Oliyoyi munhu uyo oliotuula mhiya jakwe ng’wi b’ikilo. Umunhu ng’wunuyo omanaga ushada nhangala nyingi aho uliojibhikila ihela jakwe jinijo kugiki abhone ulu jilihoyi nulu hamo jib’iyagwa, kunguno jili ginhu ja solobho nhale noyi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “shada shada ng’wi b’ikilo.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhikaga chiza isabho jakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajilanhanaga chiza isabho jakwe bho gujibhika hasoga kunguno ayidebhile isolobho ya sabho jakwe jinijo. Uweyi agikalaga na sabho ningi aha kaya yakwe kunguno ya guib’ika chiza isabho jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agajib’ika chiza isabho jakwe kunguno nuweyi agajilanhanaga chiza isabho jakwe jinijo bho gujibhika hasoga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “shada shada ng’wi b’ikilo.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gudebha ugujibhika chiza isabho jabho, umukikalile kabho, kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.
Mathayo 13:44 – 46.
Mathayo 6:19-21.
KISWAHILI: KWENDA MARA KWA MARA PALE ULIKOHIFADHI.
Aliwekupo mtu aliyeweka pesa zake sehemu fulani. Mtu huyo alikuwa akienda mara kwa mara pale alipozihifadhia pesa zake hizo, kwa sababu ni vitu vyenye thamani kubwa sana. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mara kwa mara pale ulikohifadhi.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huhifadhi vizuri mali zake katika maisha yake. Mtu huyo, huitunza mali yake kwa kuihifadhi pazuri kwa sababu anazielewa faida za mali zake hizo. Yeye huwa na mali nyingi kwenye familia yake kwa sababu ya kuzitunza vizuri mali zake hizo, maishani mwake.
Mtu huyo hufanana na yule aliyehifadhi vizuri mali zake, kwa sababu naye huzitunza vizuri mali zake kwa kuzihifadhi pazuri. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mara kwa mara pale ulikohifadhi.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuelewa namna ya kuzihifadhi vizuri mali zao katika maisha yao, ili ziweze kuwasaidia vizuri maishani mwao.
Mathayo 13:44 – 46.
Mathayo 6:19 – 21.
ENGLISH: FREQUENTLY GOING WHERE YOU SAVED.
There was a man who put his money somewhere. He used to go frequently to where he kept it, because it was very valuable. That is why people told him that, “frequently going where you saved.”
This saying is compared to the person who keeps his possessions well in his life. Such person takes care of his property by keeping it well because he understands the benefits of it. He has a lot of wealth in his family because he takes good care of his wealth in his life.
This person is similar to the one who kept his possessions well, because he also takes good care of his possessions by keeping them well. That is why people tell him that, “frequently going where you saved.”
This saying imparts in people an idea about understanding how to properly preserve their assets in their lives, so that they can help them well in their lives.
Matthew 13:44 – 46.
Matthew 6:19 – 21.


