Shinyanga

1449. ALI NIFOGONG’HO.

Akahayile kenako kamhoyelile munhu uyo wikalaga nifogong’ho. Umunhu ng’wunuyo olilanhanaga chiza ilifogong’ho linilo kunguno ojituulilaga mhiya jakwe moyi ijo jang’wambilija gumala makoye gakwe.

Abhanhu bhagandebha nose igiki agajililaga munuyo imhiya jakwe kunguno wikalaga nalyo nhangala ningi. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “ali nifogong’ho.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu o masala miza uyo adebhile ugujilanhanga chiza isabho jakwe umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga abhanhu bhakwe ugujitumamila chiza na gujituula hasoga isabho ijo bhagajipandikaga umutumami bhobho, kunguno ya masala gakwe agawiza genayo umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi ahakaya yakwe kunguno ya bhumani bho masala gakwe agagujilanhana chiza isabho jakwe jinijo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ojilanhanaga chiza imhiya jakwe bho gujituula mulifogong’ho lyakwe ilo wikalaga nalyo linilo, kunguno nuweyi alina masala miza agagujilanhana chiza isabho jakwe mpaga osabha, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ali nifogong’ho.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala miza agagujilanhanila chiza isabho ijo bhajipandikaga umubhutumami bhobho, kugiki jidule gubhambilija ugubheja chiza umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Matendo 19:35.

Luka 13:7.

KISWAHILI: ANA MKOBA.

Msemo huo, humwongelea mtu aliye kuwa na mfuko. Mtu huyo aliutunza vizuri mfuko huo kwa sababu aliziweka humo pesa zake zilizomsaidia katika kutatua matatizo yake. Watu walielewa mwishowe kuwa alizitunzia humo pesa zake kwa sababu ya kuwa nao huo mfuko mara nyingi. Ndiyo maana walisema kwamba, “ana mkoba.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu mwenye akili za kuelewa kuzitunza vizuri mali zake katika maisha yake. Mtu huyo, huwafundisha watu wake juu ya kuzitumia vizuri na kuzitunzia pazuri mali wanazozipata katika kazi zao kwa njia maisha yake mpaka wanamuelewa vizuri, kwa sababu ya akili zake hizo njema, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake hiyo kwa sababu ya uelewa wa akili zake hizo katika kuzitunza vizuri mali zake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyezitunza pesa zake kwa kuziweka kwenye mfuko wake aliokuwa nao mara nyingi, kwa sababu naye ana akili njema za kuzitunza vizuri mali zake mpaka anatajirika, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ana mkoba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili njema za kuwasaidia katika kuzitunza vizuri mali zao, ili ziweze kuwasaidia katika kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.

Matendo 19:35.

Luka 13:7.

1448. BHULI NDUMA YINA NDUMA NYIYE.

Aho kale olihoyi ntongeji o muchalo jimo umubhutemi bho bhuduhe. Untongeji ng’wiyuno ofunyaga long’we umuchalo jakwe ya gubhawila abhanhu bhakwe gwitimija iyo ayitogilwe uweyi kunguno ya bhutale bhokwe bhunubho. Uweyi agageniha ugafunya long’we muchalo ja bhange kunguno oliadajidebhile chiza inbinbi ja bhugelelo bho chalo jakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “bhuli nduma yina nduma nyiye.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinibhengwe kubhiye lya guyomba mihayo yakwe bho nduhu gubhiza na lubhimbi, umukikalile kakwe.  Umunhu ng’wunuyo agayombaga mihayo yakwe bho gubhadalahija abhiye umumahoya gakwe kunguno ya libhengwe lyakwe linilo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga widuma na bhanhu bhuli makanza aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya libhengwe lyakwe linino ilya guyomba mihayo yakwe bho nduhu gubhiza na lubhimbi, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikologa nu ntongeji uyo oliadajimanile inbinbi ja chalo jakwe mpaga nose ugafunya long’we muchalo ja bhangi, kunguno nuweyi alinibhengwe lya guyomba mihayo yakwe bho nduhu gubhiza na lubhimbi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhuli nduma yina nduma nyiye.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guchagulila mihayo miza ulubhalihoya na bhanhu bhabho umumahoya gabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Matendo ya mitume 13:45-47.

Isaya 28:10-13.

KISWAHILI: KILA MKUBWA ANA MKUBWA WAKE.

Hapo zamani alikuwepo kiongozi wa kijiji kimoja katika utawala wa bhuduhe. Kiongozi huyo, alikuwa akitoa amri kwa watu wake ya kuwaambia watekeleze kile alichokitaka yeye kwa sababu ya ukubwa wake huo. Yeye alienda ugenini akaanza kutoa amri kwenye kijiji ambacho siyo chake, kwa sababu hakuifahamu vizuri mipaka ya kijiji chake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “kila mkubwa ana mkubwa wake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anadharau kwa wenzake ya kuongea maneno bila ya kuwa na mipaka, katika maisha yake. Mtu huyo, huongea maneno yake kwa kuwadharau wenzake katika maongezi yake hayo kwa sababu ya dharau yake hiyo kwa wenzake, maishani mwake. Yeye hukosana na watu wake mara nyingi katika familia yake kwa sababu ya dharau yake hiyo ya kuongea maneno bila kuwa na mipaka, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule kiongozi asiyeielewa mipaka yake mpaga akatoa amri kwenye kijiji cha mwingine, kwa sababu naye anadharau ya kuongea maneno yake bila ya kuwa na mipaka, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kila mkubwa ana mkubwa wake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuchagua vizuri maneno ya kuongea na watu katika maongezi yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Matendo ya mitume 13:45-47.

Isaya 28:10-13.

1447. MUMO IGAKULILA ING’HUNI IDULIPUNDULA ILIHIMA.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile bhukuji bho ng’huni ubho bhudadulile ugulipundula ilihima. Ilihima linilo ligazwalilagwa kuntwe mpaka lyagugubija untwe gunulo. Ilyoi ligayigubijaga pye ning’huni iyo idadulila ugulipundula kunguno ligikalaga higulya ya ntwe gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “mumo igakulila ing’huni idulipundula ilihima.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhizaga na nhinda ja gubhadalaha abhabyaji bhakwe ulu opandika jikolo, umukikalile kakwe. UMunhu ng’wunuyo, agabhitilaga nhinda abhabyaji bhakwe ja gubhabyedeleja ulu osabha kunguno ya nhinda jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga izumo lya guduma uguibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya nhinda jakwe jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni ng’huni iyo igaduma ugulipundula ilihima kihamo nubhukuji bhoyo, kunguno nuweyi agigimbaga bhusabhi bho gubhadeleja abhabyaji bhakwe mpaga opandika izumo lya kuduma uguyibheja chiza ikaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mumo igakulila ing’huni idulipundula ilihima.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gubhakuja na gubhambilija chiza abhabyaji bhabho kugiki bhadule kupandika mbango ja kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

(Luka 14:11) “Kila mtu anayejitukuza atashushwa, naye ajinyenyekezae atatukuzwa.”

HATA KISOGO KIKUE HAKITATOBOA KOFIA.

Chanzo cha methali hiyo huangalia ukuaji wa kisogo usioweza kuitoboa kofia. Kofia hiyo ni kitu kinachovalia kichwani mpaka kinakifunika kichwa chote. Yenyewe hukifunika kisogo chote ambacho hakiwezi kuitoboa kofia hiyo.  Ndiyo maana watu husema kwamba, “hata kisogo kikue hakitatoboa kofia.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupata kiburi cha kuwadharau wazazi wake anapotaka mali, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaletea kiburi wazazi wake kwa kuanza kuwadharau anapopata mafanikio ya mali kwa sababu ya kiburi chake hicho, maishani mwake. Yeye hupata laana ya kushindwa kuiendeleza vizuri familia yake, kwa sababu ya kiburi chake hicho, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na kile kisogo kilichoshindwa kuitoboa kofia pamoja na ukuaji wake huo, kwa sababu naye kupata maendeleo ya mali na kuanza kuwafanyia kiburi cha kuwadharau wazazi wake mpaga anapata laana ya kushindwa kuiendeleza vizuri familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hata kisogo kikue hakiwezi kuitoboa kofia.”

Methali hiyo, huwafundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwaheshimu na kuwasaidia vizuri wazazi wao, ili waweze kupata baraka za kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

 (Luka 14:11) “Kila mtu anayejitukuza atashushwa, naye ajinyenyekezae atatukuzwa.”

1446. JIGAFULAGWA JILINA MATU.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile munhu uyo olina matu gawiza. Abhanhu bhang’wilaga imihayo oigwa chiza kunguno olina matu ayo gigwaga chiza pye imihayo yabho. Umunhu ng’wunuyo aliadinhalali umuwikaji bhokwe kunguno ya wigwi bhokwe bhunubho ubho wiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “jigafulagwa jilina matu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina masala masoga agagwiigwa chiza na bhanhu na gugikalana chiza amalange ayo agalangagwa na bhatale bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agabhudegelekaga na guwikalana chiza ubhulungwa ubho agalangagwa na bhatale bhakwe bhenabho, kunguno ya masala gakwe agawiza genayo umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe kunguno ya masala gakwe agawiza genayo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina matu gawiza ayo giyigwaga chiza imihayo iyo owilagwa na bhiye, kunguno nuweyi agawikalanaga chiza ubhulangwa ubho agalangagwa na bhatale bhakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “jigafulagwa jilina matu.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala gagulikalana chiza ililange lya bhatale bhabho kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 13:1-8.

Marko 4:1-9.

Luka 8:4-8’

KISWAHILI: HUFUNDISHWA ALIYE NA MASIKIO.

Chanzo cha methali hiyo huangalia mtu yule ambaye ana masikio yenye uwezo wa kusikia vizuri. Watu hulimweleza maneno yao ambayo huyasikia vizuri kwa sababu ana masikio yenye uwezo wa kuyasikia vizuri. Mtu huyo hakuwa mbishi katika maisha yake kwa sababu ya masikio yake kuwa na uwezo mzuri wa kusikia maneno ya wenzake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hufundishwa aliye na masikio.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana akili nzuri za kuyaishi vizuri malezi anayofundishwa na walezi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyasikiliza kwa makini na kuyaishi vizuri malezi anayofundishwa na walezi wake hao, kwa sababu ya akili nzuri alizonazo, maishani mwake. Yeye hufanikiwa vizuri katika kuilea vyema familia yake hiyo kwa sababu ya akili yake hiyo nzuri katika kuyaishi vizuri malezi aliyofundishwa na walezi wake.

Mtu hiyo, hufanana na yule aliyekuwa na masikio yenye uwezo wa kusikia vizuri maneno aliyoambiwa na wenzake, kwa sababu naye ana akili nzuri ya kuyaishi vizuri malezi anayopewa na walezi wake, maishani mwake. Ndiyo maana  watu humwambia kwamba, “hufundishwa aliye na masikio.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili nzuri ya kuyaishi vizuri malezi wanayopewa na walezi wao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mathayo 13:1-8.

Marko 4:1-9.

Luka 8:4-8’

1445. INHANDA IGAPUGIJIYAGWA KULE.

Imbuki ya lusumo lunulo ihoyelile ningi o ndimu yose yose iyo ilinhanda. Uningi o ndimu yiniyo agatumilaga masala mingi uguilinga indimu yiniyo mpaga oipuja kunguno adadulile uguipuja bho guibhulugutila sagala. Uweyi agayizaga bho chiza chiza, haho itali kule kunguno idulule gunemaja ulu wiyegela sagala sagala. Hunagwene agayombaga giki, “inhanda igapugijiyagwa kule.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile ugwikala chiza nu munhu unshilimu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahoyaga nu munhu unshilimu bho gutumila masala mingi ayo gagang’wambilijaga ugwikala chiza nanghwe, nulu gunanda jiloko kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga bho mholele nu munhu unshilimu ng’wunuyo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ningi o ndimu uyo agatumila masala mingi mpaga wipuja bho kule indimu inhanda yiniyo, kunguno nuweyi agatumilaga masala mingi mpaga wikala chiza nu munhu unshilimu ng’wunuyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “inhanda igapugijiyagwa kule.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gubhambilija ugutumama milimo yabho na gwikala chiza na bhanhu, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 16:1-8.

KISWAHILI: MJANJA HUNASWA KWA MBALI.

Chanzo cha methali hiyo huongelea mwindaji wa mnyama yeyote yule ambaye ni mjanja. Mwindaji wa mnyama huyo hutumia akili nyingi za kumwinda mnyama huyo mpaka anafanikiwa kumnasa kwa sababu hawezi kumnasa kwa kumuijia hovyo. Yeye humwendea polepole akiwa mbali kwa sababu mnyama huyo anaweza hata kumjeruhi akimwendea hovyo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mjanja hunaswa kwa mbali.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule anayeelewa kuishi vizuri na mtu mjanja, katika maisha yake. Mtu huyo, huongea na mtu mjanza kwa kutumia akili nyingi ambazo humsaidia katika kuishi naye vizuri hata hufikia hatua ya kumuazima vitu, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huishi kwa amani na mtu mjanja kwa sababu ya umakini wake huo katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwindaji aliyetumia akili nyingi mpaka akamnasa kwa mbali mnyama mjanja, kwa sababu naye hutumia akili nyingi mpaka anaweza kuishi vizuri na mtu mjanja, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mjanja hunaswa kwa mbali.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kutumia akili nyingi katika kuyatekeleza majukumu yao na kuishi na watu wao vizuri, ili waweze kupata maendeleo mengi, maishani mwao.

Luka 16:1-8.