Shinyanga

1383. NG’HASHA YAB’AKULUGENJI YALEMA GUTELA.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile ng’hasha ya walwa. Ing’hasha yiniyo jili jisanjo ijo ulu giki bhanhu bhuhaya gusiza walwa b’agandijaga guyib’eja iyagwiza gubhusanja uwalwa wenubho kunguno ya gubhukalihya. Iyoyi ilolile na mihayo ya b’akulugenji iyakale iyo mpaga na lelo dugwitumamilaga. Hunagwene abhanhu bhagayiyombaga giki, “Ng’hasha ya b’akulugenji yalema gutela.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalikalanaga chiza ililange lya bhatale bhakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agalikanaga ililange lya bhatale bhakwe bhenabho bho gubhalanga abhanhu bhakwe nhungwa ja gwikala na bhanhu chiza, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gubhalanga abhanhu bhakwe nhungwa ja gwikala na bhanhu chiza, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nhi ng’hasha ya bhakulugenji iyo igabhukalihyaga uwalwa, kunguno nuweyi agalikanaga chiza ililange lya bhabyaji bhakwe bho gubhalanga abhanhu bhakwe nhungwa ja gwikala na bhanhu chiza umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhaganyombaga giki “Ng’hasha ya b’akulugenji yalema gutela.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gulikalana chiza ililange lya bhatale bhabho bho gubhalanga abhanhu bhabho nhungwa ja gwikala na bhichabho chiza, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale, umukaya jabho.

Mathayo 24:35.

Luka 21:32.

1Wakorintho 7:31.

KISWAHILI: CHACHU YA WAKUU IMEKATAA KUFIFIA.

Chanzo na maana ya methali hii inaangalia chachu ya pombe. Chachu hiyo ni kikolezo ambacho watu wakitaka kupiga pombe huanza kukitengeneza kinachokuja kuchanganywa na pombe ili kuikoleza. Chachu hiyo pia ni maneno ya wakuu yaliyo ya zamani ambayo bado tunayatumia hadi leo. Ndiyo maana watu huisema kwamba, “chachu ya wakuu imekataa kufifia.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaishi vizuri malezi ya wakubwa wake katika maisha yake. Mtu huyo, huyaishi malezi hayo ya wakubwa wake kwa kuwafundisha watu wake maadili ya kuishi na watu vizuri, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye hupata furaha kubwa katika familia yake kwa sababu ya umakini wake huo wa kuwafundisha watu wake maadili ya kuishi vizuri na watu, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na ile chachu ya wakuu iliyokoleza pombe, kwa sababu naye huyaishi vizuri maadili ya wakuu wake kwa kuwafundisha watu wake maadili ya kuishi na watu vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humfananisha na chachu kwa kusema kwamba, “chachu ya wakuu imekataa kufifia.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuyaishi malezi ya wakubwa wao kwa kuwafundisha watu wao maadili ya kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa, katika familia zao.

Mathayo 24:35.

Luka 21:32.

1Wakorintho 7:31.

ENGLISH: THE YEAST OF THE ELDERS HAS REFUSED TO FADE.

The origin of meaning of this proverb looks at the yeast of alcohol. This yeast is a flavoring that people who want to prepare alcohol begin to make which is then mixed with alcohol to flavor it. It is also an old saying of the elders that we still use up to this day. That is why people say that, “The yeast of the elders has refused to fade.”

This proverb is related to a person who lives well the upbringings of his elders in his life. This person lives these upbringings of his elders by teaching his people about values ​​of living well with their fellows, because of his attention, in his life. He finds great happiness in his family because of his attention of teaching his people the values ​​of living well with others, in his life.

This person is like the yeast of the elders that fermented alcohol, because he also lives well the values ​​of his elders by teaching his people about the values ​​of living well with others, in his life. That is why people compare it to this yeast by saying that, “the yeast of the elders has refused to fade.”

This proverb teaches people about living the upbringing of their elders by teaching their people about the values ​​of living well with their nobles, so that they can live with great happiness, in their families.

Matthew 24:35.

Luke 21:32.

1 Corinthians 7:31.

1382. MBALU MAHULE LYADULYA MANG’OMBE.

Olihoyi munhu uyo atumamaga nimo gokwe uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo oliagutoliwe noyi unimo gokwe gunuyo kunguno goli na solobho nhale noyi umuwikaji bhokwe. Aliyo lulu uweyi agawilwa giki aguleke ugugutumama unimo gunuyo ulema bho gwilahila kunguno goli na sabho ningi umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayomba giki, “mbalu mahule lyadulya mang’ombe.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nzunya uyo alemile ugugulema unimo gogusalila, umukikalile kakwe. Unzunya ng’wunuyo, agagikalanaga chiza amalagilo ga ng’wa Sebha, kunguno antogilwe noyi UYesu, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga mbango ningi noyi umubhuzunya bhokwe kunguno ya gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Sebha umukikalile kakwe kenako.

Unzunya ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalema uguguleka unimo gokwe uyo oliagutoliwe noyi, kunguno nuweyi alemile uguguleka unimo gokwe ugo bhuzunya  uyo agutogilwe bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Sebha, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agilahilaga giki, “mbalu mahule lyadulya mang’ombe.”

Akahayile kenako kabhalanga bhazunya higulya ya gugudimila chiza unimo gunuyo bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Sebha, kugiki bhadule gupandika mbango ja gubhashisha Ng’wigulu.

Wakolosai 3:1-4.

KISWAHILI: MBALU MAHULE IMETUGHARIMU NG’OMBE.

Alikuwepo mtu aliyekuwa anafanya kazi yake aliyekuwa akiishi katika kijiji fulani. Mtu huyo, aliipenda sana kazi yake hiyo kwa sababu ilikuwa na faida kubwa sana maishani mwake.

Lakini yeye aliambiwa kwamba aache kuitekeleza kazi hiyo akakataa kwa kuapa kwa sababu ameigharimia ng’ombe kuipata kazi hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “mbalu Mahule imetugharimu ng’ombe.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mkristo ambaye hataki kuiacha kazi yake ya kusali, katika maisha yake. Mkristo huyo, huyaishi vizuri maagizo ya Bwana kwa sababu anampenda sana Yesu, maishani mwake. Yeye hupata Baraka nyingi sana katika ukristo wake kwa sababu ya kuyaishi vizuri maagizo ya Bwana katika maisha yake.

Mkristo huyo, hufanana na yule aliyekataa kuiacha kazi yake aliyoipenda sana, kwa sababu naye hukataa kuuacha ukristo anaopenda sana, kwa kuyaishi maagizo ya Bwana, maishani mwake. Ndiyo maana huapa kwa kusemakwamba, “mbalu Mahule imetugharimu ng’ombe.”

Msemo huo, hufundisha wakristo juu ya kuiishi kazi hiyo kwa kuyaishi maagizo ya Bwana, maishani mwao, ili waweze kupata Baraka za kuwafikisha Mbinguni.

Wakolosai 3:1-4.

ENGLISH: MBALU MAHULE IT HAS COSTED US A COW.

There was a man who was working and living in Sanjo village. Such man valued his job so much because it was accordingly profitable in his life.

But he was told to stop doing such job. He refused by swearing because he had cost a cow to get it. That is why he said that, “Mbalu Mahule it has costed us a cow.”

This saying is likened to a Christian who does not want to leave his work of prayer, in his life. Such Christian lives well the commandments of the Lord because he loves Jesus very much, in his life. He receives a lot of blessings in his Christianity because of living well the commandments of the Lord in his life.

This Christian resembles the one who refused to leave his job that he valued so much, because he also refuses to leave the Christianity that he likes so much, by living according to the commandments of the Lord, in his life. That is why he swears by saying that, “Mbalu Mahule it has costed us a cow.”

This saying imparts in Christians an idea living according to the Lord’s instructions in their lives, so that they can receive blessings that will take them to Heaven.

Colossians 3:1-4.

1381. NAPUGILWA NG’WANANGWA.

Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe na Ng’wanangwa okwe. Umunhu ng’wunuyo oli munhu o makoye mingi noyi mpaga nose ung’wanangwa okwe umana unzengi okwe kunguno oliadamalaga imihayo. Hungwene ung’wanangwa okwe aganema nang’hwe uyomba giki, “napugilwa ng’wanangwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli ntongeji obhanhu uyo agadumaga ugwiyumilija ulupandikaga makoye umukikalile kakwe. Untongeji ng’wunuyo, agabhapejaga abhanhu bhakwe abho bhagajaga gujuchola wambilijiwa bho gugamala amakoye genayo aha ng’wakwe, kunguno ya gugayiwa wiyumilija bhunubho, umubhutongeji bhokwe. Uweyi agadumaga ugubhatongela chiza abhanhu bhakwe kunguno ya gugayiwa wiyumilija bhunubho, umubhutongeji bhokwe.

Untongeji ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wanangwa uyo aganema unzengi okwe uyo olinamakoye, kunguno nuweyi agabhapejaga aha ng’wakwe abhanhu bhakwe abho bhali na makoye ulu bhalichola wambilijiwa bho gugamala amakoye gabho genayo, umubhutongeji bhokwe. Hunagwene bhagayombaga giki, “napugilwa ng’wanangwa.”

Akahayile kenako kalanga bhatongeji bha bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gubhambilija abhanhu bhabho ugugamala wangu amakoye gabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji umubhutongeji bhobho bhunubho.

Yakobo 5:8.

2 Timotheo 1:8.

1Wakorintho 13:4-7.

1 Petro 2:19.

 

KISWAHILI: NIMETENGWA NA KIONGOZI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akiishi kwenye kijiji fulani na kiongozi wake. Mtu huyo alikuwa mtu wa matatizo mpaka mwishowe kiongozi alimfahamu mwananchi wake huyo kwa sababu alikuwa hamalizi matatizo. Ndiyo maana kiongozi wake huyo alimkataa, naye akasema kwamba, “nimetengwa na kiongozi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa kiongozi wa watu yule ambaye hushindwa kuwavumilia watu wake waliopata matatizo, katika maisha yake. Kiongozi huyo, huwafukuza nyumbani kwake watu wake wanaotafuta msaada wa kutatuliwa matatizo yao, kwa sababu ya kukosa uvumulivu huo, katika uongozi wake. Yeye hushindwa kuwaongoza watu wake vizuri kwa sababu ya kukosa uvumilivu huo katika uongozi wake.

Kiongozi huyo, hufanana na yule aliyemkataa mwananchi wake aliyekuwa na matatizo, kwa sababu naye huwafukuza nyumbani kwake watu wake wanaotafuta msaada wa kutatuliwa matatizo yao, katika uongozi wake. Ndiyo maana watu hao,  husema kwamba, “nimetengwa na kiongozi.”

Msemo huo, hufundisha viongozi wa watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwasaidia katika kuyatatua matatizo ya watu wao, ili waweze kuishi kwa furaha katika uongozi wao.

Yakobo 5:8.

2 Timotheo 1:8.

1Wakorintho 13:4-7.

1 Petro 2:19.

ENGLISH: I HAVE BEEN SEPARATED BY THE LEADER.

There was a man who lived in a certain village with his leader. Such man had a number of problems until his leader recognized him because he did not finish problems. That is why his leader rejected him who said that, “I have been separated by the leader.”

This saying is matched to a leader of people who is unable to tolerate his people who have problems in their lives. Such leader drives away from his home his people who seek help for solving their problems, because of his lack of patience, in his leadership. He fails to lead his people well because of his lack of patience in his leadership.

This leader is similar to the one who rejected his fellow citizen who had problems, because he also drives away from his home his people who seek help for solving their problems, in his leadership. That is why those people say that, “I have been separated by the leader.”

This proverb teaches leaders about being patient by helping their people enough to solve their problems, so that they can live happily under their leadership.

James 5:8.

2 Timothy 1:8.

1 Corinthians 13:4-7.

1 Peter 2:19.

 

1380. NALIB’ACHA NANE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhubhacha bho moto bho ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo olinabhiye abho bhabhachaga moto goguzugila jiliwa bhuli ng’wene ulu lyashiga ilikanza lyakwe, kunguno unimo gunuyo golechaga bhukuji bho ng’wa munhu. Hunagwene aho ogubhacha umoto umunhu ng’wunuyo agayomba giki, “nalib’acha nane.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo winhagwa liko na bhabyaji bhakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aginhagwa liko na bhabyaji bhakwe ulu utola na gwizugila liko lwakwe kunguno obhejaga kaya iyo bhaguyuja abhanhu bhagazugilwa jiliwa bhalya hoyi, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabheja kaya ya guyubhalanga abhanhu bhakwe lilange lya wiza kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho ubho olangwa na bhabyaji bhakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhacha moto go guzugila jiliwa ja gulya abhanhu, kunguno nuweyi agabhejaga kaya ya guyubhazugila jiliwa bhalya abhanhu ulu bhajaga hoyi, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nalib’acha nane.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhalanga abhichabho wizanholo bho gubhagalila jiliwa jawiza abhageni bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi umukaya jabho.

Matendo ya mitume 28:2.

Matengo ya mitume 7:30.

Warumi 12:13.

Wakolosai 4:10.

Waebrania 13:2.

KISWAHILI: NIMELIWASHA NAMI.

Chanzo cha msemo huo huongelea uwashaji wa moto wa mtu fulani. Mtu huyo alikuwa na wenzake waliokuwa wakiwasha moto wa kupikia kila mmoja unapofika muda wake, kwa sababu kazi hiyo ilionesha ishara ya kukua kwa mtu huyo. Ndiyo maana yule aliyeuwasha moto huo alisema kwamba, “nimeliwasha nami.”

Msemo huo hufananishwa kwa mtu yule aliyepewa jiko na wazazi wake katika maisha yake. Mtu huyo, hupewa jiko na wazazi wake hao akioa na kuanza kujipikia kwenye jiko lakwe mwenyewe kwa sababu amejenga familia ya kuwapikia chakula cha kula watu wanaoenda pale, maishani mwake. Yeye hujenga familia ya kuwapatia watu malezi mema kwa sababu ya ukarimu wake huo alioupata kutoka kwa wazazi wake hao.

Mtu huyo hufanana na yule aliyewasha moto wa kupikia chakula cha kula watu, kwa sababu naye amejenga familia ya kuwapikia watu chakula cha kula wanapofika pale, nyumbani kwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimeliwasha nami.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwapatia wenzao malezi ya ukarimu wa kutunza wageni vizuri, ili waweze kuishi kwa furaha katika familia zao.

Matendo ya mitume 28:2.

Matengo ya mitume 7:30.

Warumi 12:13.

Wakolosai 4:10.

Waebrania 13:2.

ENGLISH: I HAVE ALSO LIGHTED IT.

The origin of this saying refers to a lighting of a fire by someone. There were colleagues who lighted a cooking fire one by one. One of them waited for his time to do so because such task showed a sign of a person’s growth in life. That is why such person after lighting such fire said that, “I have also lighted it.”

The saying is likened to a person who got married in his life. Such person is given a chance by his parents to stay at his family house with her wife. They start cooking food at their own kitchen because of building such family for providing people who visit them with food in their lives. Such person builds a decent family enough to provide people with virtuous upbringings because of the generosity which he received from his parents.

This person is like the one who lit the cooking fire for people, because he also has built a family that can cook food for people to eat who visit at his home. That is why he says, “I have also lighted it.”

This saying imparts in people a clue of providing their neighbors with hospitality of taking respectable care of strangers, so that they can live happily in their families.

Acts 28:2.

Acts 7:30.

Romans 12:13.

Colossians 4:10.

Hebrews 13:2.

1379. LOLAGA GUMITWALILI.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo agatung’wa gujusola ginhu ijo jalijitulile kumitwe ya bhulili. Umunhu ng’wunuyo agaduma ugujibhona ijikolo jinijo kunguno ololaga kungi duhu.  Uweyi agakija ugwitegeleja chiza aho alitung’wa ugujujisola ijikolo jinijo. Hunagwene uyo agantuma agang’wila giki, “lolaga gumitwalili.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aditegelejaga chiza ulu alinhiwa nimo go gutumama na bhatale bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga wikanika mihayo yingi ulu alitung’wa gujutumama nimo na bhatale bhakwe bhenabho kunguno ya guduma gwitegeleja chiza umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agagayiyaga imilimo ya gung’wenhela sabho aha kaya yake kunguno ya gukija gwitegeleja chiza ulu alinhiwa imilimo na bhatale bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agakija gwitegeleja chiza aho agatung’wa gujusola ginhu ijo jalijitulile kumitwe ya bhulili, kunguno nuweyi aditegelejaga chiza ulu alinhiwa nimo na bhatale bhakwe umuwikaji bhokwe. Hunagwene bhagang’wilaga giki, “lolaga gumitwalili.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wigeteleja bho guidebha chiza imilimo iyo bhalinhiwa na bhatale bhabho, kugiki bhadule guitumama chiza imilimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Kutoka 3:13-14.

2Wafalme 5:6.

Isaya 61:1.

Marko 6:7.

KISWAHILI: ANGALIA KICHWANI.

Msemo huo huongelea mtu aliyetumwa kwenda kuchukua kitu ambacho kilikuwa kichwani mwa kitanda. Mtu huyo alishindwa kukiona kitu hicho kwa sababu alikuwa akiangalia kwengine tu. Yeye hakuwa na umakini wa kusikiliza maelekezo ya yule aliyekuwa akimtuma kwenda kukichukua kitu hicho. Ndiyo maana yule mtu aliyemtuma alimwambia kwamba “angalia kichwani.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hasikilizi vizuri anapopewa kazi na wakubwa wake, katika maisha yake. Mtu huyo huwa anawaza mawazo mengine anapopewa kazi na wakubwa wake, kwa sababu ya kutokusikiliza vizuri maelekezo maishani mwake. Yeye hukosa kazi za kumpatia mali kwenye familia yake kwa sababu ya kukosa umakini wa kusikiliza vizuri anapopewa kazi na wakubwa wake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye hakusikiliza kwa umakini alipotungwa kwenda kuchukua kitu kilichokuwa kimekwa kichwani mwa kitanda, kwa sababu naye huwa hasikilizi kwa umakini anapopewa kazi na wakubwa wake, maishani mwake. Ndiyo maana wao humwambia kwamba, “angalia kichwani.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzielewa vizuri kazi wanazopewa na wakubwa wao, ili waweze kuzitekeleza vziuri kazi hizo, maishani mwao.

Kutoka 3:13-14.

2Wafalme 5:6.

Isaya 61:1.

Marko 6:7.

ENGLISH: LOOK AT THE HEAD.

This saying refers to a person who was sent to pick up something that was put at a bed head side. This person failed to see it because of looking elsewhere. He was not paying attention to an instruction of the one who sent him to pick it up. That is why such person told him to “look at the head.”

This saying is equated to a person who does not listen well to what is said when he is given a task by his superiors. Such person tends to think of other things when he is given a task by his seniors, because of not paying attention to the given instructions in his life. He misses chances that would provide him with wealth for his family developments because of not paying such attention to those instructions of doing a given task by his elders in his life.

This person is like the one who did not listen carefully what he was told when he was ordered to pick up something that was put at the bed head side, because he also does not listen carefully to instructions of doing a given task by his directors, in his life. That is why they tell him to “look at the head.”

This saying teaches people about being careful enough to understand directions of doing the assigned tasks to them by their seniors, so that they can nicely carry them out in their lives.

Exodus 3:13-14.

2 Kings 5:6.

Isaiah 61:1.

Mark 6:7.