sayings

1276. WITUNDAGA UDABHUNILWE.

Akahayile kenako kalolile witundi bho ng’wa munhu uyo adabhunilwe kwibala. Umunhu ng’wunuyo, agitunda kugiki wiyambilije huna uduma ugwiyambilija kunguno ya gwitunda bho nduhu ugubhunwa ukwibala. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki “witundaga udabhunilwe.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aganguhaga gwita ginhu jilebhe ahikanza litale ugushiga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agiyityega guti alisata bho gwilaja kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo aha kaya yake yiniyo. Uweyi agakoyiyagwa na bhuhabhi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya gukija gutumama milimo bho gugwisha alalile guti alisata umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agitunda gwiyambilija aliyo adabhunilwe ukwibala, kunguno nuweyi agisatishaga olala aliyo adusataga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “witundaga udabhunilwe.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwita mihayo ya nhana bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Mhubiri 3:1-8.

KISWAHILI: UMECHUCHUMAA BILA KUJISIKIA HAJA.

Msemo huo huangalia uchuchumaaji wa mtu ambaye hajajisikia haja. Mtu huyo, alichuchumaa ili kujisadia haja kubwa lakini alishindwa kujisadia kwa sababu ya kuchuchumaa bila kujisikia haja hiyo. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umechuchumaa bila kujisikia haja.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwahi kufanya kitu fulani kabla ya wakati wake kufika, katika maisha yake. Mtu huyo, hujifanya kama anaumwa kwa kujilaza kwa sababu ya uvivu wa kufanya kazi kwenye familia yake. Yeye husumbuliwa mara kwa mara na tatizo la umaskini katika familia yake hiyo kwa sababu ya kutokufanya kazi kwa kisingizio cha kuumwa, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyechuchumaa kujisaidia bila kujisikia haja, kwa sababu naye hujisingizia kuumwa kwa kulala wakati haumwi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “umechuchumaa bila kujisikia haja.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa wakweli kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.

Mhubiri 3:1-8.

ENGLISH: YOU HAVE SQUATTED WITHOUT FEELING THE NEED.

The above saying refers to a squatting of a person who has not felt an urge. This man squatted to relieve himself but failed to do so because of squatting without feeling the need. That is why people told him that, “you have squatted without feeling the need.”

This saying is matched to a man who does something before reaching its time in his life. Such person pretends to be sick by lying down because of his idleness in working at his family. He constantly suffers from poverty problem at his family because of not working on a pretext of illness in his life.

This person is similar to the one who squatted to help himself without feeling the need, because he too pretends to be sick by sleeping when he is not sick in his life. That is why people tell him that, “you have squatted without feeling the need.”

This saying teaches people about being honest by forcing themselves to do their jobs well, so that they can soundly improve their families in their lives.

Ecclesiastes 3:1-8.

man-6996612_1280

woman-2704557_1280

toilet-5111311_1280

1275. BHULI LYATO NALIHULI LYALYO.

Ilyato jili jiseme ijo jigabhuchaga bhanhu nulu miligo japela bho gwelela muminzi. Ilyato linilo ligashindikagwa na mahuli ga minzi ayo gagabhukilaga lyabhiza ligimba litale. Aliyo lulu bhuli lyato lyene ligashindikagwa ni gimba lyalyo lya minzi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhuli lyato na lihuli lyalyo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu umo agapandikilaga amakoye ayo gagikalaga galekanile na ga ng’wiye, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo agapandikaga makoye ga mbika ningi umubhutumami bho milimo yakwe ayo galiheke nayo bhagapandikaga abhangi. Uweyi agalwaga na makoye genayo mpaga ogamala kunguno ya wiyumilija bhokwe, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni lyato ilo lyagashindikwa na mahuli ga muminzi, kunguno nuweyi agakoyiyaga na makoye gakwe umubhutumami bho milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhuli lyato na lihuli lyalyo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gugamala amakoye gabho bhuli ng’wene, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

2Timotheo 2:24.

Yakobo 5:7.

1Petro 1:19.

KISWAHILI: KILA MASHUA NA WIMBI LAKE.

Ngalawa ni chombo bha kusafirishia watu au mizigo majini. Ngalawa hiyo husukumwa na mawimbi ya maji ambayo huinuka kama mlima na kuipiga katika safari zake. Lakini basi, kila Ngalawa husukumwa na Wimbi Lake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kila Ngalawa na Wimbi Lake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu anavyopata matatizo yake katika maisha yake ambayo hutofautiana na yale wanayopata wenzake. Mtu huyo, hupata matatizo mbalimbali ambayo hutofautikana na yale anayopata mwingine, maishani mwake kwa sababu ya uvumilifu wake. Yeye hupambana na matatizo hayo mpaka anayamaliza kwa sababu ya uvumilifu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ile Ngalawa iliyosukumwa na mawimbi ya maji, kwa sababu naye hukumbwa na matatizo yake katika utelekezaji wa majukumu yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kila Ngalawa na Wimbi Lake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuyatatua matatizo yao katika maisha yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

2Timotheo 2:24.

Yakobo 5:7.

1Petro 1:19.

 

 

food-1-

 

ENGLISH: EVERY BOAT AND ITS WAVE.

A ship is a vessel which is used to transport people or goods in water. This boat is pushed by waves of water that rise like a mountain and beat it in its travels. But then, every boat is moved by its Wave. That is why people say that, “every boat and its Wave.”

This saying is equaled to how a person experiences his difficulties in his life which are different from his fellows’ experience. Such person experiences various glitches that are different from those which are experienced by others, in his life because of his tolerance. He fights those hitches until he varnishes them because of his endurance in his life.

This person resembles the boat which was pushed by waves of water, because he also suffers from his difficulties in fulfilling his responsibilities in life. That is why people tell him that, “every boat and its Wave.”

This saying instills in people an idea of having strong persistence enough to solve their hitches in their lives, so that they can nicely raise their families in their lives.

2 Timothy 2:24.

James 5:7.

1 Peter 1:19.

 

1273. AHA MITI MINGI NDUHU ABHAZENGI.

Akahayile kenako kaholelile bhanhu abho bhikalaga ng’wipolu lya miti mingi aliyo lulu, bhadazengile inumba. Abhanhu bhenabho bhagishigilwa uguzenga inumba na bhichabho abho bhajaga ung’wipolu linilo bhagagatema amanti bhachala gujuzengela unumba, umuchalo jabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “aha miti mingi nduhu abhazengi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga nikoye aliyo ijagulimalila ilikoye linilo alinajo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adajitumamilaga chiza isabho ijo alijibhona, kunguno ya bhugokolo bhokwe ubho guduma gwiganika chiza. Uweyi agaminyiyagwa na makoye mingi aha kaya yakwe kunguno ya bhogokolo bhokwe bhunubho ubho guduma gubhutumamila chiza ubhusabhi ubho alibhubhona aho ali henaho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagaduma uguzenga numba aliyo bhikalaga ng’wipolu lya manti mingi, kunguno nuweyi agakoyiyagwa na makoye mingi aliyo ijikolo ija gugamalila amakoye genayo alinajo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “aha miti mingi nduhu abhazengi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwikomeja gujitumamila chiza isabho ijo bhalijibhona, kugiki jidule gubhambilija chiza ugugamala amakoye ayo bhalinago, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 22:9

1 Mambo ya nyakati 28:2.

KISWAHILI: KWENYE MITI MINGI HAKUNA WAJENZI.

Msemo huo huongelea juu ya watu walioishi kweye poli la miti mingi bila kujenga nyumba. Watu hao waliwahiwa kujenga nyumba na wenzao walioenda kuikata miti hiyo na kwenda kujenga nyumba zao kwenye vijiji vyao. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “kwenye miti mingi hakuna wajenzi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aishiye na matatizo mengi lakini vitu vya kuyamalizia matatizo hayo anavyo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa havitumii vizuri vitu anayoviona katika kuyatatua matatizo yake, kwa sababu ya uvivu wake wa kufikiri vizuri. Yeye huumiizwa na matatizo mengi kwenye familia yake, kwa sababu ya uvivu wake huo wa kushindwa kufikiri namna ya kuitumia vizuri mali anayoiona, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na wale walioshindwa kujenga nyumba pamoja na wao kuishi kwenye miti mingi, kwa sababu naye husumbuliwa na matatizo mengi wakati vitu vya kuyatatulia matatizo hayo anavyo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kwenye miti mingi hakuna wajenzi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kujibidisha kuzitumia vizuri mali wanazoziona, ili ziweze kuyamaliza matizo walio nayo, maishini mwao.

Mwanzo 22:9

1 Mambo ya nyakati 28:2.

ENGLISH: IN MANY TREES THERE ARE NO BUILDERS.

The overhead saying parleys about people who lived in a thicket of many trees without building a house. These people were given an opportunity of building houses by their colleagues who went to cut down those trees enough to take them back home for building their houses in their villages. That is why those people said that, “in many trees there are no builders.”

This saying is paralleled to a person who lives with many difficulties but he has ways of ending them, in his life. Such person does not make good use of those ways which he sees in solving his hitches, because of his laziness in thinking properly. He is hurt by various hitches in his family, because of his indolence of not being able to reason on how to make good use of the treasure which he sees in his life.

This person resembles those who failed to build a house despite their living in many trees, because he is also troubled by several harms while he has possessions of solving them, in his life. That is why people tell him that, “in many trees there are no builders.”

This saying imparts in people an idea of making good use of assets which they see, so that they can solve hitches which they have in their lives.

Genesis 22:9

1 Chronicles 28:2.

forest-7311484_1280

1272. IJI JILINGILA MUBOMA ITI GIKI JIHALA.

Akahayile kenako kahoyelile bhanhu abho bhagingilaga muboma. Umuboma igabhizaga mubhanhu bhingi abho bhagikalaga bhutumama milimo yabho bhuli ng’wene nimo gokwe kunguno ya wingi bho milimo ya munumo.

Aliyo lulu, abhanhu abhangi abho bhagalekagwa umuchalo ja bhanhu bhagehu, bhagabhabhonaga bhuhala abho bhagingilaga muboma, kunguno ya kuidalaha imilimo ya muboma yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “iji jilingila muboma iti giki jihala.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayidarahijaga sagala imilimo ya bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agachagulaga imilimo iminogu oyitumama kunguno ya bhudalahija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imilimo iya gutumama aha kaya yakwe kunguno ya bhudalahija bho milimo iyo agaibhonaga yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagabhabhona bhuhala abhanhu abho bhagingila muboma, kunguno nuweyi agayidalahija sagara imilimo iyo agaiyibhonaga yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “iji jilingila muboma iti giki jihala.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka kuidalahija sagara imilimo ya bhichabho, kugiki bhadule gutumama milimo ya gudula gubhambilija chiza ugujibheja ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Luka 9:1-6.

Luka 12:16-18.

KISWAHILI: WANAOINGIA MJINI SIO KWAMBA WAJINGA.

Msemo huo huongelea watu walioingia mjini. Mjini huishi watu wengi ambao hufanya kazi mbalimbali kila mmoja akiwa na yake kwa sababu ya wingi wa kazi hizo.

Lakini basi, baadhi ya watu wanaoishi vijijini huwafikiria kama ni wajinga wale wanaongia mjini kwa sababu ya kudharau kazi za humo mjini. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “wanaoingia mjini sio kwamba wajinga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hudharau hovyo kazi anazoziona, katika maisha yake. Mtu huyo, huchagua kazi zilizorahisi kuzifanya kwa sababu ya dharau yake hiyo ya baadhi ya kazi, maishani mwake. Yeye hukosa kazi za kufanya katika familia yake hiyo kwa sababu ya dharau yake ya kazi anazoziona, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliowaona kama ni wajinga watu walioingia mijini, kwa sababu naye huzidharau hovyo kazi anazoziona, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “wanaoingia mjini sio kwamba wajinga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kudharau kazi wanazoziona katika maeneo yao ili waweze kufanya kazi za kuwawezesha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 9:1-6.

ferry-214475__480

ENGLISH: THOSE WHO ENTER THE CITY ARE NOT STUPID.

This saying speaks of people who entered the city. Many people live in cities who do different jobs, each one with his own because of having a number of jobs in them.

But then, some people who live in rural areas think that those who move to the cities are stupid because they despise jobs which are in the cities. That is why people tell them that, “those who enter the city are not stupid.”

This saying is related to a person who carelessly despises works which he sees in his life. Such person chooses easy jobs because of his disdain for some jobs in his life. He misses work to do in his family because of his disdain for works which he sees in his life.

This person resembles the one who considered people who entered the cities as idiots, because he also despises works which he sees in his life. That is why people tell him that, “those who enter the city are not stupid.”

This saying teaches people about stopping scorning jobs which they see in their areas so that they can do jobs that can enable them to nicely develop their families, in their lives.

Luke 9:1-6.

1271. UNG’HABI ADIKUGAGA ULU WIKUGA UWILWA WIB’AGA.

Bhali hoyi bhanhu abho bhagamona mhunhu nhab’i alina sabho ijo uliojikuga. Abhanhu bhenabho aho bhamona bhagamuja, “ojifunyaga heyi isabho jinijo iki ulinhabhi?” Uweyi agashosha, “najikugaga.” Abhoyi bhagalema bhaliyomba, “udajikugile, ubhebhe ojibhaga duhu!” Hunagwene abhanhu bhagandya guyuyomba giki, “unhab’i adikugaga ulu wikuga uwilwa wib’aga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu nsabhi uyo ugabhadalahaga abhahab’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadalahaga abhanhu abho bhadina sabho kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga ugwikala chiza na bhanhu abha ha kaya yakwe kunguno ya bhudoshi bhokwe ubho gubhitila libheng’we abhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhagang’wila wibhaga umunhu uyo agikuja sabho, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhanhu abho bhadinasabho umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “unhab’i adikugaga ulu wikuga uwilwa wib’aga.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhudoshi bho gubhadalaha abhahabhi, kugiki bhadule gwikala ni kujo kubhanhu bhose ilya gubhambilija ugujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho bhunubho.

Kutoka 22:25.

Mambo ya walawi 14:31.

2 Samweli 12:1-6.

Kumbukumbu la Torati 15:4.

KISWAHILI: MASKINI HAOKOTI AKIOKOTA HUAMBIWA KAIBA.

Walikuwepo watu waliomuona mtu maskini na mali alizoziokota. Watu hao walipomuona walimuuliza, “umezitoa wapi mali hizo kwa vile wewe ni maskini?” Yeye aliwajibu, “nimeziokota.” Wao walikataa wakisema “hukuziokota, wewe umeziiba tu.” Ndiyo maana watu wakaanza kusema kwamba, “maskini haokoti akuziokota huambiwa kaiba.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu tajiri ambaye huwadharau maskini katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu wale ambao hawana mali kwa sababu ya majivuno yake hayo, maishani mwake. Yeye hushindwa kuishi vizuri na watu katika familia yake, kwa sababu ya majivuno yake hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliomdharau mpaka wakamwita mwizi, maskini aliyeokota mali, kwa sababu naye huwadharau maskini maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “maskini haokoti akiokota huambiwa kaiba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha majivuno ya kuwadharau watu maskini, ili waweze kuwa na hekima ya kuwaheshimu watu wote, itakayosaidia katika kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kutoka 22:25.

Mambo ya walawi 14:31.

2 Samweli 12:1-6.

Kumbukumbu la Torati 15:4.

crying-african-man-4670799_1280

ENGLISH: THE POOR DOES NOT PICK UP, IF HE/SHE PICKS UP HE/SHE IS TOLD THAT HE/SHE HAS STOLEN.

There were people who saw a poor man who had wealth which he picked up. When they saw him, they asked him, “Where did you get those possessions since you are poor?” He answered them, “I have picked them up.” They refused, saying “you did not pick them up, you just stole them.” That is why people began to say that, “the poor does not pick up, if he/she picks up he/she is told that he/she has stolen.”

This saying is matched to a rich man who despises the poor ones in his life. Sucgh person, despises those who have no wealth because of his pride, in his life. He fails to live well his family members, because of his pride, in his life.

This person is similar to those who despised a poor one until they called him a thief, while he collected wealth, because he also despises the poor ones in his life. That is why he tells them that, “the poor does not pick up if he/she picks up he/she is told that he/she has stolen.”

This saying instills in people an idea of leaving pride of despising poor people, so that they can have wisdom of respecting all people, which will help them in raising well their families, in their lives.

Exodus 22:25.

Leviticus 14:31.

2 Samuel 12:1-6.

Deuteronomy 15:4.