Tanzania

1346. UNENE NALIMPEJA OMUNDUKA.

Olihoyi munhu uyo oli na nimo go gupeja munduka. Umunhu ng’wunuyo oipejaga chiza noyi imunduka yiniyo, kunguno oliagudebhile chiza noyi unimo gunuyo. Uweyi agagutumama unimo gunuyo ku likanza lya ma miaka mingi noyi kunguno oliagutogilwe noyi unimo gunuyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene obhawilaga abhanhu giki “unene nalimpeja omunduka.”

Akahayile kenako kagalengajiyagwa kuli nkima uyo agailanhanaga chiza ikaya yakwe umukikalile kakwe. Unkima ng’wunuyo, agabhazugilaga jiliwe chiza abhanhu bhakwe kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gugudebha chiza unimo gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalelaga chiza abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gubhazugila jiliwa chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ng’wendesha o munduka uyo wiyendeshaga chiza imunduka yakwe yiniyo, kunguno nuweyi agailanhanaga chiza ikaya yakwe bho gubhazugila jiliwa chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “unene nalimpeja omunduka.”

Akahayile kenako kalanga manhu higulya ya gudebha gujilanhana chiza ikaya jabho bho gubhatongela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Zaburi 50:23.

Mithali 31:10-31.

Mithali 14:1-17.

KISWAHILI: MIMI N DREVA WA GARI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na kazi ya kuendesha gari. Mtu huyo aliiendedesha gari hiyo vizuri sana kwa sababu ya kuielewa vizuri kazi hiyo. Yeye alifanya kazi hiyo kwa muda wa miaka mingi sana kwa sababu aliipenda sana kazi hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana aliwaambia watu kwamba, “mimi ni dreva wa gari.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mwanamke yule ambaye huiongeza vyema familia yake katika maisha yake. Mwanamke huyo, huwapikia chakula vizuri watu walioko kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huwalea vyema watu wa kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya umakini wake huo wa kuwapikia watu wake chakula vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeendesha gari vizuri, kwa sababu naye huwaongoza watu wanaoishi kwenye familia yake vizuri, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi ni dreva wa gari.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewa wa kuzitunza vyema familia zao kwa kuwaongoza watu wao vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao hizo, maishani mwao.

Zaburi 50:23.

Mithali 31:10-31.

Mithali 14:1-17.

ENGLISH: I AM A CAR DRIVER.

There was a man who had a job working as a driver. He drove the car very well because he understood such work well. He did that job for several years because he liked it so much in his life. That is why he told people that, “I am a car driver.”

This saying is matched to a woman who adds well to her family in her life. This woman cooks decent food for societal members in her family because of her attention in her life. She rears individuals in her family well because of her responsiveness to the cooking of decent food for her persons in her life.

This woman is like the one who drove the car well, because she also leads the public by living peacefully in her family, in his life. That is why she says that, “I am a car driver.”

This saying teaches folks about having decent understanding enough to take good care of their families by leading their people well, so that they can nurture their families well in their lives.

Psalm 50:23.

Proverbs 31:10-31.

Proverbs 14:1-17.

watch-5063956_1280

1345. NHEMAGE WANGU WANGU.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo olumagwa shinhu giti Nghomi, Nzoka na jingi jingi ijo jili na bhusungu. Ulu munhu ulung’wa shinu giti jinijo agatemagwa salago kugiki bhudule gufunyiwa ubhusungu bhunubho kunguno bhudulile nulu gumhulaga umunhu ng’wunuyo ulu bhudafunyiwe wangu. Hunagwene umunhu ulung’wa shinu jinijo agayombaga giki, “nhemage wangu wangu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajaga kusitali wangu ulu osadaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagudililaga chiza umili gokwe bho guguchala kusitali wangu ulu osadaga kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gugulanhana chiza umili gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhambilijaga gupila wangu abhanhu bha aha kaya yakwe bho gubhanguhya gubhachala gusitali ulu bhasadaga kunguno ya witegelega bhokwe bhunubho umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalung’wa shinu wanguha kuteng’wa salago mpaga upila wangu, kunguno nuweyi aganguhaga guja kusitali ulu osadaga ogalagulya mpaga opila chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nhemage wangu wangu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwanguha guja kusitali ulu bhasadaga kugiki bhadule gulagulwa wangu bhapile, umuwikaji bhobho.

Ayubu 20:26.

Zaburi 52:4-5.

Mathayo 11:28-29.

KISWAHILI: NICHANJE HARAKA HARAKA.

Msemo huo huongelea mtu aliyeumwa na mdudu kama Nje, Nyoka na wengine wengi walio na sumu. Mtu akiumwa na wadudu kama hao huchanjwa chale ili kuweza kutoa sumu ya mdudu huyo, kwa sababu inaweza kuhatarisha maisha ya mtu huo isipotolewa mapema. Ndiyo maana mtu huyo aliyeumwa na yule mdudu alisema kwamba, “nichanje haraka haraka.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huenda kutibiwa hositalini haraka akiumwa, katika maisha yake. Mtu huyo, huujali vizuri mwili wake kwa kuwahi kwenda hositalini kila anapougua, kwa sababu ya umakini wake huo wa kuujali mwili wake huo, maishani mwake. Yeye huwasaidia kupona haraka watu wanaoishi kwenye familia yake kwa kuwahisha kwenda kutibiwa hosipitalini wanapougua kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeumwa na mdudu akawahi kuchanjwa mpaka akapona haraka, kwa sababu naye huwahi kwenda kutibiwa hosipitalini akiumwa, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nichanje haraka haraka.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwahi kwenda kutibiwa hospitalini kila wanapoumwa ili waweze kupona haraka, maishani mwao

Ayubu 20:26.

Zaburi 52:4-5.

Mathayo 11:28-29.

scorpion-1165688_1280

snake-6281394_1280

man-1640460_1280

ENGLISH: QUICKLY CUT ME.

This saying refers to a person who has been bitten by an insect such as a snake, and several others which are poisonous. When a person is bitten by such insects, they are vaccinated to be able to remove the poison from such person, because it can endanger the life of that person if it is not removed early. That is why the person who was bitten by the insect said that, “quickly cut me.”

This saying is paralleled to somebody who goes to the hospital quickly after getting sick in his life. This person takes good care of his body by going to the hospital every time when he gets sick, because of his thoughtfulness of caring for his body in his life. He supports individuals who live in his family to recover quickly by sending them to the hospital when they get sick because of his responsiveness in his life.

This person is comparable to the one who was vaccinated until he recovered quickly after being bitten by an insect, because he also goes to the hospital when he gets sick in his life. That is why he says, “Quickly cut me.”

This saying imparts in persons a clue of being so cautious enough to go to the hospital whenever they are sick so that they can recover quickly in their lives

Job 20:26.

Psalm 52:4-5.

Matthew 11:28-29.

1343. NALI MULUGULU NG’WIGULYA.

Bhalihoyi bhanhu abho bhalinaga mulugulu ulo loli lulihu noyi. Abhanhu bhenabho bhagikomeja pye ugulina kunguno bhuli ng’wene ohayaga abhize ogwandya ugushiga ukwigulya kunuko. Hunagwene uumo obho aho oshiga koyi agabhawila abhiye giki, “nali mulugulu ng’wigulya.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhatongelaga bhiye chiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, abhatongelaga abhanhu bhakwe bho gwikomeja gutumama milimo chiza na gubhambilija abho bhali na makoye umuchalo jakwe kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhanhu bhingi aha kaya yakwe kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umubhutongeji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhatongela abhiye ugushiga ukwigulya ya lugulu, kunguno nuweyi agabhatongelaga abhanhu bhakwe uguita imihayo iyawiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nali mulugulu ng’wigulya.”

Akahayile kenako kalanga bhatongeji bha bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gubhatongela abhanhu bhabho gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umukaya jabho.

Yeremia 49:16.

Mathayo 5:1.     

Mathayo 7:29.

KISWAHILI: NIKO MLIMANI JUU.

Walikuwepo watu waliokuwa wakipanda mlima uliokuwa mrefu sana. Watu hao walijibidisha wote katika kuupanda mlima huo kwa sababu kila mmoja wao alitaka kuwa wa kwanza kufika juu ya mlima huo. Ndiyo maana mmoja wao alipofisha kule juu aliwaambia wenzake kwamba, “niko mlimani juu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaongoza wenzake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaongoza watu kwa kujibidisha kufanya kazi vizuri na kuwasaidia watu wanaosumbuliwa na matatizo mbalimbali, kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake. Yeye huishi na watu wengi katika familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo katika uongozi wake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyewatangulia wenzake kufika juu ya ule mlima, kwa sababu naye huwaongoza watu wake katika kufanya kazi vizuri na kutenda mema, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “niko mlimani juu.”

Msemo huo huwafundisha viongozi wa watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuongoza watu wao katika kufanya kazi zao vizuri na kutenda mema, ili waweze kuishi kwa kufuraha kubwa, katika familia zao.

Yeremia 49:16.

Mathayo 5:1.

Mathayo 7:29.

 

ENGLISH: I AM ON THE MOUNTAIN.

There were individuals who were climbing a very high mountain. They all worked hard to climb it because each of them wanted to be the first to reach on its peak. That is why when one of them reached it, he told his friends that, “I am on the mountain.”

This saying is matched to an individual who leads his friends well in his life. This man leads general public by working hard enough to support his people who are suffering from various hitches, because of his honesty in life. He lives with various persons in his family because of his honesty in his leadership.

This person is like the one who preceded his friends to reach the top of the mountain, because he also leads his individuals in working well by doing respectable deeds in his life. That is why he says, “I am on the mountain.”

This saying instills in public’s leaders a clue on being honest in leading their societies by doing their jobs well and good, so that they can live with great joy in their families.

Jeremiah 49:16.

Matthew 5:1.

Matthew 7:29.

 

mountain-6730485_1280

1342. UNENE NABELEGA.

Ugubelega ili gusenga lilale lya gulima ginhu jilebhe. Olihoyi nimi uyo agasenga lilale litale kunguno ohayaga kulima ngunda gutalile gete. Unimi ng’wunuyo agagulima chiza ungunda gokwe gunuyo mpaga upandika jiliwe jingi kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho gusenga wangu lilale litale chiniko na gulilima chiza. Hunagwene agayomba giki, “unene nabelega.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina witegeleja bho gulidebha chiza ilikanza lya guitumama imilimo yakwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga guitummama chiza imilimo yakwe mpaga uyimala, ulu lya shiga duhu ilikanza lyaho bho nduhu gwilendeja kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umubhutumami bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya witegelega bhokwe bhunubho ubho gwigulambija guitumama imilimo yakwe mpaga oyima chiza ulu lyashiga ilikanza lyaho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nimi uyo agalisenga mpaga ulimala chiza ililale lyakwe aho lyashiga ilikanza lyaho, kunguno nuweyi agigulambijaga guitumama imilimo yakwe mpaga oyimala chiza ulu lyashiga ilikanza lyaho, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “unene nabelega.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwigulambija guitumama chiza imilimo yabho bho nduhu ugukeleja ulu lyashiga ilikanza lya milimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umubhutumami bhobho bhunubho.

Mathayo 3:12.

Yohana 15:1-2.

Luka 12:40.

KISWAHILI: MIMI NIMEFYEKA.

Kufyeka ni kukata miti kwa ajili ya kuandaa shamba la kulima. Alikuwepo mkulima aliyefyeta eneo kubwa kwa sababu ya kutaka kulima shamba kubwa kabisa. Mkulima huyo alililima vizuri shamba lake hilo mpaka akapata mazao mengi ya chakula kwa sababu ya kujibidisha kwake kufyeka mapema shamba lake hilo kubwa na kulilima vizuri. Ndiyo maana alisema kwamba, “mimi nimefyeka.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana umakini wa kuuliewa vizuri muda wa kuyatekeleza majukumu yake, maishani mwake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake vizuri mpaka anazimaliza unapofika tu muda wake bila ya kuchelewa, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya umakini wake huo wa kujibidisha kufanya kazi mpaka anazimaliza vizuri, kila unapofika wakati wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mkulima aliyefyeka shamba lake mpaka akalimaliza vizuri kwa sababu naye hujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yake mpaka anayamaliza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi nimefyeka.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kujibidisha kuyatakeleza vizuri majukumu yao kila unapofika muda bila ya kuchelewa, ili waweze kupata mali nyingi, maishani mwao.

Mathayo 3:12.

Yohana 15:1-2.

Luka 12:40.

roden-4985613_1280

ENGLISH: I HAVE CLEARED.

Clearing an area is wounding down shrubs with an aim of preparing a field for cultivation. There was a farmer who cleared a large area because he wanted to cultivate a very large field. Such farmer cultivated his field well until he got a lot of food crops because of his great effort enough to clear his large field early and cultivate it well. That is why he said, “I have cleared.”

This saying is paralleled to a man who is cautious enough to properly manage the time of carrying out his duties in his life. This person strives to do his works well until he finishes them within a required time without delaying, because of his thoughtfulness in life. He earns a lot of wealth in his family because of his responsiveness in working hard until he finishes his works well in his life.

This person is similar to the farmer who cleared his field until he finished it well in a required time because he also strives to carry out his duties well until he finishes them well in his life. That is why he says, “I have cleared.”

This saying imparts in individuals an idea of being cautious enough to do their duties well without delaying, so that they can gain numerous resources in their lives.

Matthew 3:12.

John 15:1-2.

Luke 12:40.

1341. GENAYO MAPONGO.

A mapongo bhali bhashilikale abho bhagadimaga bhanhu abho bhitaga mihayo ya bhubhi kugiki bhadule kubhalanhana abhananzengo na sabho jabho. Bhalihoyi bhashilikale abho bhikalaga mubhutemi bho bhuduhe. Abhashikale bhenabho bhagutumamaga unimo gobho chiza kunguno bhabhacholaga abhahubhi mpaga bhabhapandika niyo mulikanza ligushi. Hunagwene abhanhu bhagabhayomba giki, “genayo mapongo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhatumami abho bhagacholaga bhunhana umubhutumami bhobho. Abhanhu bhenabho bhagitaga bhukengeji ulu gwigelaga mhayo mpaga bhabhupandika ubhunhana na bhafunya ubhulamuji kunguno ya bhutengeke bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagabhambilija chiza abhanhu bhabho ugubhupandika ubhunhana kunguno ya bhutengeke bhobho bhunubho umubhutumami bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhashilikale abho bhatumamaga milimo yabho chiza bho guchola bhunhana, kunguno na bhoyi bhagitaga bhukengeji ulu gwegelaga mhayo mpaga bhabhupandika ubhunhana bho nduhu gung’wibhonela munhu nulu gunmandila oseose, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhayombaga giki, “genayo mapongo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutengeke bho gutumama milimo yabho bho nduhu gung’wibhonela nulu gunmandila munhu oseose, kugiki bhadule gwikala bho mholele chiza umukaya jabho.

Mathayo 5:24-25.

KISWAHILI: MAYO MAPOLISI.

Mapolisi ni watu wanaoshika watu walionatenda maovu ili kulinda usalama wa wananchi na mali zao. Walikuwepo polisi waliokuwa wakiishi kwenye utawala wa uduhe. Polisi hao walitekeleza kazi zao vizuri kwa sababu waliwatafuta watenda maovu mpaka wanawapata kwa muda mfupi. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “hayo mapolisi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao hutekeleza majukumu yao kwa kufuata haki na ukweli katika utumishi wao. Watu hao, hufanya utafiti wa kila tukio mpaka wanaupata ukweli ndipo wanatoa maamuzi, kwa sababu ya uaminifu wao huo katika utumishi huo, maishani mwao. Wao huwasaidia watu wao kupata haki zao upesi na vizuri kwa sababu ya uaminifu wao huo, katika utumishi wao.

Watu hao hufanana na wale polisi walioutekeleza utumishi wao vizuri kwa kufuata haki na ukweli, kwa sababu nao pia hufanya utafiti wa kila tukio mpaka wanaufahamu ukweli wake ndipo wanatoa maamuzi, bila ya kumpendelea au kumuonea mtu yeyote, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwatambua kwa kusema kwamba, “hayo mapolisi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa waaminifu kwa kuyatekeleza majukumu yao kwa kufuata haki na ukweli, ili waweze kuishi kwa amani, katika familia zao, maishani mwao.

Mathayo 5:24-25.

 

ENGLISH: THOSE ARE POLICES.

Polices are people who catch individuals who have committed crimes. They do so for protecting safety of citizens and their property. There were polices who lived in uduhe chiefdom. They performed their duties well because they searched for criminals until they caught them within a short time. That is why people said that, “those are polices.”

This saying is equaled to people who perform their duties by following justice and truth in their service. These people do decent research of every incident until they find the truth and then make decisions, because of their loyalty in their services. They aid their people enough to get their rights quickly because of their loyalty in their services.

These people resemble the polices who performed their services well by following justice and truth, because they also research every incident until they understand its truth and then make decisions, without favoring or oppressing anyone, in their lives. That is why people recognize them by saying that, “those are polices.”

This saying teaches individuals about being honest by carrying out their duties in accordance with justice and truth, so that they can peacefully live in their families.

Matthew 5:24-25.

 

botswana-952739_1280