Sukuma

1245. FUJAGA NDIMU, UTIZE’ FUJA NHO-LA


 

SWAHILI: KOSEA KULENGA MNYAMA MAWINDONI, USIKOSEE KUOA.

Kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu nafasi ya mwanamke katika mila za Kiafrika. Hili lilinifanya niwe na utafiti wa kina kwenye kabila la Wasukuma, ambapo wazee wa Wakisukuma (takribani 12) walithibitisha kwamba, ili familia ifanikiwe, jukumu la mwanamke haliepukiki. Kwa hivyo miongoni mwa Wasukuma, mwanamke katika familia anachukuliwa kuwa msaidizi wa karibu wa mumewe katika utunzaji na uhandisi wa shughuli zote za nyumbani.

Kwa hiyo wanaume wa Kisukuma hutumia methali hii “Fujaga ndimu, utize’ fuja nho-la.” Ili kutoa ufahamu kwa vijana wa kiume na wa kike kabla ya kupambanua kuingia katika maisha ya familia.

Methali hii ya Wasukuma inaonesha utimilifu mkubwa wa mwanaume na mwanamke katika familia yao, ikimaanisha kuwa mwanaume anapooa mwanamke shupavu, mwenye moyo mzuri, mwenye nidhamu, Wasukuma huamini kuwa familia nzima itafanikiwa kwa sababu mwanamke na mwanaume wanaweza kusaidiana vizuri katika maisha ya familia

Hivyo basi, wanawake wanapaswa kuelewa kwamba, wana nafasi au wajibu mkubwa wa kutekeleza katika familia zao. Wanapaswa kufurahishwa na hali yao kama wanawake katika familia na jamii zao.

Mwanzo 2:18 “Bwana Mungu akasema, si vema huyo mtu awe peke yake; nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.”

Marko 10:6-8 “…Mungu akamfanya mume na mke, kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.

Waefeso 5:31 “Lakini kila mmoja wenu ampende mkewe kama nafsi yake mwenyewe; na mke na amheshimu mumewe.

ENGLISH: MISS A TARGET WHEN HUNTING, RATHER THAN MARRYING A WRONG WOMAN.

There has been a great discussion on the role of women in the African traditions. This made me have a serious search on the Sukuma Ethnic group, where the Sukuma elders (about 12) confirmed that, in order for the family to prosper, the role of a woman is inevitable. Thus among the Sukuma, a woman in a family is regarded as the closer helper of her husband in keeping and engineering of all domestic activities. Hence the Sukuma men use this proverb “Fujaga ndimu, utize’ fuja nhola.” So as to give awareness to young men and women before discerning to enter family life.

This Sukuma proverb shows the great complementarity of man and woman in their family, meaning that when a man marries a strong, good hearted, disciplined woman, the Sukuma believe that the whole family will be prosperous because the woman and man can really help each other in family life

Hence, women should understand that, have a great role or duty to perform in their families.  They should be happy with their status as women in their family and society.

Gen 2:18 “Then the Lord God said, it is not good that the man should be alone; I will make him a helper fit for him.”

Mk 10:6-8 “….God made the male and female, for this reason a man shall leave his father and mother and be joined to his wife, and the two shall become one flesh…”

Eph 5:31 “however, let each one of you love his wife as himself, and let the wife see that she respects her husband.”

bride-5427659__480

family-portrait-5534737__480

engagement-7129147__480

 

 

 

1244. NALINGALA IWE.

Akahayile kenako kahoyelile wilenganija bho ng’wa munhu ni we. Olihoyi munhu uyo wilenganijaga ni we kunguno ya gugwiganikila umili gokwe  giki gulindamu guti liwe umuwikaji bhokwe. Hunagwene ooyombaga giki, “nalingala iwe.”

Akahayile kenako, kagaleganijiyagwa kuli munhu uyo alina na bhudula bho gutumama nimo ndamu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo midamu bho gutumila nguzu ningi na wiyumilija bhutale kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga sabho ningi aka hakaya yakwe yiniyo kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umubhutumami bho milimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo wiganikagaga giki umili gokwe guli ndamu guti iwe, kunguno nuweyi agatumamaga milimo yakwe bho nguzu ningi na wiyumilija bhutale umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nalingala iwe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho nguzu ninyi na wiyumilija bhutale, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umukaya jabho.

Wagalatia 5:22.

Waefeso 5:12-14.

2Timotheo 3:10.

KISWAHILI: MIMI JIWE.

Msemo huo huongelea juu ya kujifananisha kwa mtu na jiwe. Alikuwepo mtu aliyekuwa akijifananisha na jiwe kwa sababu ya kufikiria kuwa mwili wake ni mgumu kama jiwe maishani mwake. Ndiyo maana alisema kwamba, “mimi jiwe.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana uwezo kwa kufanya kazi ngumu katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi ngumu kwa kutumia nguvu nyingi na uvumilivu mkubwa kwa sababu ya bidii yake hiyo. Yeye hupata mali nyingi kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya uvumilifu wake huo wa kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeufikiria mwili wake kuwa ni mgumu kama jiwe, kwa sababu naye hufanya kazi zake kwa nguvu nyingi na kwa uvumilivu mkubwa, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi jiwe.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa nguvu na uvumilivu mkubwa, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika familia zao.

Wagalatia 5:22.

Waefeso 5:12-14.

2Timotheo 3:10.

ENGLISH: I AM A STONE.

The overhead saying talks about comparing a person to a stone. There was a man who compared himself to a stone because he thought that his body was as hard as a stone in his life. That is why he said that, “I am a stone.”

This saying is paralleled to a person who has an ability of doing hard works in his life. Such person does hard works with a lot of energy and patience because of his hard working. He gets a lot of wealth in his family because of his perseverance in his daily works.

This person is similar to the one who thought that his body was as hard as a stone, because he also does his daily works with great strength and great patience, in his life. That is why he says that, “I am a stone.”

This saying teaches people about forcing themselves to do their daily works with strength and great patience, so that they can get a lot of success, in their families.

Galatians 5:22.

Ephesians 5:12-14.

2 Timothy 3:10.

woman-5935802__480

woman-2606803__480

african-worker

1243. KALANGULAGA GITI NHANA NOI.

Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo ja Ng’watuju. Umunhu ng’wunuyo, osiminzaga alangulile bho nduhu nugubhagisha abhanhu abho otung’wanaga nabho umunzila yakwe kunguno guhaya gwanguha gushiga ukumilimo yakwe. Hunagwene abhanhu bhaganyomba giki, “kalangulaga giti nhana noi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu ndoshi uyo adahoyaga na bhiye chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agadililaga milimo yakwe bho guleka ugubhayombya abhanhu abho agikalaga nabho, kunguno ya bhudoshi ghokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa abhanhu bha gung’wambilija ulu opandikagaga makoye aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho ubho guleka guhoya na abhiye, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo osimizaga alangulile bho ugubhagisha abhanhu, kunguno nuweyi agadililaga milimo yakwe duhu bho nduhu uguhoya na bhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “kalangulaga giti nhana noi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka gubhadalaha abhanhu bho guhoya nabho chiza umukikalile kabho, kugiki bhadule gwiyambilija chiza, ugujileka ikaya jabho.

Kutoka 20:12.

1Petro 1:17.

Isaya 29:13.

KISWAHILI: KAMERINGA KAMA KWELI MNO.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi katika kijiji cha Ng’watuju. Mtu huyo, alikuwa akitembea akiwa ameangalia juu bila kuwasalimia watu aliokutana nao njiani, kwa sababu ya kutaka kuwahi kufika katika safari yake. Ndiyo maana watu waliongea juu yake kwamba, “kameringa kama kweli mno.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa haongei vizuri na wenzake katika maisha yake. Mtu huyo, hujali shughuli zake kwa kuacha kuongea na watu anaoishi nao, kwa sababu ya majivuno yake hayo, maishani mwake. Yeye hukosa watu wa kumsaidia anapopata matatizo katika familia yake kwa sababu ya kuacha kuongea na wenzake hivyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetembea akiwa ameangalia juu bila kuwasalimia wenzake, kwa sababu naye hujali shughuli zake tu bila kuongea na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuongelea kwamba, “kameringa kama kweli mno.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau watu wao kwa kuongea nao vizuri katika maisha yao, ili waweze kusaidiana vizuri, katika kuzilea familia zao.

Kutoka 20:12.

1Petro 1:17.

Isaya 29:13.

ENGLISH: ONE IS PROUD AS IF IT IS TOO TRUE.

Once upon a time there was a man who lived in the village of Ng’watuju. Such man used to walk looking upwards without greeting the people whom he met on the way, because he wanted to arrive on time in his journey. That is why people said about him that, “one is proud as if it is too true.”

This saying is related to a person who does not talk well with his colleagues in his life. That person cares about his activities enough to stop talking to people whom he lives with, because of his pride, in his life. He lacks people to help him when he has problems in his family because he stops talking to his colleagues like that, in his life.

This person is similar to the one who walked looking upwards without greeting his colleagues, because he also only cares about his activities without talking to his colleagues, in his life. That is why people talk about him saying, “one is proud as if it is too true.”

This saying teaches people about stopping belittling their people by talking to them well in their lives, so that they can help each other well, in raising their families.

Exodus 20:12.

1 Peter 1:17.

Isaiah 29:13.

man-6900166_1280

peasant-4962831__480

woman-6116276__480

1242. WITUNGILAGA ING’HINDA HIYIKU ISAJI IMBA UGUITALIGULA GINEHE!

Aho kale olihoyi munhu uyo agayitungila ing’hinda yakwe hiyiku lisaji aho lyalililalile. Aho lyamisha iliyiku linilo ligandya guyumpeja umunhu ng’wunuyo kugiki linkunde kunguno lyali likali noyi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “witungilaga ing’hinda hiyiku isaji imba uguitaligula ginehe!”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagikoloshaga mamunhu mashilimu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agacholaga mamihayo bho gugikolosha amamunhu amashilimu ayo gagankanyaga ikesi kunguno gajimanile sheria, umuwikaji bhogo. Uweyi agamalaga isabho jakwe bho gugalipa amamunhu ayo agagikoloshaga genayo ulugankinda ahibhanza, kunguno gamanile uguyomba.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaitungila inhinda yakwe hiyiku isaji, kunguno nuweyi agagikoloshaga mamunhu mashilimu ayo gajimanile isheria ja hibhanza, umuwikaji bhogo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “witungilaga ing’hinda hiyiku isaji imba uguitaligula ginehe!”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka gwichobhela mamihayo bho gubhikolosha abhichabho, kugiki bhadule gujilanhana chiza isabho jabho, umukaya jabho jinijo.

Mithali 21:24-25.

Mithali 18:23.

KISWAHILI: UMEIFUNGIA NJUGA KWA MAKISAI KICHAA SIJUI UTAIFUNGUAJE!

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeifungia njuga yake kwa makisai kichaa wakati akiwa amelala. Alipoamka makisai huyo alianza kumfukuza ili amugonge kwa sababu alikuwa mkali mno. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umeifungia njuga kwa makisai kichaa sijui utaifunguaje.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwachokoza watu waliowajanja, katika maisha yake. Mtu huyo, hutafuta kesi kwa kuwachokoza watu hao wenye ujanja wa kujua sheria ambao humshinda kesi kwa sababu ya uelewa wao mzuri wa sheria hizo, katika maisha yao. Yeye huzimaliza mali zake kwa kuwalipa watu hao wenye ujanja wa kuongea vizuri mahakamani wanapomshinda kesi kwa sababu ya wao kuzijua vizuri sheria za hapo mahakamani.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeifungia njuga yake kwa makisai kichaa akashindwa kuifungua, kwa sababu naye hujitafutia kesi kwa kuwachokoza watu wanaozijua sheria vizuri, ambao humshinda kesi na kumlipisha, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “umeifungia njuga kwa makisai kichaa sijui utaifunguaje.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha kujitafutia kesi kwa kuwachokoza wenzao, ili waweze kuzitunza vizuri mali zao, katika familia zao.

Mithali 21:24-25.

Mithali 18:23.

ENGLISH: YOU HAVE TIED A BELL TO A CRAZY OX, I DO NOT KNOW HOW YOU WILL UNTIE HIM!

Once upon a time, there was a man who tied his rattle to a crazy ox during sleeping time. When the ox woke up started chasing him to hit him because of being too fierce. That is why people told him that, “you have tied a bell to a crazy ox, I do not know how you will untie him!”

This proverb is compared to the person who provokes clever people in his life. Such person, looks for a case by provoking those people who are clever to know the law enough to win the case because of their good understanding of those laws, in their lives. He ends his wealth by paying those people who have skills to speak well in court when they win the case because they know well the rules of those courts.

This person resembles the one who tied his bell to a crazy ox and failed to untie him, because he also seeks a lawsuit by provoking people who know the law well, who normally win the case and tell him to pay them. That is why people tell him that, “you have tied a bell to a crazy ox, I do not know how you will untie him!”

This proverb imparts in people an idea of stopping provoking their people, so that they can take good care of their properties, in their families.

Proverbs 21:24-25.

Proverbs 18:23.

oxen-6257030_1280

cow-5473548_1280

farmer-4485956_1280

1241. YINIYO SOLOBA.

Isoloba kali bala kadoni ako munhu akagatumamaga kugiki adule gukamala na gusola kangi gwingila mu nimo guli ntale. Olihoyi munhu uyo ulimilaga ngese mungunda bho gumana utina kajipande kadoni okalimila mpaga okamala na otina kangi nose mpaga ogumala pye ungunda kunguno goligutale noyi. Hunagwene abhanhu agagitana akabala ako okamililaga kenako giki, “yiniyo soloba.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga bhugagaja na wiyumilija bhokwe bho gutumama milimo mitale mpaga oyimala chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agamishaga diyu ogatumama milimo mitale bho gutumila bhugagaja bho gumana winja kadokado mpaga nose ogumala nimo ntale kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga majikolo mingi noyi aha kaya yake kunguno ya gutumama milimo yakwe bho bhugagaja na wiyumilija bhunubho mpaga nose oyimala chiza, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalimila ngunda ntale bho gutina kabala kado kado mpaga nose ugumala chiza, kunguno nu weyi agatumamaga milimo mitale bho gutumila bhugagaja na wiyumilija bhokwe chiza mpaga nose oyimala chiza, umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “yiniyo soloba.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gutumila bhugagaja na wiyumilija bhutale mpaga bhayimale chiza, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umukaya jabho jinijo.

Waebrania 12:14.

KISWAHILI: HIKI NI KIPANDE.

Kipande ni sehemu ndogo ambayo mtu huifanyia kazi ili aweze kumaliza hicho na kuchukua kingine ndani ya shamba kubwa. Alikuwepo mtu aliyekuwa akipalilia palizi kwenye shamba kubwa kwa kukata kipande kidogo kidogo anakimaliza na kuanza kingine mpaka mwishowe akalimaliza kulipalilia shamba lote. Ndiyo maana watu walisema juu ya hicho kisehemu kuwa “hiki ni kipande.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi kubwa kwa kutumia ubunifu na uvumilivu wake mpaka mwishowe anaimaliza vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huamka asubuhi na kuanza kuyatekeleza majukumu yake hayo makubwa kwa kukata kidogo kidogo mpaka anayamaliza vizuri kwa sababu ya kuutumila vizuri ubunifu na uvumilivu wake, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake hiyo kwa sababu ya kuutumia vizuri huo ubunifu na uvumilivu wake, katika kufanya kazi kubwa mpaka anazimaliza vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyepalilia shamba kubwa kwa kukata kipande kidogo kidogo mpaka akalimaliza shamba lote, kwa sababu naye hufanya kazi kubwa kwa kutumia ubunifu na uvumilivu wake, mpaka anazimaliza vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yake hayo. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “hiki ni kipande.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi kubwa kwa kutumila ubunifu na uvumilivu wao vizuri mpaka wanazimaliza, ili waweze kupata mafanikio mengi katika familia zao.

Waebrania 12:14.

ENGLISH: THIS IS A PIECE.

A piece is a small part that a person works on so that he can finish it and take another part in a large field. There was a man who was weeding a large field by cutting a small piece and finishing it and starting another one until he finally finished weeding the whole field. That is why people said about that part that “this is a piece.”

This saying is equaled to a person who does a great job by using his creativity and patience until he finally finishes it well, in his life. Such person wakes up in the morning and begins to carry out his big tasks by cutting little by little until he finishes them well because of using his creativity and patience in his life. He gets a lot of wealth in his family because of using well his creativity and patience, in doing great works until he finishes them well, in his life.

This person is similar to the one who weeded a large field by cutting a small piece until he finished the whole field, because he also does a great job by using his creativity and patience, until he finishes them well in implementing his duties. That is why he tells people that, “this is a piece.”

This saying teaches people about doing great works by instilling their creativity and patience well until they finish them, so that they can get a lot of success in their families.

Hebrews 12:14.

bali-570656__480