sayings

1297. NGONGOJI AGANIGONGOLA.

Olihoyi ningi uyo wikalaga muchalo jilebhe umubhutemi bho bhuduhe. Uningi ng’wunuyo agitanwa guja gujugongola hawinga bho ng’wa munhu nhebhe. Uweyi agawagongala chiza noyi abhaha kaya yiniyo mpaga noyi ung’winikili kaya yiniyo akamkumilija bho guyomba giki ogongolaga chiza noyi. Hunagwene agayomba giki, “ngongoji aganigongola.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile uguitumama chiza imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agaitumamaga chiza imilimo bho gumisha dilu ogaitumama mpaga uyimala chiza kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi aha kaya yake kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gubhalanga abhanhu bhakwe gutumama milimo chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ningi uyo agatumama chiza unimo gokwe ugogubhagongola abho bhalibhang’witana, kunguno nuweyi agaitumamaga chiza imilimo yakwe mpaga opandika sabho ningi umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ngongoji aganigongola.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gudebha uguitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umubhutumami bho milimo yabho yiniyo.

Kumbukumbu la Torati 26:19.

1Samweli 18:30.

Zaburi 66:8.

KISWAHILI: MANJU ALINISIFU.

Alikuwepo manju aliyekuwa akiishi kwenye kijiji fulani cha kwenye utawala wa Uduhe. Manju huyo aliitwa kwenda kusifu kwenye harusi ya mtu fulani. Yeye aliwasifu vizuri sana watu wa kwenye familia hiyo mpaga mwenye mji huo akamsifu kwa kusema kwamba amesifu vizuri. Ndiyo maana alisema kwamba, “manju alinisifu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule anayeelewa kuzifanya kazi zake vizuri, maishani mwake. Mtu huyo, huzifanya kazi zake kwa kuamuka asubuhi na kwenda kuyatakeleza majukumu yake mpaga anayamaliza vizuri kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake. Yeye hufanikiwa kupata mali nyingi kwenye familia yake kwa sababu ya umakini wake huo wa kuwafundisha watu wake juu ya kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeifanya vizuri kazi yake ya kuwasifu wale waliomuita, kwa sababu naye huyatekeleza vizuri majukumu yake mpaga anapata mali nyingi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “manju alinisifu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyaelewa vizuri majukumu yao na kuyatekeleza vizuri, ili waweze kupata mali nyingi, katika kazi zao hizo.

Kumbukumbu la Torati 26:19.

1 Samweli 18:30.

Zaburi 66:8.

south-africa-1164007__480

ENGLISH: THE DANCE LEADER PRAISED ME.

There was a man who lived in a certain village in the administration of Uduhe. He was a dance group leader who was called to sing praises at someone’s wedding. He very well praised the people of that family. The owner of the town appreciated him by expressing his joyfulness to him. That is why he said that, “the dance leader praised me.”

This saying is equated to a person who understands how to do his works well in his life. Such person does his works by waking up in the morning and going to fulfill his duties until he finishes them well because of his focus in his life. He manages to get a lot of wealth in his family because of his attention in teaching his people on how to properly perform their duties in their lives.

This person is similar to the one who nicely did his job of praising those who called him, because he also performs his duties well to the point of getting a lot of wealth in his life. That is why people tell him that, “the dance leader praised me.”

This saying imparts in people a clue on being careful enough to understand their responsibilities to the point of performing them well, so that they can get a lot of wealth in their works.

Deuteronomy 26:19.

1 Samuel 18:30.

Psalm 66:8.

1296. YATUULAGA MAGELEGELE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile mahoya ga bhanhu abho bhaholelaga bhuutuji bho malunde ga mbula. Ubhutuuji bho malunde genayo bholi bho magelegele ubho bhuli bho malunde matale gape. Abhanhu bhenabho bhalibhadebhile igiki amalunde genayo gagolechaga wandijo bho likanza lya jidiku. Abhoyi bhagandya gwibhegeleja gwandya gulima kunguno ilikanza ya jidiku bhagamana igiki yashigaga. Hunagwene bhagayomba giki, “yatuulaga magelegele.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alidebhile chiza ilikanza lya gwandya uguitumama imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agandyaga uguitumama imilimo yakwe yiniyo nulu lyashiga duhu ilikanza lyaho kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gulidebha chiza ilikanza linilo, ilya guandya uguitumama imilimo yakwe. Uweyi agaponaga majiliwa mingi noyi kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gulidebha chiza ilikanza ilyaguitumama chiza imilimo yakwe yiniyo umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhagandya gulima aho jingila duhu ijidiku, kunguno nuweyi agandyaga uguitumama imilimo yakwe nulu lyashiga duhu ilikanza ilya guitumamama imilimo yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “yatuulaga magelegele.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na witegeleja bho kulidebha chiza ilikanza ilyaguitumama imilimo yabho na gwandya uguitumama nulu lyashiga duhu ilikanza linilo, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umubhutumami bhobho bhunubho.

Mwanzo 8:22.

Luka 12:54.

KISWAHILI: IMEWEKA MAWINGU.

Chanzo cha msemo huo huangalia maongezi ya watu waliokuwa wakiongelea juu ya mvua kuweka mawingu. Uwekaji wa mawingu ya mvua hiyo uliokuwa wa mawingu meupe. Watu hao walielewa kuwa uwekaji wa mawingu hayo meupe ulionesha ishara ya kuanza kipindi cha masika. Wao walianza kujiandaa kuanza kulima kwa sababu wakati wa masika walijua kuwa umefika. Ndiyo maana walisema kwamba, “imeweka mawingu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule anayeulewa vizuri muda wa kuzianza kazi zake, maishani mwake. Mtu huyo, huanza kuzifanya kazi zake hizo unapofika tu muda wa kuzitekeleza, kwa sababu ya umakini wake wa kuuelewa vizuri muda huo wa kufanya kazi zake hizo, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kwa kupata mazao mengi katika familia yake kwa sababu ya kuuelewa vizuri muda wa kuzianza kazi zake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale walioanza kulima kilipoingia tu kipindi cha masika, kwa sababu naye huzianza kazi zake unapofika tu muda wake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “imeweka mawingu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuueleza vizuri muda wa kuzianza kazi zao, na kuzitekeleza kazi hizo unapofika tu muda huo, ili waweze kupata mafanikio mengi katika kazi zao.

Mwanzo 8:22.

Luka 12:54.

ENGLISH: IT HAS PUT CLOUDS.

The starting point of overhead saying looks at the discussion of people who were talking about rain’s setting clouds. It came a time when the rain showed signs of raining by putting white clouds. People understood that such sign of those white clouds showed a beginning of the spring season. They started preparing their farms for farming because they knew that spring time had arrived. That is why they said that, “it has put clouds.”

This saying is compared to a person who understands well the time of starting his works in life. Such person starts doing his works when it is time to sort them out, because of his attentiveness of such time of doing his works, in his life. He succeeds by getting a lot of crops in his family because of knowing the time of starting his works.

This person resembles those who started farming when the spring season came, because he also starts his works when their time comes, in his life. That is why he says that, “it has put clouds.”

This saying teaches people about being careful enough to have knowledge on the starting time of their works to the point of carrying them out when such time comes, so that they can get a lot of success in their works.

Genesis 8:22.

Luke 12:54.

cloud-8075_1280

clouds-7306684_1280

clouds-5368435_1280

asia-4465960__480

1294. NG’WEJI GUDAPILILAGWA.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhupiji bho nzala bho bhanhu bhalebhe. Abhanhu bhenabho bhakoyaga na nzala iyo igigela hikanza lya muchu. Abhoyi bhagayuhaya giki “ung’weji uyo gulifuma dugulya jiliwa jipya ja gwingila mu migunda yise.” Aliyo ung’weji gunuyo gugabhita duhu ni jiliwa jidina pya. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ng’weji gudapililagwa.”

Akahayile kenako kagalengajiyagwa kuli munhu uyo agisagilagwa ginhu ijo adinajipandika umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agisagilagwa ginhu ijo adinajipandika bho gugatula pye amiganiko gakwe mu ginhu jinijo giti giki alinajo umumakono gakwe kunguno ya gukija gwiganika chiza, umumasala gakwe. Uweyi agisangaga ojigayiyagwa ijo uliojisagilagwa na wandya gukoya na nzala aha kaya yake kunguno ya gwisagilwa ginhu ijo adinajipandika, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhahayaga giki bhagulya jiliwa jipya ja gufumila mumidunda yabho ug’weji uyo guliza bhuduma ugujipandika ijiliwa jinijo, kunguno nuweyi agisagilagwa ginhu ijo adinajipandika umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’weji gudapililagwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka gwisagila ginhu ijo jidamanyikile akapyile kajo, bho gwiganika chiza, kugiki bhadule gupandika nzila ja gugamala wangu amakoye gabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yakobo 4:14a.

Mathayo 6:34.

Matendo ya mitume 1:7.

KISWAHILI: MWEZI HAUTASAIDIA KUPONA.

Chanzo cha msemo huo huongelea kupona njaa kwa watu fulani. Watu hao walikuwa wakisumbuliwa na tatizo hilo la njaa hiyo lililotokea wakati wa kiangazi. Wao walisema kwamba, “mwezi ujao tutakula chakula kipya cha kutoka kwenye mashamba yetu.” Lakini mwezi huo ulipita bila kukipata ya chakula hicho. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “mwezi hautasaidia kupona.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huweka matumaini yake yote kwenye kitu kile ambacho hajakipata katika maisha yake. Mtu huyo, hutumainia kitu hicho ambacho hajakipata kwa kuyaweka matumaini yake yote  kwenye kitu hicho kana kwamba anacho mikononi mwake kwa sababu ya kutofikiri vizuri katika akili zake. Yeye hujikuta akisumbuliwa na tatizo la kukosa chakula kwenye familia yake kwa sababu ya kuyaweka matumaini yake yote kwenye kitu hicho ambacho hana uhakika wa kukipata, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wawe waliosema kwamba, wangekula chakula cha kutoka kwenye mashamba yao mwezi uliofuata, ukapita mwezi huo bila kukipata chakula hicho, kwa sababu naye huyaweka matumaini yake yote kwenye kitu kile ambacho hana uhakika wa kukipata, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mwezi hautasaidia kupona.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kuyaweka matumaini yao yote kwenye kitu kile ambacho hawajakipata, ili waweze kufikiri vizuri namna ya kupata njia za kutatua matatizo yao kwa haraka, maishani mwao.

Yakobo 4:14a.

Mathayo 6:34.

Matendo ya mitume 1:7.

moon-7362632_1280

ENGLISH: THE MOON DOES NOT HELP TO RECOVER.

The cradle of the above saying speaks of a retrieval of hunger for some people. These people suffered from a difficult of hunger that happened during summer time. They said that, “next month we will eat fresh food from our fields.” But that month passed without getting that food. That is why people said that, “the moon does not help to recovery.”

This saying is related to a person who puts all his hopes on something that he has not found in his life. Such person hopes for that thing that he has not found by placing all his hopes on it as if he has it in his hands because of not thinking well in his mind. He finds himself suffering from problems of food shortage in his family because of putting all his hopes on that thing that he is not sure of getting in his life.

This person is like those who said that they would eat food from their fields the following month, and that month passed without getting that food, because also he puts all his hopes on something that he is not sure of getting, in his life. That is why people tell him that, “the moon does not help to recovery.”

This saying conveys to people a message of stopping putting all their hopes on something that they have not found so that they can deeply think enough to find ways of quickly solving their problems, in their lives.

James 4:14a.                                           

Matthew 6:34.

Acts 1:7.

1293. INUNGU INSOGA UDIZUIPELELA.

Akahayile kenako kalolile wiza bho nungu ubho bhuli bho hanze duhu. Olihoyi munhu uyo agayibhona nungu ya wiza uyipelela kunguno ya wiza bhoyo ubho hanze bhunubho. Umunhu ng’wunuyo agaitumila inungu yiniyo mulikanza liguhi duhu yubheleka kunguno yaliidapile chiza umugati yayo. Iyoyi yaliyawiza bho hanze duhu umugati yalitiyawiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wila umunhu ng’wunuyo giki, “inungu insoga udizuipelela.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinihanga lyawiza aliyo inholo yakwe iliyabhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agolechaga lihanga lya wiza aliyo inhungwa jakwe jili ja bhubhi kunguno ya miito gakwe agabhibhu ayo agagitaga umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agayisalambanyaga ikaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nungu iyo yaliyawiza bho guyilola hanze duhu aliyo umugati yaliidapile chiza, kunguno nuweyi agolechaga lihanza lyawiza aliyo inhungwa jakwe jili jabhubhi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “inungu insoga udizuipelela.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitila bhukengeji ijikolo jabho ubho bhudulile gubhambilija ugujidebha chiza ijikolo jabho jinijo, kugiki bhadule gujipandika ijawiza ijinagujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Ayubu 29:16.

Mathayo 23:27-34.

KISWAHILI: CHUNGU NZURI USIIKIMBILIE.

Msemo huo, huangalia uzuri wa chungu kwa nje tu. Alikuwepo mtu aliyekiona chungu kizuri kwa muonekano wake akakikimbilia kwa sababu ya uzuri wake huo wa nje. Mtu huyo alikitumia chungu hicho kwa muda mfupi tu kikavunjika kwa sababu hakikuiva vizuri kwa ndani. Chenyewe kilikuwa kizuri kwa nje tu lakini kwa ndani kilikuwa kibaya. Ndiyo maana watu walimwambia mtu huyo kwamba, “chungu nzuri usiikimbilie.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana sura nzuri lakini roho yake ni mbaya, katika maisha yake. Mtu huyo, huonesha sura nzuri lakini tabia yake ni mbaya kwa sababu ya matendo yake maovu anayoyatenda, maishani mwake. Yeye huitawanya hovyo familia yake kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kutenda maovu, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na kile chungu kilichoonekana kuwa kizuri kwa nje lakini kwa ndani ni kibaya, kwa sababu naye huonesha sura nzuri kwa nje lakini kwa ndani tabia yake ni mbaya, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “chungu nzuri usiikimbilie.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuvifanyia utafiti wa kuwawezesha kuvielewa vizuri vitu vyao, ili waweze kuvipata vile vilivyo vizuri katika kuziendeleza familia zao, maishani mwao.

Ayubu 29:16.

Mathayo 23:27-34.

ENGLISH: DO NOT RUN TO A GOOD POT.

This adage stares at an outside beauty of a pot. There was a man who saw a beautiful pot because of its appearance he ran to it. It was only outside beauty not an inside one. He did so because of its external beauty.

Such man used such pot for a short time and it broke because it was not cooked well inside. It was good on the outside but bad on the inside. That is why people said to him that, “do not run to a good pot.”

This saying is matched to the man who has good appearance but his soul is wicked, in his life. Such person, shows a good face but his character is evil because of his wicked deeds which he does in his life. He scatters his family carelessly because of his habit of doing evil in his life.

This person is similar to the pot that looks good on the outside but is bad in the inside, because he also shows a good appearance on the outside but on the inside his behavior is evil, in his life. That is why people tell him that, “do not run to a good pot.”

This saying imparts in people a clue of being careful enough to do research that can enable them to understand their things well, so that they can find what is good for advancing their families, in their lives.

Job 29:16.

Matthew 23:27-34.

 

 

bath-powder-5939269_1280

1292. NALINAJO ALIYO JIJILE.

Imbuki ya kahayile kenako iholelile hela ijo alinajo munhu nhebhe. Ihela jinijo akikalaga najo umunhu ng’wunuyo muli likanza liguhi duhu kunguno jigashilaga ulu wandya ugujitumamile bho gujigulile majikolo malebhe. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayombaga giki, “nalinajo aliyo jijile.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumamilaga chiza ijikolo jakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajitumamilaga isabho jakwe bho gudebha igiki jilashila ulu lyushiga ilikanza kunguno ya kubhiza ni lange lya wiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadujaga uguibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya lilange lyakwe ilya weza linilo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo oliadebhile igiki ihela jakwe jigushila ulu wandya ugujitumamila, kunguno nuweyi agajitumamilaga chiza isabho jakwe haho jitali ugushila umukaya yakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nalinajo aliyo jijile.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitumamila chiza isabho jabho haho jitali ugushila, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho bhunubho.

Maombolezo 4:18.

Mathayo 13:49.

KISHAHILI: NINAZO LAKINI ZINAENDA.

Chanzo cha msemo huo huongelea pesa alizonazo mtu fulani. Pesa hizo huwa nazo mtu huyo kwa muda mfupi tu kwa sababu zenyewe huisha akianza kuzitumia kwa kuzinunulia vitu mbalimbali. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, “ninazo lakini zinaenda.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitumia vizuri vitu vyake katika maisha yake. Mtu huyo, huzitumia mali zake kwa kuelewa kuwa huwa zinaisha ukifika muda kwa sababu ya malezi yake mema yamwezeshayo kuelewa kula kila kitu kina mwisho wake. Yeye hufanikiwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya malezi yake hayo mema ya kuzitumia vizuri mali zake, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeelewa kwamba pesa zake zitaisha akianza kuzitumia, kwa sababu naye huzitumia vizuri mali zake kabla hazijaisha. Ndiyo maana husema kwamba, “ninazo lakini zinaenda.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitumia vizuri mali zao kabla hazijaisha, wakielewa kuwa, zina mwisho, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Maombolezo 4:18.

Mathayo 13:49.

ENGLISH: I HAVE THEM BUT THEY ARE GOING.

The origin of an overhead saying refers to money which someone has. A person possess the money only for a short period of time because it ends when he starts using it by buying various things. That is why such person says, “I have them but they are going.”

This saying is paralleled to a man who uses his possessions well in his life. Such person uses his possessions with good understanding that they end when the time of using them comes because of his good upbringing that enables him to recognize that in taking everything has an end. He manages to soundly cultivate his family because of his good upbringing enough to use his resources well, in his life.

This person reminds us of the one who understood that his money would run out when he starts using it, because he also uses his properties well before they run out. That is why he says that, “I have them but they are going.”

This saying instills in people an idea of being careful enough to use well their belongings before they run out, understanding that they have an end, so that they can nicely improve their families, in their lives.

Lamentations 4:18.

Matthew 13:49.

 

 

dark-2602121_1280