sayings

1269. ATOMOKILE UNG’WANA B’UYA.

Akahayile kenako agawilaga munhu uyo ali masala magehu. Umunhu ng’wunuyo, agawilagwa na bhanhu abho bhagamhonaga akikalile kakwe ako kagolechaga chene kunguno ya miito gakwe. Abhoyi bhayombaga bho gunkelela uweyi kugiki adizumana umo bhaling’wilila. Hunagwene bhagayombaga giki, “atomokile ung’wana b’uya.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja bhub’i umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agitakaga mihayo ya sagala aha kaya yakwe, kunguno ya nhungwa jakwe ija bhub’i jinijo. Uweyi agidumanga na bhanhu bhingi aha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ija bhub’i jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu omalaga magehu kunguno nuweyi agitaka mihayo ya bhub’i umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “atomokile ung’wana b’uya.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka gwita mihayo ya bhub’i bho gwita ya wiza, kugiki bhadule gujilanhana chiza kaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 32:9.

Mithali 7:7.

Mithali 9:4.

Mithali 11:12.

Mithali 11:22.

KISWAHILI: MTU MWENYE AKILI PUNGUFU.

Msemo huo huambiwa mtu mwenye akili pungufu. Mtu huyo, huambiwa na watu wanaomuona namna yake ya kuishi kwa sababu ya matendo yake yanayoonesha hivyo. Watu humsema hivyo kwa njia ya fumbo ili asielewe kinachoongelewa juu yake. Ndiyo maana wao humwambia kwamba ni “mtu mwenye akili pungufu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia mbaya katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda mambo ya hovyo kwenye familia yake, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya. Yeye hukosana na watu wengi kwenye familia yake kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwenye akili pungufu, kwa sababu naye hufanya mambo mabaya katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba ni “mtu mwenye akili pungufu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda maovu kwa kutenda mema ili waweze kuzilinda vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 32:9.

Mithali 7:7.

Mithali 9:4.

Mithali 11:12.

Mithali 11:22.

 

ENGLISH: A PERSON OF LIMITED INTELLIGENCE.

This saying is said to a person who has restricted cleverness. Such person is told by people who see his way of living and discover that is contrary to normal life because of his actions that show such situation. People say so to him in a mystical way so that he does not understand what is being said about him. That is why they tell him that he is “a person of limited intelligence.”

This saying is matched to a person who has wicked deeds in his life. Such person does reckless things to his family, because of his ruthless manners. He is at odds with many people in his family because of his evil deeds in his life.

This person resembles the one who had partial cleverness, because he also does wicked deeds in his life. That is why people call him “a person of limited intelligence.”

This saying imparts in people an idea of giving up customs of doing evils by doing good ones so that they can soundly protect their families in their lives.

Psalm 32:9.

Proverbs 7:7.

Proverbs 9:4.

Proverbs 11:12.

Proverbs 11:22.

martial-arts-150005_1280

 

1268. LYAGA NSIGA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhang’wi b’a walwa. Bhalihoyi bhang’wi b’a walwa abho bhikomelejaga gung’wa walwa bho guyomba giki ‘lwaga nsiga’, munho bhang’we walwa. Ubhulingisilo bhoho bhuli bhusiga ubho bhugatumilagwa ugubhubheja uwalwa bhunubho. Gashinaga lulu, ugung’wa uwalwa hugulwa ubhusiga. Hunagwene abhang’wi bha walwa bhenabho bhagiwilaga giki “lwaga nsiga.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagajikenagulaga sagala isabho jabho umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagajikenagulaga isabho jabho bho gujigulila majikolo ayo gadinasolobho aha kaya jabho kunguno ya gugayiwa witegeleja umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhukoya na makoye ga gugayiwa jiliwa aha kaya jabho kunguno ya kujikenagula sagala isabho jabho jinijo, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhajing’welaga walwa isabho jabho, kunguno nabhoyi bhagajikenagulaga sagala isabho jabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagiwilaga giki, “lwaga nsiga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitumamila chiza isabho jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza ugujibheja ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Mwanzo 9:20-29.

Isaya 24:9.

Yeremia 25:27.

Isaya 5:22.

Zaburi 107:27.

KISWAHILI: KULA MTAMA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia wanywaji wa pombe. Walikuwepo wanywaji wa pombe waliokuwa wakihimizana kunywa pombe hiyo kwa kusema “kula mtama” maana yake, wanywe pombe. Lengo lake ni mtama ambao hutumika katika kutengenezea pombe hiyo. Kumbe basi, kunywa pombe ndiyo kula mtama. Ndiyo maana wanywaji hao wa pombe huhimizana kuinywa pombe hiyo kwa kusema kwamba, “kula mtama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huziharibu hovyo mali zao katika maisha yao. Watu hao, huziharibu mali zao hizo kwa kuzinunulia vitu visivyo na faida katika familia zao, kwa sababu ya kukosa umakini maishani mwao. Wao huishi kwa kuhangaishwa na matatizo ya kukosa chakula katika familia zao, kwa sababu ya kuzitumia hovyo mali zao hizo, katika maisha yao.

Watu hao hufanana na wale waliozinywea pombe mali zao, kwa sababu nao huzitumia hovyo mali zao hizo, katika maisha yao. Ndiyo maana huambiana kwamba, “kula mtama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitumia vizuri mali zao, ili ziweze kuwasaidia vizuri katika kuziendeleza familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 9:20-29.

Isaya 24:9.

Yeremia 25:27.

Isaya 5:22.

Zaburi 107:27.

ENGLISH: EAT MILLET.

The spring of this saying looks at the drinkers of alcohol. There were alcoholic drinkers who were encouraging each other to drink an alcohol by saying “eat millet” which means, drink alcohol. Its target is millet which is used in making such alcohol. However, drinking alcohol is eating millet. That is why those who drink alcohol encourage each other to drink it by saying, “eat millet.”

This saying is equated to people who want only to destroy their possessions in their lives. Those people, destroy their property by buying useless things for their families, because of lack of attention in their lives. They live worried about problems of lacking food in their families, because of such careless use of their possessions, in their lives.

Those people are like those who drank alcohol which they bought by using their wealth, because they use their wealth carelessly in their lives. That is why they say to each other that, “eat millet.”

This saying imparts in people an idea of being careful in using their properties well, so that they can nicely help them in developing their families in their lives.

Genesis 9:20-29.

Isaiah 24:9.

Jeremiah 25:27.

Isaiah 5:22.

Psalm 107:27.

african-food-3957740__480

1267. GAGWA MAMOTO

Imbuki ya kahayile kenako ilolile mamoto ga mbula ayo gagatongaga ulu yuluhaya gutula. Amamoto genayo gagagwa hado hado nose gakwila ulu yafugila imbula. Gashinaga lulu amamoto genayo gagabhizaga jimanyikijo ja gwandwa gutula mbula. Hunagwene abhanhu ulu bhagabhona bhagayombaga giki, “gagwa mamoto.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajaga bhulilila mumakaya ayo gabishaga ijiliwa, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagajaga gujulya jiliwa aha kaya iyo bhabhonaga lilizika lyochi bhagalindila mpaga japya, kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo aha kaya jabho. Abhoyi bhagadumaga ugujibheja ikaya jabho kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo bhusanyaga guja bhulilila mumakaya gabhanhu, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na mamoto ga mbula ayo gagakwilaga hado hado nose ya kula mbula, kunguno nabhoyi bhagalilila jiliwa mumakaya mpaga nose bhiguta, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhayombaga giki, “gagwa mamoto.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka ng’hungwa ja bhuliliji bho mumakaya bho gwigulambija gutumama milimo yabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 20:4a.

Mithali 19:24a.

Mithali 26:16a.

KISWAHILI: YAMEANGUKA MATONE.

Chanzo cha msemo huo huangalia matone ya mvua ambayo hutangulia inapotaka kunyesha. Matone hayo, huanguka kidogo kidogo mwishowe yanakuwa mvua kubwa. Kumbe basi, matone hayo huwa ni alama ya kuanza kunyesha mvua. Ndiyo maana watu wakiyaona husema kwamba, “yameanguka matone.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huenda kula kwenye familia za watu walioivisha chakula, maishani mwao. Watu hao, huenda kula chakula kwenye familia ile wanapoona moshi unatokeza kusubiria chakula hicho mpaka kinaiva, kwa sababu ya uvivu wa kufanya kazi kwenye familia zao. Wao hushindwa kuziendeleza familia zao kwa sababu ya uvivu huo wa kufanya kazi zao, wakitegemea kwenda kula chakula cha wenzao.

Watu hao hufanana na yale matone ya mvua ambayo huongezeka kidogo kidogo mpaka mwishowe yanakuwa mvua, kwa sababu nao huenda kula kwenye familia za watu mpaga mwishowe wanatosheka, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwasema kwamba, “yameanguka matone.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu wa kufanya kazi wakitemea kula kwenye familia za wenzao, kwa kujibidisha kufanya kazi, ili waweze kuziendeza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mithali 20:4a.

Mithali 19:24a.

Mithali 26:16a.

ENGLISH: DROPS HAVE FALLEN.

The basis of this saying looks at the raindrops that precede when it wants to rain. These drops fall little by little and finally become heavy rain. However, those drops are signs of rain. That is why when people see them, they say, “drops have fallen.”

This saying is related to people who go to eat in families of others who fed them, in their lives. Those people go to eat food in the family when they see smoke coming out and wait for the food until it is cooked, because of their laziness of working in their families. They fail to support their families because of their laziness of doing their works, by depending on going to eat their friends’ food.

Those people are like the raindrops which increase little by little until they finally become rain, because they also go to eat in the families of people who are finally satisfied, in their lives. That is why people say that, “drops have fallen.”

This saying teaches people about abandoning habit of working lazily while spitting in families of their colleagues, by forcing themselves to work, so that they can manage to run well their families, in their lives.

Proverbs 20:4a.

Proverbs 19:24a.

Proverbs 26:16a.

 

raindrop-

1266. LYALYAGA WAYA.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhuli bho waya bho ginhu jilebhe. Ubhuli bhunubho bhuli bhupeja bho mondoka ubho wangu wangu mpaga nose yagaileka inzila. Imondoka yiniyo igapejiwa jigijigi mpaga yugaileka inzila bho guja chawi kunguno ya lugendo lukali lunulo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “lyalyaga waya.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga sagala iginhu mpaga opandika makoye, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agajitumamilaga isabho jakwe bho sagala chiniko mpaga opandika makoye gagujibhipya, na gwiminya kunguno ya gugaiwa witegeleja umubhutumami bho milimo yakwe yiniyo. Uweyi agajimalaga isabho jakwe mpaga ogayiwa ijiliwa aha kaya yakwe kunguno ya gugayiwa witegeleja umukatumamile ka sabho jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oyipejaga jigijigi imondoka mpaga yugaileka inzila bho guja chawi, kunguno nuweyi agajitumilaga sagala isabho jakwe mpaga opandika makoye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lyalyaga waya.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitumamila chiza sabho jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza ugujibheja ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Wagalatia 1:13.

Wafilipi 1:27.

Wagalatia 5:16-26.

1Thimotheo 4:12.

KISWAHILI: LIMEKULA WAYA.

Msemo huo huongelea juu ya ulaji wa waya wa kitu fulani. Ulaji huo ni uendeshaji wa gari kwa mwendo wa kasi sana mpaka linaacha njia na kwenda porini. Gari hilo liliendeshwa kwa kasi hiyo mpaka likaingia porini kwa sababu ya ukali wa mwenda huo. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “limekula waya.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutuvitumia vitu vyake hovyo mpaga ana pata matatizo, maishani mwake. Mtu huyo, hutuvitumia hovyo mali zake hizo mpaga anapata matatizo kwa sababu ya kukosa umakini katika kazi zako hizo. Yeye huzimaliza mali zake hizo mpaga anafikia hatua ya kukosa chakula katika familia yake kwa sababu ya kukosa umakini katika kazi zake hizo.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeendesha gari kwa kasi mpaka likaaga njia na kuingia porini, kwa sababu naye huvitumia mali zake hovyo mpaga anapata matatizo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “limekula waya.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitumia mali zao vizuri, ili ziweze kuwasaidia katika kuziendeleza vyema familia zao, katika maisha yao.

Wagalatia 1:13.

Wafilipi 1:27.

Wagalatia 5:16-26.

1Thimotheo 4:12.

ENGLISH: IT HAS EATEN WIRE.

This saying talks about a wire intake of something. Such consumption is a driving of a car at a very high speed until it leaves the road and goes wild. The driver of that car drove it at that speed until it entered the forest because of an intensity of the movement. That is why people said that, “it has eaten wire.”

This saying is equated to a person who uses his things carelessly to point of having problems in his life. Such person uses his property carelessly until he gets into trouble because of lack of attention in his works. He exhausts his possessions until he reaches the point where there is no food in his family because of his lack of attention in his works.

This person is similar to the one who drove a car at a very high speed until it left the road and entered the forest, because he also spends his wealth carelessly to the point of getting into trouble in his life. That is why people tell him that, “it has eaten wire.”

This saying impart in people an idea of  being careful enough to use their assets well, so that they can help them in developing their families well, in their lives.

Galatians 1:13.

Philippians 1:27.

Galatians 5:16-26.

1 Timothy 4:12.

IMG_20241222_111754_524

IMG_20241222_112049_598

IMG_20241222_111705_872

1265. KAMUSEKA NGALE.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile ng’waniki uyo oling’widohya umuchalo jakwe. Olihoyi ng’waniki uyo oli ng’widohya na ng’wibhembu chiza umuwikaji bhokwe. Ung’waniki ng’wunuyo, wikalaga chiza na bhanhu umuchalo jakwe kunguno ya widohya bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’witana giki “kamuseka ngale.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alini kujo ukubhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, abhagambilija abhanhu abha hakaya yakwe kunguno ya nikujo lyakwe linilo, umukikalile kakwe. Uweyi agailelaga chiza ikaya yakwe kunguno ya likujo lyakwe ukubhanhu bhakwe bhenabho.

Uweyi agikolaga nu ng’waniki uyo olina widohya bho gwikala chiza na bhanhu bhakwe, kunguno nuweyi alinikujo lya gwikala na bhanhu bhakwe chiza, umuchalo jakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanana giki, “kamuseka ngale.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nikujo lya gwikala chiza na bhanhu bhabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Luka 1:26-28.

Mambo ya nyakati 4:9.

Zaburi 8:5-8.

KISWAHILI: MSICHANA MNYENYEKEVU.

Chanzo cha msemo huo, huangalia msichana aliyekuwa mnyenyekevu kwenye kijiji chake. Msichana huyo, alikuwa mnyenyekevu na mtulifu katika kuishi na watu. Yeye aliishi vizuri na watu wa kwenye kijiji chake kwa sababu ya unyenyekevu wake huo. Ndiyo maana watu hao walimuita jina la “msichana mnyenyekevu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu aliye na hekima ya kuishi na watu wake vizuri, maishani wake. Mtu huyo, huwasaidia watu anaoishi nao vizuri kwa sababu ya hekima yake hiyo, katika maisha yake. Yeye huilea vyema familia yake kwa sababu ya hekima yake hiyo ya kuishi vizuri wa watu.

Mtu huyo hufanana na yule msichana aliyekuwa na unyenyekevu wa kuishi na watu vizuri, kwa sababu naye ana hekima ya kuishi na watu vizuri katika kijiji chake. Ndiyo maana watu humuita jina la “msichana mnyenyekevu.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kuishi vizuri na watu wao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 1:26-28.

Mambo ya nyakati 4:9.

Zaburi 8:5-8.

 ENGLISH: A HUMBLE GIRL.

The cradle of this saying looks at a humble girl who live in a village. This girl was humble and active in living peacefully with people. She lived well with the people of her village because of her humility. That is why those people gave to her a name of “a humble girl.”

This saying is compared to a person who has wisdom of living well with people in life. Such person helps people by living well with them because of such wisdom in life. He takes good care of his family members because of his wisdom of relating well with them.

This person resembles the girl who had humility of living well with people in her village, because he also has such wisdom of relating well with people of his village. That is why people call him “a humble girl.”

This saying teaches people about having wisdom of living well with their people, so that they can nicely raise their family members in their lives.

Luke 1:26-28.

Chronicles 4:9.

Psalm 8:5-8.

 

girl-1854096_1280

girl-1139277_1280

african-child-2578559_1280