sayings

1412. NG’WICHAGE UNG’WANA AGUGUB’UNA.

1412. NG’WICHAGE UNG’WANA AGUGUB’UNA.

Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo oliobyalwa na jika ijo jaligungule ukungongo gokwe kunguno ya gubhumbwa chene. Uweyi obhizaga guti giki abhuchije ng’wana ukungongo gokwe gunuyo. Hunagwene abhanhu bhamelaga bho gung’wilaga giki, “ng’wichage ung’wana agugub’una.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhudoshi bho gubhaseka abhanhu abho bhalina jika, umukikalile kakwe. Munhu ng’wunuyo, agabhaluhyaga abhanhu abho bhalina jika jilebhe bho gubhaseka kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe, kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho ubho gubhaseka abhanhu abho bhalina jika, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo, agikolaga nabho bhansegaka uyo oliobyalwa na jika ukungongo, kunguno nuweyi agabhasekaga abhanhu abho bhali na jika, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “ng’wichage ung’wana agugub’una.”

Akahayile kenako kalanga bhahu higulya ya gubhiza na bhutengeke bho gwikala chiza na bhanhu abho bhalina jika, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 9:27-30.

Luka 14:13-14.

2 Samweli 4:4.

KISWAHILI: MSHUSHE MTOTO ATAKUCHOSHA.

Alikuwepo mtu aliyeishi katika kijiji fulani. Mtu huyo, alizaliwa akiwa na kilema kilichoinuka mgongoni mwake kwa sababu ya kuumbwa hivyo. Yeye alionekana kama amebeba mtoto mgongoni mwake. Ndiyo maana watu walimtania kwa kumwambia kwamba, “mshushe mtoto atakuchosha.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu aliye na majivuno ya kuwacheka watu wenye vilema, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatesa vilema kwa kuwacheka kwa sababu ya majivuno yakwe hayo, maishani mwake. Yeye hukosa baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo, kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwacheka vilema, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na wale waliomcheka yule aliyekuwa na kilema mgongoni mwake, kwa sababu naye huwacheka watu wenye vilema, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “mshushe mtoto atakuchosha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuishi vizuri na watu walio na vilema, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furaha, katika familia zao, maishani mwao.

Mathayo 9:27-30.

Luka 14:13-14.

2 Samweli 4:4.

ENGLISH: PUT THE CHILD DOWN, YOU WILL BE BORED.

There was a man who lived in a certain village. Such man was born with a crippled back because of his birthmark. He looked like he was carrying a child on his back. That is why people joked about him by saying that, “Put the child down, you will be bored.”

This saying is compared to a person who is proud enough to laugh at people who have disabilities in his life. Such man tortures disabled ones by laughing at them because of his pride in his life. He misses blessings of living happily in his family because of his pride of laughing at the disabled ones in his life.

This man is like those who laughed at the man who had a crippled back because he also laughs at the disabled people in his life. That is why he says that, “Put the child down, you will be bored.”

This saying imparts in people an idea of having decent habits of nicely living with people who have disabilities, so that they can receive blessings of living happily, in their family lives.

Matthew 9:27-30.

Luke 14:13-14.

2 Samuel 4:4.

1410. WIGUSHA B’O B’ANIGINIGI LUB’UB’U LO MVAA.

Abhaniginigi bhagigushaga bho gutumya lub’ub’u guti mva jilisha. Abhanigini bhenabho bhagatumyaga lub’ub’u kunguno bhagigusijaga masalu nulu moto kunguno ya bhuniginigi bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “wigusha b’o b’aniginigi lub’ub’u lo mvaa.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga nyanigini imilimo yabho umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagatumamaga hadoo duhu imilimo yabho bhandya gwigusha mpaga bhaduma uguimala imilimo uguitumama kunguno ya gudilila mahoya ahikanza lya milimo yao umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagagayiyagwa ijiliwa aha kaya jabho kunguno ya bhuniginigi bhobho ubho guduma uguitumama chiza imilimo yabho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhaniginigi abho bhagadililaga ligusha bho nduhu uguitumama imilimo yabho, kunguno nabhoyi bhagadililaga mahoya mpaga bhaduma uguitumama chiza imilimo yabho, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “wigusha b’o b’aniginigi lub’ub’u lo mvaa.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gudilila milimo yabho bho gwigulambija guitumama chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila umukaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 20:11.

Mithali 23:13.

Yoeli 1:3.

Marko 9:37-37.

KISWAHILI: MCHEZO WA WATOTO VUMBI LA MBWA.

Watoto hucheza michezo yao kwa kutimua vumbi kama mchezo wa mbwa. Watoto hao hutimua vumbi kwa sababu huwa wanachezea mchanga au kitu kingine ukiwemo moto kwa sababu ya utoto wao huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mchezo wa watoto vumbi la mbwa.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao kitoto katika maisha yao. Watu hao hufanya kazi kidogo tu wanaanza kucheza mpaga wanashindwa kuzimaliza kazi zao, kwa sababu ya kujali maongezi yasiyo na faida wakati wa kufanya kazi, maishani mwao. Wao hukosa chakula katika familia zao kwa sababu ya utoto wao wa kushindwa kufanya kazi zao vizuri, maishani mwao.

Watu hao hufanana na watoto waliojali kucheza bila kufanya kazi, kwa sababu nao hujali maongezi wakati wa kazi mpaka wanashindwa kuzimaliza kazi zao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “mchezo wa watoto vumbi la mbwa.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kujali kazi zao kwa kuzitekeleza kwa bidii kubwa, ili waweze kupata mali za kutumia vizuri katika familia zao, maishani mwao.

Mithali 20:11.

Mithali 23:13.

Yoeli 1:3.

Marko 9:37-37.

ENGLISH: CHILDREN’S GAME DOG DUST.

Children play their games by kicking up dust like a game of dogs. These children kick up dust because they always play with sand or something else including fire because of their childhood. That is why people say that, “children’s game dog dust.”

This proverb is paralleled to people who do their works like a child in their lives. These people only work a little, they start playing around and fail to finish their works, because they care about useless conversations while working, in their lives. They lack food in their families because of their childhood of failing to nicely do their works in their lives.

These people resemble the children who cared about playing without working, because they also care about conversations while working until they fail to finish their works, in their lives. That is why people say to them that, “children’s game dog dust.”

This proverb clarifies in people an idea of taking care of their works by carrying them out with great diligence, so that they can obtain wealth to nicely use in their family lives.

Proverbs 20:11.

Proverbs 23:13.

Joel 1:3.

Mark 9:37-37.

1409. NASUGAMBAGA NASUMBYAGA MAKONO.

Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo ja Wimate. Umunhu ng’wunuyo agikenya na ng’wiye uyo bhali bhuzenganwa nanghwe kunguno ya gwishogeja shib’i. Uweyi agiyangula gulomba bhulekejiwa ukuli ng’wiye ng’wunuyo. Hunagwene agayomba giki, “nasugambaga nasumbyaga makono.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina widohya bho gulomba bhulekejiwa ulu ohubhaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agalombaga bhulekejiwa ulu widumaga nabhiye kunguno ya widohya bhokwe bhunubho ubho gwikala chiza nabhiye, umuwikaji bhokwe. Uweyi agayilelaga chiza ikaya yakwe kunguno ya widohya bhokwe ubho gwikala chiza na bhanhu bhakwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalomba bhulekejiwa aho widuma nu nzenganwa okwe, kunguno nuweyi alina widohya bho kulomba bhulekejiwa ukubhiye ulu widumaga nabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene agayombaga giki, “nasugambaga nasumbyaga makono.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gwikala na bhanhu chiza na gulomba bhulekejiwa ukubhichabho ulu bhidumaga nabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Hebabu 14:19.

Zaburi 78:38.

Mathayo 6:12.

Mathayo 6:15.

Luka 15:3-7.

Luka 17:4.

KISWAHILI: NIMEPIGA MAGOTI NAKUFUMBA MIKONO.

Alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji cha Wimate. Mtu huyo aligombana na mwenzake aliyekuwa jirani yake kwa sababu ya kujibizana vibaya. Yeye aliamua kuomba msamaha kwa mwenzake huyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimepiga magoti nakufumba mikono.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyeyekevu wa kuomba msamaha anapokosea, katika maisha yake. Mtu huyo, huomba msamaha anapokesana na wenzake kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuishi vizuri na wenzake, maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuishi vizuri na watu wake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeomba msamaha alipokosana na jirani yake, kwa sababu naye ana unyenyekevu wa kuomba msamaha kwa wenzake anakosana nao. Ndiyo maana husema kwamba, “nimepiga magoti nakufumba mikono.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuishi na watu vizuri na kuomba msamaha kwa wenzao wanakosana, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Hebabu 14:19.

Zaburi 78:38.

Mathayo 6:12.

Mathayo 6:15.

Luka 15:3-7.

Luka 17:4.

ENGLISH: I HAVE KNELT DOWN AND FOLDED MY HANDS.

There was a man who lived in the village of Wimate. This man had a fight with his neighbor because of evil argument. He decided to apologize to his neighbor. That is why he said that, “I have knelt down and folded my hands.”

This saying is related to a person who has humility to apologize when he makes a mistake in his life. Such person apologizes when he makes a mistake with his friends because of his humility to live well with his friends in his life. He takes virtuous care of his family because of his humility to live well with his people in his life.

This person is like the one who apologized when he made a mistake with his neighbor, because he also has the humility to apologize to his friends with whom he makes a mistake. That is why he says that, “I have knelt down and folded my hands.”

This saying teaches people about being humble by living well with people and asking for forgiveness from their earls who have differences, so that they can raise their families well, in their lives.

Hebrews 14:19.

Psalm 78:38.

Matthew 6:12.

Matthew 6:15.

Luke 15:3-7.

Luke 17:4.

1408. NG’WALIB’ANGA?

Akahayile kenako kahoyelile bhanhu abho bhali bhabhilingwa gujutumama nimo ng’wa munhu uyo uliobhalalika. Abhanhu bhenabho bhagaja bhugatumama unimo guniyo kunguno ya kikalile kabho kiza na bhichabho. Abhoyi aho bhalishoka bhagayubhujiwa na bhanhu abho bhatung’wanaga nabho kunguno ya kutogwa gudebha abho bhagutumamaga unimo gunuyo. Hunagwene abhanhu bhenabho abhabhuja giki “ng’walib’anga?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhilingagwa gujuntumamila Yesu bhagantumamila chiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagantumamilaga chiza uYesu bho gwikala chiza na bhichabho kunguno ya guntugwa Yesu, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga na buyeji umukaya jabho kunguno ya guzunya guntumamila Yesu chiza, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagabhilingwa gujutumama nimo bhugagutumama chiza, kunguno nabho bhagantumamilaga chiza uYesu uyo obhitana bho gwikala chiza na bhanhu umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagabhadililaga abhanhu bho gubhuja giki, “ng’walib’anga?”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gunzunya Yesu bho gwiyambilija kutumama milimo chiza na bhichabho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gubhashisha Ng’wigulu.

Zakaria 3:10.

Kumbukumbu la Torati 30:15-16.

Mathayo 22:3-4.

Ufunuo 19:9.

KISWAHILI: MLIKUWA WANGAPI?

Msemo huo huongelea watu wale walioalikwa kufanya kazi kwa mtu aliyewaalika. Watu hao walienda kuifanya vizuri kazi hiyo kwa sababu ya kupenda kuishi na wenzao vizuri. Wao waliulizwa na watu walipokuwa wakirudi juu ya utekelezaji wa kazi yao kwa sababu ya kutaka kuwaelewa wale walioitikia wito huo. Ndiyo maana wao waliuliza kwamba, “mlikuwa wangapi?”

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale walioalikwa kumtumikia Yesu wakaitekeleza vizuri kazi hiyo, katika maisha yao. Watu hao humtumikia Yesu vizuri kwa kuishi na wenzao vizuri kwa sababu ya kumpenda Yesu, maishani mwao. Wao huiishi kwa furaha kwenye familia zao kwa sababu ya kumwamini Yesu vizuri, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale walioalikwa kufanya kazi ya mtu fulani wakaitekeleza vizuri, kwa sababu nao humtumikia vizuri Yesu aliyewaita kwa kuishi na watu vizuri, maishani mwao. Ndio maana huwajali watu kwa kuwauliza kwamba, “mlikuwa wangapi?”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kumwamini Yesu kwa kushirikiana kufanya kazi vizuri na wenzao, ili waweze kupata Baraka za kuwafikisha mbinguni.

Zakaria 3:10.

Kumbukumbu la Torati 30:15-16.

Mathayo 22:3-4.

Ufunuo 19:9.

ENGLISH: HOW MANY WERE YOU?

This saying refers to people who were invited to work for someone who invited them. Those people went to do a job well because they liked to live well with their nobles. They were asked by people when they returned an implementation of their works because they wanted to understand a number of those who responded to the call. That is why they asked that, “How many were you?”

This saying is equated to people who were invited to serve Jesus and carried out that work well, in their lives. Those people serve Jesus well by living well with their dukes because they love Jesus, in their lives. They live it happily in their families because they nicely believe in Jesus in their lives.

These people are similar to those who were invited to do someone else’s work and carried it out well, because they also serve Jesus who called them well by nicely living with people, in their lives. That is why they do not care about people by asking them that, “How many were you?”

This saying imparts in people an idea of of believing in Jesus by working together well with their nobles, so that they can receive blessings that will take them to heaven.

Zechariah 3:10.

Deuteronomy 30:15-16.

Matthew 22:3-4.

Revelation 19:9.

1407. NZUGI DULILUME.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhesi bha lisolo. Abhesi bha lisolo bhenabho bhalyesaga ilisolo linilo bho gwikinda kunguno ya gutogwa gujimija likanza lyabho muligusha linilo. Hunagwene bhagikomelejaga gwiza gwesa bho guyomba giki, “nzugi dulilume.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagaligusijaga ilikanza lyabho bho gutumama milimo iyo idina solobho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagaligusijaga sagala ilikanza lyabho bho gutumama milimo iyo idina solobho umukaya jabho kunguno ya bhugokolo bho milimo bhobho umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhukoya na nzala umukaya jabho kunguno ya bhugokolo bhobho ubho guligusija sagala ilikanza lyabho, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhesi bhi solo abho bhaligusijaga ilikanza lyabho mpaga bhaleka imilimo yabho, kunguno nabhoyi bhagaligusijaga sagala ilikanza lyabho bho gutumama milimo iyo idina solobho umukaya jabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagikomelejaga gwesa bho guyomba giki, “nzugi dulilume.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka guligusija sagala ilikanza lya milimo yabho bho gutumama milimo iyo idina solobho, kugiki bhadule gutumama milimo iyo ili na solobho umukaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

1Wakorintho 11:17.

Wafilipi 3:7.

KISWAHILI: NJOONI TULIUME.

Chanzo cha msemo huo huongelea bhacheza bao. Wacheza bao hao hulicheza bao hilo kwa kushindana kwa sababu ya kupenda kupoteza muda wao katika mchezo huo. Ndiyo maana watu hao huhimizana kucheza kwa kusema kwamba, “njooni tuliume.”

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao huuchezea muda wao kwa  kufanya kazi zisizo na faida kwenye familia zao, katika maisha yao. Watu hao huuchezea hovyo muda wao wa kufanya kazi zisizo na faida kwao badala ya kuutumia muda huo kufanya kazi zenye manufaa kwao, kwa sababu ya uvivu wao huo wa kazi, maishani mwao. Wao husumbuliwa na tatizo la njaa kwenye familia zao kwa sababu ya uvivu wao wa kazi, kwa kuuchezea hovyo muda wao wa kufanya kazi, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale wacheza bao waliouchezea muda wao katika mchezo huo badala ya kufanya kazi zenye faida kwao, kwa sababu nao huuchezea hovyo muda wao kwa kufanya kazi zisizo na manufaa kwenye familia zao, maishani mwao. Ndiyo maana wao huhimizana kuuchezea muda wao kwa kusema kwamba, “njooni tuliume.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kuuchezea muda wao wa kufanya kazi kwa kufanya kazi zisizo na manufaa kwao, ili waweze kufanya kazi zenye manufaa kwenye familia zao, maishani mwao.

1Wakorintho 11:17.

Wafilipi 3:7.

ENGLISH: “COME, LET US WORK TOGETHER.”

The origin of this saying refers to traditional game player. These people play the traditional game by competing with each other because they like to waste their time in the game. That is why these people encourage each other to play by saying that, “Come, let us work together.”

This saying is related to those people who waste their time by doing useless things in their families. These people waste their time by doing those useless things instead of using that time for doing useful works for them, because of their laziness in their lives. They are troubled by difficult of hunger in their families because of their laziness of wasting their time in their lives.

These people are similar to those traditional game players who wasted their time by doing playing that game instead of doing useful works for them, because they also waste their time by doing useless things for their families, in their lives. That is why they encourage each other to waste their time by saying, “Come, let us work together.”

This saying imparts in people an idea of stopping wasting their working time by doing works which are not beneficial to them, so that they can do useful works in their family lives.

1 Corinthians 11:17.

Philippians 3:7.