B’alihoyi bhagosha abho b’agingila mu chumba ja ng’wa mayu obho ijo b’alibhadazunilijiwe ugwingila moyi. Oho b’ingila bhugansanga uninabho aliduhu kunguno oliadamanile igiki bhagwingila. Aho bhamhona uninabho bhuhugana mpaga bhandya guyiyunga sagala kunguno ya jito jabho jinijo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “abhenabho b’azumilwa mbesele.”
Akahahile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho b’agakilanijiaga malagilo ayo b’aginagwa na bhabyaji bhabho umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, b’agikalaga na nhinda ja gubhadalahija abhatale bhabho ulu bhabha wila mhayo kunguno ya nhinda jabho jinijo. Abhoyi b’agapandikaga makoye mingi umuwikaji bhobho kunguno ya bhujidigwa bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.
Abhanhu bhenabho, b’agikolaga nabho bhagingila muchumba ja ng’wa ninabho ijo bhalibhalemejiwa ugwingila, kunguno nabhoyi b’agakilanijaga amalagilo ayo b’agawilagwa na bhatale bhabho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki “abhenabho b’azumilwa mbesele.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gudimila chiza amalagilo ga bhabyaji bhabho umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gwikala mhola, umuwikaji bhobho.
Mwanzo 3:14-19.
Kutoka 20:12.
KISWAHILI: HAO WAMELANIWA KABISA.
Walikuwepo wanaume ambao waliingia kwenye chumba cha mama yao ambacho hawakuruhusiwa kuingia humo. Walipoingia walimkuta mama yao akiwa uchi kwa sababu hakufahamu kwamba wataingia. Wao walipomuona walichanganyikiwa mpaka wakaanza kudhurura hovyo kwa sababu ya kitendo chao hicho walichokifanya. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba, “hao wamelaniwa kabisa.”
Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao hawayajali maagizo ya wazazi wao, katika maisha yao. Watu hao huwa na kiburi ya kuwadharau wakubwa wao wanapowaambia neno fulani kwa sababu ya kiburi chao hicho. Wao hupata matatizo mengi katika familia zao kwa sababu ya kuyavunja maagizo yale wanayopewa na wazazi wao, maishani mwao.
Watu hao hufanana na wale walioingia kwenye chumba cha mama yao ambacho walikatazwa kuingia, kwa sababu nao huyavunja maagizo yale wanayoambiwa na wakubwa wao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “hao wamelaniwa kabisa.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyaishi vizuri maagizo ya wazazi wao kwa kuwatunza vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuishi salama, maishani mwao.
Mwanzo 3:14-19.
Kutoka 20:12.

ENGLISH: THEY ARE COMPLETELY CURSED.
There were men who entered their mother’s room in which they were prohibited. After entering, they found their mother naked because she did not know that they would enter in. When they saw her, they were confused until they started harming her because of what they did. That is why people told them that, “they are completely cursed.”
This saying is compared to people who do not care about instructions of their parents, in their lives. Those people are proud by despising their superiors who warn them because of their pride. They consequently get many problems in their families because of breaking instructions which given to them by their parents, in their lives.
These people are like those who entered their mother’s room which they were forbidden to be in, because they also break the instructions given to them by their superiors. That is why people tell them that, “they are completely cursed.”
This saying teaches people on how to put into practice instructions of their parents by taking good care of them in fulfilling their responsibilities, so that they can live safely, in their lives.
Genesis 3:14-19.
Exodus 20:12.