Author: Sukuma legacy

1327. NAGULEKA MUMANGAILA.

Aho kale olihoyi munhu uyo ohayaga na bhiye bho gutumila mihayo ya mbisila iyo bhadumaga abhiye bhenabho uguyelelwa chiza kunguno ya gubhisa ginhu jilebhe ukubhoyi. Umunhu ng’wunuyo, obhalekaga abhiye bhadadebhile ubhulingisilo bho mihayo iyo abhalomelaga yiniyo, kunguno ya gutumila mihayo ya mbisila yiniyo, umuwikaji bhokwe bhonubho. Hunagwene agayomba giki, “aguleka mumangaila.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wimi nholo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhabhisaga abhiye ijikolo jakwe bho gutumila bhushirimu kugiki akije ugubhinha abho bhalinomba kunguno ya wiminholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa ulubhango ulo gwikala na bhuyeji aha kaya yakwe kunguno ya wiminholo bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agabhabhisa abhiye kinhu jilebhe bho guyomba mihayo ya mbisila mpaga bhuduma uguyelelwa chiza imihayo yakwe yiniyo, kunguno nuweyi agabhimaga abhiye ijikolo jakwe bho gutumila bhushirimu bho gung’wambilija gukija ugubhinha abhiye abho bhalinomba, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “naguleka mumangaila.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka wiminholo bho gubhambilija chiza abhichabho abho bhali na makoye, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala na bhuyeji umu kaya jabho.

Mathayo 13:24-30.

Mathayo 25: 36-43.

Zaburi 119:130.

KISWAHILI: NIMEKUACHA BILA UFAFANUZI.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeongea na wenzake kwa kutumia maneno ya mafumbo. Maneno hayo yalisababisha kwa wenzake hao kushindwa kuuelewa vizuri ujumbe wake kwa sababu alikuwa na lengo la kuwaficha kitu fulani wenzake hao. Mtu huyo aliwaacha wenzake hao katika hali ya kukosa ufafanuzi wa maneno yake hayo yenye mafumbo. Ndiyo maana yeye alisema kwamba, “nimekuacha bila ufafanuzi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mchoyo wa kutowashirikisha wenzake mali zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaficha wenzake mali zake hizo kwa kutumia ujanja wa kumwezesha kuacha kuwapatia wenzake hao wanaomuomba mali zake hizo, kwa sababu ya uchoyo wake huo, maishani mwake. Yeye hukosa Baraka za kumwezesha kuishi kwa furaha katika familia yake, kwa sababu ya uchoyo wake huo wa kutowashirikisha wenzake mali zake hizo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewaficha wenzake kitu fulani kwa kutumia maneno yenye mafumbo mpaga akawacha bila ufafanuzi, kwa sababu naye huwanyima wenzake mali zake kwa kutumia ujanja wa kumwezesha kutowapa mali zake hizo, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimekuacha bila ufafanuzi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha uchoyo kwa kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao.

Mathayo 13:24-30.

Mathayo 25: 36-43.

Zaburi 119:130.

ENGLISH: I HAVE LEFT YOU WITHOUT EXPLANATION.

Once upon a time, there was a man who spoke to his companions by using cryptic words. These words prevented his companions from understanding his message properly because he intended to hide something from them. Such man left his acquaintances in a state of lacking explanation for his cryptic words. That is why he said, “I have left you without explanation.”

This saying is equaled to a person who is greedy in not sharing his possessions with his companions, in his life. Such person hides his possessions from his companions by using cunning deeds which can enable him to stop giving his companions who ask for his possessions, because of his greed in his life. He lacks blessings that can enable him to live happily in his family, because of his greed of not sharing his possessions with his companions in life.

This person is like someone who hid something from his friends by using cryptic words which left them without explanation, because he also deprives his friends of his possessions by using cunning deeds which enables him not to give them his possessions in his life. That is why he says, “I have left you without explanation.”

This saying imparts in people a clue of giving up greed by helping their friends who are in trouble so that they can receive blessings of living happily in their families.

Matthew 13:24-30.

Matthew 25: 36-43.

Psalm 119:130.

portrait-3157821_1280

girl-429380_1280

man-792821_1280

1326. IZUGA LYA MANYANYA NULU HALIMI DUHU JUPYA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhuzugi bho manyanya. A manyanya genayo gadi nizuga lidamu kunguno unzugi ogo adulile nulu gugachembagula duhu ugaleka mulimi gupya. Umunhu ng’wunuyo, agagutumamaga unimo gunuyo bho nduhu nulu gunoga. Hunagwene agayombaga giki “izuga lya manyanya nulu halimi duhu jupya.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile gutumama milimo yakwe chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga na milimo mingi iyo aidebhile uguitumama mpaga oyimala chiza kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gudebha guitumama mingi chiza chiniko, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo oliadebhile guzuga nyanya chiza, kunguno nuweyi adebhile gutumama milimo yakwe chiza chiniko, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “izuga lya manyanya nulu halimi duhu jupya.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gudebha kutumama milimo yabho chiza chiniko, kugiki bhadule gupandika matwajo  mingi, umuwikaji bhobho.

Ezra 5:8.

KISWAHILI: UPISHI WA NYANYA HATA JUANI TU ZINAIVA.

Chanzo cha msemo huo huangalia upishi wa nyanya. Nyanya hizo hazina mapishi magumu kwa sababu mpikaji wake aweza hata kuzikatakata tu akaziacha juani zikaiva. Mtu huyo huifanya kazi hiyo bila hata ya kumchosha. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “upishi wa nyanya hata juani tu zinaiva.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anaelewa kufanya kazi zake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo hufanya kazi nyingi anazizoelewa kuzitekeleza mpaga anazimaliza vizuri, kwa sababu ya  umakini wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake kwa sababu ya umakini wake huo wa kuzielewa na kuzitekeleza vizuri kazi zake hizo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeelewa kupika nyanya vizuri, kwa sababu naye anaelewa kuzitekeleza kazi zake vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “upishi wa nyanya hata juani tu zinaiva.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzielewa na kuzitekeleza vizuri kazi zao zote, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Ezra 5:8.

 

ENGLISH: COOKING TOMATOES EVEN IN THE SUN WILL RIPEN.

The origin of this saying looks at cooking tomatoes. These tomatoes do not have difficult recipes because their cook can even just chop them and leave them in the sun to ripen. This person does this work without even being tired. That is why he says, “Cooking tomatoes even in the sun will ripen.”

This saying is matched to a man who understands how to do his work well, in his life. Such person does several tasks that he understands how to do, and he finishes them well, because of his responsiveness, in his life. He earns a lot of wealth in his family because of his thoughtfulness of understanding and carrying out his tasks well, in his life.

This person resembles the one who understood how to cook tomatoes well, because he also understands how to carry out his tasks well, in his life. That is why he says, “Cooking tomatoes even in the sun will ripen.”

This saying teaches people to be careful enough to understand and carry out all their tasks well, so that they can achieve great success in their lives.

Ezra 5:8.

 

 

woman-5935805__480

1325. UMUNHU UYO ADIMANILE ING’HANA UDIZUNG’WILA ING’HANA.

Akahayile kenako kandija kuli munhu uyo oyombaga mihayo ya bhulomolomo umukikalile kakwe. Abhanhu abho wikalaga nabho umunhu ng’wunuyo, bhang’wilaga giki  aileke imihayo yiniyo iyabhulongo bho guyomba bhunhana, olema kunguno ya bhuhalali bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “umunhu uyo adimanile ing’hana udizung’wila ing’hana.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alinsembo uyo adigwaga  mihayo ya guwilwa na bhiye kunguno ya nhungwa jakwe ija bhuhalali jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya bhusembo bhokwe ubho gwita mihayo ya bhubhi bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo owilagwa giki aleke guyomba mihayo ya bhulomolomo olema, kunguno nuweyi agawilagwa na bhiye giki, aleke gwita mihayo ya bhubhi, olema, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu abho agabhahalalikaga bhagiwilaga giki, “umunhu uyo adimanile ing’hana udizung’wila ing’hana.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gwita mihayo ya bhubhi bho gwita mihayo ya wiza kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

2Wakonritho 7:14.

Yohane 14:17.

KISWAHILI: MTU ASIYEUJUA UKWELI USIMWAMBIE UKWELI.

Msemo huo, ulianzia kwa mtu yule aliyekuwa alisema maneno ya uongo katika maisha yake. Watu waliokuwa wakiishi naye, walimwambia kwamba aache kusema uongo kwa kusema ukweli, akakataa kwa sababu ya ubishi wake huo. Ndiyo maana watu hao, walisema kwamba, “mtu asiyeujua ukweli usimwambie ukweli.”                                 

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda maovu katika maisha yake. Mtu huyo hutenda maovu kwa wenzake na kukataa kuyaacha pale wenzake hao wanapomshauri kuayaacha, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya ubishi, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia yake hiyo kwa sagabu ya kutenda maovu hayo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekataa kuacha kusema uongo aliposhauriwa na wenzake, kwa sababu naye hukataa kuacha kutenda maovu anaposhauriwa na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana wenzake hao, huambiana kwamba, “mtu asiyeujua ukweli usimwambie ukweli.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda maovu kwa kufuata ushauri wa kutenda mema kwa wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

2Wakonritho 7:14.

Yohane 14:17.

ENGLISH: DO NOT TELL THE TRUTH TO A PERSON WHO DOES NOT KNOW IT.

This saying is originated from a person who had told lies in his life. The people who lived with him told him to stop lying by telling the truth, but he refused because of his argumentativeness. That is why those people said, “Do not tell the truth to a person who does not know it.”

This saying is equated to a person who commits evil deeds in his life. Such person commits evil deeds against his nobles and refuses to stop when those nobles advise him to stop, because of his wicked argumentative behavior in his life. He fails to nurture his family well because of committing those evil deeds in his life.

This person is similar to the one who refused to stop lying when advised by his fellows, because he also refuses to stop committing evil deeds when advised by his fellows in his life. That is why those fellows say to each other, “Do not tell the truth to a person who does not know it.”

This saying imparts in people an idea of stopping habits of doing evil deeds by following advice of doing good deeds to their fellows, so that they can nurture their families well, in their lives.

2 Corinthians 7:14.

John 14:17.

1324. UDIZUDALAHA JITENGILWE UDAMANILE UMO B’ALUHILAGA AB’AZUGI.

Ulusumo lunulo lyandija kuli munhu uyo agadalahija jiliwa ijo oliotengelwa. Umunhu ng’wunuyo agagenia ha kaya ya ng’wa munhu nhebhe. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagapemba moto, bhunzugila jiliwa mpaga jupya chiza kunguno ya wizanholo bhobho. Abhanhu bhenabho bhagantengela na kunkaribhusha giki ajilye ijiliwa jinijo.

Aliyo lulu ungeni ng’wunuyo agandya guyujidalahija ijiliwa ijo otengelagwa jinijo kunguno ya libhengwe lyakwe umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “udizidalaha jitengilwe udamanile umo b’ahuhilaga ab’azugi.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu ndoshi uyo agadalahijaga imilimo iyo bhagayitaga abhiye umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agamanaga uyidalahija imilimo iyo bhagayitumamaga abhiye bho guyisondagula sagala kunguno ya libhengwe na bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhagwisha ng’holo abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya guyidalahija sagala imilimo iyo bhagayitumamaga aha kaya yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ngeni uyo agajidalaha ijiliwa ijo oliotengelwa na bhanhu abho oliobhageniha, kunguno nuweyi agayidahijaga imilimo iyo bhagayitumamaga ibhiye, aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “udizidalaha jitengilwe udamanile umo b’ahuhilaga ab’azugi.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka bhudoshi bho guyidalaha imilimo ya bhichabho kugiki bhadule gubhiza na bhulumbi bho gubhakamya abhichabho gwikomeja gutumama milimo iya gubhapandikila matwajo mingi, umu kaya jabho.

Wagalatia 5:16-26.

Mithali 13:1.

Mithali 29:8.

Mwanzo 21:5.

KISWAHILI: USIDHARAU KILICHOWEKWA MEZANI HUJUI VILE WALIVYOHANGAIKA WAPISHI.

Methali hiyo ilianzia kwa mtu aliyedharau chakula alichowekewa mezani ili akile. Mtu huyo, alienda ugenini kwenye familia ya mtu fulani. Wenyeji wa kwenye familia hiyo walikoka moto, wakampikia chakula mpaga kikaiva vizuri kwa sababu ya ukarimu wao. Watu hao walimuwekea mezani chakula hicho na kumkarisha ili akile.

Lakini mtu huyo, alianza kukidharau chakula hicho alichowekewa mezani kwa sababu ya dharau yake hiyo maishani mwake. Ndiyo maana watu hao, walimwambia kwamba, “usidharau kilichowekwa mezani hujui vile waliyohangaika wapishi.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu mwenye majivuno ambaye hudharau kazi wanazofanya wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huzidharau kazi wanazofanya wenzake kwa kuzikosoa ovyo, kwa sababu ya dharau na majivuno yake hayo, maishani mwake. Yeye huwakatisha tamaa ya kufanya kazi watu wa kwenye familia yake kwa sababu ya kuzidharua hovyo kazi wanazozifanya kwenye familia hiyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mgeni aliyekidharau chakula alichokuwa amewekewa mezani ili akile, kwa sababu naye huzidharau kazi walizofanya wenzake kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “usidharau kilichowekwa mezani hujui vile waliyohangaika wapishi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na majivuno ya kudharau kazi za wenzao, ili waweze kuwa na shukrani za kuwatia moyo watu wao, kiasi cha kutosha kujibidisha kufanya kazi za kuwapatia mafanikio mengi, kwenye familia zao.

Wagalatia 5:16-26.

Mithali 13:1.

Mithali 29:8.

Mwanzo 21:5.

 

 

african-4493422_1280

african-food-3957740__480

woman-5975589__480

ENGLISH: NOT DISDAIN WHAT HAS BEEN PLACED ON THE TABLE, YOU DO NOT KNOW WHAT THE COOKS HAVE WORKED HARD FOR.

This proverb is originated from a person who disrespected the food that was set on the table for him to eat. Such person went abroad to a certain person’s family. The people of that family turned on the heat, cooked a delicious meal for him because of their hospitality. Those people put the food on the table for him to eat it.

But he began to disrespect such food that was set on the table because of his disrespect in his life. That is why those people told him that, “Do not disdain what has been placed on the table, you do not know what the cooks have worked hard for.”

This proverb is matched to a proud person who disrespects works which his colleagues do in his life. Such person disrespects the works that his colleagues do by criticizing them carelessly, because of his pride, in his life. He discourages his family members from working hard because he so disdains the works which they do in his family.

This person is like the stranger who disdained the food that was placed on the table for him to eat, because he also disdains the works which are done by his family members. That is why those people tell him that, “Do not disdain what has been placed on the table, you do not know what the cooks have worked hard for.”

This proverb teaches people to do away with pride of disdainful work of their colleagues, so that they can be grateful enough to encourage their people to carry on working hard for bringing them much success in their families.

Galatians 5:16-26.

Proverbs 13:1.

Proverbs 29:8.

Genesis 21:5.

1323. HUJU YA B’UKI.

Ihuju ya b’uki jili nzuki ijo jili na b’uki wingi gete. Abhanhu bhagawapaga ub’uki bhunubho bhuli makanza bho nduhu ugubhumala kunguno ya wingi bhobho bhunubho. Hunagwene abhabhu bhenabho bhagawikolanijaga na huju ilo lililitabha lya minzi mingi bho guwitana giki, “huju ya b’uki.”

Akahayile kenako kagalengajiyagwa kuli munhu uyo alinsabhi o majikolo mingi aha kaya yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga na sabho ningi noyi ijo agatumamilaga bho gubhagunana abhiye abho bhali na makoye kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhanhu bhingi noyi aha kaya yakwe abho agabhambilija kunguno ya wizang’oholo ubho ugubhutumamila chiza ubhusabhi bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzuki iyo yali na b’uki wingi noyi, kunguno nuweyi alinsabhi o masabho mingi ayo agagatumamilaga bho gubhagunana abhiye abhali na makoye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “huju ya b’uki.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhagunana abhichabho abho bhali na makoye, kugiki bhadule kupandika mbango ya gwikala bho bhuyegi umukaya jabho.

Mathayo 7:7-8.

Mathayo 8:21-30.

Mwanzo 13:2.

Yakobo 2:5.

KISWAHILI: BWAWA LA ASALI.

Bwawa la asali ni nyuki wenye asali nyingi sana. Watu huilina asali hiyo kila wakati bila ya kuimaliza kwa sababu ya wingi wake huo. Ndiyo maana wao huufananisha na bwawa la hilo ambalo ni dimbwi lenye kina kirefu cha maji kwa kuiita, “bwawa la asali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri wa mali nyingi kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, ana utajiri wa mali nyingi sana ambazo huzitumia kwa kuwasaidia watu wenye matatizo mbalimbali, kwa sababu ya ukarimu wake huo, maishani mwake. Yeye huishi na watu wengi kwenye familia yake anaowasaidia kwa sababu ya ukarimu wake huo wa kuutumia utajiri wake kwa kuwasaidia watu wenye matatizo maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na wale nzuki waliokuwa na asali nyingi, kwa sababu naye na utajiri wa mali nyingi ambazo huzitumia kwa kuwasaidia watu wenye matatizo mbalimbali, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jila la “bwana la asali.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na moyo wa ukarimu uwawezeshao kuwasaidia wenzao wanaokumbwa na matatizo mbalimbali, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha, katika familia zao.

Mathayo 7:7-8.

Mathayo 8:21-30.

Mwanzo 13:2.

Yakobo 2:5.

 

ENGLISH: HONEY POND.

A honey pond is a bee with a lot of honey. People eat the honey all the time without finishing it because of its abundance. That is why they compare it to a pond, which is a deep pool of water by calling it, “honey pond.”

This saying is paralleled to a person who is rich in countless belongings in his family. This person, has a lot of wealth which he uses for assisting people who face various glitches, because of his generosity in life. He lives with numerous people in his family whom he helps because of his generosity in using his wealth to help people who face problems in their lives.

This person is similar to the bees which had a lot of honey, because he also has a lot of wealth that he uses for helping people who face various problems in life. That is why people call him “honey pond.”

This saying teaches people about having a generous heart that enables them to help their people who are experiencing various problems, so that they can receive God blessings of living happily in their families.

Matthew 7:7-8.

 

honey-4770245_1280

honey-1958464_1280

honey-1970626_1280