Shinyanga

1342. UNENE NABELEGA.

Ugubelega ili gusenga lilale lya gulima ginhu jilebhe. Olihoyi nimi uyo agasenga lilale litale kunguno ohayaga kulima ngunda gutalile gete. Unimi ng’wunuyo agagulima chiza ungunda gokwe gunuyo mpaga upandika jiliwe jingi kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho gusenga wangu lilale litale chiniko na gulilima chiza. Hunagwene agayomba giki, “unene nabelega.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina witegeleja bho gulidebha chiza ilikanza lya guitumama imilimo yakwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga guitummama chiza imilimo yakwe mpaga uyimala, ulu lya shiga duhu ilikanza lyaho bho nduhu gwilendeja kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umubhutumami bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya witegelega bhokwe bhunubho ubho gwigulambija guitumama imilimo yakwe mpaga oyima chiza ulu lyashiga ilikanza lyaho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nimi uyo agalisenga mpaga ulimala chiza ililale lyakwe aho lyashiga ilikanza lyaho, kunguno nuweyi agigulambijaga guitumama imilimo yakwe mpaga oyimala chiza ulu lyashiga ilikanza lyaho, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “unene nabelega.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwigulambija guitumama chiza imilimo yabho bho nduhu ugukeleja ulu lyashiga ilikanza lya milimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umubhutumami bhobho bhunubho.

Mathayo 3:12.

Yohana 15:1-2.

Luka 12:40.

KISWAHILI: MIMI NIMEFYEKA.

Kufyeka ni kukata miti kwa ajili ya kuandaa shamba la kulima. Alikuwepo mkulima aliyefyeta eneo kubwa kwa sababu ya kutaka kulima shamba kubwa kabisa. Mkulima huyo alililima vizuri shamba lake hilo mpaka akapata mazao mengi ya chakula kwa sababu ya kujibidisha kwake kufyeka mapema shamba lake hilo kubwa na kulilima vizuri. Ndiyo maana alisema kwamba, “mimi nimefyeka.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana umakini wa kuuliewa vizuri muda wa kuyatekeleza majukumu yake, maishani mwake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake vizuri mpaka anazimaliza unapofika tu muda wake bila ya kuchelewa, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya umakini wake huo wa kujibidisha kufanya kazi mpaka anazimaliza vizuri, kila unapofika wakati wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mkulima aliyefyeka shamba lake mpaka akalimaliza vizuri kwa sababu naye hujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yake mpaka anayamaliza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi nimefyeka.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kujibidisha kuyatakeleza vizuri majukumu yao kila unapofika muda bila ya kuchelewa, ili waweze kupata mali nyingi, maishani mwao.

Mathayo 3:12.

Yohana 15:1-2.

Luka 12:40.

roden-4985613_1280

ENGLISH: I HAVE CLEARED.

Clearing an area is wounding down shrubs with an aim of preparing a field for cultivation. There was a farmer who cleared a large area because he wanted to cultivate a very large field. Such farmer cultivated his field well until he got a lot of food crops because of his great effort enough to clear his large field early and cultivate it well. That is why he said, “I have cleared.”

This saying is paralleled to a man who is cautious enough to properly manage the time of carrying out his duties in his life. This person strives to do his works well until he finishes them within a required time without delaying, because of his thoughtfulness in life. He earns a lot of wealth in his family because of his responsiveness in working hard until he finishes his works well in his life.

This person is similar to the farmer who cleared his field until he finished it well in a required time because he also strives to carry out his duties well until he finishes them well in his life. That is why he says, “I have cleared.”

This saying imparts in individuals an idea of being cautious enough to do their duties well without delaying, so that they can gain numerous resources in their lives.

Matthew 3:12.

John 15:1-2.

Luke 12:40.

1341. GENAYO MAPONGO.

A mapongo bhali bhashilikale abho bhagadimaga bhanhu abho bhitaga mihayo ya bhubhi kugiki bhadule kubhalanhana abhananzengo na sabho jabho. Bhalihoyi bhashilikale abho bhikalaga mubhutemi bho bhuduhe. Abhashikale bhenabho bhagutumamaga unimo gobho chiza kunguno bhabhacholaga abhahubhi mpaga bhabhapandika niyo mulikanza ligushi. Hunagwene abhanhu bhagabhayomba giki, “genayo mapongo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhatumami abho bhagacholaga bhunhana umubhutumami bhobho. Abhanhu bhenabho bhagitaga bhukengeji ulu gwigelaga mhayo mpaga bhabhupandika ubhunhana na bhafunya ubhulamuji kunguno ya bhutengeke bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagabhambilija chiza abhanhu bhabho ugubhupandika ubhunhana kunguno ya bhutengeke bhobho bhunubho umubhutumami bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhashilikale abho bhatumamaga milimo yabho chiza bho guchola bhunhana, kunguno na bhoyi bhagitaga bhukengeji ulu gwegelaga mhayo mpaga bhabhupandika ubhunhana bho nduhu gung’wibhonela munhu nulu gunmandila oseose, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhayombaga giki, “genayo mapongo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutengeke bho gutumama milimo yabho bho nduhu gung’wibhonela nulu gunmandila munhu oseose, kugiki bhadule gwikala bho mholele chiza umukaya jabho.

Mathayo 5:24-25.

KISWAHILI: MAYO MAPOLISI.

Mapolisi ni watu wanaoshika watu walionatenda maovu ili kulinda usalama wa wananchi na mali zao. Walikuwepo polisi waliokuwa wakiishi kwenye utawala wa uduhe. Polisi hao walitekeleza kazi zao vizuri kwa sababu waliwatafuta watenda maovu mpaka wanawapata kwa muda mfupi. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “hayo mapolisi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao hutekeleza majukumu yao kwa kufuata haki na ukweli katika utumishi wao. Watu hao, hufanya utafiti wa kila tukio mpaka wanaupata ukweli ndipo wanatoa maamuzi, kwa sababu ya uaminifu wao huo katika utumishi huo, maishani mwao. Wao huwasaidia watu wao kupata haki zao upesi na vizuri kwa sababu ya uaminifu wao huo, katika utumishi wao.

Watu hao hufanana na wale polisi walioutekeleza utumishi wao vizuri kwa kufuata haki na ukweli, kwa sababu nao pia hufanya utafiti wa kila tukio mpaka wanaufahamu ukweli wake ndipo wanatoa maamuzi, bila ya kumpendelea au kumuonea mtu yeyote, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwatambua kwa kusema kwamba, “hayo mapolisi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa waaminifu kwa kuyatekeleza majukumu yao kwa kufuata haki na ukweli, ili waweze kuishi kwa amani, katika familia zao, maishani mwao.

Mathayo 5:24-25.

 

ENGLISH: THOSE ARE POLICES.

Polices are people who catch individuals who have committed crimes. They do so for protecting safety of citizens and their property. There were polices who lived in uduhe chiefdom. They performed their duties well because they searched for criminals until they caught them within a short time. That is why people said that, “those are polices.”

This saying is equaled to people who perform their duties by following justice and truth in their service. These people do decent research of every incident until they find the truth and then make decisions, because of their loyalty in their services. They aid their people enough to get their rights quickly because of their loyalty in their services.

These people resemble the polices who performed their services well by following justice and truth, because they also research every incident until they understand its truth and then make decisions, without favoring or oppressing anyone, in their lives. That is why people recognize them by saying that, “those are polices.”

This saying teaches individuals about being honest by carrying out their duties in accordance with justice and truth, so that they can peacefully live in their families.

Matthew 5:24-25.

 

botswana-952739_1280

1340. OJAGA DAGASHIDA.

Akahayile kenako kahoyelile bhuji bho kujigasho ja ndugu bho ng’wa munhu nhebhe. Aho kale olihoyi munhu uyo ojaga kujigasho ja ndugu bhuli ng’waka kunguno ya gutogwa gubhatongela chiza abhanhu bha muludugu lokwe lunulo. Abhanhu bha muchalo jakwe jinijo bhagandebha nose igiki agajaga kujigasho jinijo bhuli ng’waka kunguno ya kikalile kakwe kenako. Hunagwene bhagayomba giki, “ojaga dagashida.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli ntongeji obhanhu uyo agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umutumami bhokwe. Untongeji ng’wunuyo, agitaga jigasho na bhanhu bhakwe ja guhoyela bhutumami bho milimo yabho na njila ja gugamala wangu amakoye gabho bhuli ng’waka kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gubhadilila chiza abhnhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agajibhejaga chiza ichalo jakwe jinijo kunguno ya gubhatongela chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe.

Untongeji ng’wunuyo agikolaga nuyo ojaga kujigasho ja ndugu bhuli ng’waka, kunguno nuweyi agitaga jigasho ja guhoyela milimo yabho na bhanhu bha muchalo jakwe bhuli ng’waka, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhanyombaga giki, “ojaga dagashida.”

Akahayile kenako kalanga bhatongeji higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwitano jigasho na bhanhu bhabho ja guhoyelela milimo yabho bhuli ng’waka kugiki bhadule kupandika mafumilo matale, umukaya jabho.

Zaburi 133;1.

KISWAHILI: AMEENDA KWENYE KIKAO CHA NDUGU.

Msemo huo huongelea juu ya uendaji wa kwenye kikao cha ndugu wa mtu fulani. Hapo zamani alikuwepo mtu yule ambaye alikuwa akienda kwenye kikao cha ndugu kila mwaka kwa sababu ya upendo wa kuongoza vizuri watu wa ukoo wake. Watu wa kijiji hicho walimfahamu mwishowe kuwa yeye huenda kwenye kikao cha ukoo kila mwaka. Ndiyo maana walisema kwamba, “ameenda kwenye kikao cha ndugu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa kiongozi yule ambaye huwaongoza vizuri watu wake katika utumishi wake. Kiongozi huyo, huitisha mkutano wa watu wake wa kuongelea juu ya maendeleo ya kazi zao pamoja na utatuzi wa matatizo yao kwa sababu ya umaskini wake huo wa kuwajali vizuri wake hao, maishani mwake. Yeye hukiendeleza vizuri kijiji chake hicho kwa sababu ya kuwaongoza vizuri wake hao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeenda kwenye kikao cha ndugu kila mwaka, kwa sababu naye huitisha mkutano wa watu wa kuongelea juu ya maendeleo yao, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ameenda kwenye kikao cha ndugu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kufanya mkutano na watu wao kwa ajili ya kuongelea juu ya maendeleo yao, kila mwaka ili waweze kupata maendeleo makubwa, katika familia zao.

Zaburi 133:1.

 

ENGLISH: HE HAS GONE TO A RELATIVES’ MEETING.

This proverb talks about someone’s going to a relatives’ meeting. In the past, there was a man who went to a meeting of relative each year because of leading well his clan. The populaces of that village eventually learned that he nicely led such meeting every year. That is why they said that, “He has gone to a relatives’ meeting.”

This proverb is equaled to a leader who leads his people well in his service. This leader calls a meeting of his people so as to talk about progress of their works as well as solving their problems because of his responsiveness of caring well for his people. He develops his village well because of leading nicely his people.

This person is similar to the one who went to a relatives’ meeting every year, because he also calls a meeting of people for talking about their progress in his life. That is why people say, “He has gone to a relatives’ meeting.”

This saying imparts in people clue of being watchful enough to hold a meeting with their people for talking about their progress, each year so that they can achieve great progress in their families.

Psalm 133:1.

 

africa-4856283__480

africa-5274085_1280

festival-950064__480

1339. AMANDEGE GASHILA LYASAGA LIGONGOTE DUHU.

Aho kale bhalihoyi bhanhu abho bhayugulaga mandege bhagaponya amagongote gago. Munhu umo agalibhona iligongote ulipelela alihaya giki lilina mandege kunguno oliotubha noyi. Aho olidima umana igiki gashinaga lyasaga ligongote duhu uliponya. Hunagwene agayomba giki, “amandege gashila lyasaga ligongote duhu.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo olileka ililange lya nhungwa jakwe ijawiza ijo olinajo ikale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo olileka ililange lya gubhambilija chiza abhanhu abho bhalina makoye, ubhiza ng’wimi nholo, na ndalahija obhiye kunguno ya gwilunga mu magele ga bhang’wi bha walwa na bhabehi bha njemu, umuwikaji bhokwe. Uweyi agidumaga na bhanwani bhakwe aha kaya yakwe, kunguno ya gulileka ililange lyakwe ilyawiza linilo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga niligongote ilo gamala guyugulwa amandege galyo, kunguno nuweyi alileka iliange lyakwe ilya gwita mihayo ya wiza wandya gwita mihayo ya bhubhi, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “amandege gashila lyasaga ligongote duhu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleta gwilunga mumagele ga bhanhu abho bhagitaja mihayo ya bhubhi, bho gulidimila chiza ililange lyabho ilyawiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 3:14.

Mithali 14:4.

Mithali 14:23.

KISWAHILI: MAHINDI YALISHAISHA LIKABAKIA GUNZI TU.

Hapo zamani walikuwepo watu waliokuwa wanapukuchua mahindi na kuyatupa magunzi yake. Mtu mmoja aliliona gunzi mojawapo akalikimbilia akifikiri kwamba lina mahindi kwa sababu alikuwa ameshikwa na njaa sana. Alipolishika aligundua kwamba kumbe lilikuwa limebakia gunzi tu akalitupa. Ndiyo maana alisema kwamba, “mahindi yalishaisha likabakia gunzi tu.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule aliyeyaacha malezi mema aliyokuwa nayo hapo zamani, katika maisha yake. Mtu huyo, aliyaacha malezi yake mema ya kuwasaidia watu vizuri, akawa mchoyo na mwenye dharau kwa wenzake kwa sababu ya kujiunga na makundi ya walevi na wavuta bhangi, maishani mwake. Yeye hukosana na marafiki zake katika familia yake kwa sababu ya kuiacha tabia yake njema aliyokuwa nayo mwanzoni, akaiga tabia ya kutenda maovu, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na lile gunzi liliishiwa mahindi kwa kupukuchuliwa, kwa sababu naye ameiacha tabia yake njema ya kutenda mema kwa kuiga matendo maovu, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mahindi yalishaisha likabakia gunzi tu.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuiga matendo maovu kwa kuyaishi vizuri malezi mema, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mithali 3:14.

Mithali 14:4.

Mithali 14:23.

corn-4640522_1280

ENGLISH: THE MAIZE RAN OUT ONLY HUSK REMAINED.

In the past, there were people who were shelling maize and throwing away their husks. One man saw one of the husks and ran to it thinking that it contained maize because he was so hungry. When he caught it, he discovered that it was actually just a husk and threw it away. That is why he said, “the maize ran out only husk remained.”

This proverb is matched to an individual who left respectable upbringing which he had in his past life. Such person left his decent nurture of assisting people well, became greedy and contemptuous of his nobles because of joining groups of drunkards and drug addicts in his life. He is at odds with his friends in his family because of leaving his upright personality that he had at first, and imitated patterns of doing evil deeds in his life.

This individual resembles the husk that ran out of maize by being hulled, because he also has abandoned his decent custom of doing decent deeds by imitating evil deeds in his life. That is why people say to him that, “the maize ran out only husk remained.”

This proverb teaches people about stopping imitating evil deeds by living a respectable nurture, so that they can nicely rear their family members in their lives.

Proverbs 3:14.

Proverbs 14:4.

Proverbs 14:23.

1338. WANILOKOLA.

Bhalihoyi bhanhu abho bhakoyiyagwa ni koye lya gugayiwa jiliwa kuli likanza lilihu umuchalo jilebhe. Abhanhu bhenabho ligashiga likanza ilo bhagapandika jiliwa ja gufumila kuli munhu umo uyo agabhagunana kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhanhu bhenabho. Umo obhanhu abho bhagagunanwa bhenabho agulumba noyi ukuli ngunani obho ng’wunuyo. Hunagwene agayomba giki, “wanilokola.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja kufunya bhulumbi ukubhanhu abho bhagang’wambilijaga umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajitumilaga inhungwa jakwe jinijo bho gubhizuka na gubhalumbilija pye abhanhu abho bhagang’wambilijaga kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalelaga abhanhu bha ha kaya yakwe bho gwikala na bhulumbi ukubhichabho abho bhagabhagunanaga umukikalile kabho kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agafunya bhulumbi ukuli munhu uyo agabhinha jiliwa kunguno nuweyi agabhalumbilijaga abhanhu abho bhagang’wambilijaga umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “wanilokola.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa ja gufunya bhulumbi ukubhichabho abho bhagabhambilijaga ulu bhalina makoye, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji bhutale umukaya jabho.

Luka 17:11-15.

Luka 10:25-37.

KISWAHILI: NASHUKURU.

Walikuwepo watu waliokuwa wakisumbuliwa na tatizo ka kukosa chakula kwa muda mrefu katika kijiji fulani. Watu hao, ulifika wakati ambao walipata chakula kutoka kwa mtu mmoja aliyeamua kuwasaidia kwa sababu ya upendo wake kwao. Mmoja wa watu hao waliosaidiwa alishukuru sana kwa mtu yule aliyewasaidia. Ndiyo maana alisema kwamba, “nashukuru.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia ya kutoa shukrani kwa watu wanaomsaidia, katika maisha yake. Mtu huyo, huitumia tabia yake hiyo njema kwa kuwakumbuka na kuwashukuru watu waliomsaidia katika maisha yake kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huwalea watu walioko kwenye familia yake hiyo kwa kuishi maisha ya kutoa shukrani kwa wenzao wanaowaidia, katika maisha yao.

Mtu huyo hufanana na yule aliyetoa shukrani kwa mtu aliyewapatia chukula walipokuwa na njaa, kwa sababu naye huwashukuru watu wale wanaomsaidia maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nashukuru.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kutoa shukrani kwa wenzao wanaowasaidia katika kutatua matatizo yao, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa, katika familia zao.

Luka 17:11-15.

kanigo1

hands-5618238_1280

roast-1771671_1280

ENGLISH: I AM GRATEFUL.

There were people who suffered from food shortage hitch for a long time in a certain village. There came a time when they received food from a person who decided to support them because of his kindness to them. One of those people who were assisted was very grateful to such person who aided them. That is why he alleged that, “I am grateful.”

This saying is compared to an individual who has habit of giving thanks to people who support him in his life. This person uses his respectable custom by remembering and thanking people who assisted him in his life because of his helpfulness in his life. He nurtures people who stay in his family by living a life of giving thanks to their dukes who support them in their lives.

This person is similar to the one who gave thanks to the person who gave them food when they were hungry, because he also thanks people who aid him in his life. That is why he says, “I am grateful.”

This saying clarifies in societies an idea of expressing gratitude to their societal members who support them in solving their glitches, so that they can live happily in their families.

Luke 17:11-15.