Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhanhu abho bhali mulugendo lo guja hanhu. Abhanhu bhenabho bhikilakilaga umulugendo lobho lunulo kunguno abhangi bhajaga bhagololile bho gukaja chiza, aliyo lulu bhangi bhitujatujaga bho gwigedyagedya umunzila.yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagabhabhuja giki “lugendo ki ulwenulu?”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho bho nduhu ugujilanija chiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagatumamaga milimo yabho bho gwigedyagedya kunguno ya gugayiwa witegeleja umubhutumami bho milimo yabho yiniyo. Abhoyi bhagadumaga udupandika isabho umu kaya jabho kunguno ya gugayiwa uwitegeleja bhunubho ubho gujilanija chiza umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhasiminzaga bho nduhu ugujilanija chiza umulugendo lobho lunulo, kunguno nabhoyi bhadajilanijaga chiza umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, umukikalile kabho kenako. Hunagwene abhanhu bhagabhabhujaga giki “lugendo ki ulwenulu?”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gujilanija chiza, kugiki bhadule kupandika sabho ningi umuwikaji bhobho bhunubho.
Mathayo 25:1-13.
Luka 13:24.
KISWAHILI: SAFARI GANI HII?
Chanzo cha msemo huo kilianzia kwa watu waliokuwa katika safari yao ya kwenda sehemu fulani. Watu hao, walikuwa wakitembea kwa kutofautiana, huku wengine walinyosha wakitembea kwa haraka katika safari yao hiyo, lakini baadhi yao walitembea polepole huku wakisimama sehemu mbalimbali. Ndiyo maana watu waliwauliza kwamba, “safari gani hii?’
Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao bila kuwa na umoja wenye ushirikiano mzuri, katika maisha yao. Watu hao, hufanya kazi zao kwa kusitasita kwa sababu ya kukosa umaskini wa kushikiriana kwa umoja katika utekelezaji wa majukumu yao hayo. Wao hushindwa kupata mali nyingi kwenye familia zao, kwa sababu ya kukosa huo umakini wenye ushirikiano wa kufanya kazi zao vizuri, maishani mwao.
Watu hao, hufanana na wale waliosafiri bila kuwa na umoja wa kuendana kwa pamoja katika safari yao hiyo, kwa sababu nao huwa hawaendani vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana watu huwauliza kwamba, “safari gani hii?”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa kuwa na ushirikiano wa kuendena vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mali nyingi, maishani mwao.
Mathayo 25:1-13.
Luka 13:24.
ENGLISH: WHAT JOURNEY IS THIS?
The source of the above saying started from people who were on their journey to a certain place. They were walking differently, while others stretched out walking quickly on their journey, but some of them walked slowly while stopping at different places. That is why people asked them that, “What journey is this?”
This saying is related to people who do their works without having good cooperation in their families. Those people do their works reluctantly because of the lack of unity in fulfilling their duties. They fail to get good enough wealth to run their families, because of lack of that cooperative focus in doing their daily jobs well in their societies.
These people are similar to those who traveled without having unity of going together in their journey, because they also do not go well together in fulfilling their daily duties. That is why people ask them that, “What journey is this?”
This saying imparts in people an idea of doing their jobs by having good cooperation enough to go well in fulfilling their daily responsibilities, so that they can get a lot of wealth in their families.
Matthew 25:1-13.
Luke 13:24.
