sayings

1451. LYALIMBU.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile munhu uyo otumamaga nimo gokwe mpaga ogumala chiza. Umunhu ng’wunuyo agagutumama unimo gunuyo bho nguzu ningi mpaga lyugalibhila ilimi kunguno ohayaga agumale wangu. Uweyi agagumala chiza unimo gokwe kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama nimo mpaga lyagalibhila ilimi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “lyalimbu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo olinkamu o gutumama milimo yakwe chiza mpaka oyimala, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe gwingila diyu mpaka oyimala chiza kunguno ya bhukamu bhokwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama chiza mpaka oyimala imilimo yakwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatumama nimo gokwe mpaga ogumala, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaka oyimala chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lyalimbu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mhubiri 3:1-12.

2Thimotheo 4:2.

KISWAHILI: LA JUA KUCHWA.

Chanzo cha msemo huo humwangalia mtu aliyefanya kazi yake mpaka akaimaliza. Mtu huyo, aliitekeleza kazi yake hiyo kutwa nzima kwa sababu alitaka kuimaliza haraka. Yeye aliimaliza vizuri kazi yake hiyo kwa sababu ya bidii yake ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake kutwa nzima. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba ni “la jua kuchwa.”

Msemo huo hulinganishwwa kwa mtu mwenye bidii ya kufanya kazi zake vizuri mpaka anazimaliza, katika maisha yake. Mtu huyo hujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yake kuanzia asubuhi mpaka anayamaliza kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi katika familia yake hiyo kwa sababu ya bidii yake ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake hayo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeitekeleza vizuri kazi yake mpaka akaimaliza, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake vizuri mpaka anazimaliza, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba ni “la jua kuchwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mhubiri 3:1-12.

2Thimotheo 4:2.

1450. ALI NIBALE.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo oligugilaga ilibale lyakwe. Umunhu ulinibale ilo olibhisaga ukubhalagu bha libale linilo kunguno ya kubhona soni jakwe jinijo. Uweyi agalikuja nose ililonda lyakwe mpaka abhanhu bhumonija ilibale linilo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki “alinibale.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandika makoye ugabhisa mpaga ganemela, umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, apandikaga makoye giti sata wikala nayo bho nduhu uguyichala ugubhugota kunguno ya gubhona soni, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agaminyiyagwa na makoye genayo aga sata mpaga yanemela uguipicha, umukikalile kakwe.

Munhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhisaga libhale lyakwe mpaka nose lyukula, kunguno nuweyi agabhisaga amakoye gakwe gakula mpaka bhagabhona abhiye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhiye bhenabho bhagang’wilaga giki, “ali nibale.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya gujichala kubhugota wangu isata jabho, kugiki bhadule gugamala wangu amakoye genayo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Kutoka 23:25.

Kumbukumbu la Torati 7:15.

Mathayo 8:17.

Kumbukumbu la Torati 28:59.

KISWAHILI: ANA KIDONDA.

Msemo huo huongelea mtu aliye kuwa na kidonda chake. Mtu huyo alikuwa na kidonda alichokificha kwa watu kidonda hicho kwa sababu ya kuona aibu kwake huko. Mwishowe yeye alikikikuza kidonda chake mpaka watu wakaelewa kuwa ana kidonda hicho. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “ana kidonda.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupata matatizo akayaficha mpaka yanamzidi uwezo wa kuyatatua, katika maisha yake. Mtu huyo hupata matatizo yakiwemo yale ya ugonjwa anakaa nayo bila ya kuyapelekea hositalini kwa sababu ya kuona aibu kwakwe huo, maishani mwake. Yeye huumizwa na matayo hayo ya magonjwa mpaga yanashindikana kupona kwa sababu ya aibu yake hiyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeficha kidonda chake mpaka kikawa kikubwa, kwa sababu naye huyaficha matatizo yake ya ugonjwa mpaka wanayaona wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana wenzake hao husema kwamba, “ana kidonda.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwahi kuyapeleka magonjwa yao hositalini wanapougua, ili waweze kuyatatua haraka matatizo hayo, maishani mwao.

Kutoka 23:25.

Kumbukumbu la Torati 7:15.

Mathayo 8:17.

Kumbukumbu la Torati 28:59.

1449. ALI NIFOGONG’HO.

Akahayile kenako kamhoyelile munhu uyo wikalaga nifogong’ho. Umunhu ng’wunuyo olilanhanaga chiza ilifogong’ho linilo kunguno ojituulilaga mhiya jakwe moyi ijo jang’wambilija gumala makoye gakwe.

Abhanhu bhagandebha nose igiki agajililaga munuyo imhiya jakwe kunguno wikalaga nalyo nhangala ningi. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “ali nifogong’ho.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu o masala miza uyo adebhile ugujilanhanga chiza isabho jakwe umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga abhanhu bhakwe ugujitumamila chiza na gujituula hasoga isabho ijo bhagajipandikaga umutumami bhobho, kunguno ya masala gakwe agawiza genayo umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi ahakaya yakwe kunguno ya bhumani bho masala gakwe agagujilanhana chiza isabho jakwe jinijo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ojilanhanaga chiza imhiya jakwe bho gujituula mulifogong’ho lyakwe ilo wikalaga nalyo linilo, kunguno nuweyi alina masala miza agagujilanhana chiza isabho jakwe mpaga osabha, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ali nifogong’ho.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala miza agagujilanhanila chiza isabho ijo bhajipandikaga umubhutumami bhobho, kugiki jidule gubhambilija ugubheja chiza umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Matendo 19:35.

Luka 13:7.

KISWAHILI: ANA MKOBA.

Msemo huo, humwongelea mtu aliye kuwa na mfuko. Mtu huyo aliutunza vizuri mfuko huo kwa sababu aliziweka humo pesa zake zilizomsaidia katika kutatua matatizo yake. Watu walielewa mwishowe kuwa alizitunzia humo pesa zake kwa sababu ya kuwa nao huo mfuko mara nyingi. Ndiyo maana walisema kwamba, “ana mkoba.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu mwenye akili za kuelewa kuzitunza vizuri mali zake katika maisha yake. Mtu huyo, huwafundisha watu wake juu ya kuzitumia vizuri na kuzitunzia pazuri mali wanazozipata katika kazi zao kwa njia maisha yake mpaka wanamuelewa vizuri, kwa sababu ya akili zake hizo njema, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake hiyo kwa sababu ya uelewa wa akili zake hizo katika kuzitunza vizuri mali zake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyezitunza pesa zake kwa kuziweka kwenye mfuko wake aliokuwa nao mara nyingi, kwa sababu naye ana akili njema za kuzitunza vizuri mali zake mpaka anatajirika, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ana mkoba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili njema za kuwasaidia katika kuzitunza vizuri mali zao, ili ziweze kuwasaidia katika kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.

Matendo 19:35.

Luka 13:7.

1448. BHULI NDUMA YINA NDUMA NYIYE.

Aho kale olihoyi ntongeji o muchalo jimo umubhutemi bho bhuduhe. Untongeji ng’wiyuno ofunyaga long’we umuchalo jakwe ya gubhawila abhanhu bhakwe gwitimija iyo ayitogilwe uweyi kunguno ya bhutale bhokwe bhunubho. Uweyi agageniha ugafunya long’we muchalo ja bhange kunguno oliadajidebhile chiza inbinbi ja bhugelelo bho chalo jakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “bhuli nduma yina nduma nyiye.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinibhengwe kubhiye lya guyomba mihayo yakwe bho nduhu gubhiza na lubhimbi, umukikalile kakwe.  Umunhu ng’wunuyo agayombaga mihayo yakwe bho gubhadalahija abhiye umumahoya gakwe kunguno ya libhengwe lyakwe linilo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga widuma na bhanhu bhuli makanza aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya libhengwe lyakwe linino ilya guyomba mihayo yakwe bho nduhu gubhiza na lubhimbi, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikologa nu ntongeji uyo oliadajimanile inbinbi ja chalo jakwe mpaga nose ugafunya long’we muchalo ja bhangi, kunguno nuweyi alinibhengwe lya guyomba mihayo yakwe bho nduhu gubhiza na lubhimbi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhuli nduma yina nduma nyiye.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guchagulila mihayo miza ulubhalihoya na bhanhu bhabho umumahoya gabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Matendo ya mitume 13:45-47.

Isaya 28:10-13.

KISWAHILI: KILA MKUBWA ANA MKUBWA WAKE.

Hapo zamani alikuwepo kiongozi wa kijiji kimoja katika utawala wa bhuduhe. Kiongozi huyo, alikuwa akitoa amri kwa watu wake ya kuwaambia watekeleze kile alichokitaka yeye kwa sababu ya ukubwa wake huo. Yeye alienda ugenini akaanza kutoa amri kwenye kijiji ambacho siyo chake, kwa sababu hakuifahamu vizuri mipaka ya kijiji chake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “kila mkubwa ana mkubwa wake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anadharau kwa wenzake ya kuongea maneno bila ya kuwa na mipaka, katika maisha yake. Mtu huyo, huongea maneno yake kwa kuwadharau wenzake katika maongezi yake hayo kwa sababu ya dharau yake hiyo kwa wenzake, maishani mwake. Yeye hukosana na watu wake mara nyingi katika familia yake kwa sababu ya dharau yake hiyo ya kuongea maneno bila kuwa na mipaka, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule kiongozi asiyeielewa mipaka yake mpaga akatoa amri kwenye kijiji cha mwingine, kwa sababu naye anadharau ya kuongea maneno yake bila ya kuwa na mipaka, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kila mkubwa ana mkubwa wake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuchagua vizuri maneno ya kuongea na watu katika maongezi yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Matendo ya mitume 13:45-47.

Isaya 28:10-13.

1445. INHANDA IGAPUGIJIYAGWA KULE.

Imbuki ya lusumo lunulo ihoyelile ningi o ndimu yose yose iyo ilinhanda. Uningi o ndimu yiniyo agatumilaga masala mingi uguilinga indimu yiniyo mpaga oipuja kunguno adadulile uguipuja bho guibhulugutila sagala. Uweyi agayizaga bho chiza chiza, haho itali kule kunguno idulule gunemaja ulu wiyegela sagala sagala. Hunagwene agayombaga giki, “inhanda igapugijiyagwa kule.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile ugwikala chiza nu munhu unshilimu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahoyaga nu munhu unshilimu bho gutumila masala mingi ayo gagang’wambilijaga ugwikala chiza nanghwe, nulu gunanda jiloko kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga bho mholele nu munhu unshilimu ng’wunuyo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ningi o ndimu uyo agatumila masala mingi mpaga wipuja bho kule indimu inhanda yiniyo, kunguno nuweyi agatumilaga masala mingi mpaga wikala chiza nu munhu unshilimu ng’wunuyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “inhanda igapugijiyagwa kule.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gubhambilija ugutumama milimo yabho na gwikala chiza na bhanhu, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 16:1-8.

KISWAHILI: MJANJA HUNASWA KWA MBALI.

Chanzo cha methali hiyo huongelea mwindaji wa mnyama yeyote yule ambaye ni mjanja. Mwindaji wa mnyama huyo hutumia akili nyingi za kumwinda mnyama huyo mpaka anafanikiwa kumnasa kwa sababu hawezi kumnasa kwa kumuijia hovyo. Yeye humwendea polepole akiwa mbali kwa sababu mnyama huyo anaweza hata kumjeruhi akimwendea hovyo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mjanja hunaswa kwa mbali.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule anayeelewa kuishi vizuri na mtu mjanja, katika maisha yake. Mtu huyo, huongea na mtu mjanza kwa kutumia akili nyingi ambazo humsaidia katika kuishi naye vizuri hata hufikia hatua ya kumuazima vitu, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huishi kwa amani na mtu mjanja kwa sababu ya umakini wake huo katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwindaji aliyetumia akili nyingi mpaka akamnasa kwa mbali mnyama mjanja, kwa sababu naye hutumia akili nyingi mpaka anaweza kuishi vizuri na mtu mjanja, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mjanja hunaswa kwa mbali.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kutumia akili nyingi katika kuyatekeleza majukumu yao na kuishi na watu wao vizuri, ili waweze kupata maendeleo mengi, maishani mwao.

Luka 16:1-8.