Bhalihoyi bhalimi bha jipande mu ngunda go ng’wa munhu nhebhe abho bhalimilaga ngese. Abhalimi bhanebho bhagafugilaga amaswa kugiki bhamale wangu kunguno ya wikumbwa bho gupandika mhilya wangu. Abhoyi bhagagaleka amaswa gimilile mpaga nose ung’winikili ngunda umana igiki bhalimaga shib’i. Hunagwene agayomba giki, “gab’i magegule.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga sagala sagala imilimo yabho umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga milimo yabho bho nduhu ub’iwiza na witegeleja bhutale kunguno ya gwiganika sagala sagala umumasala gabho. Abhoyi bhagadumaga ugujibheja chiza ikaya yabho kunguno ya gugayiwa witegeleja umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhalimiji abha jipande abho bhagafugila amaswa umunganda uyo bhagulimilaga, kunguno nabhoyi bhagatumamaga milimo yabho bho nduhu ugwitegeleja chiza, umubhutumami bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “gab’i magegule.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho chiza, na witegeleja bhutale, kugiki bhadule gupandika matwajo ga gujilanhanila chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
2Wakorintho 9:6.
Mithali 18:9.
Mithali 19:15.
Luka 15:28-30.
KISWAHILI: YAMEKUWA MABAKI.
Walikuwepo vibarua kwenye shamba la mtu fulani waliokuwa wakipalilia palizi. Vibarua hao walikuwa wakipalilia kwa kuyafukia majani chini ili wamalize haraka kwa sababu ya tamaa ya kupata pesa mapema. Watu hao waliyaacha majani yakiwa yamesimama mpaka mwishowe mwenye shamba akatambua kwamba wamepalilia vibaya. Ndiyo maana alisema kwamba, “yamekuwa mabaki.”
Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao hovyo hovyo, katika maisha yao. Watu hao hufanya kazi zao hizo bila ya kuwa na umakini mkubwa kwa sababu ya kuwa na mawazo mabaya katika akili zao. Wao hushindwa kuziendeleza vizuri familia zao kwa sababu ya kukosa umakini huo katika utendaji wao wa kazi, maishani mwao.
Watu hao, hufanana na wale vibarua waliopalilia kwa kuyafukia majani chini katika shamba walilokuwa wakufanyia kazi, kwa sababu nao hufanya kazi zao bila ya kuwa na umakini mkubwa, katika utekelezaji wa majukumu yao hayo. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “yamekuwa mabaki.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao vizuri na kwa umakini mkubwa ili waweze kupata maendeleo ya kutosha kuzitunza vizuri familia zao, maishani mwao.
2Wakorintho 9:6.
Mithali 18:9.
Mithali 19:15.
Luka 15:28-30.


ENGLISH: THEY HAVE BECOME REMNANTS.
There were workers who were weeding in someone’s field. They were weeding by covering the leaves on the ground so that they could finish quickly because of the desire to get money early. They left the leaves standing until finally the owner of the field realized that they had weeded badly. That is why he said that, “they have become remnants.”
This saying is equaled to people who carelessly do their works in their lives. These people do their works without being much focused because of having bad thoughts in their minds. They fail to progress their families well because of the lack of attention in their work performance, in their lives.
These people are similar to those laborers who weeded by covering the leaves on the ground in the field where they were working, because they also do their works without being very focused, in fulfilling their duties. That is why people tell them that, “they have become remnants.”
This saying teaches people on how to carry out their duties well and with great attention so that they can get enough progress to take good care of their families.
2 Corinthians 9:6.
Proverbs 18:9.
Proverbs 19:15.
Luke 15:28-30.
