sayings

1223. NAMANHYA NAYO INGWESHI IBHUCHIJE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo agatung’wana na ngweshi umulugendo lokwe. Ingweshi yiniyo, kali kashinu kagulala aka kagabhuchaga nghumbi nulu ngino na jingi jingi kagajisimbila hasi. Akoyi kagajicholaga ijikolo mpaga kajipandika na kujibhucha kagajituula bho kujisimbila hasi chiza. Hunagwene umunhu uyo agatung’wana nayo agayomba giki, “namanhya nayo ingweshi ibhuchije.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajicholaga ijikolo mpaga ojipandika na kujituula chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga kutumama milimo yakwe chiza aha kaya yakwe kunguno ya bhukamu bhokwe ubhogutumama milimo yakwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga jikolo nyingi ijo agajituulaga chiza aha kaya yakwe, kunguno ya bhukamu bho gutumama chiza milimo na witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ngweshi iyo ipandikaga jikolo yajibhucha na kujujituula chiza, kunguno nuweyi agigulambijaga kutumama milimo mpaga ojipandika ijikolo na gujituula chiza aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu abho bhagatung’wanaga nawe bhagibhiwilaga giki, “namanhya nayo ingweshi ibhuchije.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho mpaga bhajipandika ijikolo na kujilanhana chiza, umukaya jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:44.

Mathayo 25:14-30.

KISWAHILI: NIMEKUTANA NAYE NONDO AMEBEBA.

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya mtu aliyekutana na nondo aliyekuwa amebeba mzigo. Nongo huyo ni mdudu arukaye ambaye hubeba panzi, funza na vingine vingi, kwenda kuvichimbia ardhini. Yeye hutafuta vitu mpaka anavipata na kuvichukua kwenda kuvichimbia ardhini anapotunzia mali zake. Ndiyo maana yule mtu aliyekutana naye alisema kwamba, “nimekutana naye Nondo amebeba.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutafuta vitu mpaka anavipata na kuvitunza vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake vizuri kwenye familia yake kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi ambazo huzitunza kwa kuziweka vizuri katika familia yake kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi kwa umakini, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule Nondo aliyepata vitu na kuvitunza kwa kuviweka vizuri, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi mpaka anapata mali na kuziweka vizuri katika familia yake. Ndiyo maana wale wanaokutana naye huambiana kwamba, “nimekutana naye Nondo amebeba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri mpaka wanapata mali na kuzitunza vizuri, ili ziweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Mathayo 13:44.

Mathayo 25:14-30.

ENGLISH: I HAVE MET A MOTH CARRYING.

This saying talks about a person who met a moth that was carrying a load. The moth is a flying insect that carries grasshoppers, worms and many others which it keeps them digging a hole for them in the ground. It looks for things until it finds them and takes them to a dug hole in the ground where it takes care of his possessions. That is why the person who met it said that, “I have met a Moth carrying.”

This saying is compared to a person who searches for things until he finds them and takes good care of them in his life. Such person has to do his work well in his family because of his hard working life. He gets a lot of assets which he keeps them well in his family because of his hard working life.

This person is like the Moth that found things and took care of them by keeping them well, because he also works hard until he gets good wealth enough keep them well in his family. That is why those who meet him tell each other that, “I have met a Moth carrying.”

This saying teaches people on how to work hard by doing their jobs well until they get good wealth enough to take good care of them, so that they can help them well, in their lives.

Matthew 13:44.

Matthew 25:14-30.

insect-8182145_1280

 

 

 

 

1221. NABHILE JILATU JIDAZWALAGWA BHANIGINI.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, oliokula bho gwingila mubhunigini wingila mubhutale uyo wilenganijaga na jilatu kunguno abhanhu abhadoni badajizwalaga ijilatu ija bhatale. Jidalatu jinijo jidubhigelelwa kunguno amagulu gabho gatali madoo, ijoyi jigubhihulunguta duhu. Hunagwene agayomba giki, “nabhile jilatu jidazwalagwa bhanigini.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu ntale uyo agitaga miito ga nyatale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga kajile ka wiza abhile bho gubhitila miito gi kujo ayo gali ga nyatale kunguno ya likujo lwakwe ilo alinavyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agailelaga chiza ikaya yakwe bho gwikala bhikujije chiza kunguno ya lilange lwakwe ilya wiza linilo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo akagula uyita miito ga nyatale ayo bhaditaga abhanigini, kunguno nuweyi agitaga miito ga ng’watale ayo gagang’winhaga likujo lya guilela chiza ikaya yakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nabhile jilatu jidazwalagwa bhanigini.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwita miito gikujo bho guleka ayo galiganyanigini umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Kumbukumbu la Torati 32:7.

Waefeso 6:1-4.

KISWAHILI: NIMEKUWA KIATU KISICHOVALIWA WATOTO.

Chanzo cha msemo huo, huangalia mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo, alikua kwa kutoka katika utoto na kuingia ukubwani, aliyejilinganisha na kiatu kwa sababu watoto hawawezi kuvaa kiatu cha wakubwa. Kiatu hicho kitawapyawa watoto hao kwa sababu miguu yao bado ni midogo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimekuwa kiatu kisichovaliwa watoto.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu mkubwa ambaye hufanya matendo ya yenye busara, katika maisha yake. Mtu huyo, huwafundisha mwenendo mwema wenzake kwa kupitia matendo yake hayo yenye busara kwa sababu ya hekima aliyo nayo, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kuilea kwa kuheshimiana vyema familia yake kwa sababu ya malezi yake hayo mema, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekua akatenda matendo ya yenye busara yasifanywa na watoto, kwa sababu naye hutenda matendo yenye busara ambayo humpatia heshima ya kuilea vyema familia yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimekuwa kiatu kisichovaliwa watoto.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na busara ya kutenda matendo mema kwa kuacha matendo ya kitoto katika kazi zao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kumbukumbu la Torati 32:7.

Waefeso 6:1-4.

ENGLISH: I HAVE BECOME A SHOE THAT IS NOT WORN BY CHILDREN.

The source of this saying looks at a person who lived in a certain village. Such person grew from childhood to adulthood by comparing himself to a shoe because children cannot wear the shoes of adults. Such shoe will not be given to children because their feet are still small. That is why he said that, “I have become a shoe that is not worn by children.”

This saying is related to a great person who does wise actions in his life. That person teaches good behavior to his colleagues through his wise actions because of his wisdom in life. He succeeds in raising his family members well by respecting each other because of his good upbringing, in his life.

This person is similar to the one who grew up by doing wise deeds which are not done by children, because he also does wise deeds that give him honor of raising his family members well. That is why he says that, “I have become a shoe that is not worn by children.”

This saying teaches people about being wise enough to do good deeds by leaving childish actions in their works, so that they can raise their family members well in their lives.

Deuteronomy 32:7.

Ephesians 6:1-4.

boot-250012_1280

1220. DAYUNG’WAGA AKABHUNONU KALI KULE KAGUDEGELEKEJA.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhanhu abho bhang’waga ginhu ja gusanja jinonelejo. Ijinonejo jinijo jili giti sukali, bhushishi, na jingi jingi ijo jikolile na jinijo. Ijoyi jigongejaga bhunoni giti gutyila munhu mumakubhi, nulu guditila ng’asha muwalwa.

Abhanbu bhenabho bhang’waga walwa ubho bholibhutafulile ing’asha kunguno bhakigwa akabhunonu bho kule umubhung’wi bhobho bhunubho. Hunagwene bhagayomba giki, “dayung’waga akabhunonu kali kule kagudegelekeja.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo guti go guzuga kinhu okija ugugumala chiza, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agabhizaga adamanile ugujidebhela chiza ijisanjo ja jiliwa jakwe umubhutumami bhokwe kunguno ya kuleka gugudilila chiza unimo gokwe gunuyo. Uweyi agadumaga uguyilanga gutumama milimo chiza ikaya yakwe kunguno ya guleka guidilila mpaga oyimana chiza imilimo yakwe yiniyo, umubhutumami bhokwe, bhunubho.

Unimo go ng’wa munhu ng’wunuyo, gugikolaga nu walwa ubho bhulibhudafulile chiza ing’asha, kunguno nugoyi gudatumamilwe mpaga gushila chiza. Hunagwene abhanhu bhagagulolaga bhayomba giki, “dayung’waga akabhunonu kali kule kagudegelekeja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guidebha na guitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umubhutumami bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:13.

Yohana 2:1-11.

Luka 13:21.

Wagalatia 5:9.

KISWAHILI: TULIKUWA TUNAKUNYWA UTAMU ULIKUWA KWA MBALI.

Chanzo cha msemo huo, kilianzia kwa watu waliokuwa waking’wa kitu ambacho huchangang’wa na kikolezo. Kikolezo hicho ni kama: sukari, ukwaju, na vingine vingi vinavyofanana na hivyo. Vyenyewe huongeza radha ya utamu kama vile kutia chumvi kwenye mboga au kutia chachu kwenye pombe.

Watu hao, walikuwa wanakung’wa pombe ambayo chachu yake haikukolea vizuri kwa sababu ile radha ya utamu walikuwa wakiisikia kwa mbali katika unywaji wao. Ndiyo maana walisema kwamba, “tulikuwa tunakunywa utamu ulikuwa kwa mbali.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hazimalizi vizuri kazi zake zikiwemo zile za kupika kitu fulani, katika utekelezaji wa majukumu yake. Mtu huyo, huwa havielewi vizuri vigezo au vikolezo vya kazi yake kwa sababu ya kutokuzijali vizuri kazi zake hizo, katika utekelezaji wa majukumu yake hayo. Yeye hushindwa kuifundisha vizuri familia yake juu ya namna ya kuyatekeleza vizuri majukumu ya kazi zake hizo, kwa sababu ya kutokuzijali kazi zake mpaga anazielewa vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yake hayo.

Kazi za mtu huyo, hufanana na ile pombe ambayo chachu yake haikukolea vizuri, kwa sababu nazo hazikutekelezwa vizuri mpaga mwisho. Ndiyo maana watu huziona kazi hizo, na kusema kwamba, “tulikuwa tunakunywa utamu ulikuwa kwa mbali.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzielewa na kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika ukamilishaji wa majukumu yao, maishani mwao.

Mathayo 5:13.

Yohana 2:1-11.

Luka 13:21.

Wagalatia 5:9.

ENGLISH: WE WERE DRINKING THE SWEETNESS THAT WAS FAR AWAY.

This saying started from people who were eating something that was affected by spices. The flavoring is like: sugar, butter, and many others which are similar to that. By itself it adds to the taste of sweetness like adding salt to vegetables or adding yeast to alcohol.

Those people were drinking alcohol that yeast did not flavor well because they were tasting the sweetness from afar in their drinking. That is why they said that, “we were drinking the sweetness that was far away.”

This saying is equated to a person who does not finish his tasks well, including those of cooking something in fulfilling his duties. Such person does not understand well the conditions of his works because of not paying attention to his works enough to fulfill his duties. He fails to properly teach his family members on how to properly carry out their responsibilities, because of not caring about his works in his responsibilities.

The works of that person are like the wine which its yeast did not ferment properly, because they were also not properly carried out to the end. That is why people see those works, and say that, “we were drinking the sweetness that was far away.”

This saying imparts in people an idea of understanding their works enough to perform them well, so that they can get a lot of successes in fulfilling their responsibilities in their lives.

Matthew 5:13.

John 2:1-11.

Luke 13:21.

Galatians 5:9.

tamarind-1549214_1280

1219. OMANA NG’WAKA ULWELWE, NG’WANZA MAGEMBE OMALA NG’WAKA.

Bhali hoyi bhalimi abho bhalibhalidebhile ilikanza lwa jidiku. Abhalimi bhenabho bhalolaga lwelwe na ng’wanza magembe. Abhoyi bhajibhonaga ilwelwe bhamana igiki ijidiku jashigaga bhandya gulima kunguno ijinijo jili noni ijo jigijaza ulu jandya ijidiku. Inoni jinijo, ulujingila yolechaga giki ilikanza lya gulima lyashigaga.

Abhalimi bhenabho ulu bhajibhona ing’wanza magembe bhamanaga igiki ung’waka goshilaga kunguno ijinijo jili noni ijo jigizaga hikanza lya ng’waka gulishila golecha giki japunaga chuu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “omana ng’waka ulwelwe, ng’wanza magembe omala ng’waka.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alidebhilie chiza ilikanza lya kutumama milimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga ajimanile chiza ijimanyikiza ja gwandya uigutumama imilimo yakwe yiniyo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umubhutumami bho milimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhalimi abho bhalimanaga ilikanza lya gulima bho gubhona lwelwe unabhandya gutumama milimo yabho na kuimala ulu bhabhona ng’wanza magembe, kunguno nuweyi agatumilaga masala gakwe ugulimana ilikanza lya kutumama milimo yakwe, ni lya kuimala, umubhutumami bho milimo yakwe. Hunagwene agayombaga giki, “omana ng’waka ulwelwe, ng’wanza magembe omala ng’waka.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gulidebha chiza ilikanza lya gwigulambija kutumama milimo yabho chiza nilya guimala, kugiki bhadule kupandisha sabho ningi, umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 1:14-18.

2Wafalme 19:29.

KISWAHILI: AMEJUA MWAKA LWELWE, NG’WANZA MAGEMBE AMEMALIZA MWAKA.

Walikuwepo wakulima ambao walikuwa wanaulewa vizuri muda wa masika. Watu hao waliangalia lwelwe na ng’wanza magembe. Lwelwe na ng’wanza magembe ni aina ya ndege ambao huonekana sehemu kuashilia kuanza kwa kipindi cha masika na wengine kipindi cha kiangazi. Wakulima hao, waliwaona lwelwe na kuelewa kuwa kipindi cha mvua yaani masika kimefika kwa sababu ndege hao huja inapoanza mvua kunyesha, yaani kipindi cha masika. Kuingia kwao huonesha kuanza kwa kipindi cha kulima.

Wakulima hao wakiwaona ng’wanza magembe na hutambua kuwa mwaka umeisha kwa sababu hao ni ndege wanaokuja kipindi cha kiangazi kuonesha kwamba mwaka umeisha. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “amejua mwaka lwelwe ng’wanza magembe amemaliza mwaka.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule anayeulewa vizuri muda wa kuanza kuzitekeleza kazi zake na muda wa kuzimaliza, katika utendaji wa kazi zake. Mtu huyo, huzielewa vizuri dariri za kuanza kwa kazi zake hizo, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Mtu huyo, hupata mafanikio mengi sana katika familia yake, kwa sababu ya umakini wake huo wa kuelewa muda wa kutekeleza kwa bidii kubwa kazi zake, katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mtu huyo, hufanana na wale wakulima waliouelewa muda wa kuanza kazi zao kwa kuangalia lwelwe na ule wa kuzimaliza kwa kuangalia ng’wanza magembe, kwa sababu naye hutumia vizuri akili zake katika kuuelewa muda wa kuanza kuyatekeleza majukumu yake, katika kazi zake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “amejua mwaka lwelwe ng’wanza magembe amemaliza mwaka.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuuelewa vizuri muda wa kuanza kazi zao na kutekeleza kwa bidii kazi zao na ule wa kuzimaliza, ili waweze kupata mafanikio makubwa, katika kazi zao, maishani mwao.

Mwanzo 1:14-18.

2Wafalme 19:29.

ENGLISH: CRANE NATURE BIRD HAS KNOWN THE YEAR, SEASONAL BIRD “NG’WANZA MAGEMBE” HAS FINISHED A YEAR.

There were farmers who nicely knew the rain season. They looked at the crane rain seasonal bird which is traditionally known as “lwelwe” and dry seasonal bird which is traditionally known as ng’wanza magembe. Lwelwe and ng’wanza magembe are types of birds that can be seen in some places at the beginning of the spring period and others in the summer period. The farmers who saw the lwelwe understood that the rainy season has arrived because these birds come when it starts to rain. Their entry marks the beginning of the farming period.

When the farmers see the ng’wanza magembe birds realize that the year is over because these are birds that come during the summer season to show that the rain season is over. That is why those people said that, “crane nature bird has known the year, seasonal bird “ng’wanza magembe” has finished a year.”

This saying is equaled to a person who understands well the time of starting to do his tasks and the time of finishing them, in the performance of his tasks. This person understands well the beginnings of his works, because of his attention, in his life. This person gets a lot of successes in his family, because of his attention to understand the time of carrying out his works with great effort in fulfilling his duties.

This person resembles to those farmers who understood the time of starting their works by looking at the lwelwe and the time to finish it by looking at the ng’wanza magembe, because he also uses his intelligence well in understanding the time to start carrying out his duties, in his works. That is why he says that, “crane nature bird has known the year, seasonal bird “ng’wanza magembe” has finished a year.”

This saying teaches people on how to be careful enough to understand well the time of starting their works and diligently carrying out their works to the point of finishing them, so that they can achieve great successes in their daily works in their lives.

Genesis 1:14-18.

2 Kings 19:29.

stork-21

 

 

 

 

 

 

 

1218. LIKOLO LIGULU NULU UGULINYAMANGA NA OLIKANGILA.

Yaliyohi nholo iyo yalidigwaga uguhang’wa na bhadimi bhayo. Inholo yiniyo yajaga gujulya jiliwa ja jamumigunda ya bhanhu bho nduhu ugushoka nulu ilitulwa na bhadimi bhayo, kunguno ya bhugulu bhoyo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “likolo ligulu nulu ugulinyamaga na olikangila.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alemile uguhang’wa na bhiye ulu ohubhaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahadikijaga gwita iyo alitogwa bho nduhu ugushoshiwa ijina guhang’wa nabhiye nulu ibhize ya bhubhi adoyaga kunguno ya bhujidahang’wa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga ukoya na mihayo yagwikenya na bhiye aha kaya yakwe kunguno ya gubhiitila yabhubhi yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni likolo iligulu ilo lyalemaga uguhang’wa na bhadimi bhalyo, kunguno nuweyi alemile uguhang’wa na bhiye uluohubhaga, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “likolo ligulu nulu ugulinyamaga na olikangila.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza bhigwi ulu bhalilemejiwa gwita miito gabhubhi na bhichabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yahana 10:1-4.

Zaburi 115:6.

1Petro 5:5-7.

Isaya 6:10.

KISWAHILI: KONDOO KIZIWI HATA UNAMRUDISHA NDIO UNAMSINDIKIZA.

Alikuwepo kondoo aliyekuwa hazikii anaporudishwa na wachungaji wake. Kondoo huyo, alikuwa akienda kula mazao ya chakula cha watu bila kukubali kurudishwa hata kama akipigwa na wachungaji hao aliendelea na safari yake ya kwenda kula mazao hayo, kwa sababu ya kutokusikia kwake huko. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “kondoo kiziwi hata unamrudisha ndio unamsindikiza.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukataa kuong’wa na wenzake anapokosea, katika maisha yake. Mtu huyo, hulazishimisha kufanya jambo bila kuacha hata kama litakuwa ovu kwa kutokubari kuong’wa au kushauriwa na wenzake hao, kwa sababu ya kutokusikia kwake huko, maishani mwake. Yeye huishi katika mahangaiko ya ugonvi na watu kwenye familia yake, kwa sababu ya kuwatendea maovu wenzake hao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule kondoo kiziwi aliyekataa kurudishwa na wachungaji wake, kwa sababu naye hukataa kushauriwa na wenzake anapoamua kutenda maovu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kondoo kiziwi hata unamrudisha ndio unamsindikiza.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na usikivu wanaposhauriwa kuacha kutenda maovu, ili waweze kutenda mema yawezayo kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Yahana 10:1-4.

Zaburi 115:6.

1Petro 5:5-7.

Isaya 6:10.

ENGLISH: A DEAF SHEEP EVEN IF YOU BRING IT BACK, YOU ARE JUST ESCORTING IT.

There was a sheep that was not hearing when it was returned by its shepherds. Such sheep normally went to eat people’s food crops without accepting to be returned even if it was beaten by the shepherds. It continued his journey to eat those crops, because of his deafness. That is why those people said that, “a deaf sheep even if you bring it back you are just escorting it.”

This saying is related to a person who refuses to be told by his nobles when he is wrong, in his life. Such person forces to do something without stopping even if it is an evil one by not accepting to be persuaded or advised by those colleagues, because of his lack of hearing in his life. He lives in worries of conflict with people in his family, because of his evil treatments to his family members in life.

This person is like a deaf sheep that refused to be taken back by its shepherds, because he also refuses to be advised by his people when he decides to do evil in his life. That is why people tell him that, “a deaf sheep even if you bring it back you are just escorting it.”

That saying, teaches people to be attentive when they are advised to stop doing evil, so that they can do good things that can develop their families well, in their lives.

John 10:1-4.

Psalm 115:6.

1 Peter 5:5-7.

Isaiah 6:10.

sheep-7723970_1280