri za kufanyia kazi zake katika maisha yake. Mtu huyo, huwa tayari kila wakati kwa kubeba na kutumia silaha zitakiwazo katika utekelezaji wa majukumu yakwe, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye hupata mafanikio mengi katika kazi zake kwa sababu ya kutumia silaha nzuri katika kazi zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtu aliyebeba mikuki na mishale alipokuwa akienda vitani, kwa sababu naye huchukua zana nzuri za kufanyia kazi zake, katika utekelezaji wa majukumu yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “nimebeba mikuki na mishale.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia silaha nzuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Luka 14:31.

ENGLISH: I HAVE CARRIED SPEARS AND ARROWS.

Spears are weapons for chopping something. Arrows are also weapons for slicing something or an enemy by using a bow. There was a man who carried his weapons in fighting against his enemies. That is why he told the people that, “I have carried spears and arrows.”

This saying is compared to a person who carries good weapons enough to do his works in his life. Such person is always ready to carry and use the necessary weapons in the execution of his duties, because of his attention. He gets a lot of successes in his works because of using good weapons in fulfilling his daily responsibilities.

This person resembles to the person who carried spears and arrows when he was going to war, because he also takes good tools for doing well his works in fulfilling his duties. That is why he tells people that, “I have carried spears and arrows.”

This saying teaches people about using good weapons in the execution of their duties, so that they can get a lot of successes in their families.

Luke 14:31.

hadza-6397205__480

1147. SI IB’ELEKE.

Olihoyi munhu uyo agabhilingwa bhanhu gwiza hawinga bhokwe. Abhanhu bhenabho bhagaja ahawinga bhunubho bhugalya mpaga bhigota noyi kunguno galigazugwa majiliwa mingi gete aha kaya yiniyo iyo yalina winga. Hunagwene abhanhu aho bhigota chiniko, bhagayuyomba bho bhuyegi giki, “si ib’eleke.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhabokelaga bho gubhagalila chiza abhanhu aha kaya yakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’winuyo agabhagalilaga bho gubhabhulagila ntugo abhanhu abho bhagajaga aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wizang’holo bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe nyiniyo, kunguno ya gubhabokela chiza abhageni bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhalisha jiliwa abhawinga mpaga bhiguta aha kaya yakwe yiniyo, kunguno nuweyi agabhagalilaga bho gubhabhulagila ntugo abhageni bhakwe aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhageni bhakwe bhenabho bhagayombaga bho bhuyegi giki, “si ib’eleke.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizang’holo bho gubhagalila chiza abhageni bhabho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala na bhuyegi bhutale umu kaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Yohana 2:1 – 11.

Luka 9:12-17.

KISWAHILI: ARDHI IPASUKE.

Alikuwepo mtu aliyealika watu kwenye harusi yake. Mtu huyo aliwaandalia watu wake chakula cha kutosha kula na kusaza. Watu hao walienda kwenye sherehe hiyo wakala chakula mpaka wakashiba na kusaza kwa sababu kilikuwa kingi sana. Ndiyo maana watu hao walisema kwa furaha kwamba, “ardhi ipasuke.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwapokea watu kwenye familia yake kwa kuwatunza vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatunza kwa kuwachinjia mfugo wageni wake wanaomtembelea kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya ukarimu wake huo. Yeye hupata Baraka za kuishi kwa furaha kubwa kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuwakaribisha vizuri wageni wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewalisha watu aliwaalika kwenye harusi yake mpaka wakashiba, kwa sababu naye huwatunza wageni wanaofika kwenye familia yake hiyo kwa kuwachinjia mfugo. Ndiyo maana wageni wake hao huseka kwa furaha kwamba, “ardhi ipasuke.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha vizuri wageni wao, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha kwenye familia zao hizo, maishani mwao.

Yohana 2:1 – 11.

Luka 9:12-17.

ENGLISH: LET THE EARTH SPLIT.

There was a man who invited people to his wedding. He prepared enough food for his people to eat and drink. The people went to the party and ate until they were full. They left the food because there was a lot. That is why they said with joy that, “let the Earth split.”

This saying is equated to a person who welcomes people into his family by taking good care of them, in his life. Such person takes care of his guests who visit his family by slaughtering livestock, because of his generosity. He gets blessings of living happily in his family because of welcoming his guests well in his family.

This person is like the one who fed the people he invited to his wedding until they were full, because he also takes good care of guests who come to his family by slaughtering goats. That is why his guests laugh with joy that “let the Earth split.”

This saying teaches people about being generous enough to welcome their guests well, so that they can get blessings of living happily in their families.

John 2:1 – 11.

Luke 9:12-17.

IMG_20200908_082056_8

1146. MAJACHA GADI NA NSAB’I NULU NG’HAB’I.

Olihoyi munhu uyo alina majacha umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, olina jika jinijo gwingila haho bhubyalilwa bhokwe, kunguno ijoyi jigampandikaga munhu ose ab’ize nsab’i nulu nhab’i. Uweyi wikalaga na sabho ningi aha kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “majacha gadi na nsab’i nulu nhab’i.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhabokelaga bhanhu bha bhuli mbika aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agahoyaga na bhahab’i kihamo na bhasab’i bho nduhu ugunkomanya munhu oseose, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga na bhanhu bhingi aha kaya yakwe kunguno amanile igiki abhanhu bhakwe bhenabho bhabhumbwa na Mulungu uyo agang’winhaga nguzu ja gutumama milimo yakwe chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga na majacha ayo olinago nsab’i ng’wunuyo, kunguno nuweyi agikalaga na bhanhu bha bhuli mbika aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “majacha gadi na nsab’i nulu nhab’i.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gubhakomanya abhanhu bho gwikala nabho pye abhose abha bhuli mbika, kunguno abhoyi bhali jisumva ja ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza, umubhulamu bhobho.

Matendo ya mitume 10:34-35.

Matendo ya Mitume 11:8-9.

KISWAHILI: MATEGE HAYANA TAJIRI WALA MASKINI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na matege katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa na kilema hicho tangu kuzaliwa kwake kwa sababu kilema chenyewe hakibagui mtu yeyote awe tajiri au maskini. Yeye alikuwa na mali nyingi kwenye familia yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “matege hayana tajiri wala maskini.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwapokea watu wa kila namna kwenye familia yake, katika maisha yake hayo. Mtu huyo, huongea na maskini pamoja na matajiri bila kumbague yeyote, maishani mwake. Yeye huishi na watu wengi sana kwenye familia yake kwa sababu anaelewa kuwa watu wote ni viumbe vya Mungu ampaye nguvu za kufanya kazi zake vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yale matege aliyokuwa nayo yule tajiri, kwa sababu naye huishi na watu wa kila namna kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “matege hayana tajiri wala maskini.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kuwabagua watu kwa kuishi na watu wa kila aina, kwa sababu wote wameumbwa na Mungu, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri, maishani mwao.

Matendo ya mitume 10:34-35.

Matendo ya Mitume 11:8-9.

man-on-a-wheelchair-5073594__480

disability-224130__480

wheelchair-5711969__480

ENGLISH: ABNORMAL LEGS HAVE NEITHER RICH NOR POOR.

There was a man who had scars in his life. Such man had a disability since birth because that disability itself did not discriminate between rich and poor. He had a lot of wealth in his family. That is why people told him that, “abnormal legs have neither rich nor poor.”

This saying is related to the person who accepts all kinds of people in his family in life. Such person talks to the poor as well as the rich without discriminating against anyone in his life. He lives with a good number of people in his family because he understands that all people are creatures of God who gives to him the strength to do his daily work well in his life.

This person resembles to the scars that the rich man had, because he also lives with all kinds of people in his family. That is why people tell him that, “abnormal legs have neither rich nor poor.”

This saying teaches people about abandoning habits of discriminating people by living with all kinds of people, because they are all creatures of God, so that they can get blessings of living well, in their families.

Acts 10:34-35.

Acts 11:8-9.

1145. NG’WANA MAKINU AGIKINUKILWA KU MABALA.

Olihoyi munhu uyo witanagwa makinu. Umunhu ng’winuyo oli na nguzu ningi kunguno oliadakangilwe nulu hado pye amakanza. Lushigu lumo, uweyi agafuma ghujiku ugamanhya na ndimu nhali yuumulaga guko kumabala. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ng’wana makinu agikinukilwa ku mabala.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga sagala inguzu yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajitumilaga inguzu jakwe bho gwigimba sagala kugiki bhanhu bhankumilije kunguno ya gugayiwa witegeleja bhokwe umuwikaji bhokwe. Uweyi agilabhulaga sagala umuwigimbi bhokwe bhonubho, kunguno ya kutogwa gukumilijiwa chiniko umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana makinu uyo agabhulagwa ni limu aho ojitumila sagala inguzu jakwe jinijo, kunguno nuweyi agajitumilaga sagala inguzu jakwe mpaga olabhuka, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wana makinu agikinukilwa ku mabala.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gujitumila inguzu jabho bho witegeleja bhutale kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho bhunubho.

1Samweli 17:48 -51.

Waamuzi 16:18-22.

KISWAHILI: MWANA MAKINU ALISHINDWA NJE NA KWAKE.

Alikuwepo mtu aliyeitwa Makinu. Mtu huyo, alikuwa na nguzu nyingi kwa sababu hakutishwa hata kidogo wakati wote. Siku moja alitoka nje usiku akakutana na myama mkali aliyemuua mtu huyo nje ya nyumbani kwake. Ndiyo maana watu walisema kwamba “mwana makinu alishindwa nje na kwake.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia vibaya nguzu zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huzitumia nguvu zake hizo kwa kujidai hovyo ili watu wamsifiye kwa sababu ya kukosa umakini katika maisha yake. Yeye hujiumiza bure katika majigambo yake hayo, kwa sababu ya kupenda sifa kwake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mwana Makinu aliyeuliwa na yule myama mkali alipozitumia vibaya nguvu zake hizo, kwa sababu naye huzitumia vibaya nguzu zake hizo mpaka anaumia bure, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mwana Makinu alishindwa nje na kwake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia nguvu zao kwa umakini mkubwa ili ziweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

1Samweli 17:48 -51.

Waamuzi 16:18-22.

ENGLISH: MAKINU’S SON WAS DEFEATED OUTSIDE HIS HOME.

There was a man whose was Makinu’s son. He had a lot of power because he was not intimidated at all in his life. One day, he went out at night and met a stronger man than him who killed him outside his house. That is why people said that “Makinu’s son was defeated outside his home.”

This saying is related to a person who misuses his power in his life. Such person uses his power to claim praise carelessly for getting praise from people because of the lack of focus in his life. He hurts himself in vain in his boasting, because of looking for praise from people.

This person is similar to Makinu’s son who was killed by the fierce man when he misused his power, because he also misuses his power until he gets hurt for nothing, in his life. That is why people tell him that, “Makinu’s son was defeated outside his home.”

This saying imparts in people an idea of using their power very carefully so that it can help them well, in their lives.

1 Samuel 17:48 -51.

Judges 16:18-22.

warrior-7623990__480

zulu-kingdom-3411052__480

men-5966213__480