Tanzania

1490. OYITULA ING’HASHA YA MAKO.

Olihoyi munhu uyo oli ng’wi o walya umuchalo ja Sanjo. Ung’wi o walwa ng’wunuyo, lushigu lumo agang’wa walwa ubho bholi bhudapile chiza kunguno ya bhukoji bhokwe bhunubho. Uwalwa bhunubho bhugankoya noyi kunguno ing’hasha yabho yaliyabhipa kuti mako. Hunagwene abhanhu bhangang’wila giki, “oyitula ing’hasha ya mako.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinkoji o walwa uyo agang’waga mpaka oya ugwimana, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo agajimalilaga isabho jakwe mumawalwa genayo, kunguno ya bhukoji bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa ijiliwa aha kaya yakwe kunguno ya gujimalila mumawalwa pye hela jakwe jinijo umukikalile kakwe.

Umunhu ung’wunuyo, agikolaga nu nkoji owalwa uyo agang’wa walwa bhubhisi mpaga oya uguyimana, kunguno nuweyi agajing’welaga walwa pye ihela jakwe mpaga ogayiwa ijiliwa aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubhuo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “oyitula ing’hasha ya mako.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guleka bhukoji bho bhung’wi bho walwa ubho mpaga gubhitilija, kugiki bhadule kujilanhana chiza isabho jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Kutoka 12:9=8-10.

Kutoka 13:7.

1Wakorintho 5:6.

KISWAHILI: AMEIPALAMIA CHACHU YA UCHAFU.

Alikuwepo mtu aliyekuwa mlevi wa pombe katika kijiji cha Sanjo. Mlevi huyo wa pombe, siku moja alikung’wa pombe ambayo haikuiva vizuri kwa sababu ya ulevi wake huo. Pombe hiyo ilimsumbua sana kwa sababu ilikuwa na chachu kali kama ya uchafu. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “ameipalamia chachu ya uchafu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mlevi wa pombe anayekung’wa pombe hiyo mpaka anashindwa kujitambua katika maisha yake. Mtu huyo, huzimaliza pesa zake kwa kuzinunulia pombe kwa sababu ya ulevi wake huo, maishani mwake. Yeye hukosa chakula katika familia yake hiyo kwa sababu ya kuzimalizia pesa zake hizo kwenye pombe, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule mlevi aliyekunywa pombe mbichi mpaka akashindwa kujitambua, kwa sababu naye huzimalizia pesa zake kwenye pombe mpaka anakosa chakula kwenye familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ameipalamia chachu ya uchafu.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuacha ulevi wa kung’wa pombe kupita kiasi, ili waweze kuzitunza vizuri mali zao, maishani mwao humo.

Kutoka 12:9=8-10.

Kutoka 13:7.

1Wakorintho 5:6.

1489. NGOB’O YAPI IYENE YAMANGA.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo oli na ngob’o yaki. Umunhu ng’wunuyo wikalaga nago ung’wenda gunuyo bhuli makanza kunguno aliadamanile akatumamile kago, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ngob’o yapi iyene yamanga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nzunya uyo agitaga mihayo ya mugiti umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agagabhinzaga amalagilo ga ng’wa Sebha bho gwita mihayo ya bhubhi kunguno ya guhayiwa bhutungilija umwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga uguyilela chiza ikaya yakwe yiniyo kunguno ya gugayiwa bhutungilija bhunubho ubho guwikalana chiza ubhuzunya bhokwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ozwalaga ngob’o yapi kunguno nuweyi agitaka mihayo ya mugiti bho gugabhinza amalagilo ga ng’wa Mulungu, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ngob’o yapi iyene yamanga.”

Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya gubhiza na bhutungulija bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 19:16-17.

Yohana 6:54.

Mathayo 6:67-69.

Warumi 6:23.

Tito 1:2.

KISWAHILI: NGUO NYEUSI NI YA MGANGA WA KIENYEJI.

Chanzo cha msemo huo huongelea mtu aliyevaa nguo nyeusi. Mtu huyo, alikuwa nayo nguo hiyo wakati wote kwa sababu ya kutokuelewa vizuri matumizi yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba “nguo nyeusi ni ya mganga wa kienyeji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mkristo yule ambaye hutenda mambo ya gizani katika maisha yake. Mtu huyo, huzivunja amri za Mungu kwa kutenda maovu kwa sababu ya kukosa uaminifu wake kwa Mungu, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kukosa uaminifu wake huo kwa Mungu, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule aliyevaa nguo nyeusi kwa sababu naye hutenda matendo ya gizani kwa kutenda maovu, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “nguo nyeusi niya mganga wa kienyeji.”

Msemo huo hufundisha wakristo juu ya kuwa na uaminifu wa kuyaishi maagizo ya Mungu, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mathayo 19:16-17.

Yohana 6:54.

Mathayo 6:67-69.

Warumi 6:23.

Tito 1:2.

1488. NADINALIMELA ULUNIMAGA HENAHA.

Aho kale olihoyi munhu uyo otumamaga nimo gokwe umuchalo ja Ng’watuma. Umunhu ng’wunuyo olialemile amasemba ulu alitumama unimo gokwe gununo gadulile guntindika ugugumala wangu unimo gunuyo. Hunagwene agabhawila abho bhenhaga limela aha nimo gokwe gunuyo giki, “nadinalimela ulunimaga henaha.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhutungilija bho gutumama milimo yakwe chiza, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ung’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho guyomba bhunhana mpaga oyimala chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutungilija bhokwe ubho gutumama milimo yakwe mpaka oyimala chiza chiniko, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ogutumamaga milimo bho nduhu ilimela mpaka oyimala chiza, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho guyomba bhunhana mpaga oyimala chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nadinalimela ulunimaga henaha.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza makanza gose, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila umukaya jabho jinijo.

Hesabu 27:20.

1Samweli 9:6.

1Samweli 9:22.

Walawi 19:30.

Mithali 11:16.

KISWAHILI: SINA UTANI NIKIWA HAPA.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyefanya kazi yake kwenye kijiji cha Mwatuma. Mtu huyo, alikataa utani wakati wa kufanya kazi yake hiyo kwa sababu huo unaweza huchelewesha kuimaliza kazi yake hiyo. Ndiyo maana aliwaambia wale walioleta utani kwenye kazi yake hiyo kwamba, “sina utani nikiwa hapa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye na uaminifu wa kufanya kazi zake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake kwa kuongea ukweli mpaka anazimaliza vizuri, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake hiyo kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kufanya kazi zake mpaka anazimaliza vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi zake bila utani mpaka akazimaliza, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake kwa kusema ukweli mpaka anazimaliza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “sina utani nikiwa hapa.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mali za kutumia katika familia zao, maishani mwake.

Hesabu 27:20.

1Samweli 9:6.

1Samweli 9:22.

Walawi 19:30.

Mithali 11:16.

1487. B’ALALAPU.

Bhalihoyi bhanhu abho bhatumama milimo yabho umchalo ja Gabale. Abhanhu bhenabho bhandyaga dihu uguitumama imilimo yiniyo mpaka lyagalibhila ilimi kunguno bhahayaga bhaimale wangu imilimo yabho yiniyo. Abhoyi bhalalaga bhanogile noyi kunguno ya gutumama milimo bho likanza lilihu chiniko, umukikalile kabho kenako. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga giki “b’alalapu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagatumamaga milimo bho nduhu uguisatwa imimili yabho yiniyo, umukikalile kabho kenako. Abhanhu bhagatumamaga milimo midamu iyo ijikililile nguzu jabho guti gubhucha miligo midito kunguno ya gukija guisatwa imimili yabho yiniyo umuwikaji bhobho bhunubho. Abhoyi bhagikalaga bhusata bhuli makanza kunguno ya gukija guidilila chiza imimili yabho yiniyo, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhatumamaga milimo gwingila diyu mpaka lyagagwa ilimi, kunguno nabhoyi bhagabhuchaga miligo midito mpaga yayusata imimili yabho yiniyo, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga giki, “b’alalapu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na uwitegeleja bho guidilila chiza imimili yabho bho gutumama milimo iyo ilinganilile ni nguzu jabho, kugiki bhadule guyilanhana chiza imimili yabho yiniyo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Walawi 14:21.

1Wathesalonike 5:6.

2Timotheo 4:5.

1Petro 1:13.

KISWAHILI: WALALA HOI.

Walikuwepo watu waliokuwa wakifanya kazi katika kijiji cha Gabale. Watu hao walifanya kazi hiyo kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu ya kutaka kuimaliza mapema kazi yao hiyo. Wao walilala wakiwa wamechoka sana kwa sababu ya kufanya kazi mpaka kupitiliza, katika maisha yao hayo. Ndiyo maana watu waliwaita jina la “walala hoi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi bila ya kuihurumia miili yao, katika maisha yao. Watu hao hufanya kazi nzito kupita uwezo wao kama vile kubeba mizigo mizito zaidi ya nguvu zao kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuihurumia vizuri miili yao hiyo, maishani mwao. Wao huugua mara kwa mara kwa sababu ya kubeba mizigo hiyo mizito kupita uwezo wa nguvu zao hizo, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliofanya kazi kuanzia asubuhi hadi jioni mpaka wakachoka sana, kwa sababu nao hubeba mizigo mizito mpaka wanaiumiza miili yao hiyo, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaita jina la “walala hoi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuijali vizuri miili yao kwa kufanya kazi kulingana na uwezo wao bila ya kujiumiza, ili waweze kuzitunza vizuri afya zao hizo, maishani mwao.

Walawi 14:21.

1Wathesalonike 5:6.

2Timotheo 4:5.

1Petro 1:13.

1486. NAMILINGA OSALANG’HANA.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo agamilinga ng’wiye kunimo gokwe uyo agalema. Umunhu ng’wunuyo agamilinga ung’wiye ng’wunuyo, gung’wambilija gulima ngunda gokwe kunguno goligutale noyi. Uweyi agalima weyi duhu ukungunda gokwe gunuyo kunguno uyo agamilinga gwiza gung’wambilija agalema. Hunagwene aho bhamuja abhiye ung’winikili ngunda agayomba giki, “namilinga osalang’hana.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina bhumo bho gulungana na bhiye umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bhung’wene bho nduhu ugwiyambilija na bhiye ugutumama imilimo yakwe yiniyo, kunguno ya gugayiwa bhumo bhokwe bhunubho ubho gwiyambilija gutumama milimo nabhiye bhenabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga uguyilela chiza ikaya yakwe yiniyo, kunguno ya nhungwa jakwe jinijo ija gugayiwa bhumo nabhiye bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhilingwa gujung’wambilija ng’wiye gujulima ngunda ulema, kunguno nuweyi adina bhumo ubho gwiyambilija nabhiye ugutumama imilimo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “namilinga osalang’hana.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhumo bho gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 22:1-3.

2Petro 1:3.

Waefeso 5:9.

Mathayo 21:28-31.

 

KISWAHILI: NIMEMWALIKA AKAKATAA.

Msemo huo huongelea mtu aliyemwalika mwenzake kumsaidia kwenye kazi yake akakataa. Mtu huyo, alimwalika mwenzake huyo kwenda kumsaidia kulima shamba lake kwa sababu lilikuwa kubwa sana. Yeye alilima yeye tu kwenye shamba lake hilo kwa sababu yule aliyemwalika kuja kumsaidia alikataa. Ndiyo maana watu walimuuliza juu ya yule aliyekataa alisema kwamba, “nimemwalika akakataa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana ushirikiano wa kusaidiana na wenzake katika kuyatekeleza majukumu yake, maishani mwake. Mtu huyo huishi peke yake bila ya kusaidiana na wenzake wanaomwalika kuwasaidia kufanya kazi zao, kwa sababu ya kukosa ushirikiano wake na wenzake, katika maisha yake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia yake hiyo, kwa sababu ya kukosa ushirikiano wake na wenzake katika utekelezaji wa majukumu yao hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekataa mwaliko wa kumsaidia mwenzake kulima shamba lake, kwa sababu naye hana ushirikiano wa kusaidiana kufanya kazi na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “nimemwalika akakataa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ushirikiano wa kusaidiana kufanya kazi na wenzao vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mathayo 22:1-3.

2Petro 1:3.

Waefeso 5:9.

Mathayo 21:28-31.