proverbs

1240. AGASOLA HUHA UYILEKA IGAGI.

Imbuki ya ulusumo lunulo iholelile bhubhinzi bho huha bho ng’wa munhu nhebhe. Ulihoyi munhu uyo agaja gujubhinza gagi mungunda ugisanga obhinzaga huha ojilekaga igagi. Umunhu ng’wunuyo, agasunduhala noyi ukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayomba gika, “agasola huha uyileka igagi.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo otola nkima, nulu otolwa na ngosha uyo alina nhungwa ja bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, ocholaga bhutoji aliyo lulu aha onpandika nkima, nulu ngosha ubhiza alina nhungwa jabhubhi ijo jigayunkoya noyi umukikalile kunguno ya miito agabhubhi genayo. Uweyi agapandika makoye mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya gwitola na munhu o nhungwa ja bhubhi umuwikaji bhokwe. Ugusola huha munho gutola nkima, nulu gutolwa na ngosha uyo alina nhungwa ja bhubhi.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaja gujubhinza gagi ugasola huha uyileka igagi, kunguno nuweyi agapandika nkima/ngosha uyo alina nhungwa jabhubhi, unleka uonhungwa jabhiza, umubhuchoji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “agasola huha uyileka igagi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja ulu bhalichola bhutoji, nulu ginhu ijo jilijawiza, kugiki bhadule kupandika ng’witoji uyo alina nhungwa ja wiza, nulu ginhu ijo jijawiza, umubhuchoji bhobho.

Ezekieli 3:3.

Kumbukumbu la Torati 30:15-17.

Yoshua 24:15.

KISWAHILI: ALICHUKUA BUA LA MTAMA LISILO NA UTAMU AKAACHA LENYE UTAMU.

Chanzo cha methali hiyo huongelea juu ya ukataji wa bua la mtama lisilo na utamu alioufanya mtu fulani. Alikuwepo mtu aliyeenda shambani kukata bua la mtama lenye utamu akajikuta amekata lile lisilo na utamu. Mtu huyo, alihuzunika sana katika maisha yake. Ndio maana watu walisema kwamba, “alikuchua bua la mtama lisilo na utamu akaacha lenye utamu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyepata mwenzie wa ndoa mwenye tabia mbaya, katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa akitafuta mwenzie wa kuishi naye kwenye maisha hayo ya ndoa, achamchagua mwenye tabia mbaya ambaye alimsumbua sana, kwa sababu ya matendo yake hayo mabaya. Yeye alipata matatizo mengi sana kwenye ndoa yake, kwa sababu ya kuchagua bua, katika utafutaji wake. Kuchukua bua lisilo na utamu ni kuoa au kuolewa na mtu mwenye tabia mbaya.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekata bua la mtama lisilo na utamu, kwa sababu naye alipata mke/mume mwenye tabia mbaya, akaamuacha yule aliye na tabia njema, katika utafutaji wake huo. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “alikuchua bua la mtama lisilo na utamu akaacha lenye utamu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa makini wanapotafuta wachumba wa ndoa, au kitu kilicho kizuri, ili waweze kupata wachumba wenye tabia njema, au kitu kilicho kizuri, bila kukosea, katika utafutaji wao huo.

Ezekieli 3:3.

Kumbukumbu la Torati 30:15-17.

Yoshua 24:15.

ENGLISH: HE PLUCKED A STALK OF MILLET THAT WAS NOT SWEET AND LEFT THE SWEET ONE.

The origin of this proverb talks about someone who cut of a stalk of millet that is not sweet instead of a sweet one. There was a man who went to the field to cut a stalk of sweet millet and found himself cutting an unsweetened one. Such man became very sad in his life. That is why people said that, “he plucked the stalk of millet that was not sweet and left the sweet one.”

This proverb is paralleled to a person who found a spouse who had wicked behavior in his life. Such person was looking for a partner to live with in that married life. Unfortunately he chose someone who has evil character which bothered him a lot in life. He got a lot of problems in his marriage, because of choosing shoots in his search. To take a stalk that is not sweet means marrying or being married to a person who has a wicked character.

This person is similar to the one who cut the stalk of millet that is not sweet, because he also found a wife/husband of evil behavior, and left the one that has good behavior in his search. That is why people said that, “he plucked the stalk of millet that was not sweet and left the sweet one.”

This proverb imparts in people an idea of being careful when looking for marriage partners, or something good, so that they can find good-matured partners, or something good, without making a mistake, in their search.

Ezekiel 3:3.

Deuteronomy 30:15-17.

Joshua 24:15.

millet-4498965_1280

street-4083788_1280

sugarcane-253205_1280

1239. KALUGAKA KAGALYAGA NUGUGINA NDUHU.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile kalugaka. Akalugaka kenako kali kajisunva kadoo giti kapalala ako kagalyaga jiliwa aliyo kadaginaga kunguno ya kikalile kako. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “kalugaka kagalyaga nugugina nduhu.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitilagwa mihayo ya wiza aliyo adalumbaga, umukikalile kakwe. Abhanhu abho agikalaga nabho umunhu ng’wunuyo, bhagang’witilaga miito ga wiza bho gung’winha makijikolo mingi noyi aliyo weyi adalumbaga kunguno ya gugaiya bhulumbi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhanojaga nose abhanhu abho bhagang’wambilijaga bhenabho bho gung’winha majikolo mingi, kunguno ya bhujidalumba bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na kalugaka ako kagalyaga aliyo ugugina nduhu, kunguno nuweyi adalumbaga ulu winhiwa amajikolo na bhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “kalugaka kagalyaga nugugina nduhu.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kubhiza na moyo go gufunya bhulumbi uku bhichabho abho bhagabhitilaga mihayo ya wiza, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala chiza umubhulamu bhobho bhunubho.

Mwanzo 1:20-21.

Mwanzo 1:30.

KISWAHILI: JAMII YA KOMBA MWIKO HULA KUNENEPA HAKUNA.

Chanzo cha methali hiyo, huangalia Jamii ya komba mwiko. Jamii hiyo ya komba mwiko ni kiumbe kidogo kama takataka ambacho hula chakula lakini hakinenepi kwa sababu ya maisha yake hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “jamii ya komba mwiko hula kunenepa hakuna.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutendewa wema lakini hashukuru, katika maisha yake. Watu waishio naye mtu huyo, humtendea wela kwa kumpatia vitu wingi lakini hashukuru kwa sababu ya kukosa shukrani kwake, maishani mwake. Yeye huwachosha watu hao wanaomsaidia kwa kumpatia vitu vingi, kwa sababu ya kutokushukuru kwake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule jamii ya komba mwiko alaye chakula bila kunenepa, kwa sababu naye watu humtendea wema kwa kumpatia vitu vingi lakini hatoi shukrani kwao, maishani mwake. Ndiyo maaana watu humwambia kwamba, “jamii ya komba mwiko hula kunenepa hakuna.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na moyo wa kutoa shukrani kwa wenzao wanaowatendea wema, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri, maishani mwako.

Mwanzo 1:20-21.

Mwanzo 1:30.

ENGLISH: COCKROACH EATS WITHOUT BECOMING FAT.

This proverb looks at a cockroach type of insects. This type of insects is a small creature which like garbage that eats food but does not get fat because of its life. That is why people say that, “cockroach eats without becoming fat.”

This proverb is paralleled to a person who is treated well but is not grateful, in his life. The people who live with that person treat him well by providing him with many basic needs but he is not grateful because of his lack of gratitude in his life. He wears out those people who help him by providing him with many things because of his ungratefulness in his life.

This person is similar to the cockroach that ate food without getting fat, because people also treat him well by giving him many things but he does not thank them, in his life. That is why people tell him that, “cockroach eats without becoming fat.”

This proverb teaches people about having being appreciative to their colleagues who treat them well, so that they can get blessings of living well in their lives.

Genesis 1:20-21.

Genesis 1:30.

1234. UNG’WENE WINGILA GUKANO.

Imbuki ya Lusumo lunulo, ihoyelile munhu uyo uliwingila gukano. Ugukano kunuko ili gwigulya uko bhanhu bhagatulaga ginhu giti mandege, Nhalanga, Nhumbu na jingi jingi ijo jilijawiza, umunumba yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agalinha mpaga ushiga ukuginhu ijawiza jinijo umugati ya numba yiniyo. Giko lulu, uweyi agaja kuwiza kunguno jilinduhu ijagulula koyi. Hunagwene abhanhu bhaganyomba giki, “ung’wene wingila gukano.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo osabha sabho ningi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho bhukamu bhutale mpaga osabha sabho ningi kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama milimo chiza na witegeleja bhutale, umuwikaji bhokwe. Uweyi agasabhaga majikolo mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza na bho wiyumilija bhutale bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agingila gukano uko bhuli uwiza bho majikolo mingi, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe chiza mpaga osabha majikolo mingi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganyombaga giki, “ung’wene wingila gukano.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho chiza na bho wiyumilija bhutale mpaga bhapandike sabho ningi, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wakolosai 3:1-3.

Mathayo 6:19-21.

KISWAHILI: HUYO AMEINGIA DARINI.

Chanzo cha methali hiyo huangalia mtu aliyeingia darini. Dari ni juu ambako watu huweka vitu kama mahindi, karanga, viazi na vingine vingi vilivyo vizuri ndani ya nyumba hiyo.

Mtu huyo alipanda mpaga juu ndani ya nyumba hiyo, viliko vitu hivyo vizuri. Hivyo basi, yeye aliingia kwenye uzuri kwa sababu hakuna kinachokosekana huko. Ndiyo maana watu walimuongelea kwamba, “huyo ameingia darini.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyetajirika kwa kupata mali nyingi, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi kwa bidii kubwa na umakini mkubwa, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya bidii yake ya kufanya kazi vizuri na kwa uvumilifu wa hali ya juu, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeingia darini kwenye uzuri wa vitu vingi, kwa sababu naye ametajirika kwa kujibidisha kufanya kazi mpaka akapata mali nyingi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuongelea kwamba, “huyo ameingia darini.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri na kwa uvumilivu mkubwa mpaka wapate mali nyingi za kutoka kutumia katika familia zao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao hizo, maishani mwao.

Wakolosai 3:1-3.

Mathayo 6:19-21.

ENGLISH: THAT ONE HAS ENTERED THE CEILING.

This proverb looks at a person who entered the ceiling. The ceiling is a high place where people put things like corn, peanuts, potatoes and many other things that are good in the house.

This man climbed up into the house, where the things are good. So, he entered the beauty. That is why people said about him that, “that one has entered the ceiling.”

This proverb is related to a person who got rich by getting a lot of wealth, in his life. Such person works with great effort and great attention, in his life. He gets a lot of wealth in his family because of his hard working and great patience in his life.

This person is similar to the one who entered the ceiling in the beauty of many things, because he has also become rich by having to work until he got a lot of wealth in his life. That is why people talk about him saying, “that one has entered the ceiling.”

This proverb imparts in people an idea of working hard in doing their jobs well and with great patience until they get a lot of wealth for using in their families, so that they can develop their families well in their lives.

Colossians 3:1-3.

Matthew 6:19-21.

ox-plough-253417_1280

farmer-4493421_1280

farmer-3431359_1280

1229. NAGISHA NABHULICHA.

Imbuki ya ulusumo lunulo, ilolile munhu uyo agabhagiisha bhanhu abho bhalibhingi, bhuzunya bhagehu duhu. Hunagwene agayomba giki, “nagisha nabhulicha.” Umunhu ng’wunuyo, agashokela ugugiisha bho lilaka litale, huna bhuzunya bhingi.

Ugubhulicha ili gulima na gubhibha mbiyu juzwa bho kulekule, nulu yuzwa imo duhu. Giko lulu, unimi ng’wunuyo agashokelaga ugubhiza mbiyu huna jazwa nyingi niyo chiza.

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho jelwa ng’holo chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe bho gumana ushokela aho obhona giki itali ugubhelela chiza, kunguno ya witegeleja na bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe chiza bhunubho. Uweyi agaponaga majiliwa mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya gutumama milimo yakwe bho bhukamu na witegeleja bhutale bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agashokela chiza ugiisha aho bhazunya bhagehu mpaga nose bhuzunya bhingi, kunguno nuweyi agatumama milimo yakwe na witegeleja bho gushokela gutumama aho itali ugubhelela chiza, umumilimo yakwe yiniyo. Hunagwene agayombaga giki, “nagisha nabhulicha.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho na witegeleja bho gushokela chiza aho idinabhelela imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umukaya jabho.

2Wakorintho 9:6.

Wagalatia 6:7-9.

KISWAHILI: NIMESALIMIA WAMEITIKIA WACHACHE.

Chanzo cha methali hiyo huangalia mtu aliyesalimia watu wengi, wakaitikia wachache tu. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimesalimia wameitikia wachache.” Mtu huyo, alirudia kuwasalimia tena hao watu kwa sauti kubwa zaidi kuliko ile aliyoitumia mwanzoni. Yeye alipofanya hivyo, waliitikia watu wengi zaidi kuliko wale wa kwanza.

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kwa ufuatiliaji mzuri sana, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kurudia kila pale anapoona kuwa hapajaisha vizuri, kwa sababu ya bidii yake na umakini wake huo katika kufanya kazi zake. Yeye hupata mazao mengi sana katika familia yake kwa sababu ya kufanya kazi kwa bidii na umakini mkubwa, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesalimia watu wengi, wakaitikia wachache, akarudia kuwasalimia watu hao kwa sauti kubwa zaidi, mpaka wakaitikia wengi, kwa sababu naye huyatekeleza majukumu yake kwa kurudia pale anapoona kwamba hapajaisha vizuri, mpaka kazi yote inaisha. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimesalimia wameitikia wachache.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kutekeleza majukumu yao kwa umakini wa kuparudia pale ambapo hapajafanyika vizuri, mpaka kazi yote imalizike vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika familia zao.

2Wakorintho 9:6.

Wagalatia 6:7-9.

ENGLISH: I HAVE GREETED A FEW OF THEM HAVE RESPONDED.

The source of the over head proverb looks at a person who greeted many people, only a few of them responded. That is why he said that, “I have greeted a few of them have responded.”

This man repeated to greet them in a louder voice than the one which he used at first. When he did that, they responded to more people than the first ones.

This proverb is compared to a person who does his works with a very good follow-up, in his life. Such person carries out his duties by repeating whenever he sees that it has not ended well, because of his diligence and his focus in doing his works. He gets a lot of crops in his family because of hard working and great focus, in his life.

This person is similar to the one who greeted many people but a few of them responded, and repeated greeting them with a louder voice, until they responded to many, because he also carries out his duties by repeating when he sees that it has not ended well, until all the work is finished. That is why he says that, “I have greeted a few of them have responded.”

This proverb teaches people about increasing enough effort to carry out their duties with the attention to repeat where it is not done well, until all the work is finished well, so that they can get a lot of success, in their families.

2 Corinthians 9:6.

Galatians 6:7-9.

woman-7455964_1280

1226. WIZUKA NG’WENDA GWA GWIKUMBA IKANZA WELAGA.

Oliyohi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, agingila gulala umuchumba jakwe ukija ugwikumba ung’wenda mpaga wela aliyo imbeho yali nhali noyi. Uweyi akalala mpaga wela ubhujiku na wizuka gwikumba ng’wenda gokwe kunguno ya wiyibhu bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “wizuka ng’wenda gwa gwikumba ikanza welaga.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu ngosha uyo odila gutola nose unamhala na wiganika mhayo gwa gutola, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, wiganikaga mihayo yingi habhuyanda bhokwe mpaga nose unamhala na wandya gwiganika mhayo gwa gutola, kunguno ya gudilila milimo iyo idinasolobho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga ugubhuyegela ubhutoji bhokwe kunguno ya wiyibhu bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, akikolaga nuyo agiyibha gwikumba ng’wenda mpaga wela ubhujiku na wizuka ugugwikumba ung’wenda gunuyo, kunguno nuweyi igiyibha ugutola mpaga nose unamhala na wizuka gutola, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “wizuka ng’wenda gwa gwikumba ikanza welaga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwanguha gutumama milimo yabho iyasolobho bho gwigulambija na bhukamu bhutale ahikanza lya milimo yabho linilo, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Yoshua Bin Sira 25:3.

KISWAHILI: UMEKUMBUKA SHUKA YA KUJIFUNIKA WAKATI KUMEKUCHA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akiishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo, aliingia chumbani mwake kulala bila kujifunika shuka wakati baridi ilikuwa kali sana. Yeye alilala mpaka asubuhi ndipo akakumbuka kujifunika shuka kwa sababu ya usahaurifu wake huo. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umekumbuka shuka ya kujifunika wakati kumekucha.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mwanamume yule aliyechelewa kuoa mpaka akazeeka ndipo akafikiria kuoa, katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa akifikiria mambo mengine wakati wa ujana wake mpaka akazeeka ndipo akaanza kufikiria kuoa, kwa sababu ya kujali mambo yasiyo na faida, maishani mwake. Yeye alishindwa kuifurahia ndoa yake hiyo kwa sababu ya kujisahau kwake huko, wakati wa ujana wake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejisahau kujifunika shuka wakati wa baridi kali, mpaka asubuhi ndipo akakumbuka kujifunika, kwa sababu naye alijisahau kuoa mpaka akazeeka, ndipo akakumbuka kuoa, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umekumbuka shuka ya kujifunika wakati kumekucha.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwahi kuyatekeleza majukumu yao ambayo ni muhimu kwa bidii kubwa unapofika wakati wake, ili waweze kuyafikia malengo yao vizuri na kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Yoshua Bin Sira 25:3.

ENGLISH: YOU HAVE REMEMBERED THE SHEET TO COVER YOURSELF WHEN IT WAS MORNING.

There was a man who lived in a certain village. He went into his room to sleep without covering himself with a sheet when it was very cold. He slept until morning then he remembered to cover himself with a sheet because of his forgetfulness. That is why people told him that, “you have remembered the sheet to cover yourself when it was morning.”

This proverb is related to the man who delayed marrying until he was old and then he thought about marrying, in his life. Such man was thinking about other things during his youth until he got old and then he started thinking about getting married, because he cared about useless things in his life. He failed to enjoy his marriage because of his self-forgetfulness there, during his youth, in his life.

This is like the one who forgot to cover himself with a sheet during the cold winter, until morning then he remembered to cover himself, because he also forgot to marry until he was old, then he remembered to marry, in his life. That is why people told him that, “you have remembered the sheet to cover yourself when it was morning.”

This proverb imparts in people an idea of carrying out their duties which are important with great effort when the time comes, so that they can achieve their goals well and achieve many successes in their lives.

Joshua Bin Sira 25:3.

girl-347850_1280