Sukuma

1240. AGASOLA HUHA UYILEKA IGAGI.

Imbuki ya ulusumo lunulo iholelile bhubhinzi bho huha bho ng’wa munhu nhebhe. Ulihoyi munhu uyo agaja gujubhinza gagi mungunda ugisanga obhinzaga huha ojilekaga igagi. Umunhu ng’wunuyo, agasunduhala noyi ukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayomba gika, “agasola huha uyileka igagi.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo otola nkima, nulu otolwa na ngosha uyo alina nhungwa ja bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, ocholaga bhutoji aliyo lulu aha onpandika nkima, nulu ngosha ubhiza alina nhungwa jabhubhi ijo jigayunkoya noyi umukikalile kunguno ya miito agabhubhi genayo. Uweyi agapandika makoye mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya gwitola na munhu o nhungwa ja bhubhi umuwikaji bhokwe. Ugusola huha munho gutola nkima, nulu gutolwa na ngosha uyo alina nhungwa ja bhubhi.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaja gujubhinza gagi ugasola huha uyileka igagi, kunguno nuweyi agapandika nkima/ngosha uyo alina nhungwa jabhubhi, unleka uonhungwa jabhiza, umubhuchoji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “agasola huha uyileka igagi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja ulu bhalichola bhutoji, nulu ginhu ijo jilijawiza, kugiki bhadule kupandika ng’witoji uyo alina nhungwa ja wiza, nulu ginhu ijo jijawiza, umubhuchoji bhobho.

Ezekieli 3:3.

Kumbukumbu la Torati 30:15-17.

Yoshua 24:15.

KISWAHILI: ALICHUKUA BUA LA MTAMA LISILO NA UTAMU AKAACHA LENYE UTAMU.

Chanzo cha methali hiyo huongelea juu ya ukataji wa bua la mtama lisilo na utamu alioufanya mtu fulani. Alikuwepo mtu aliyeenda shambani kukata bua la mtama lenye utamu akajikuta amekata lile lisilo na utamu. Mtu huyo, alihuzunika sana katika maisha yake. Ndio maana watu walisema kwamba, “alikuchua bua la mtama lisilo na utamu akaacha lenye utamu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyepata mwenzie wa ndoa mwenye tabia mbaya, katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa akitafuta mwenzie wa kuishi naye kwenye maisha hayo ya ndoa, achamchagua mwenye tabia mbaya ambaye alimsumbua sana, kwa sababu ya matendo yake hayo mabaya. Yeye alipata matatizo mengi sana kwenye ndoa yake, kwa sababu ya kuchagua bua, katika utafutaji wake. Kuchukua bua lisilo na utamu ni kuoa au kuolewa na mtu mwenye tabia mbaya.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekata bua la mtama lisilo na utamu, kwa sababu naye alipata mke/mume mwenye tabia mbaya, akaamuacha yule aliye na tabia njema, katika utafutaji wake huo. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “alikuchua bua la mtama lisilo na utamu akaacha lenye utamu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa makini wanapotafuta wachumba wa ndoa, au kitu kilicho kizuri, ili waweze kupata wachumba wenye tabia njema, au kitu kilicho kizuri, bila kukosea, katika utafutaji wao huo.

Ezekieli 3:3.

Kumbukumbu la Torati 30:15-17.

Yoshua 24:15.

ENGLISH: HE PLUCKED A STALK OF MILLET THAT WAS NOT SWEET AND LEFT THE SWEET ONE.

The origin of this proverb talks about someone who cut of a stalk of millet that is not sweet instead of a sweet one. There was a man who went to the field to cut a stalk of sweet millet and found himself cutting an unsweetened one. Such man became very sad in his life. That is why people said that, “he plucked the stalk of millet that was not sweet and left the sweet one.”

This proverb is paralleled to a person who found a spouse who had wicked behavior in his life. Such person was looking for a partner to live with in that married life. Unfortunately he chose someone who has evil character which bothered him a lot in life. He got a lot of problems in his marriage, because of choosing shoots in his search. To take a stalk that is not sweet means marrying or being married to a person who has a wicked character.

This person is similar to the one who cut the stalk of millet that is not sweet, because he also found a wife/husband of evil behavior, and left the one that has good behavior in his search. That is why people said that, “he plucked the stalk of millet that was not sweet and left the sweet one.”

This proverb imparts in people an idea of being careful when looking for marriage partners, or something good, so that they can find good-matured partners, or something good, without making a mistake, in their search.

Ezekiel 3:3.

Deuteronomy 30:15-17.

Joshua 24:15.

millet-4498965_1280

street-4083788_1280

sugarcane-253205_1280

1239. KALUGAKA KAGALYAGA NUGUGINA NDUHU.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile kalugaka. Akalugaka kenako kali kajisunva kadoo giti kapalala ako kagalyaga jiliwa aliyo kadaginaga kunguno ya kikalile kako. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “kalugaka kagalyaga nugugina nduhu.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitilagwa mihayo ya wiza aliyo adalumbaga, umukikalile kakwe. Abhanhu abho agikalaga nabho umunhu ng’wunuyo, bhagang’witilaga miito ga wiza bho gung’winha makijikolo mingi noyi aliyo weyi adalumbaga kunguno ya gugaiya bhulumbi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhanojaga nose abhanhu abho bhagang’wambilijaga bhenabho bho gung’winha majikolo mingi, kunguno ya bhujidalumba bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na kalugaka ako kagalyaga aliyo ugugina nduhu, kunguno nuweyi adalumbaga ulu winhiwa amajikolo na bhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “kalugaka kagalyaga nugugina nduhu.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kubhiza na moyo go gufunya bhulumbi uku bhichabho abho bhagabhitilaga mihayo ya wiza, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala chiza umubhulamu bhobho bhunubho.

Mwanzo 1:20-21.

Mwanzo 1:30.

KISWAHILI: JAMII YA KOMBA MWIKO HULA KUNENEPA HAKUNA.

Chanzo cha methali hiyo, huangalia Jamii ya komba mwiko. Jamii hiyo ya komba mwiko ni kiumbe kidogo kama takataka ambacho hula chakula lakini hakinenepi kwa sababu ya maisha yake hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “jamii ya komba mwiko hula kunenepa hakuna.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutendewa wema lakini hashukuru, katika maisha yake. Watu waishio naye mtu huyo, humtendea wela kwa kumpatia vitu wingi lakini hashukuru kwa sababu ya kukosa shukrani kwake, maishani mwake. Yeye huwachosha watu hao wanaomsaidia kwa kumpatia vitu vingi, kwa sababu ya kutokushukuru kwake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule jamii ya komba mwiko alaye chakula bila kunenepa, kwa sababu naye watu humtendea wema kwa kumpatia vitu vingi lakini hatoi shukrani kwao, maishani mwake. Ndiyo maaana watu humwambia kwamba, “jamii ya komba mwiko hula kunenepa hakuna.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na moyo wa kutoa shukrani kwa wenzao wanaowatendea wema, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri, maishani mwako.

Mwanzo 1:20-21.

Mwanzo 1:30.

ENGLISH: COCKROACH EATS WITHOUT BECOMING FAT.

This proverb looks at a cockroach type of insects. This type of insects is a small creature which like garbage that eats food but does not get fat because of its life. That is why people say that, “cockroach eats without becoming fat.”

This proverb is paralleled to a person who is treated well but is not grateful, in his life. The people who live with that person treat him well by providing him with many basic needs but he is not grateful because of his lack of gratitude in his life. He wears out those people who help him by providing him with many things because of his ungratefulness in his life.

This person is similar to the cockroach that ate food without getting fat, because people also treat him well by giving him many things but he does not thank them, in his life. That is why people tell him that, “cockroach eats without becoming fat.”

This proverb teaches people about having being appreciative to their colleagues who treat them well, so that they can get blessings of living well in their lives.

Genesis 1:20-21.

Genesis 1:30.

1238. YINIYO NDWALA.

Imbuki ya kahayile kenako yihoyelile munhu uyo olina sata iyo agikala nayo ku likanza liliihu. Umunhu ng’wunuyo, umanaga ukoya ni sata yiniyo bhuli makanza kunguno yaliidapilaga wangu. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “yiniyo ndwala.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi bhuli makanza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga miito gabhubhi ayo agalemaga ugugaleka ulu ohugulwa na bhiye, kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bha hakaya yakwe gwita miito gabhubhi, kunguno ya ng’wungwa jakwe ja bhubhi jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina sata iyo igankola kulikanza liliihu, kunguno nuweyi, agitaga miito gabhubhi bho nduhu ugugaleka uluohugulwa na bhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganyombaga giki, “yiniyo ndwala.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleta nhungwa ja gwita miito ga bhubhi, bho gwiita miito ga wiza bhuli makanza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umukikalile kabho kenako.

Matendo 5:16.

Luka 6:17-19.

Yohane 5:1-12.

Mathayo 14:36.

KISWAHILI: HUU NI UGONJWA.

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya mtu aliyekuwa na ugonjwa kwa muda mrefu. Ugonjwa huo ulikuwa ukimhangaisha kila wakati kwa sababu ya kutokupona kwake haraka. Ndiyo maana watu waliutambua kwa kusema kwamba “huu ni ugonjwa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda matendo maovu katika maisha yake. Mtu huyo, hutendo matendo hayo maovu kwa makusudi na kukataa ushauri wa kuyaacha kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, maishani mwake. Yeye huwafundisha watu walioko kwenye familia yake kutenda matendo maovu kwa njia ya matendo yake, kwa sababu ya tabia hiyo ya kuzoea kutenda maovu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesumbuliwa na ugonjwa mara kwa mara, kwa sababu naye hutenda matendo maovu mara kwa mara, maishani mwake. Ndiyo maana watu huitaja tabia yake hiyo kwa kusema kwamba, “huu ni ugonjwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda matendo maovu kwa kutenda matendo mema kila wakati, ili waweze kuzilea vyema, familia zao, maishani mwao.

Matendo 5:16.

Luka 6:17-19.

Yohane 5:1-12.

Mathayo 14:36.

ENGLISH: THIS IS A DISEASE.

The cradle of the overhead saying talks about a person who had been sick for a long time. This disease was always worrying him because of its slow recovery. That is why people recognized it by saying that “this is a disease.”

This saying is equated to a person who commits evil deeds in his life. Such person does those evil deeds on purpose and refuses an advice of stopping them because of his wicked behavior, in his life. He teaches people in his family to do evil deeds through his actions, because of that habit of doing evil, in his life.

This person relates to the one who suffered from a disease for long time, because he also commits immoral deeds from time to time in his life. That is why people refer to his behavior by saying, that “this is a disease.”

This saying imparts in people an idea about giving up a habit of doing wicked deeds by always doing good deeds, so that they can raise their families well in their lives.

Acts 5:16.

Luke 6:17-19.

John 5:1-12.

Matthew 14:36.

1237. GWIDIKULA.

Kwidikula ili gupimila ugweshema. Alihoyi nigini uyo wikalaga muchalo jilebhe. Unigini ng’wunuyo, agalila bho likanza lilihu gete mpaga nose uyupimila kunguno ya gugayiwa imimyuyi ya gweshemela. Hunagwene abhanhu abho bhagamona bhayomba giki, wandya “gwidikula.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhadililaga chiza abhanigini, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalekaga abhana bhaluha mpaga bho gulela likanza lilihu ilya gudula gubhapimija, kunguno ya gubhalekanija sagala abhana bhenabho, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalekaga abhana bhaluka mpaga bhakonda aha kaya yakwe bho nduhu ugubhadilila kunguno ya bhulekanija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Abhana bhenabho bhagikolaga nuyo agalila mpaga upimila, kunguno nabhoyi bhagalenijiyagwa bhaluha mpaga bhakonda bho nduhu ugwambilijiwa, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhabhonaga bhayomba giki, bhandyaga “gwidikula.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhalela chiza abhana bhabho bho gubhadilila chiza, kugiki bhadule gukula chiza, umuwikaji bhobho.

Kumbukumbu la Torati 22:27.

Kutoka 2:6.

KISWAHILI: KUHEMA KWA SHIDA.

Kuhema kwa shida ni kukosa pumzi ya kupumulia. Alikuwepo mtoto aliyekuwa akiishi katika kijiji fulani. Mtoto huyo, aliachwa na wazazi wake akalia mpaka akaanza kuhema kwa shida kwa kasabu ya kukosa pumzi. Ndiyo maana watu waliomuona walisema kwamba, ameanza “kuhema kwa shida.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hawajali vizuri watoto katika maisha yake. Mtu huyo, huwaacha watoto wakateseka mpaka wanalia kwa muda mrefu wa kuweza kuwakosesha pumzi, kwa sababu ya kuwatelekeza hivyo, maishani mwake. Yeye huwaacha watoto wakiteseka hovyo mpaka wanakonda kwenye familia yake, kwa sababu ya kutowajali hivyo, maishani mwake.

Watoto hao, hufanana na yule mtoto aliyelia mpaka akakosa pumzi, kwa sababu nao hutelekezwa katika hali ya kuteseka mpaka wanakonda bila ya kusaidiwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu wawaonao husema kwamba, wameanza “kuhema kwa shida.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwalea vyema watoto wao kwa kuwajali vizuri, ili waweze kukua vizuri, maishani mwao.

Kumbukumbu la Torati 22:27.

Kutoka 2:6.

ENGLISH: TO BREATHE WITH DIFFICULTY.

To breathe with difficulty is shortness of inhalation. There was a child who lived in a certain village. This child left by his parents, cried until he began to gasp for breath. That is why the people who saw him said that he had started to “to breathe with difficulty.”

This saying is equaled to the person who does not take good care of the children in his life. That person, leaves the children to suffer until they cry for a long time to be able to suffocate them, because of neglecting them in his life. He leaves the children to suffer carelessly until they are thin in his family, because of such indifference to them, in his life.

Those children are like the child who cried until he was out of breath, because they are also left in a state of suffering until they become thin without help, in their lives. That is why people who see them say that they have begun to “to breathe with difficulty.”

This saying teaches people about raising their children well by taking good care of them, so that they can grow well, in their lives.

Deuteronomy 22:27.

Exodus 2:6.

crying-african-man-4670799_1280

1236. MAMONYONGELE.

Mamonyongele jili jito ja gutumama milimo nulu guyomba mihayo bho sagala sagala. Oho kale olihoyi munhu uyo atumamaga milimo yakwe bho sagala sagala aha kaya yakwe kunguno ya guduma gwitegeleja chiza umumiganiko gakwe. Umunhu ng’wunuyo, agakumuka noyi kunguno ya katumamile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagayung’witana giki, “mamonyongele.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho ndugu gwitegeleja chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalimaga migunda mitale oilekanija duhu kunguno ya kugaiwa witegeleja bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agakelaga bhuli ng’waka aha kaya yakwe kunguno ya gutumama milimo bho nduhu gwiganika bho gwitegeleja chiza, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga milimo bho sagala sagala kunguno nuweyi agatumamaga milimo yakwe bho nduhu ugwitegeleja chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “mamonyongele.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo yabho bho gwiganika na gwitegeleja bhutale, kugiki bhudule gupandika matwajo mingi, umubhutumami bho milimo yabho yiniyo.

Luka 6:46-49.

Matendo ya mitume 17:1-9.

KISWAHILI: HOVYO HOVYO.

Hovyo hovyo ni kitendo cha kufanya kazi au kuongea maneno vibaya. Hapo zamani alikuwepo mtu aliyekuwa akifanya kazi vibaya kwa maana ya kulipua kazi, kwa sababu ya kukosa umakini katika mawazo yake. Mtu huyo, alijulikana sana katika kijiji chake kwa sababu ya namna yake hiyo kufanya kazi vibaya. Ndiyo maana watu walimuita jina la “hovyo hovyo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake bila kuwa na umakini katika maisha yake. Mtu huyo, hulima mashamba makubwa na kuyatelekeza bila kuyatunza kwa sababu ya kufanya kazi kwake bila kuwa na umakini wa kufanya utafiti wa kutosha, maishani mwake. Yeye hukosa chakula kila mwaka katika familia yake hiyo, kwa sababu kufanya kazi zake hizo bila kufikiria kwa umakini zaidi, katika utendaji wake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi zake vibaya, kwa sababu naye hufanya kazi zake bila kufikiria kwa umakini, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jila la “hovyo hovyo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa umakini wa kufanya utafiti kwanza kabla ya kuzianza, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utekelezaji wa majukumu yao hayo.

Luka 6:46-49.

Matendo ya mitume 17:1-9.

ENGLISH: BADLY BADLY.

Careless is an act of doing things or speaking words badly. Once upon a time there was a man who was doing work badly in the sense of blowing up work, because of lacking focus in his thoughts. This man was well known in his village because of his way of working badly. That is why people called him the name of “badly badly.”

This saying is related to a person who does his work without being focused in his life. Such person cultivates large fields and abandons them without taking care of them because of working without having good attention enough to do research in his life. He lacks food every year in his family because of doing his works without thinking more seriously in his performance.

This person is similar to the one who did his work badly, because he also does his works without thinking seriously in his life. That is why people call him the name of “badly badly.”

This saying teaches people about doing their jobs carefully enough to do research first before starting them, so that they can get a lot of success in carrying out of their duties.

Luke 6:46-49.

Acts 17:1-9.

farmer-6318173__480