Author: Sukuma legacy

1406. ILINILO ILEMELA LYA BHOSE.

Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’winuyo agatumila bhugota bhukali ubho bhuganlabhula kunguno ya bhugimu bhokwe umuwikaji bhokwe. Uweyi bhugantabhanya ubhugota bhunubho kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho ubho gutumila bhugota bhukali bho nduhu gwitegeleja chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ilinilo ilemela lya bhose.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhugimu bho gujitumila ginhu sagala, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumikalaga ginhu sagala bho nduhu gwiganika chiza mpaga oduma ugutumama imilimo yakwe kunguno ya bhugimu bhokwe ubho gukija gwitegeleja chiza, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya gujikenagula sagala ijikolo jakwe bho nduhu ugwitegeleja chiza, umukikalile kakwe kenako.

 Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agatumila bhugota bhukali mpaga bhunlabhula kunguno nuweyi agatumilaga ginhu sagala bho nduhu gwitegeleja mpaga oduma uguilela chiza ikaya yakwe umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ilinili ilemela lya bhose.”

Akahalile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitumila chiza ijikolo jabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 10:4.

Mithali 11:27.

Luka 15:8.

Waebrania 12:14.

KISWAHILI: HII HUWASHNDA WOTE.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo alitumia dawa kali ambayo ilimuumiza kwa sababu ya kujifanya kuwa mzoefu maishani mwake. Yeye aliitumia dawa hiyo ikamshinda kwa sababu ya majivuno yakwe hayo ya kutumia dawa kali bila ya kuwa na umakini wa kuielewa vizuri kabla ya kuitumia. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “hii huwashinda wote.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana mazoea ya kutumia vitu bila ya kufikiria vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huvitumia hovyo vitu bila ya kufikiria vizuri mpaka anashindwa kuyatekeleza majukumu yake kwa sababu ya mazoea hayo ya kutumia vitu bila ya kufikiria vizuri, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vizuri familia yake kwa sababu ya kuvitumia hovyo vitu vyake bila ya kufirikia vizuri, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetumia dawa kali mpaka ikamuumiza, kwa sababu naye hutumia vitu hovyo bila ya kufikiria vizuri mpaka anashindwa kuilea vizuri familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hii huwashinda wote.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuvitumia vizuri vitu vyao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mithali 10:4.

Mithali 11:27.

Luka 15:8.

Waebrania 12:14.

ENGLISH: THIS ONE OVERCOMES ALL.

Once upon a time, there was a man who lived in a village. Such man used a strong medicine that hurt him because he pretended to be experienced in his life. He used the medicine which overcame him because of his arrogance of using strong medicine without being careful enough to nicely understand it before using it. That is why people told him that, “this one overcomes all.”

This saying is matched to a person who has habit of using things without thinking properly, in his life. Such person uses things indiscriminately without thinking properly until he fails to fulfill his responsibilities because of that habit of using things indiscriminately, in his life. He fails to raise his family well because of that use of his things indiscriminately without understanding it well, in his life.

This person related to the one who used strong medicine until it hurt him, because he also uses things indiscriminately until he fails to raise his family well, in his life. That is why people about him that, “this one overcomes all.”

This saying teaches people of being careful enough to nicely use their possessions, so that they can nicely raise their family lives.

Proverbs 10:4.

Proverbs 11:27.

Luke 15:8.

Hebrews 12:14.

1405. MPAGA NASHEGANYE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhushekanya bho kalimilile ka ngese ka ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo, uilimilaga ingese ya ngunda gokwe chiza bho nduhu ugufigila amaswa kunguno oliatogilwe giki unimo gokwe guje chiza. Hunagwene oyombaga giki, “mpaga nasheganye.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina witegeleja bho guitumama chiza imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga abhanhu bhakwe gutumama chiza imilimo yabho bho guitumama jelwa ng’holo imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi agasabhaga sabho ningi noyi aha kaya yake kunguno ya guitumama bho jelwa ng’holo imilimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oilimilaga chiza ingese yakwe, kunguno nuweyi agaitumamaga bho jelwa ng’holo imilimo yakwe mpaga opandika sabho ningi aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “mpaga nasheganye.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guitumama jelwa ng’holo imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umukaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mithali 10:4.

Mithali 11:27.

Luka 15:8.

Waebrania 12:14.

KISWAHILI: MPAKA NIHAKIKISHE.

Chanzo cha msemo huo huongelea upaliliaji mzuri wa palizi aliokuwa nao mtu fulani. Mtu huyo alilipalia shamba lake vizuri bila ya kufukia majani kwa sababu alitaka kwamba kazi yake hiyo iende vizuri. Ndiyo maana alisema kwamba, “mpaka nihakikishe.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana umakini wa kuyatekeleza vizuri majukumu yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwafundisha watu wake kufanya kazi vizuri kwa kuyatekeleza kiaminifu majukumu yake kwa sababu ya umakini wake huo maishani mwake. Yeye hutajirika sana katika familia yake hiyo kwa sababu ya umakini wake huo wa kutekeleza majukumu yake kwa uaminifu, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeipalilia vizuri palizi ya shamba lake, kwa sababu naye huyatekeleza majukumu yakwe kwa uaminifu mpaga anatajirika katika familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana husema kwamba, “mpaka nihakikishe.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyatekeleza kiaminifu majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi, katika familia zao, maishani mwao.

Mithali 10:4.

Mithali 11:27.

Luka 15:8.

Waebrania 12:14.

ENGLISH: UNTIL I MAKE SURE.

The origin of this saying refers to the good weeding that a person had. This person weeded his field well without covering it with leaves because he wanted his work to nicely go. That is why he said that, “Until I make sure.”

This saying is equated to a person who is attentive to carrying out his duties well, in his life. Such person teaches his people to work well by faithfully carrying out his duties because of his attentiveness in his life. He becomes very rich in his family because of his attentiveness in carrying out his duties faithfully, in his life.

This person is like the one who weeded his field well, because he also faithfully carries out his duties to the point of becoming rich in his family, in his life. That is why he says that, “Until I make sure.”

This proverb imparts in people an idea of being careful to faithfully fulfill their duties, so that they can achieve success in having various possessions in their family lives.

Proverbs 10:4.

Proverbs 11:27.

Luke 15:8.

Hebrews 12:14.

1404. YOLECHAGA MALUNDE.

1404. YOLECHAGA MALUNDE.

Bhalihoyi bhalimi umuchalo ja Nzega. Abhalimi bhenabho bhali bhadebhile imeng’ho ja likanza lya gwandya ugulima kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho. Abhoyi bhalolaga malunde ulu bhagabhona bhamanaga igiki lyashigaga ilikanza lya jidiku kunguno ya kutogwa kuyandya chiza imiliimo yabho. Hunagwene bhikomikaga gwandya gulima ulu bhajibhona imenng’ho jinijo bho guyomba giki, “yolechaga malunde.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalidebhile chiza ilikanza lya guitumama imilimo yabho yiniyo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagandyaga gutumama milimo yabho ulu lyashiga duhu ilikanza lya milimo yiniyo iyo bhagayitumama mpaga bhayimala chiza, kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga sabho ningi noyi umukaya jabho jinijo, kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhalimi abho bhalibhalidebhile chiza ilikanza lya gwandya ugulima ulu yegelela ugutula imbula, kunguno nabhoyi bhagayitumamaga imilimo yabho mpaga bhayimala ulu lyashigaga ilikanza lya milimo yiniyo, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “yolechaga malunde.”

Akahayile kenako kalanga bhatumami bha milimo higulya ya gubhiza na witegeleja bho guitumama chiza imilimo yabho ulu lyashiga ilikanza lyayo kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Luka 10:1-2.

Mathayo 3:1-3.

Mathayo 6:33.

KISWAHILI: IMEONESHA MAWINGU.

Walikuwepo wakulima kwenye kijiji cha Nzega. Watu hao walizielewa alama za kuanza kulima kwa sababu ya umakini wao. Wao waliangalia mawingu ya mvua yalipoonekana walielewa kwamba umefika muda wa masika, kwa sababu walitaka kuanza vizuri kazi zao. Ndiyo maana walipoyaona mawingu hayo walihimizana kuanza kulima kwa kusema kwamba, “imeonesha mawingu.”

Msema huo hulinganishwa kwa watu wanaouelewa vizuri muda wa kuanza kazi zao hizo, katika kazi zao. Watu hao, huanza kuyatekeleza majukumu yao mpaka wanayamaliza vizuri unapofika tu muda wake, kwa sababu ya umakini wao huo, maishani mwao. Wao hupata mali nyingi sana katika familia zao kwa sababu ya umakini wao huo, katika maisha yao.

Watu hao hufanana na wale waliouelewa vizuri muda wa kuanza kulima inapokaribia mvua kunyesha, kwa sababu nao huyatekeleza majukumu yao unapofika muda wake wa kuyaanza majukumu hao, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “imeonesha mawingu.”

Msemo huo, hufundisha wafanyakazi juu ya kuwa na umakini wa kuyatekeleza vizuri majukumu yao unapofika muda wake ili waweze kupata mali nyingi kwenye familia zao, maishani mwao.

Luka 10:1-2.

Mathayo 3:1-3.

Mathayo 6:33.

ENGLISH: IT HAS SHOWN CLOUDS.

There were farmers in a village of Nzega. Those people understood signs of starting farming because of their attentiveness. They looked at rain clouds and understood that it was time for rainy season, because they wanted to start their works well. That is why when they saw clouds they encouraged each other enough to start farming by saying, “it has shown clouds.”

This saying is related to people who understand well the time of starting their works, in their economic activities. Those people, start carrying out their duties until they finish them well when such time comes, because of their attentiveness, in their lives. They earn a lot of wealth in their families because of their attentiveness, in their lives.

These people are similar to those who understood well the time of starting farming when the rain is about to fall, because they also carry out their duties when the time comes to start those duties, in their lives. That is why they say, “it has shown clouds.”

This saying teaches workers of about being careful enough to fulfill their duties well when the time comes so that they can obtain a number of treasures for their families, in their lives.

Luke 10:1-2.

Matthew 3:1-3.

Matthew 6:33.

1403. ABHANHU ABHO BHALI NA NHAMBU.

Aho kale bhalihoyi bhanhu abho bhali bhanwanile chiza. Abhanhu bhenabho bhilomelaga mihayo yabho mpaka bhizunilija chiza kunguno bhali bhitogilwe noyi umukikalile kabho. Abhoyi bhagakumuka nose umuchalo jabho kunguno ya mahoya gabho agawiza genayo, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “abhanhu abho bhali na nhambu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kukaya ya bhanhu abho bhitogilwe chiza umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagilomelaga kihamo mpaka bhizunilija chiza umubhutumami bho milimo yabho iyo bhagayitumamaga bho gwizunilija chiza, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga na bhuyegi bhutale umukaya jabho kunguno ya witogwi bhobho bhunubho ubho guhoya kihamo na gwizunilija chiza, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhanwani abho bhahoyaga na gwizunilija bho bhitogwi umutumami bho milimo yabho, kunguno nabhoyi bhagayohaja kihamo mpaga bhizunilija bho witogwi, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhayombaga giki, “abhanhu abho bhali na nhambu.”

Akahayile kenako kalanga kaya higulya ya gubhiza na witogwi bho guhoya kihamo na gwizunilija chiza umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umukaya jabho jinijo.

Mwanzo 45:16.

Kutoka 23:1.

Mathayo 1:18-23.

Luka 1:39-48.

KISWAHILI: WATU HAO WANA MAZUNGUMZO.

Hapo zamani walikuwepo watu waliokuwa marafiki. Watu hao walizungumzo pamoja na kukubalina vizuri kwa sababu walikuwa wanapendana sana katika maisha yao. Mwishowe walijulikana katika kijiji chao kwa sababu ya mazungumzo yao hao mazuri, maishani mwao. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “watu hao wana mazungumzo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwenye familia ya watu wanaopendana vizuri, katika maisha yao. Watu hao, huongea pamoja na kuelewa vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao ambayo huyatekeleja kwa kukubaliana vizuri, kwa sababu ya upendo wao huo wa kuongea pamoja na kuelewana vizuri, maishani mwao. Wao huishi kwa furaha kubwa katika familia zao, kwa sababu ya upendo wao huo wa kuongea pamoja na kuelewana vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yao hayo.

Watu hao, hufanana na wale marafiki walioongea na kuelewa kwa upendo katika utekelezaji wa majukumu yao, kwa sababu nao huongea pamoja na kukubalina kwa upendo, katika maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “watu hao wana mazungumzo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwawezesha kuongea pamoja na kuelewana vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa katika familia zao.

Mwanzo 45:16.

Kutoka 23:1.

Mathayo 1:18-23.

Luka 1:39-48.

ENGLISH: THESE PEOPLE HAVE A CONVERSATION.

Once upon a time, there were people who were friends. They talked together and nicely understood each other because they truly loved each other in their lives. Eventually, they became known in their village because of their good conversations, in their lives. That is why people said about them that, “those people have a conversation.”

This saying is related to a family of people who truly love each other in their lives. Those people, talk together and understand each other in the implementing their responsibilities which they carry out in good agreement, because of their true love of talking together and understanding each other, in their lives. They live happily in their families, because of their true love of talking together and understanding each other in the implementing their tasks.

Those people, resemble those friends who talked and understood with true love in fulfilling their responsibilities, because they also lovely talk together and agree with each other, in their lives. That is why people say about them that, “those people have a conversation.”

This adage convey in people an idea of truly loving each other enough to nicely communicate and understand each other  in the execution of their duties, so that they can live happily in their families.

Genesis 45:16.

Exodus 23:1.

Matthew 1:18-23.

Luke 1:39-48.

1402. UMUNHU UYU NGOTOLWA.

Untogolwa ali mkima uyo oshoshiwagwa ku ng’wawe gwingila kubhukwiye kugiki agalangwa chiza. Unkima ng’wunuyo agabhalemela abhakubhukwiye kunguno ya bhulambu bhokwe. Uweyi agashoshiwa kung’wawe kugiki agalangwe bhupya. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “umunhu uyu ngotolwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adadililaga chiza ililange lya bhatale bhakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adadegelekaga chiza ililange lya bhatale bhakwe ulu bhalinanga kunguno ya bhugumanija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya guduma gulidegeleka chiza ililange lya bhatale bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima uyo agabhalemela abhabhukwiye kulwa lya bhulambu bhokwe mpaga ushoshiwa kung’wawe, kunguno nuweyi adalidililaga ililange lya bhatale bhakwe mpaga oduma uguyibheja chiza ikaya yakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “umunhu uyu ngotolwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gulidimilaga chiza ililange lya bhatale bhabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 119:31-37.

Kutoka 4:15.

Zaburi 25:45.

KISWAHILI: MTU HUYU AMERUDISHWA KULELEWA UPYA.

Mtu aliyerudishwa kulelewa upya ni mwanamke aliyepelekwa kwa wazazi wake kutoka kwenye familia ya mume wake kwenda kupewa malezi upya. Mwanamke huyo aliwashinda wanafamilia ya mume wake kwa sababu ya kiburi chake. Yeye alirudishwa nyumbani kwa wazazi wake ili akalelewe upya. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mtu huyu amerudishwa kulelewa upya.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule asiyeyajali vizuri malezi ya wakubwa wake katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hayasikilizi vizuri malezi ya wakubwa wake hao kwa sababu ya kutokujali kwake, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kushindwa kuyasikiliza vizuri malezi ya wakubwa wake hao, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule mwanamke aliyerudishwa kutoka ukweni kwenda kwa wazazi wake kwa lengo la kulelewa upya, kwa sababu naye huwa hayajali vizuri malezi ya viongozi wake mpaka anashindwa kuilea vizuri familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyu amerudishwa kulelewa upya.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuyasikiliza na kuyaishi vizuri malezi ya viongozi wao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Zaburi 119:31-37.

Kutoka 4:15.

Zaburi 25:45.

ENGLISH: THIS PERSON HAS BEEN RE-RAISED.

A person who has been re-raised is a woman who was sent to her parents from her husband’s family to be nurtured again. This woman overcame her husband’s family because of her pride. She was sent back to her parents’ home to be re-raised. That is why people said about her that, “This person has been re-raised.”

This saying is equaled to a person who does not pay proper attention to upbringings of his elders in his life. This person does not listen well to the nurtures of his leaders because of his indifference, in his life. He fails to raise his family well because of his failure to listen well to that rearing of his seniors, in his life.

This person resembles the woman who was sent by her husband back to her parents for the purpose of being nurtured again, because he also does not pay proper attention to the upbringing of his leaders to the point of failing to raise his family well. That is why people say about him that, “This person has been re-raised.”

This saying teaches people about listening to and live well the upbringing of their leaders, so that they can raise their families well in their lives.

Psalm 119:31-37.

Exodus 4:15.

Psalm 25:45.