sayings

1285. IBHIMBI LYA NTALE

Akahayile kenako kaholelile munhu uyo oli nigele litale lya bhanhu umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, oliwilanga gubhalagula bhanhu mpaga bhapila kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gugudilila chiza unimo gokwe. Uweyi agapandika ligele litale ilya bhanbu abho agabhapija umubhulaguji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagalitana iligele lyakwe linilo giki, “ibhimbi lya ntale.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudililaga chiza unimo uyo ogusomela, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagudililaga unimo uyo agusomela bho gubhambilija bhanhu abho bhali na makoye kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalangaga chiza abhanhu bhakwe inzila ja gugutumila unimo gokwe gunuyo bho gubhambilija bhanhu bhingi abho bhali na makoye kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikikolaga nuyo olina witegeleja bho gubhalagula bhanhu chiza mpaga obhapija, kunguno nuweyi alina witegeleja bho gugutumila unimo uyo ugusomela bho gubhambilija chiza abhanhu abho bhali na makoye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga abhanhu abho obhambilija bhenabho giki, “ibhimbi lya ntale.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guyitumila imilimo iyo bhalangwa bho gubhambilija abhanhu abho bhali na makoye, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji bhutale, umukaya jabho.

Mithali 19:6.

Danieli 5:11.

KISWAHILI: KUNDI LA MKUBWA.

Msemo huo, huongelea juu ya mtu yule aliyekuwa na kumbi kubwa la watu maishani mwake. Mtu huyo, alijifunza kutibu watu mpaka wanapona kwa sababu ya umakini wake wa kuijali vizuri kazi yake hiyo. Yeye alipata kundi kubwa la watu wale aliowaponyesha magonjwa yao kupitia matatibu yake. Ndiyo maana watu waliliita kundi hiyo la watu kuwa ni “kundi la mkubwa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huijali vizuri kazi aliyoisomea, katika maisha yake. Mtu huyo, huijali kazi yake hiyo aliyoisomea kwa kuwasaidia watu walio na matatizo kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huwafundisha watu wake vizuri namna ya kuitumia kazi yake hiyo kwa kuwasaidia watu wengi walio na matatizo kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeutumia ufahamu wake kwa umakini katika kuwatibu watu mpaka wakapona, kwa sababu naye huitumia kazi aliyoisomeka kwa kuwasaidia watu wenye matatizo kwa umakini mkubwa, maishani mwake. Ndiyo maana watu huwaita wale aliowasaidia kuwa ni “kundi la mkubwa.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuitumia elimu waliyofundishwa kwa kuwasaidia watu wenye matatizo, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa, katika familia zao.

Mithali 19:6.

Danieli 5:11.

 

 

portrait-3699533__480

 

 ENGLISH: THE BIG GROUP OF THE BOSS.

This saying parleys about a person who had a big audience in his life. Such person learned to treat people until they recover because of his good responsiveness enough to take good care of his works. He found a large group of people whose diseases he cured through his treatments. That is why people called that group “the big group of the boss.”

This saying is matched to a person who takes good care of works which he studied in his life. Such person cares about his works which he studied by helping people who have problems because of his helpfulness, in his life. He teaches his people well on how to use his works by helping various people who have problems because of his thoughtfulness in his life.

This person is similar to the one who used his knowledge seriously in treating sich people until they were cured, because he also uses the work which he read to help people who have problems very seriously in his life. That is why people call those whom he helped “the big group of the boss.”

This saying imparts in people an idea of being careful enough to use the knowledge which they were taught for helping people who have problems, so that they can live happily in their families.

Proverbs 19:6.

Daniel 5:11.

 

1284. GUSUGAMBA NYAKUJIWA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhusugambi bho nyakujiwa bho bhanhu bhalebhe. Bhalihoyi bhanhu abho bhalibhaja gujutigula nkima uyo oliotolwa. Aho wila ubhujiku bhagaja gujugisha ukubhabyaji bha nkima ng’wunuyo uyo bhalibhanjila. Aho bhashiga hoyi bhagasugamba bho likujo litale huna bhubhagisha lulu abhabyaji bha nkima ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhakakitana akagisije kenako giki “gusugamba nyakujiwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali nikujo kubhanhu bhose, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagikalaga chiza na bhanhu bhabho bho gubhambilija bhose, kunguno ya likujo lyabho linilo umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagajilelaga bho gwikala chiza ikaya jabho kunguno ya likujo lyabho linilo ukubhichabho, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagaja gujutigula nkima bhugabhagisha abhabyaji bhakwe bho likijo litale, kunguno nabhoyi bhagikalaga na bhanhu bhose bho likujo litale, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhakakitanaga akikalile kabho kenako giki, “gugugamba nyakujiwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo kubhanhu bhose abho bhagikalaga nabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 41:43.

Waamuzi 7:5-6.

1Wafalme 8:54.

Zaburi 95:6.

KISWAHILI: KUPIGA MAGOTI KIHESHIMIWA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia upigaji wa magoti wenye heshima wa watu fulani. Walikuwepo watu walioenda kumchukua mwanamke aliyeolewa. Ulipoingia usiku walienda kuwasalimia wazazi wa yule mwanamke waliyeenda kumchukua. Walipofika pale walipiga magoti kwa heshima kubwa ndipo wakawasalimia wazazi hao wa yule mwanamke. Ndiyo maana watu waliita aina yao hiyo ya kusalimia kuwa ni “kupiga magoti kiheshimiwa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huishi kwa heshima na watu wote, katika maisha yao. Watu hao, huishi vizuri kwa kuwasaidia watu wao wote, kwa sababu ya hekima yao hiyo maishani mwao. Wao huzilea kwa kuishi vizuri familia zao kwa sababu ya hekima yao hiyo, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliowasalimia kwa heshiwa kubwa wazazi wa yule mwanamke waliyeenda kumchukua, kwa sababu nao huishi na watu wao kwa heshima kubwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu huiita aina yao hiyo ya kuishi kuwa ni “kupiga magoti kiheshimiwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa watu wao wote wanaoishi nao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 41:43.

Waamuzi 7:5-6.

1Wafalme 8:54.

Zaburi 95:6.

woman-856125_1280

ENGLISH: HONORABLE KNEELING.

The origin of an overhead saying looks at a respectful kneeling of some people. There were people who went to pick up a married woman. When night fell, they went to greet parents of a woman whom they went to pick her up. When they got there, they knelt with great respect and greeted the parents of that woman. That is why people called their type of greeting as “honorable kneeling.”

This saying is paralleled to people who live with respect to all people, in their lives. These people live well by helping their people, because of their wisdom in their lives. They nurture their family members by living well because of their knowledge in their lives.

These people are similar to those who greeted parents of the woman whom they went to pick her up, because they also live with their people with great respect, in their lives. That is why people call their way of living as “honorable kneeling.”

This saying teaches people about having respect for their people who live with them, so that they can soundly rear their family members, in their lives.

Genesis 41:43.

Judges 7:5-6.

1 Kings 8:54.

Psalm 95:6.

 

1283. AHA NAMHONA YUNITUMA ING’HOLO NANYOMBYE.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile kayombeje ka ng’wa munhu uyo ng’holo yakwe ya mtumaga gwita chene. Oliyohoyi munhu uyo agatung’wana na munhu uyo agantogwa umulogendo lokwe kunguno ya kikalile kakwe kawiza. Umunhu ng’wunuyo, aho ontogwa uyo bhagatung’wana nanghwe akiyangula gunyombya kunguno ing’holo yakwe yantumaga gwita chene. Hunagwene agayomba giki, “aha namhona yunituma ing’holo nanyombye.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agachagulaga ng’wiye ogwitola nanghwe uyo intogilwe ing’holo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agayidegelekaga chiza ing’holo yakwe bho gumchola ng’wiye uyo alina kikalile kaguyitogisha ing’holo yakwe, kunguno ya witegeleja bhokwe umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga ng’witoji onhungwa jawila uyo agayibhejaga chiza ikaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo aganyombya uyo agantogwa, kunguno nuweyi agachakulaga ng’witoji onhungwa jawiza ijo ijitogilwe ing’holo yakwe. Hunagwene agayombaga giki, “aha namhona yunituma ing’holo nanyombye.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya kuchagula bhitoji bhabho bho gutumila witegeleja bhutale, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Wafalme 11:1-4.

2Mambo ya nyakati 11:21a.

KISWAHILI: NILIPOMUONA MOYO ULINITUMA NIMUSEMESHE.

Chanzo cha msemo huo huangalia usemeshaji wa mtu yule ambaye moyo wake unamtuma kufanya hivyo. Alikuwepo mtu ambaye alikutakana na mwenzake katika safari zake akampenda kwa sababu ya mwenendo wake mwema. Mtu huyo, alipompenda aliamua kumsemesha kwa sababu moyo wake ulimtuma kufanya hivyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nilipomuona moyo ulinituma nimusemeshe.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchagua mwana ndoa mwenzake kwa kufuata unavyopenda moyo yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huusikiliza vizuri moyo wake huo kwa kumtafuta mwanandoa mwenzake ambaye maisha yake huufurahisha moyo wake, kwa sababu ya umakini wake huo maishani mwake. Yeye hufanikiwa kumpata mwanandoa mwenye tabia njema ambaye huijenga kwa kuilea vyema familia yake, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyemsemesha yule aliyempenda, kwa sababu naye huchagua mwanandoa aliye na tabia njema inayoupendeza moyo wake. Ndiyo maana husema kwamba, “nilipomuona moyo ulinituma nimusemeshe.”

Msemo huo, hufundisha wana ndoa watarajiwa juu ya kuchagua wenzi wao kwa kutumia umakini mkubwa, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

1Wafalme 11:1-4.

2Mambo ya nyakati 11:21a.

african-1129024_1280

1278. MAGAYA JIGONGO.

Akahayile kenako kaholelile mashinu makali ayo gatina jigongo. Amashinu genayo galikihamo na mayoka, mashimba, masub’i na gangi ayo aho ng’umanhija nago lyandya likenya. Agoyi gagalabhulaga bhanhu kunguno gadina jigongo. Hunagwene abhanhu bhagagitanaga giki, “magaya jigongo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na nhungwa mbi, umukikalile kabho. Amanhu bhenabho, bhali bhasambo, bhalomolomo, bhalisanya kunguno ya gugayiwa jigongo umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagagayiyagwa abhanhu abha gwikala nabho aha kaya jabho, kunguno ya nhungwa jabho ijabhub’i jinijo, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na mashinu amakali ayo galabhulaga bhanhu, kunguno nabhoyi bhalina nhungwa mbi ijo jigaminyaga bhanhu umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga giki, “magaya jigongo.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhugwa jawiza dubhambilije ugwikala chiza na abhichabho, kugiki bhadule gujilanhana chiza isabho jabho mukikalile kakwe kenako.

1 Petro 5:8-9.

Mathayo 15:19-20a.

KISWAHILI: YASIYOKUWA NA HURUMA.

Msemo huo huongelea juu ya wanyama wakali wasio na huruma. Wanyama hao ni pamoja na majoka, simba, chui na mengine mengi ambayo mutakapokutania tu unaanza ogomvi. Ndiyo maana watu huwaita wanyama hao kwamba, “wasiyokuwa na huruama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu walio na tabia mbaya, katika maisha yao. Watu hao, huiba vitu vya watu, husema uongo, hugombanisha watu kwa sababu ya kutokuwa na huruma kwao, maishani mwao. Wao hao hukosa watu wa kuishi nao kwenye familia zao, kwa sababu yao mbaya, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale wanyama wakali walioumiza watu, kwa sababu nao wanatabia mbaya ya kuumiza watu, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaita, “wasiona huruma.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema za kuwawezesha kuishi na watu vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, katika maisha yao yote.

1Petro 5:8-9.

Mathayo 15:19-20a.

ENGLISH: THE MERCILESS.

This saying looks at merciless beasts because of hurting people. These animals include dragons, lions, leopards and many others that when one meets them starts a fight. That is why people call them, “the merciless.”

This saying is equated to people who have wicked behaviors in their lives. Those people, steal people’s things, tell lies, and quarrel with people because of their lack of sympathy, in their lives. They can not have people to live with in their families, because of misbehaving in their lives.

These people are similar to those fierce animals that hurt people, because they also have evil practices of hurting people in their lives. That is why people call them, “the merciless.”

This saying teaches people about having upright conducts enough to enable them peacefully live with their family members, so that they can nicely raise their family members throughout their lives.

1 Peter 5:8-9.

Matthew 15:19-20a.

 

snake-

1277. GOSULULA UNKONO.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhusuluzu bho nkono go ng’wa munhu nnebhe. Olihoyi munhu uyo okoyaga ugugugolola unkono kokwe uyo goligwigonda kunguno ya gutumama milimo yake ukunu agugondile bho likanza lilihu. Umunhu ng’wunuyo agigulambije ugugugolola mbaga nose gusula chiza unkono gokwe gunuyo. Hunagwene abhanhu aho bhamona bhagayomba giki, “gosulula unkono.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu nchoji osabho uyo agakoyakoyaga ugwicholela mpaga nose ojipandika umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agagatumilaga chiza amasala gakwe bho gumisha diyu ogatumama milimo yakwe chiza mpaga oyimala kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo bhunubho, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe ubho gutumama milimo chiza bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agigulambija ugugugolola unkono gokwe mpaga gusulula, kunguno nuweyi agigulambijaga gwicholela sabho bho gutumama milimo yakwe chiza mpaga nose ojipandika sabho jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “gosulula unkono.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gugatumila chiza amasala gabho bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho.

1Wakorintho 16:2a-b.

KISWAHILI: MKONO UMENYOKA.

Chanzo cha msemo huo huongelea unyofu wa mkono wa mtu fulani. Alikuwepo mtu aliyekuwa akihangaika kuunyosha mkono wake uliokuwa umekunjika kwa muda mrefu kwa sababu ya kazi yake aliyokuwa akiifanya. Mtu huyo, alijibidisha kuunyosha mkono wake huo mpaka mwishowe ukanyoka vizuri. Ndiyo maana watu walipomuona walisema kwamba, “mkono umenyoka.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu mtafutaji wa mali ambaye huhangaika katika kujitafutia mali hizo mpaka mwishowe anazipata, katika kazi zake. Mtu huyo, huzitumia vizuri akili zake kwa kuamka mapema asubuhi na kwenda kufanya kazi vizuri mpaka anazimaliza kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, katika maisha yake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi zake vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejibisha kuunyosha mkono wake mpaka mwishowe ukanyoka, kwa sababu naye hujibidisha katika kujitafutia mali kwa kufanya kazi mpaka anapafanikiwa, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mkono umenyoka.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia vizuri akili zao kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mali za kuwawezesha kuziendeleza vizuri, familia zao.

1Wakorintho 16:2a-b.

hand-663725_1280

ENGLISH: THE HAND HAS BEEN STRAIGHT.

The cradle of this saying denotes to an outstretched hand of a certain person. There was a man who was struggling to stretch his arm that had been bent for a long time because of a work which he was doing. He had to stretch his hand until finally it was straight. That is why when people saw him said that, “The hand has been straight.”

This saying is paralleled to a person who seeks wealth by struggling enough to find it for himself in his life. Such person makes a good use of his mind by waking up early in the morning and going to work well until he finishes it because of his hard working life. He gets a lot of treasures in his family because of working hard in his life.

This person is similar to the one who took it upon himself to stretch out his hand until it eventually became straight, because he also struggles to find prosperity by working hard until he succeeds in his life. That is why people tell him that, “the hand has been straight.”

This saying imparts in people a clue of using well their minds by forcing themselves to soundly do their jobs, so that they can acquire a lot of possessions enough to enable them nicely improve their families.

1 Corinthians 16:2a-b.