Sukuma

1472. NGUNGA GODUNG’WA LIMI.

Aho kale lyalihoyi linti ilo litanagwa lingunga. Ilingunga linilo lyahulumaga bhuli makanza nulu ib’ize chu ja limi lisebhu kunguno lyalihasoga. Ilyoyi lyahurumaga duhu pye amakanza genayo kunguno ya gwikala ha bhulolo bhusoga chiniko. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ngunga godung’wa limi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ha kaya ya bhutogwa bhutale, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe na bhuyegi bhutale na bhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhutogwa bhutale ubho bhalinabho bhunubho, umuwikaji bhobho bhunubho. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutogwa bho bhanhu bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ngunga uyo gohulumaga pye amakanza nulu lyasebhaga ilimi, kunguno nuweyi agikalaga na bhanhu bhabhutogwa ubho bhugang’winhaga bhuyegi bhuli makanza, aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witaga giki, “ngunga godung’wa limi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gubhambilija gutumama milimo yabho chiza na bhuyegi, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Ezekieli 31:4-5.

Ayubu 8:16-19.

Zaburi 104:16-19.

KISWAHILI: MGUNGA ULIOSHINDA JUA.

Hapo zamani ulikuwepo mti ulioitwa Mgunga. Mkunga huyo ulisitawi kila wakati hata iwe kiangazi cha Jua kali kwa sababu ulikuwa kwenye udongo mzuri. Wenyewe ulisitawi wakati wote huo kwa sababu ya kuwa pazuri hivyo. Ndiyo maana watu waliuita jina la “mgunga ulioshinda Jua.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayeishi kwenye familia yenye upendo mkubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi kwa furaha kubwa katika familia yake hiyo, kwa sababu ya upendo wa watu hao, maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake hiyo kwa sababu ya upendo walionao watu hao, katika maisha yao hayo.

Mtu huyo, hufanana na ule mgunga uliokuwa kwenye udongo mzuri mpaka ukasitawi hata wakati wa Jua kali, kwa sababu naye huishi na watu wenye upendo uliompatia furaha kila wakati kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mgunga ulioshinda Jua.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwasaidia kufanya kazi zao vizuri na kwa furaha, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Ezekieli 31:4-5.

Ayubu 8:16-19.

Zaburi 104:16-19.

 

THE MGUNGA THAT OVERCAME THE SUN

Once upon a time, there was a tree called Mgunga. The Mgunga tree always flourished, even during the hot summer, because it grew in rich and fertile soil. It continued to grow strong and healthy because it was planted in a good place. That is why people called it the Mgunga that overcame the Sun.”

This saying is compared to a person who lives in a family filled with great love. Because of the love in that family, the person works with joy and peace. He takes good care of his family, and he fulfills his responsibilities happily, because he is strengthened by their love.

Just like the Mgunga tree that flourished even under the burning Sun because it was planted in good soil, this person thrives in life because he lives among loving and supportive people. That is why he is called “the Mgunga that overcame the Sun.”

This saying teaches people that love is like fertile soil. When there is love in a family, people gain strength to work hard, remain patient during difficulties, and raise their families well throughout their lives.

Book of Ezekiel 31:4–5.

Book of Job 8:16–19.

Psalms 104:16–19.

These passages also describe how trees planted in good conditions grow strong and flourish, just as a person rooted in love grows and prospers in life.

 

 

1471. BATINDIJI PYE.

Akahayile kenako kahoyelile ndimu iyo igitanagwa ng’holo. Indimu yiniyo, igikalaga ndyehu bhuli makanza kunguno ya kabhumbulwe kayo kenako, umuwikaji bhoyo. Iyoyi igabhizaga guti giki igutindilaga, umukikalile kayo kenako. Hunagwene abhanhu bhagajitinaga ing’holo jinijo giki, “bhatindiji pye.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinyehu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhanhu bho gwiyambilija kutumama milimo yabho chiza, kunguno ya bhulyehu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalelaga chiza abhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhulyehu bhokwe bhunubho umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ng’holo iyo ilindyehu kunguno nuweyi ali na bhulyehu bho gubhalela chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “batindiji pye.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhulyehu bho gwikala chiza na bhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

 Hebabu 12:3.

Yeremia 11:19.

 

KISWAHILI: WASINZIAJI WOTE.

Msemo huo, huongelea juu ya mnyama anayeitwa kondoo. Mnyama huyo huishi kwa utulivu kila wakati kwa sababu ya kuumbwa kwake hivyo maishani mwake. Kondoo huyo, huonekana kana kwamba, anasinzia katika maisha yake. Ndiyo maana watu huwaita kondoo wote kuwa ni “wasinziaji wote.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mpole katika maisha yake. Mtu huyo, huishi na watu kwa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, kwa sababu ya upole wake huo, maishani mwake. Yeye huwalea vyema watu walioko kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya upole wake huo, katika maisha yake hayo.  

Mtu huyo, hufanana na yule kondoo anayeishi kwa utulivu, kwa sababu naye ana upole wa kuwalea vyema watu wake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba ni, “wasinziaji wote.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upole wa kuwawezesha kuishi na wenzao vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Hebabu 12:3.

Yeremia 11:19.

 

ENGLISH: ALL SLEEPERS.

This saying refers to an animal called a sheep. A sheep is known for its calm and peaceful nature. It does not fight aggressively but lives quietly among others. Because of its gentle behavior, people say that sheep seem as if they are always asleep. That is why they are called “all sleepers.”

This proverb is compared to a person who is gentle in his life. A gentle person lives peacefully with others. He cooperates with people, helps them carry out their duties, and avoids conflict. Because of his calm spirit, he builds unity in his community.

Such a person also raises his family well. Through patience and kindness, he guides his children and supports his household with wisdom. He resembles the sheep that lives peacefully among the flock. For this reason, people may describe him as “all sleepers,” meaning he is calm, humble, and gentle.

This saying imparts in people an idea of importance of gentleness. A gentle person is able to live well with others, maintain harmony, and build a strong family through patience and love.

In Book of Hebrews 12:3, believers are encouraged to consider Christ, who endured opposition with patience, so that they may not grow weary.

In Book of Jeremiah 11:19, the prophet compares himself to a gentle lamb led to the slaughter, showing humility and innocence.

These scriptures remind us that gentleness and patience are signs of strength, not weakness.

 

 

1470. NANG’HO OPOMOKELA.

Olihoyi munhu uyo otumamaga nimo gokwe uyo goli na solobho nhale umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo ogutumamaga bhuligwa unimo gokwe gunuyo kunguno ya solobho yago yiniyo aha kaya yakwe. Uweyi wigulambijaga ugugutumama unimo gunuyo bho nduhu uguguleka nulu alifigilijiwa na bhiye. Hunagwene abhanbu bhenabho bhagang’wilaga giki, “nang’ho opomokela.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wiyumilija bho gwigulambijaga gutumama milimo yakwe bho nduhu ugugwa ing’holo nulu alidahahijiwa na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yabho bho nduhu ugubhadegeleka abhanhu abho bhagaidalihijaga imilimo yakwe, kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo, aha kaya yakwe kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo yakwe yiniyo nulu bhalindalihija abhiye, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga nimo gokwe bho nduhu uguguleka nulu bhalindalahija abhiye, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho nduhu ugoya nulu bhalimbyeda abhiye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, “nang’ho opomokela.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza bho nduhu uguileka nulu bhalidalahijiwa na bhichabho, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhokwe.

Kumbukumbu 27:16.

2 Mambo ya Nyakati 36:16.

Isaya 53:3.

KISWAHILI: NAWE HAMNA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akifanya kazi yake iliyokuwa na faida kubwa maishani mwake. Mtu huyo, aliifanya kazi yake hiyo kila siku kwa sababu ya faida kubwa ya kazi yake hiyo.  Yeye alijibidisha kuitekeleza kazi yake bila ya kukubali kukatishwa tamaa na watu wenzake waliomdharau. Ndiyo maana watu hao walimwambia kuwa, “nawe hamna.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana uvumilivu wa kujibidisha kufanya kazi yake bila ya kukata tamaa anapodharauliwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake bila ya kuwasikiliza wale wanaoidharau kazi yake kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya uvumilifu wake huo wa kuendelea kuyatekeleza majukumu yake hata pale anapodharauliwa na wenzake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi yake hiyo bila ya kuiaacha hata pale alipodharauliwa na wenzake, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake bila ya kuiacha hata pale anapodharauliwa na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “nawe humna.”

Msemo huyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kujibidisha kuyatakelekeza vizuri majukumu yao bila ya kuyaacha hata kama baadhi ya watu watawadharau, ili waweze kupata mali za kuwasaidia katika kuzilea vyema familia zao hizo, maishani mwao.

Kumbukumbu 27:16.

2 Mambo ya Nyakati 36:16.

Isaya 53:3.

 

ENGLISH: YOU ARE NOTHING

There was a man who was doing a job that brought him great profit in his life. He worked every day because his work was very rewarding. He tried his best to carry out his duties faithfully, without allowing himself to be discouraged by his peers who looked down on him. Because they despised his work by telling him, “You are nothing.”

This saying is compared to a person who has patience to work hard and continue doing his job without giving up, even when others look down on him. Such a person does not listen to those who despise his work. Instead, he remains patient and focused on his responsibilities. Because of his perseverance, he earns wealth and is able to provide well for his family.

That person is like the man who refused to give up, even when he was despised by his peers. He continues striving in his work with determination and patience. Although people say to him, “You are nothing,” he proves through his actions that he is committed and responsible.

This saying teaches people to be patient and steadfast in managing their responsibilities. Even if others despise or underestimate them, they should not give up. Through perseverance and faithfulness, they will succeed and be able to support their families well in life.

Deuteronomy 27:16 – A reminder about respecting others and not treating them with contempt.

2 Chronicles 36:16 – People mocked and despised God’s messengers.

Isaiah 53:3 – The servant of the Lord was despised and rejected by others.

These scriptures show that being despised does not mean a person has no value. Even those chosen by God were rejected, yet their purpose was great.

 

 

 

1469. NH’UMO GO HUMILA WILALI.

Golihoyi mongo uyo gohumaga wilali ijidiku ni chu bho nduhu ugukama. Umongo gunuyo gugahumaga pye amakanza bho nduhu ugutinika kunguno ya wingi bho minzi gago. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nh’umo go humila wilali.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudimilaga mhayo go ng’wa mulungu bhuli makanza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagudimilaga umhayo go ng’wa Mulungu bho gugikalana chiza amalagilo gakwe na gwikala na bhanhu chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yake kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho gugudimila chiza umhayo go ng’wa Sebha, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mongo uyo gugahumaga pye amakanza bho nduhu ugukama, kunguno nuweyi agasalilaga pye amakanza bho nduhu ugunoga, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nh’umo go humila wilali.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gugadimila amalagilo ga ng’wa Mulungu bhuli makanza bho nduhu ugunoga, kugiki bhadule kupandika mbango ja gubhashisha ng’wigulu.

Mathayo 24:35.

Marko 13:31.

Luka 21:33.

KISWAHILI: MTIRIRIKO UMETIRIRIKA KIMOJA.

Ulikuwepo mto ambao ulikuwa ukitiririka kimoja wakati wote wa kiangazi na wa masika bila ya kukoma. Mto huo ulitiririka wakati wote bila ya kukatika kwa sababu ya wingi wa maji yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “mtiririko umetiririka kimoja.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hulishikiria neno la Mungu kila wakati, katika maisha yake. Mtu huyo, hulishikilia neno la Mungu kwa kuyaishi vizuri maagizo yake na kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya unyofu wake huo maishani mwake. Yeye hupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuliishi vyema neno la Mungu, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na ule mto uliotiririka wakati wote bila kukoma, kwa sababu naye hulishikiria neno la Mungu kila wakati bila kushoka, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mtiririko umetiririka kimoja.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuyaishi maagizo ya Mungu wakati wote bila kushoka, ili waweze kupata baraka za kuwafikisha mbinguni.

Mathayo 24:35.

Marko 13:31.

Luka 21:33.

 

ENGLISH: THE FLOW HAS FLOWED ALL THE TIME.

There was a river that flowed continuously throughout summer and winter without ever stopping. It flowed at all times because it had an abundance of water. For this reason, people said, “The flow has flowed all the time.”

This saying is compared to a person who holds firmly to the Word of God at all times in his life. He remains faithful by following God’s instructions and living well with other people. Because of his honesty and obedience, he receives blessings and lives peacefully and happily with his family.

That person is like the river that never stops flowing. Just as the river flows continuously, he continues to live according to God’s Word without giving up. That is why people say about him, “The flow has flowed all the time.”

This saying teaches people to remain faithful to God’s commandments at all times without failing, so that they may receive blessings and inherit eternal life.

Matthew 24:35 – “Heaven and earth will pass away, but My words will never pass away.”

Mark 13:31 – “Heaven and earth will pass away, but My words will never pass away.”

Luke 21:33 – “Heaven and earth will pass away, but My words will never pass away.”

 

 

 

1468. NAGULILAGA HA NUMBAGA.

Olihoyi munhu uyo agasoma chiza mpaga ukinda umumasomo gakwe. Unsomi ng’wunuyo, agapandika nimo kulwa bhusomi bhokwe bhunubho umo agayupandikila mhiya gubhitila mu nimo gokwe gunuyo. Uweyi agayulila mu mbeho kunguno ya kupandika mhiya ja gugulila jiliwa bho nduhu ugupya ilimi. Hunagwene agayomba giki, “nagulilaga ha numbaga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina masala ga gwigugulambija gutumama milimo yakwe chiza mpaga opandika sabho ja gutumamila umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagatumamilaga amasala gakwe bho guchola milimo miza na gwigulambija guitumama chiza mpaga opandika jiliwa oyulya chiza aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya masala gakwe genayo, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ja gulya chiza aha kaya yakwe kunguno ya masala gakwe genayo, agatumama milimo yakwe chiza chiniko, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agasoma mpaga upandika nimo gogupandikila mhiya ja gulila mu mbeho, kunguno nuweyi alina masala gagwigulambija gutumama milimo chiza mpaga opandika jiliwe ja gulya chiza aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nagulilaga ha numbaga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala gagwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gulya chiza umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yeremia 52:33-34.

Mhubiri 5:10-15.

KISWAHILI: NINAKULA NIKIWA KIVULINI.

Alikuwepo mtu aliyesoma vizuri mpaka akashinda vizuri katika masomo yake. Msomi huyo, alipata kazi iliyompatia hela kwa sababu ya usomi wake huo. Yeye alianza kula akiwa kivulini kwa sababu ya pesa alizozipata kwenye mshahara wakutoka kwenye kazi yake hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “ninakula nikiwa kivulini.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana akili za kujibidisha kufanya kazi zake vizuri mpaka anapata mali nyingi, katika maisha yake. Mtu huyo huitumia vizuri akili yake kwa kujibidisha kufanya kazi vizuri mpaka anapata chakula cha kula vizuri katika familia yake, kwa sababu ya akili zake hizo, maishani mwake. Yeye hupata mali za kula vizuri katika familia yake kwa sababu ya akili zake hizo, za kujibidisha kufanya kazi vizuri hivyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesoma vizuri mpaka akapata kazi ya kumpatia pesa za kumwezesha kula akiwa kivulini, kwa sababu naye ana akili za kujibidisha kufanya kazi zake vizuri mpaka akapata chakula cha kula vizuri kwenye familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo husema kwamba, “ninakula nikiwa kivulini.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na akili za kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mali za kula vizuri katika familia zao, maishani mwao.

Yeremia 52:33-34.

Mhubiri 5:10-15.

ENGLISH: I EAT IN THE SHADE.

There was a man who studied diligently until he excelled in his education. Because of his hard work and intelligence, he secured a good job that provided him with a steady income. As a result of his salary, he was able to live comfortably and “eat in the shade.” That is why he said, “I eat in the shade.”

This saying refers to a person who uses his intelligence wisely and works hard enough to perform his duties well until he gains prosperity in life. Through dedication and perseverance, he earns enough to provide good food and a stable life for his family. His success does not come by chance, but through effort, discipline, and responsible living.

Such a person is like the one who studied hard and obtained a job that enabled him to “eat in the shade.” In the same way, anyone who applies wisdom and diligence in their work will eventually enjoy the fruits of their labor.

This saying teaches people the significance of intelligence, hard work, and commitment to responsibilities. When a person works faithfully and wisely, he will be able to support his family and live a stable and honorable life.

Jeremiah 52:33–34 — Jehoiachin was released from prison and given regular provision for the rest of his life.

Ecclesiastes 5:10–15 — True satisfaction does not come from loving money, but from wisely enjoying the fruits of one’s labor.