sayings

1254. MAYU NIHOLELE.

Bhalihoyi bhakima abho bhahoyaga umuchalo ja Ng’watuma. Umo obho agilembekejiwa na ng’wiye giki witaga ginhu jilebhe aliyo uweyi adajitile. Umayu ng’wunuyo agashosha giki, “nadajitile iginhu jinijo.” Ung’wiye aganhadikija bho guyomba, “ojiita ulilema duhu.” Hunagwene uyo wilembekejiyagwa agayomba giki, “mayu niholele.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agilembekijiyagwa mihayo ya bhulongo wiyumilija bho guyomba bhunhana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikomejaga guyomba bhunhana bhuli ikanza ulu wilembekejiwa mihayo iyo adayimanile, kunguno ya bhutungilija na wiyumilija bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga na bhanhu chiza aha kaya yakwe kunguno ya bhutungilija na wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo agikolaga nuyo agilembekeji limhaho ilo adalimanile wiyumilija bho guyomba bhunhana, kunguno nuweyi agilembekejiyagwa mihano iyo adayimanile wiyumiliga bho guyomba bhunhana, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “mayu niholele.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhilembekeja bhichabho mihayo iyo bhadaitile, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

2Samweli 19:27-28.

Zaburi 15:3.

Warumi 1:30.

Yakobo 4:11.

KISWAHILI: MAMA KUMURADHI.

Walikuwepo wakinamama waliokuwa akiongea kwenye kijiji cha Mwatuma. Mmoja wao alisingiziwa na mwenzake jambo ambalo hakulitenda. Mama yule aliyesingiziwa, alielewa kuwa “sikulifanya na silijui.” Mwenzake huyo alilazimisha akisema, “ulilifanya unakataa tu.” Ndiyo maana yule aliyesingiziwa alisema kwamba, “mama kumuradhi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kwa kusema ukweli anaposingiziwa maneno ya uongo, katika maisha yake. Mtu huyo, huendelea kusema ukweli kila wakati anaposingiziwa jambo asilolifahamu, kwa sababu ya unyofu na uvumilivu wake huo. Yeye huishi na watu vizuri kwenye familia yake kwa sababu ya unyofu na uvumilivu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyevumilia kwa kusema ukweli aliposingiziwa jambo na mwenzake, kwa sababu naye huvumilia kwa kusema ukweli anaposingiziwa maneno asiyo yafahamu, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mama kumuradhi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwasingizia wenzao maneno ambayo hawakuyatenda, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

2Samweli 19:27-28.

Zaburi 15:3.

Warumi 1:30.

Yakobo 4:11.

ENGLISH: PLEASE MOTHER.

There were women who were talking in the village of Mwatuma. One of them was hypnotized by the other, which she did not do. The mother who was accused, said, “I did not do it and I do not know.” The colleague forced her by saying, “You did it, you just refuse.” That is why the one who was insulted said that, “please mother.”

This saying is compared to a person who endures sufferings by telling the truth when he is accused of false words, in his life. Such person continues to tell the truth every time he is accused of something which he does not know, because of his honesty and patience. He lives well with people in his family because of his honesty and patience in life.

This person resembles the one who endured hardships by speaking the truth when she was slandered by her colleague, because he also endures sufferings by speaking the truth when he is slandered by deceitful words in his life. That is why he says that, “please mother.”

This saying imparts in people an idea of stopping gossiping about their people in their lives, so that they can develop their families well in their societies.

2 Samuel 19:27-28.

Psalm 15:3.

Romans 1:30.

James 4:11.

girl-8918049_1280

1250. NAHENE ITINA MHAYO.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile munhu uyo agitilya mhayo uyo gutigowiza wiyumilija. Umunhu ng’wunuyo, agabegejiwa mhayo go gupunjiwa sabho jakwe na ng’wiye uyo oliadandililaga chiza ulu onomba isabho jakwe jinijo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayomba giki, “nahene itina mhayo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilija bho gubhalekeja abho bhagamhubhilaga umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo, agibhonelagwa na bhiye obhalekeja kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho. Uweyi agayilelaga chiza ikaya yakwe bho gwiyambilija gutumama milimo yabho kihamo kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agapumjiwa sabho jakwe na ng’wiye wiyumilija bho gulekeja, kunguno nuweyi agibhonelagwa na bhiye obhalekaja, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nahene itina mhayo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gwilekeja ulubhihubhaga umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

2 Samweli 13:6.

Mathayo 5:43-45.

KISWAHILI: HAYA HAINA NENO.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mtu aliyefanyiwa jambo baya akavumilia. Mtu huyo, alitendewa neno hilo baya kwa kudhulumiwa mali zake na mwenzake ambaye alikuwa hamjali vizuri anapomuomba mali zake hizo. Ndiyo maana mtu huyo alisema kwamba, “haya haina neno.”

Msemo huyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kwa kuwasamehe wale wanaomkosea katika maisha yake. Mtu huyo, anapoonewa na wenzake hujitahidi kuwasamehe kwa sababu ya uvumilivu wake huo. Yeye huilea vizuri familia yake kwa kusaidiana katika kufanya kazi kwa pamoja kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyedhulumiwa mali zake na mwenzake akavumilija kwa kusamehe, kwa sababu naye huwasamehe wale wanaomuonea, maishani mwake. Ndiyo maana husema kwamba, “haya haina neno.”

Msemo huo, huwafundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kusameheana wanapokoseana katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuzilea vizuri, familia zao, maishani mwao.

2 Samweli 13:6.

Mathayo 5:43-45.

ENGLISH: THIS DOES NOT HAVE A WORD.

The cradle of this saying looks at a person who suffered a ruthless thing and endured it. Such person was treated with that wicked word for being abused by his colleague who took his property. His teammate did not take good care of him when he asked for his property. That is why the man said that, “this does not have a word.”

This saying is compared to a person who endures sufferings by forgiving those who do wrong to him in his life. Such person when bullied by his colleagues, tries to forgive them because of his tolerance. He raises his family members well by helping each other in working together because of his patience in life.

This person resembles the one who was wronged by his partner who endured by forgiving him, because he also forgives those who oppress him in his life. That is why the forgiven ones say that, “this does not have a word.”

This saying instills in people an idea about having good patience enough to forgive each other when they make mistakes in fulfilling their duties, so that they can raise their societal members well in their families.

2 Samuel 13:6.

Matthew 5:43-45.

family-7240486_1280

1249. PANDIKAGA MHIYA (JIKOLO) DUJIMANE NH’UNGWA JAKO.

Akahayile kenako kahoyilile bhumanyiki bho nh’ungwa ja ng’wa munhu uyo opandikaga sabho. Olihoyi munhu uyo oliadamanyikile chiza inh’ungwa jakwe umu jili aho oliatali ugujipandika imiya. Umunhu ng’wunuyo, aho ojipandika imiya abhanhu bhagajimana inh’ungwa jakwe kunguno agayubhadosa abhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “pandikaga mhiya (jikolo) dujimane nhu’ngwa jako.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhaga sabho wandya guyubhadosa abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadarahaga abhanhu abho bhadinajo isabho kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ijaguyilela chiza ikaya yakwe kunguno ya gudoshiwa na sabho jakwe jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agapandika sabho wandya guyubhadosa abhanhu abho bhadinajo isabho, kunguno nuweyi agabhadarahaga abhanhu abho bhadina sabho guti jakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “pandikaga mhiya (jikolo) dujimane nhu’ngwa jako.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu abho bhajipandika isabho higulya ya guleka nh’ungwa ja gubhadosa abhanhu abho bhadina sabho, kugiki bhadule kupandika imbango ja kujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Luka 16:19-31.

Luka 12:16-21.

Marko 10: 17-22.

KISWAHILI: PATA PESA (MALI) TUJUE TABIA YAKO.

Msemo huo, huongelea juu ya ujulikanaji wa tabia ya mtu aliyepata mali. Alikuwepo mtu ambaye tabia yake haikufahamika vizuri wakati hajapata pesa. Mtu huyo, alipopata pesa watu waliifahamu tabia yake kwa sababu alianza kujivuna kwa kuwadharau wale ambao hawajapata mali kama zake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “pata pesa (mali) tujue tabia yako.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyetajirika kwa kupata mali akaanza kuwadharau wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu wale ambao hawana mali kwa sababu ya majivuno yake hayo maishani mwake. Yeye hukosa Baraka za kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kulingia mali zake hizo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyepata pesa akaanza kuwadharau wenzake, kwa sababu naye pia huwadharau watu wale ambao hawana pesa, kama zake maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “pata pesa (mali) tujue tabia yako.”

Msemo huo, hufundisha watu wenye mali juu ya kuacha tabia ya kuwadharau wale ambao hawana mali, ili waweze kupata Baraka za kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 16:19-31.

Luka 12:16-21.

Marko 10: 17-22.

ENGLISH: GET MONEY (PROPERTY) SO WE KNOW YOUR CHARACTER.

This saying talks about character recognition of a person who got wealth. There was a man whose character was not well known when he did not earn money. That person, when he got money, people knew his behavior because he started becoming proud by looking down on those who have not got wealth like his. That is why people told him that, “get money (property) so we know your character.”

This saying is compared to a person who got rich by getting wealth and started to despise his colleagues, in his life. Such person despises those who have no wealth because of his pride in his life. He misses blessings of raising his family well because of his pride in life.

This person is like the one who got money and started despising his colleagues, because he also despises people who do not have money, like his own in his life. That is why people tell him that, “get money (property) so we know your character.”

This saying imparts in rich people an idea of stopping looking down on people who do not have money, so that they can get blessings for raising their families well, in their lives.

Luke 16:19-31.

Luke 12:16-21.

Mark 10: 17-22.

man-4488881_1280

1248. BHASANJAGA MAKONO.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu nkwilima na nkwiye, nulu nina bhukwi na ng’winga okwe. Abhanhu bhenabho aha bhatali ugwimanila bho gulya kihamo, bhagabhulagaga ntugo guti mbuli, nulu ng’holo ya gusanja makono. Hunagwene ulu bhabhulagaga untugo gunuyo abhanhu bhagahaya giki “bhasanjaga makono.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali nikujo ukubhatale na bhageni bhabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagabhambilijaga chiza abhatale bhabho na gubhakaribhusha chiza abhageni abho bhagajaga aha kaya jabho kunguno ya likujo lyabho linilo, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga na bhanhu bhingi na sabho ningi aha kaya jabho jinijo kunguno ya gubhalela bho lilange liza abhanhu bhabho bhenabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagabhulaga ntugo go gusangija makono kunguno nabho bhali nikujo lya kubhambilija chiza abhatale na bhageni bhabho umukaya jabho. Hunagwene abhanhu bhagabhayombaga giki, “bhasanjaga makono.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya kubhambilija abhatale na gubhokalibhusha chiza abhageni bhabho umukaya jabho kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho jinijo, umubhulamu bhobho.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 4:1-9.

KISWAHILI: WAMEKUTANISHA MIKONO.

Chanzo cha msemo huo chaongelea juu ya baba mkwe na mkwilima wake au mama mkwe na mkaa mwana wake. Watu hao kabla hawajazoeana kwa kula pamoja, huchinja mfugo kama vile mbuzi au kondoo wa kukutanisha mikono. Ndiyo maana wale waliokula mbuzi huyo watu husema juu yao kwamba, “wamekutanisha mikono.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana heshima kwa wakubwa na wageni wao, katika maisha yao. Watu hao, huwasaidia wakubwa na kuwakaribisha wageni wao vizuri katika familia zao, kwa sababu ya heshima yao hiyo, maishani mwao. Wao huishi na watu wengi na mali nyingi kwenye familia zao, kwa sababu ya kuwalea katika malezi mema watu wao hao.

Watu hao hufanana na wale waliochinja mfugo wa kukutanisha mikono, kwa sababu nao wana heshima ya kuwasaidia vizuri wakubwa wao na kuwapokea vizuri wageni katika familia zao. Ndiyo maana watu husema juu yao kwamba, “wamekutanisha mikono.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima ya kuwasaidia watu na kuwakaribisha wageni kwenye familia zao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 4:1-9.

ENGLISH: THEY HAVE JOINED HANDS.

This saying talks about the father-in-law and his daughter-in-law or the mother-in-law and her daughter-in-law. Those people, before they get used to eating together, slaughter livestock such as goats or sheep for joining their hands together in their families. That is why those who ate the goat, people say about them that, “they have joined hands.”

This saying is equated to people who have respect to their superiors and guests, in their lives. Those people, help their elders and welcome their guests well in their families, because of their respect, in their lives. They live with many people and many assets in their families, because of raising their members in a good upbringing.

Those people are similar to those who slaughtered livestock for being together with their new family members, because they also have an honor of helping their elders and receiving guests well in their families. That is why people say about them that, “they have joined hands.”

This saying imparts in people an idea of having sound respect to each other enough to help people and welcome strangers in their families, so that they can raise their family members well in their lives.

Ephesians 6:1-4.

Proverbs 4:1-9.

appetizer-3315965__480

 

 

1247. WIKIJIWA IWE.

Oliyohi munhu uyo aliobhucha iwe itale ukumabhega gakwe alichalile kukaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo agalibhucha iliwe linilo mpaga wambilijiwa na munhu nhebhe uyo agang’wikija unigo gunuyo ukumabhega gakwe. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “wikijiwa iwe.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo midamu bho wiyumilija bhutale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina nguzu ijo agajitumilaga bho gutumama milimo midito mpaga opandika majiliwa mingi kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe gutumama milimo midamu mpaga bhadula gung’wambilija gupandika sabho ningi aha kaya yakwe, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliobhucha liwe litale mpaga wambilijiwa na ng’wiye, kunguno nuweyi agatumamaga milimo midito bho gubhalanga abhanhu bhakwe mpaga bhadule gung’wambilija chiza, a kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “wikijiwa iwe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwiyumilija gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale mpaga bhadule gupandika sabho jagubhambilija chiza umuwikaji bhobho.

Yohana 12:40.

Mathayo 11:28-30.

KISWAHILI: AMESHUSHIWA JIWE.

Alikuwepo mtu aliyebeba jiwe kubwa kwenye mabega yake akilipeleka nyumbani kwake. Mtu huyo alilibeba kwa uvumilivu jiwe hilo mpaka akasaidiwa na mtu fulani aliyemshushia mzigo huo kutoka kwenye mabega yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “ameshushiwa jiwe.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi ngumu kwa uvumilivu mkubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, ana nguvu anazozitumia katika kufanya kazi hizo nzito mpaka anapata mazao mengi ya chakula kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake. Yeye huwafundisha watu wake kufanya kazi hizo ngumu mpaka wanaweza kumsaidia kupata mali nyingi kwenye familia yake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyebeba jiwe kubwa mabegani mwake kwa uvumilivu mpaka akasaidiwa na mwenzake, kwa sababu naye pia hufanya kazi nzito kwa kuwafundisha watu wake mpaka wanaweza kumsaidia kutua mzigo mzito katika familia yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ameshushiwa jiwe.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvumilia kufanya kazi zao kwa bidii kubwa mpaka waweze kupata mali za kutosha kuwasidia vizuri katika maishani yao yote.

Yohana 12:40.

Mathayo 11:28-30.

ENGLISH: HE HAS BEEN STONED.

There was a man who carried a big stone on his shoulders to his home. This man patiently carried it until he was helped by someone who lowered the burden from his shoulders. That is why people said that, “he has been stoned.”

This saying is equaled to a person who works hard with great patience, in his life. That person has strength of using in doing those heavy tasks until he gets a lot of food crops because of his patience in his life. He teaches his people in doing hard works until they can help him in getting more wealth for his family, in his life.

This person is similar to the one who carried a big stone on his shoulders with patience until he was helped by his colleague, because he also does heavy works by teaching his people until they can help him to land heavy burdens in his family. That is why people say that, “he has been stoned.”

This saying teaches people to persevere in doing their works with great effort until they get enough wealth for supporting them well throughout their lives.

John 12:40.

Matthew 11:28-30.

muay-thai-150006_1280