1172. KALAGU –  KIZE. UMYAJI ALI NA MAGULU ALIYO UMYALWA ADINA MAGULU – NGOKO NI GI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola kikalile ka ngoko na bhulanhani bho bhana bhayo. Ingoko yiniyo ligashigaga likanza yatela bho gunyela magi na gugalela bho gugabhandila mpaga gapya. Ulu gapya amagi genayo gagatandukaga kafuma kana umu bhuli ligi lyene, kunguno ya bhudiliji wiza ubho ngoko yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “umyaji ali na magulu aliyo umyalwa adina magulu – ngoko ni gi.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli myaji uyo agabhalelaga chiza abhana bhakwe mpaga bhakula, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyumilila ugubhalela abhana bhakwe bhenabho bho guhoya nabho bhuli lushigu, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhana bhakwe bhenabho. Uweyi agabhakujaga mpaga bhadula gung’wambilija chiza aha kaya yake kunguno ya gubhalela chiza chiniko, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nkola iyo iyanyelaga magi yagabhandila chiza mpaga gapya na gufuma kana umu bhuli ligi lyene, kunguno nuweyi agabhalelaga chiza abhana bhakwe mpaga bhadula gung’wambilija chiza aha kaya yake yiniyo, umiwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “umyaji ali na magulu aliyo umyalwa adina magulu – ngoko ni gi.”

Ikalagu yiniyo, yalangu bhabyaji higulya ya kubhalanhana abhana bhabho bho gubhalela chiza, kugiki bhadule gubhambilija chiza umu kaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 1:24-31.

Hekima ya Sulemani 7:6.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MZAZI ANA MIGUU LAKINI MZALIWA HANA MIGUU – KUKU NA YAI.

Chanzo cha kitendawili hicho, huangalia maisha ya kuku na utunzaji wa vifaranga vyake. Kuku huyo, hufika muda wa kutaga mayai na kuyalea kwa kuyakumbatia vizuri mpaga yanaiva. Mayai hayo yakiiva hupasuka na kutoa kifaranga kila moja kwa sababu ya utunzaji mzuri wa kuku huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mzazi ana miguu lakini mzaliwa hana miguu – kuku na yai.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mzazi yule ambaye huwalea vizuri watoto wake mpaga wanakua, katika maisha yake. Mtu huyo, huvumilia katika kuwalea watoto wake hao kwa kuongea nao kila siku, kwa sababu ya upendo wake huo kwao. Yeye huwakuza vizuri watoto wake hao, mpaka wanaweza kumsaidia vizuri katika familia yake, kwa sababu ya kuwatunza kwa kuwapatia malezi mema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule kuku aliyetaga mayaji akayatunza vizuri mpaka yakaiva na kutoa mtoto kila moja, kwa sababu naye huwatunza watoto wake kwa kuwalea vizuri mpaka wanaweza kumsaidia vizuri katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mzazi ana miguu lakini mzaliwa hana miguu – kuku na yai.”

Kitendawili hicho, hufundisha wazazi juu ya kuwatunza watoto wao kwa kuwalea vizuri, ili waweze kuwasaidia vyema katika familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 1:24-31.

Hekima ya Sulemani 7:6.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE PARENT HAS LEGS BUT THE CHILD HAS NO LEGS – THE CHICKEN AND THE EGG.

The foundation of this paradox, looks at the life of chickens and the care of their chicks. The hen spends time to lay eggs and nurture them by hugging them well until when they are ripe. When the eggs are ripe they crack and give out a chick each one because of the good care of her. That is why people say that, “the parent has legs but the child has no legs – the chicken and the egg.”

This paradox is compared to the parent who takes good care of his children as they grow up, in his life. Such person perseveres in raising his children by talking to them every day, because of his love for them. He raises his children well, until they can help him well in his family, because of taking care of them by providing them with good upbringing in life.

This person resembles the hen that laid eggs and took good care of them until they ripen and give birth to each one, because he also takes care of his children by raising them well until they can help him well in his family. That is why people say about him that, “the parent has legs but the child has no legs – the chicken and the egg.”

This riddle teaches parents on how to take care of their children by raising them well, so that they can help them better in their families in their societies.

Genesis 1:24-31.

Wisdom of Solomon 7:6.

 

chicken-1867521__480

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.