1412. NG’WICHAGE UNG’WANA AGUGUB’UNA.
Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo oliobyalwa na jika ijo jaligungule ukungongo gokwe kunguno ya gubhumbwa chene. Uweyi obhizaga guti giki abhuchije ng’wana ukungongo gokwe gunuyo. Hunagwene abhanhu bhamelaga bho gung’wilaga giki, “ng’wichage ung’wana agugub’una.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhudoshi bho gubhaseka abhanhu abho bhalina jika, umukikalile kakwe. Munhu ng’wunuyo, agabhaluhyaga abhanhu abho bhalina jika jilebhe bho gubhaseka kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe, kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho ubho gubhaseka abhanhu abho bhalina jika, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’winuyo, agikolaga nabho bhansegaka uyo oliobyalwa na jika ukungongo, kunguno nuweyi agabhasekaga abhanhu abho bhali na jika, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “ng’wichage ung’wana agugub’una.”
Akahayile kenako kalanga bhahu higulya ya gubhiza na bhutengeke bho gwikala chiza na bhanhu abho bhalina jika, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.
Mathayo 9:27-30.
Luka 14:13-14.
2 Samweli 4:4.
KISWAHILI: MSHUSHE MTOTO ATAKUCHOSHA.
Alikuwepo mtu aliyeishi katika kijiji fulani. Mtu huyo, alizaliwa akiwa na kilema kilichoinuka mgongoni mwake kwa sababu ya kuumbwa hivyo. Yeye alionekana kama amebeba mtoto mgongoni mwake. Ndiyo maana watu walimtania kwa kumwambia kwamba, “mshushe mtoto atakuchosha.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu aliye na majivuno ya kuwacheka watu wenye vilema, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatesa vilema kwa kuwacheka kwa sababu ya majivuno yakwe hayo, maishani mwake. Yeye hukosa baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo, kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwacheka vilema, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na wale waliomcheka yule aliyekuwa na kilema mgongoni mwake, kwa sababu naye huwacheka watu wenye vilema, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “mshushe mtoto atakuchosha.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuishi vizuri na watu walio na vilema, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furaha, katika familia zao, maishani mwao.
Mathayo 9:27-30.
Luka 14:13-14.
2 Samweli 4:4.
ENGLISH: PUT THE CHILD DOWN, YOU WILL BE BORED.
There was a man who lived in a certain village. Such man was born with a crippled back because of his birthmark. He looked like he was carrying a child on his back. That is why people joked about him by saying that, “Put the child down, you will be bored.”
This saying is compared to a person who is proud enough to laugh at people who have disabilities in his life. Such man tortures disabled ones by laughing at them because of his pride in his life. He misses blessings of living happily in his family because of his pride of laughing at the disabled ones in his life.
This man is like those who laughed at the man who had a crippled back because he also laughs at the disabled people in his life. That is why he says that, “Put the child down, you will be bored.”
This saying imparts in people an idea of having decent habits of nicely living with people who have disabilities, so that they can receive blessings of living happily, in their family lives.
Matthew 9:27-30.
Luke 14:13-14.
2 Samuel 4:4.














