Tanzania

1287. WINA MBOGO BHULI UBHEBHE?

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile higulya ya mbogo. Imbogo yiniyo ili ndimu ya mumapolu iyo iliya makanji noyi kunguno ya bhukali bhoyo na Makala gayo umukikalile kayo. Iyoyi ilijidamu ugwikala mubhanhu kunguno ya bhukali bhoyo bhunubho umuwikaji bhobho. Hunagwene ulu bhanhu bhuibhona ha kaya ya ng’wa munhu bhagabhujaga umunhu ng’wunuyo giki, “wina mbogo bhuli ubhebhe?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nkima uyo atolilwe na ngosha nkali umukikalile kakwe. Unkima ng’wunuyo, agikalaga ukalihilwa sagala nu nkosha ng’wunuyo, kunguno ya bhukali bho sagala ubho alinabho ungosha ng’wunuyo. Uweyi akikalaga asunduhalile noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhukali bho ngosha ng’wunuyo, umuwikaji bhobho.

Ungosha ng’wunuyo, agikolaga ni mbogo iyo ili ndimu nhali, kunguno nuweyi agikalaga umkalihila sagala unkima okwe ng’wunuyo, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagamujaga unkima ng’wunuyo giki, “wina mbogo bhuli ubhebhe?”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka bhukali bho sagala umuwikaji bhobho, kugiki bhadule kujilanhana chiza ikaya jabho jinijo, umukikalile kabho.

Ayubu 41:10.

2 Timotheo 3:3.

KISWAHILILI: KWA NINI UNA NYATI WEWE?

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya Nyati. Nyati huyo ni mnyama poli ambaye anatisha kwa sababu ya ukali wake na kiburi alicho nacho katika maisha yake. Yeye huwa ni vigumu kuishi kwa watu kwa sababu ya ukali wake huo maishani mwake. Ndiyo maana watu wakimuona yupo kwenye familia fulani humuuliza mwenye familia hiyo kwamba, “kwa nini una Nyati wewe?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mwanamke aliyeolewa na mwanamume mkali katika maisha yake. Mwanamume huyo humkaripia hovyo mke wake huyo kwa sababu ya ukali wake huo wa hovyo, maishani mwake. Yeye humkosesha raha mke wake katika familia yake kwa sababu ya ukali wake huo wa hovyo, katika maisha yake.

Mwanamume huyo, hufanana na yule Nyati ambaye ni mnyama mkali, kwa sababu naye humkaripia hovyo mke wake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuuliza yule mke wake kwamba, “kwa nini una Nyati wewe?”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha ukali wa kuwakaripia wenzao hovyo maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na kuzilea vyema familia zao, katika maisha yao.

Ayubu 41:10.

2 Timotheo 3:3.

ENGLISH: WHY DO YOU HAVE A BUFFALO?

The cradle of an overhead saying parleys about Buffalo. This buffalo is a wild animal that is scary because of its fierceness as well as its pride in life. It is difficult for people to live with it because of its harshness. That is why when people see it in a certain family, ask the owner of that family that, “Why do you have a Buffalo?”

This saying is related to a married woman who has a violent man in her life. This man scolds his wife carelessly because of his careless severity in his life. He makes his wife uncomfortable in his family because of his reckless severity in his life.

This man is similar to the violent Buffalo, because he also scolds his wife carelessly in his life. That is why people ask his wife that “Why do you have a Buffalo?”

This saying teaches people about stopping harshness of reprimanding their wives carelessly in their lives, so that they can live in peace enough to nurture well their families.

Job 41:10.

2 Timothy 3:3.

 

buffalo-6351369_1280

african-buffalo-1285217_1280

1286. MAYU NILANG’HANIJAGE SHILI.

Akahayile kenako kalolile shili. Ishili jinijo jili jiliwa ijo jigasanjiyagwa mumasangu kugili ganone chiza. Ijoyi jigalimagwa jazwa na gulandala chiza mpaga amadutu gajo gabhiza makubhi manonu gagulila abhanhu. Abhanhu bhagajilanhanaga mpaga jakula na kupya chiza kunguno ya wiza bhojo bhunubho. Hunagwene bhagiwilaga giki, “mayu nilang’hanijage shili.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli ng’wana ng’waniki uyo agalelagwa chiza na bhabyaji bhakwe umukikalile kakwe. Ung’waniki ng’wunuyo, agakulaga adebhile ugutumama imilimo nu gwikala chiza na bhanhu kunguno ya gulangwa chiza na bhabyaji bhakwe bhenabho. Uweyi agayilelaga chiza ikaya yakwe bho gubhalang’hanila ilange lya wiza abhanhu bhakwe kunguno ya lilange lya wiza ilo winhiwa na bhabyaji bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Ung’waniki ng’wunuyo agikolaga ni shili ijo jigalang’hanwa chiza mpaga jibhiza jiliwa jinonu, kunguno nuweyi olelwa chiza mpaga udebha ugubhalang’hana abhanhu bhakwe bho gubhalela chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “mayu nilang’hanijage shili.”

 Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhalanga chiza abhana bhabho kugiki bhadule gukula ni lange lya kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waefeso 6:4.

Esta 2:7.

Mithali 22:6.

1Thimotheo 5:10.

KISWAHILI: MAMA NITUNZIE KUNDE.

Msemo huo, huangalia kunde. Kunde hizo ni chakula ambacho huchanganywa kwenye makande ili kuyanogesha. Zenyewe zinapopandwa huota na kutambaa mpaga majani yake huwa mboga tamu ya watu kulia chakula. Watu huzitunza vizuri kunde hizo mpaga zinakomaa na kuiva kwa sababu ya utamu wake huo. Ndiyo maana watu hao huambiana kwamba, “mama nitunzie kunde.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa msichana yule aliyelelewa vizuri na wazazi wake, katika maisha yake. Msichana huyo, hukua akiwa anayaelewa vizuri majukumu ya kufanya kazi na kuishi vizuri na watu kwa sababu ya malezi hayo mema aliyolelewa na wazazi wake. Yeye hufanikiwa kuilea vizuri familia yake kwa kuwatunza na kuwakuza watu wake katika malezi mema kwa sababu ya kulelewa vizuri na wazazi wake hao, maishani mwake.

Msichana huyo hufanana na zile kunde zilizotunzwa vizuri mpaga zikafikia hatua ya kuwa chakula kizuri, kwa sababu naye amelelewa vizuri mpaka akafahamu kuwatunza watu wake kwa kuwalea vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “mama nitunzie kunde.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwalea watoto wao kwa kuwapatia malezi mema ya kuwawezesha kuishi vizuri na watu ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Waefeso 6:4.

Esta 2:7.

Mithali 22:6.

1Thimotheo 5:10.

ENGLISH: MOTHER, TAKE CARE OF THE BEANS FOR ME.

This saying looks at the beans. These beans are foods which are mixed in dough to make it nice. When they are planted, they sprout and crawl, and their leaves become delicious vegetable for people to eat. People take good care of them when they mature and ripen because of their sweetness. That is why people tell each other that, “mother, take care of the beans for me.”

This saying is equated to a girl who was raised well by her parents, in her life. Such girl grows up with a good understanding of responsibilities of working and living well with people because of good upbringing in which she was brought up by her parents. She manages to raise her family well by taking care of and nurturing her people in a good upbringing because of being well raised by her parents in life.

This girl resembles those were well-cared-for beans until they reach the point of being good food, because she has also been well-raised until she learned to take care of her people by raising them well in her life. That is why they tell people that, “mother, take care of the beans for me.”

This saying teaches people about nurturing their children by providing them with good education enough to enable them live well with people so that they can raise their families well, in their lives.

Ephesians 6:4.

Esther 2:7.

Proverbs 22:6.

1 Timothy 5:10.

 

bush-beans-3702999_1280

1285. IBHIMBI LYA NTALE

Akahayile kenako kaholelile munhu uyo oli nigele litale lya bhanhu umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, oliwilanga gubhalagula bhanhu mpaga bhapila kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gugudilila chiza unimo gokwe. Uweyi agapandika ligele litale ilya bhanbu abho agabhapija umubhulaguji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagalitana iligele lyakwe linilo giki, “ibhimbi lya ntale.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudililaga chiza unimo uyo ogusomela, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagudililaga unimo uyo agusomela bho gubhambilija bhanhu abho bhali na makoye kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalangaga chiza abhanhu bhakwe inzila ja gugutumila unimo gokwe gunuyo bho gubhambilija bhanhu bhingi abho bhali na makoye kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikikolaga nuyo olina witegeleja bho gubhalagula bhanhu chiza mpaga obhapija, kunguno nuweyi alina witegeleja bho gugutumila unimo uyo ugusomela bho gubhambilija chiza abhanhu abho bhali na makoye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga abhanhu abho obhambilija bhenabho giki, “ibhimbi lya ntale.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guyitumila imilimo iyo bhalangwa bho gubhambilija abhanhu abho bhali na makoye, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji bhutale, umukaya jabho.

Mithali 19:6.

Danieli 5:11.

KISWAHILI: KUNDI LA MKUBWA.

Msemo huo, huongelea juu ya mtu yule aliyekuwa na kumbi kubwa la watu maishani mwake. Mtu huyo, alijifunza kutibu watu mpaka wanapona kwa sababu ya umakini wake wa kuijali vizuri kazi yake hiyo. Yeye alipata kundi kubwa la watu wale aliowaponyesha magonjwa yao kupitia matatibu yake. Ndiyo maana watu waliliita kundi hiyo la watu kuwa ni “kundi la mkubwa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huijali vizuri kazi aliyoisomea, katika maisha yake. Mtu huyo, huijali kazi yake hiyo aliyoisomea kwa kuwasaidia watu walio na matatizo kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huwafundisha watu wake vizuri namna ya kuitumia kazi yake hiyo kwa kuwasaidia watu wengi walio na matatizo kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeutumia ufahamu wake kwa umakini katika kuwatibu watu mpaka wakapona, kwa sababu naye huitumia kazi aliyoisomeka kwa kuwasaidia watu wenye matatizo kwa umakini mkubwa, maishani mwake. Ndiyo maana watu huwaita wale aliowasaidia kuwa ni “kundi la mkubwa.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuitumia elimu waliyofundishwa kwa kuwasaidia watu wenye matatizo, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa, katika familia zao.

Mithali 19:6.

Danieli 5:11.

 

 

portrait-3699533__480

 

 ENGLISH: THE BIG GROUP OF THE BOSS.

This saying parleys about a person who had a big audience in his life. Such person learned to treat people until they recover because of his good responsiveness enough to take good care of his works. He found a large group of people whose diseases he cured through his treatments. That is why people called that group “the big group of the boss.”

This saying is matched to a person who takes good care of works which he studied in his life. Such person cares about his works which he studied by helping people who have problems because of his helpfulness, in his life. He teaches his people well on how to use his works by helping various people who have problems because of his thoughtfulness in his life.

This person is similar to the one who used his knowledge seriously in treating sich people until they were cured, because he also uses the work which he read to help people who have problems very seriously in his life. That is why people call those whom he helped “the big group of the boss.”

This saying imparts in people an idea of being careful enough to use the knowledge which they were taught for helping people who have problems, so that they can live happily in their families.

Proverbs 19:6.

Daniel 5:11.

 

1284. GUSUGAMBA NYAKUJIWA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhusugambi bho nyakujiwa bho bhanhu bhalebhe. Bhalihoyi bhanhu abho bhalibhaja gujutigula nkima uyo oliotolwa. Aho wila ubhujiku bhagaja gujugisha ukubhabyaji bha nkima ng’wunuyo uyo bhalibhanjila. Aho bhashiga hoyi bhagasugamba bho likujo litale huna bhubhagisha lulu abhabyaji bha nkima ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhakakitana akagisije kenako giki “gusugamba nyakujiwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali nikujo kubhanhu bhose, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagikalaga chiza na bhanhu bhabho bho gubhambilija bhose, kunguno ya likujo lyabho linilo umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagajilelaga bho gwikala chiza ikaya jabho kunguno ya likujo lyabho linilo ukubhichabho, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagaja gujutigula nkima bhugabhagisha abhabyaji bhakwe bho likijo litale, kunguno nabhoyi bhagikalaga na bhanhu bhose bho likujo litale, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhakakitanaga akikalile kabho kenako giki, “gugugamba nyakujiwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo kubhanhu bhose abho bhagikalaga nabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 41:43.

Waamuzi 7:5-6.

1Wafalme 8:54.

Zaburi 95:6.

KISWAHILI: KUPIGA MAGOTI KIHESHIMIWA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia upigaji wa magoti wenye heshima wa watu fulani. Walikuwepo watu walioenda kumchukua mwanamke aliyeolewa. Ulipoingia usiku walienda kuwasalimia wazazi wa yule mwanamke waliyeenda kumchukua. Walipofika pale walipiga magoti kwa heshima kubwa ndipo wakawasalimia wazazi hao wa yule mwanamke. Ndiyo maana watu waliita aina yao hiyo ya kusalimia kuwa ni “kupiga magoti kiheshimiwa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huishi kwa heshima na watu wote, katika maisha yao. Watu hao, huishi vizuri kwa kuwasaidia watu wao wote, kwa sababu ya hekima yao hiyo maishani mwao. Wao huzilea kwa kuishi vizuri familia zao kwa sababu ya hekima yao hiyo, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliowasalimia kwa heshiwa kubwa wazazi wa yule mwanamke waliyeenda kumchukua, kwa sababu nao huishi na watu wao kwa heshima kubwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu huiita aina yao hiyo ya kuishi kuwa ni “kupiga magoti kiheshimiwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa watu wao wote wanaoishi nao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 41:43.

Waamuzi 7:5-6.

1Wafalme 8:54.

Zaburi 95:6.

woman-856125_1280

ENGLISH: HONORABLE KNEELING.

The origin of an overhead saying looks at a respectful kneeling of some people. There were people who went to pick up a married woman. When night fell, they went to greet parents of a woman whom they went to pick her up. When they got there, they knelt with great respect and greeted the parents of that woman. That is why people called their type of greeting as “honorable kneeling.”

This saying is paralleled to people who live with respect to all people, in their lives. These people live well by helping their people, because of their wisdom in their lives. They nurture their family members by living well because of their knowledge in their lives.

These people are similar to those who greeted parents of the woman whom they went to pick her up, because they also live with their people with great respect, in their lives. That is why people call their way of living as “honorable kneeling.”

This saying teaches people about having respect for their people who live with them, so that they can soundly rear their family members, in their lives.

Genesis 41:43.

Judges 7:5-6.

1 Kings 8:54.

Psalm 95:6.

 

1283. AHA NAMHONA YUNITUMA ING’HOLO NANYOMBYE.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile kayombeje ka ng’wa munhu uyo ng’holo yakwe ya mtumaga gwita chene. Oliyohoyi munhu uyo agatung’wana na munhu uyo agantogwa umulogendo lokwe kunguno ya kikalile kakwe kawiza. Umunhu ng’wunuyo, aho ontogwa uyo bhagatung’wana nanghwe akiyangula gunyombya kunguno ing’holo yakwe yantumaga gwita chene. Hunagwene agayomba giki, “aha namhona yunituma ing’holo nanyombye.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agachagulaga ng’wiye ogwitola nanghwe uyo intogilwe ing’holo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agayidegelekaga chiza ing’holo yakwe bho gumchola ng’wiye uyo alina kikalile kaguyitogisha ing’holo yakwe, kunguno ya witegeleja bhokwe umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga ng’witoji onhungwa jawila uyo agayibhejaga chiza ikaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo aganyombya uyo agantogwa, kunguno nuweyi agachakulaga ng’witoji onhungwa jawiza ijo ijitogilwe ing’holo yakwe. Hunagwene agayombaga giki, “aha namhona yunituma ing’holo nanyombye.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya kuchagula bhitoji bhabho bho gutumila witegeleja bhutale, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Wafalme 11:1-4.

2Mambo ya nyakati 11:21a.

KISWAHILI: NILIPOMUONA MOYO ULINITUMA NIMUSEMESHE.

Chanzo cha msemo huo huangalia usemeshaji wa mtu yule ambaye moyo wake unamtuma kufanya hivyo. Alikuwepo mtu ambaye alikutakana na mwenzake katika safari zake akampenda kwa sababu ya mwenendo wake mwema. Mtu huyo, alipompenda aliamua kumsemesha kwa sababu moyo wake ulimtuma kufanya hivyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nilipomuona moyo ulinituma nimusemeshe.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchagua mwana ndoa mwenzake kwa kufuata unavyopenda moyo yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huusikiliza vizuri moyo wake huo kwa kumtafuta mwanandoa mwenzake ambaye maisha yake huufurahisha moyo wake, kwa sababu ya umakini wake huo maishani mwake. Yeye hufanikiwa kumpata mwanandoa mwenye tabia njema ambaye huijenga kwa kuilea vyema familia yake, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyemsemesha yule aliyempenda, kwa sababu naye huchagua mwanandoa aliye na tabia njema inayoupendeza moyo wake. Ndiyo maana husema kwamba, “nilipomuona moyo ulinituma nimusemeshe.”

Msemo huo, hufundisha wana ndoa watarajiwa juu ya kuchagua wenzi wao kwa kutumia umakini mkubwa, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

1Wafalme 11:1-4.

2Mambo ya nyakati 11:21a.

african-1129024_1280