Tanzania

1423. NG’WIGASHI OHIZUGILO.

Olihoyi nkima uyo ozugaga jiliwa ja gulya abhanhu abho bhikalaga aha kaya yakwe. Unkima ng’wunuyo wigulambijaga guzuga jiliwa jinijo mpaga bhalya pye abho b’ikalaga aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutogwa bhokwe ubho gubhagalila chiza abhanhu bhakwe bhenabho. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “ng’wigashi ohizugilo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhitoji abho bhitogilwe chiza umukikalile kabho. Abhitoji bhenabho bhagabhalelaga abhanhu bhabho bho gubhagalila jiliwa ja wiza na gwikala chiza na bhanhu bhose kunguno ya bhutogwa bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga na bhuyegi bhutale aha kaya yabho kunguno ya bhutungilija bhobho ubhogwitogwa chiza bhunubho, umukikalile kabho kenako.

Abhitoji bhenabho bhagikolaga nu nkima uyo obhazugilaga jiliwa abhanhu bha ha kaya yakwe mpaka bhalya pye abhose, kunguno nabhoyi bhagabhagalilaga jiliwa ja wiza abhanhu bhabho na gwikala bho witogwi nabho chiza aha kaya yabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga giki, “ng’wigashi ohizugilo.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gwikala na witogwi bho gubhagalila jiliwa jawiza abhanhu bhabho kugiki bhadule gubhalela chiza abhanhu bhabho umuwikaji bhobho bhunubho.

Waefeso 5:21.

Wakolosai 3:18.

KISWAHILI: MKAAJI WA JIKONI.

Alikuwepo mwananke aliyewapikia chakula cha kula watu waliokuwa wanaishi kwenye familia yake. Mwananke huyo alijibidisha kupika chakula hicho mpaka wanakula wote wanaoishi kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya upendo wake wa kuwakarimu vizuri watu wake hao. Ndiyo maana watu walimuita jila la “mkaaji wa jikoni.”

Msemo huo hulinganishwa kwa wana ndoa wanaopendana vizuri katika maisha yao. Wana ndoa hao huwalea watu wao kwa kuwakarimu vyakula kizuri na kuishi na watu vizuri kwa sababu ya upendo wao huo, maishani mwao. Wao huishi kwa furaha katika familia yao kwa sababu ya uaminifu wao wa kupendana vizuri hivyo, katika maisha yao.

Wana ndoa hao hufanana na yule mwananke aliyewapikia chakula watu wa kwenye familia yake mpaka wakala wote, kwa sababu nao huwakarimu watu wao na kuishi kwa upendo nao vizuri, kwenye familia yao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaita jila la “mkaaji wa jikoni.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwakarimu chakula kizuri watu wao ili waweze kuwalea vyema watu wao, maishani mwao.

Waefeso 5:21.

Wakolosai 3:18.

 

ENGLISH: KITCHEN RESIDENT.

There was a woman who cooked food for people who lived in her family. Such woman worked hard enough to cook such food which everyone in her family ate because of her true love for treating her people well. That is why people named her as “kitchen resident.”

This saying is matched to married couples who love each other well in their lives. These married couples raise their people by nicely treating them with decent food as well as by nicely living with people because of their true love their in lives. They live happily in their families because of their loyalty to loving each other well, in their lives.

These married couples are like the woman who cooked food for the people in her family until everyone ate it, because they also nicely treat their people by loving each other in their family lives. That is why people call them as “kitchen residents.”

This saying instills in people an idea of having true love which can support them enough to serve decent food to their people so that they can nicely nurture their people in their lives.

Ephesians 5:21.

Colossians 3:18.

 

 

1422. LUSONA LO MBITI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile mbiti. Imbiti yiniyo ili ndimu ng’hub’u gete ugulya inama kunguno yigitaga lusona uluyuyibhona inama yiniyo. Iyoyi igasiminzaga mabala na mabala igujaga yuchola nama kunguno ya bhutubhu bhoyo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayitanaga giki “lusona lo mbiti.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinaku o nama umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo agikalaga uchola nama mu makaya ga bhanhu abho abhazugaga nama kunguno ya bhulaku bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya bhulaku bhokwe ubho gumana uchola nama mumakaya ga bhanhu mpaka oileka imilimo ya ha kaya yakwe yiniyo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni mbiti iyo igacholaga nama bho guyela mumabala mingi, kunguno nuweyi agacholaga nama mu makaya ga bhanhu mpaga oduma uguyibheja chiza ikaya yakwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “lusona lo mbiti.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhulaku bho gulya majiliwa bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Waefeso 5:21.

Wakolosai 3:18.

KISWAHILI: UDELELE WA FISI.

Chanzo cha msemo huo huongelea fisi. Fisi huyo ni mnyama mlafi wa kula nyama kwa sababu humwaga udelele anapoiona nyama hizo. Yeye hutembea sehemu mbali mbali akitafuta nyama kwa sababu ya ulafi wake huo. Ndiyo maana watu humwita jina la “udelele wa fisi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mlafi wa kula nyama katika maisha yake. Mtu huyo hutafuta nyama kwenye familia za watu walioipika nyama hiyo kwa sababu ya ulafi wake huo maishani mwake. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya ulafi wake huo wa kutumia muda wake kwa kutafuta nyama kwenye familia za watu wanaoipika, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule fisi anayetafuta nyama za kula kwa kutembea sehemu mbalimbali, kwa sababu naye hutafuta nyama kwenye familia za watu mpaka anashindwa kuiendeleza vizuri familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “udelele wa fisi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha ulafi wa chakula kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri ili waweze kupata mafanikio mengi kwenye familia zao, maishani mwake.

Waefeso 5:21.

Wakolosai 3:18.

ENGLISH: HYENAS’ SALIVATING.

The source of this saying is about hyenas. Hyenas are voracious carnivores because they salivate when they see meat. They travel to different places looking for meat because of their greediness. That is why people call them as “Hyenas’ salivating.”

This saying is equaled to a person who is a voracious in his life. This person looks for meat in families of people who cook it because of his gluttony in his life. He fails to properly support his family because of his voraciousness in spending his time looking for meat in the families of people who cook it, in his life.

This person resembles the hyena which looks for meat to eat by walking to different places, because he also looks for meat in people’s families until he fails to properly support his family, in his life. That is why people call him as “Hyenas’ salivating.”

This saying teaches people about stopping gluttony by working hard enough to nicely do their jobs so that they can achieve great success in their family lives.

Ephesians 5:21.

Colossians 3:18.

1421. ULI NUMA GUTI NKILA GO MBULI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyile nkila go mbuli. Imbuli guli ntugo uyo guli na kandila kadoo ukunuma. Giko lulu uluyusinzwa abhanhu b’agikalaga bhadatogilwe ugulya ungila gunuyo kunguno guli gudoo na hangi gudina na nama. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu uyo adinasolobho giki, “uli numa giti nkila go mbuli.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhasekaga abhanhu abho bhadina jikolo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga abhabyedile abhanhu abho bhadina sabho bho gubhaseka kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe kunguno ya bhodoshi bhokwe bhunubho ubho gubhaseka abhahab’i, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagansega umunhu uyo oliadina solobho ukubhoyi, kunguno nuweyi agabhasekaga abhahab’i mpaka ogayiwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agabhawilaga abhahab’i giki, “uli numa giki nkila go mbuli.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya guleka nhungwa ja gubhaseka abhanhu abho bhadina jikolo bho gubhambilija chiza, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 16:19 – 28.

Zaburi 82:3.

KISWASHILI: UKO NYUMA KAMA MKIA WA MBUZI.

Chanzo cha msemo huo huongelea mkia wa mbuzi. Mbuzi ni mfugo ambayo huna ka mkia kadogo nyuma. Hivyo basi mbuzi huyo akichinjwa watu huwa hawapendi kula mkia huo kwa sababu ni mdogo na hauna nyama. Ndiyo maana watu humwambia mtu asiye na faida kwamba, “uko nyuma kama mkia wa mbuzi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwacheka watu wasio na mali katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu maskini kwa kuwacheka kwa sababu ya majivuno yakwe hayo maishani mwake. Yeye hukosa baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwacheka watu maskini, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na wale waliomcheka yule ambaye walimuona hana faida kwao, kwa sababu naye huwacheka watu maskini mpaka anakosa baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana yeye humwambia mtu maskini kwamba, “uko nyuma kama mkia wa mbuzi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwacheka watu maskini kwa kuwasaidia vizuri, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao hizo, maishani mwao.

Luka 16:19 – 28.

Zaburi 82:3.

ENGLISH: YOU ARE BACK LIKE GOAT’S TAIL.

An origin of this saying refers to a tail of a goat. A goat is an animal that has a small tail on the back. Therefore, when this animal is slaughtered, people do not like to eat such tail because it is small and has no meat. That is why people say to a person who is not profitable that, “you are back like goat’s tail.”

This saying is matched to a person who laughs at people who have no money in his life. Such person despises poor people by laughing at them because of his arrogance in his life. He misses sanctification of living happily in his family because of his egotism of laughing at poor people, in his life.

This person is like those who laughed at the one whom they saw as useless to them, because he also laughs at poor people to the point of missing approvals of living happily in his family life. That is why he says to a poor person that, “you are back like goat’s tail.”

This adage imparts in people an idea of stopping habit of laughing at the poor people by nicely helping them, so that they can receive sanctification of living happily in their family lives.

Luke 16:19 – 28.

Psalm 82:3.

1420. LYUB’A LYANG’OLOTA.

Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo olina mito mab’i gagwiyoja na bhiye kunguno ya nhungwa jakwe ijabhub’i jinijo. Uweyi agapandika jilipilo ng’wa welelo, Ng’wa mudimi kunguno ya gwita mito mab’i genayo umuwikaji bhokwe. Hungwene abhanhu bhayomba giki, “lyub’a lyang’olota.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adadililaga amalagilo ga ng’wa Mulungu bho gwita mito masoga umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agagabhinzaga amalagilo ga ng’wa Mulungu bho gubhikolosha abhiye kunguno ya nhinda jakwe ijagulema kudilila gwita mito masoga umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga ugwikala chiza na bhanhu bha aha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijabhub’i jinijo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo witaga mito mab’i mpaga upandika jilipilo kuli Mudimi, kunguno nuweyi agabhikoloshoga abhiye mpaga oduma ugwikala chiza na bhanhu bha ha kaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “Lyub’a lyang’olota.”

Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Mulungu kugiki bhadule kupandika mbango ja gujilela chiza ikaya jabho mpaga bhashige ng’wigulu.

Kutoka 20:1-12.

KISWAHILI: MUNGU KAMUNYOSHEA KIDOLE.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo alikuwa na matendo maovu ya kuzozana na wenzake kwa sababu ya tabia yake mbaya. Yeye alipata adhabu kutoka kwa Mungu. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “Mungu kamunyoshea kidole.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hajali maagizo ya Mungu kwa kutenda matendo mema katika maisha yake. Mtu huyo, huyavunja maagizo ya Mungu kwa kuwachokoza wenzake kwa sababu ya kiburi chake cha kukataa kutenda mema, maishani mwake. Yeye hushindwa kuishi vizuri na watu wa kwenye familia yake kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kutenda maovu, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetenda maovu mpaka akaadhibiwa na Mungu, kwa sababu naye huwachokoza wenzake mpaka anashindwa kuishi vizuri na watu wa kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “Mungu kamunyoshea kidole.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyaishi maagizo ya Mungu ili waweze kupata baraka za kuzilea vyema familia zao mpaka wafike mbinguni.

Kutoka 20:1-12.

ENGLISH: GOD HAS POINTED HIS FINGER AT HIM.

Once upon a time, there was a man who lived in a certain village. Such man had evil deeds of quarreling with his companions because of his wicked behavior. He received punishment from God. That is why people said about him that, “God has pointed his finger at him.”

This saying is related to a person who does not care about God’s instructions in his life. This person breaks God’s instructions by provoking his companions because of his pride in refusing to do good deeds in his life. He fails to live well with his family members because of his behavior of doing evils in his life.

This person is like the one who did evils until he was punished by God, because he also provokes his companions until he fails to live well with his family members in his life. That is why people say about him that, “God has pointed his finger at him.”

This saying teaches people about being careful enough to live according to God’s commandments so that they can receive blessings of raising their families well until they reach heaven.

Exodus 20:1-12.

1419. ILELO IB’INZA MALUNDI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhanhu abho bhagasiminza lugendo mpaga gunoga amagulu gabho. Abhanhu bhenabho bhali nalugengo lulihu gete ulogusimzina mpaga bhunoga shiniko alugushiga ndubu kunguno ya bhulihu bho lugendo lunulo. Hunagwene bhagayiwila giki, “ilelo ib’inza malundi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhazunya abho bhagiyumilijaga gusiminza lugendo lulihu ulo guja ng’wigulu, umukakile kabho. Abhazunya bhenabho bhagiyumilijaga gusiminza lugendo lulihu ulo guja ng’wigulu bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Sebha, kunguno ya bhutungulija bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagasiminzaga na bhuyeji umulugendo lobho lunulo kunguno ya gwikala kimoja na Yesu bho gugikalana chiza amalagilo gakwe, umukikalile kabho kenako.

Abhazunya bhenabho bhagikolaga nabho bhagasiminza lugendo lulihu bho gwiyumilija mpaka bhunoga, kunguno nabhoyi bhagiyumilijaga gusiminza lugendo lulihu lo guja ng’wigulu Kihamo na Yesu, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “ilelo ib’inza malundi.”

Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gusiminza kimoja na Yesu bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Sebha, kugiki bhadule gushiga ng’wigulu.

Yoshua 9:13.

1 Wafalme 19:7.

KISWAHILI: LEO IVUNJA MIGUU.

Chanzo cha msemo huo huongelea watu waliokuwa waliotembea safarini mpaka miguu yao ikachoka. Watu hao walikuwa na safari ya mwendo mlefu wa kutembea mpaka wakachoka hivyo bila ya kufika kwa sababu ya urefu wa safari hiyo. Ndiyo maana walisema kwamba, “leo ivunja miguu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa waumini wale ambao huvumilia kutembea safari ya kwenda mbinguni, katika maisha yao. Waumini hao, huvumilia kusafiri mwendo mrefu wa kwenda mbinguni kwa kuyaishi maagizo ya Bwana, kwa sababu ya uaminifu wao huo, maishani mwao. Wao hutembea kwa furaha katika safari yao hiyo hiyo kwa sababu ya kuishi pamoja na Yesu kwa kuyaishi vizuri maagizo yake, katika maisha yao.

Waumini hao hufanana na wale waliotembea safari ndefu kwa kuvumilia mpaka wakachoka, kwa sababu nao huvumilia kutembea safari ndefu ya kwenda mbinguni pamoja na Yesu, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “leo ivunja miguu.”

Msemo huo, hufundisha waumini juu ya kuwa na uvumilivu kwa kutembea pamoja na Yesu kwa kuyaishi vizuri maagizo yake, ili waweze kufika mbinguni.

Yoshua 9:13.

1 Wafalme 19:7.

ENGLISH: TODAY IS BREAKING LEGS.

The origin of this saying refers to people who walked on a journey until their legs got tired. These people had a long trip to walk until they got tired without arriving. That is why they said that, “today is breaking legs.”

The saying is paralleled to believers who endure their journey to heaven, in their lives. These believers endure long trip to heaven by living the Lord’s instructions, because of their faithfulness, in their lives. They walk happily on their same journey because of living with Jesus by putting into practice his instructions, in their lives.

These believers are like those who walked a long trip by enduring until they got tired, because they also endure long trip to heaven with Jesus, in their lives. That is why they say that, “today is breaking legs.”

This saying imparts in believers an idea of being patient in walking with Jesus by living his instructions, so that they can reach heaven.

Joshua 9:13.

1 Kings 19:7.