Bhalihoyi bhanhu abho bhagiduma umuchalo ja Ng’watuma. Abhanhu bhenabho bhagidumila lubhimbi lo malale gabho mpaga bhandya guidukagula kunguno ya bhupelani bhobho bhunubho. Umo obho agolecha igiki uweyi adakangilwe na josejose na giki ali nduhu uguhewa. Hunagwene agayomba giki, “nadi ogwikanisilwa unene.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapelanaga wangu mpaga oyuyomba mamihayo ayo gadina solobho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga ubhakalihila sagala abhanhu bha ha kaya yakwe, kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho. Uweyi agayibalasanyaga ikaya yakwe mpaga osaga bhung’wene kunguno ya bhupelanu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagayogela lilale mpaga bhuyidukagula sagala, kunguno nuweyi agapenaga wangu mpaga oyubhadukagula sagala abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “nadi ogwikanisilwa unene.”
Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhupelanu bho gubhadukagula sagala abhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 18:21-22.
1Samweli 17:42-46.
1Wakorintho 15:55, na 57.
KISWAHILI: MIMI SIO WA KULETEWA MAJIGAMBO.
Walikuwepo watu waliozozana kwenye kijiji cha Mwatuma. Watu hao, walizozania mpaka wa mashamba yao mpaka wakaanza kutukanana kwa sababu ya hasira zao. Mmoja wao alionesha kwamba yeye hatishwi na yeyote wala hashindwi. Ndiyo maana alisema kwamba, “mimi sio wa kuletewa majigambo.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukasirika haraka mpaka anaongea maneno yasiyo na faida, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anawakaripia hovyo watu walioko kwenye familia yake, kwa sababu ya hasira zake hiyo. Yeye huwasambaratisha watu anaoishi nao kwenye familia yake, mpaka anabaki yeye peke yake, kwa sababu ya hasira zake hizo, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na wale waliozozania mpaka wa mashamba yao, mpaka wakaanza kutukanana hovyo, kwa sababu naye hukasirika haraka mpaka anaanza kuwatukana hovyo watu walioko kwenye familia yake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu hao kwamba, “mimi sio wa kuletewa majigambo.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha hasira za kuwatukana hovyo wenzao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.
Mathayo 18:21-22.
1Samweli 17:42-46.
1Wakorintho 15:55, na 57.
ENGLISH: I AM NOT ONE TO BE BOASTED ABOUT.
There were people who quarreled in a village of Mwatuma. Those people argued about the border of their fields until they started insulting each other because of their anger. One of them showed that he is not threatened by anyone and does not fail. That is why he said that, “I am not one to be boasted about.”
This saying is equaled to a person who gets angry quickly until he speaks useless words in his life. Such person scolds the people in his family carelessly, because of his anger. He despises the people who stay with him in his family, until he remains alone, because of his anger.
This person resembles to those who quarreled over the border of their fields, until they started insulting each other carelessly, because he also gets angry quickly until he starts insulting people in his family. That is why he tells those people that, “I am not one to be boasted about.”
This saying, instils in people an idea of stopping anger of insulting their fellows, so that they can raise well their families, in their lives.
Matthew 18:21-22.
1 Samuel 17:42-46.
1 Corinthians 15:55, and 57.
