mother tongue

1357. JALIWA NA BHANDELEBEYA.

Ulusumo lunulo luhoyelile bhandelebeya abho bhali bhanhu abho bhadina wikalo. Abhanhu bhenabho bhagasola mhiya ja ng’wa munhu uyo agabhalekela bho nduhu ugubhitila bhukengeji wiza kunguno ya gukija gwitegeleja gokwe chiza umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo aho bhajisola abhanhu bhelabho imhiya jakwe agandya guyubhachola bho guja agubhujaga kubhanhu ulu bhabhabhonaga. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki imhiya jakwe “jaliwa na bandelebeya.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhinhaga bhanhu sagala ijikolo jakwe bho nduhu ugubhitila bhukengeji ubho gung’wambilija gubhadebha chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhinhaga bhanhu sagala isabho jakwe abho bhajimilaga najo kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gubhitila bhukengeji bho gubhadebha chiza haho atali ugubhalekela ijikolo jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agajimijaga sabho ninyi noyi aha kaya yakwe kunguno ya kubhalekela bhanhu abho bhadina wikaji bho gumanyika chiza, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agasojiwa mhiya jakwe na bhanhu abhadina wikalo abho agabhalekela, kunguno nuweyi agabhinhaga bhanhu sagala isabho jakwe mpaga bhajimila najo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki isabho jakwe jinijo “jaliwa na bhandelebeya.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guleka kubhalekela bhanhu sagala isabho jabho, kugiki bhadule gujilanhana chiza isabho jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Walawi 19:13.

Zaburi 119:78.

Mithali 22:22.

Yeremia 22:17.

KISWAHILI: ZIMELIWA NA WATU WASIO NA MAKAO.

Methali hiyo huongelea watu wasio na makao ambao ni wale wanaoishi katika sehemu isiyojulikana vizuri. Watu hao walichukua pesa za mtu aliyewaachia bila ya kuwafanyia utafiti mzuri kwa sababu ya kukosa umakini wa kumsaidia kuwafahamu vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, alianza kuwatafuta watu wale waliozichukua pesa zake kwa kuwauliza watu kama wamewaona. Ndiyo maana wale watu walimwambia kwamba, pesa zake hizo “zimeliwa na watu wasio na makao.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwapatia watu hovyo mali zake bila ya kuwafanyia utafiti wa kumsaidia kuwafahamu vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaachia watu hovyo mali zake hizo ambao hupotea nazo kwa sababu ya kukosa umakini wa kuwafanyia utafiti wa kuwafahamu vizuri, maishani mwake. Yeye huzipoteza hovyo mali za kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuwaachia watu hao asiyowafahamu vizuri, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewaachia pesa zake watu wasio na makao ambao walipotea nazo, kwa sababu naye huwapatia watu hovyo mali zake mpaka wanapotea nazo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba mali zake hizo “zimeliwa na watu wasio na makao.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuacha kuwaachia mali zao watu wasio wafahamu vizuri, ili waweze kuzitunza vizuri mali zao hizo, maishani mwao.

Walawi 19:13.

Zaburi 119:78.

Mithali 22:22.

Yeremia 22:17.

 

ENGLISH: THEY HAVE BEEN EATEN BY HOMELESS PEOPLE.

This proverb refers to homeless individuals who live in an unknown place. These persons took money of a person who left it carelessly. He left such money without doing proper research because of a lack of responsiveness enough to aid him get to know what kind of people who were there at that time.

This person began to look for people who took his money by asking people if they had seen them. That is why the people told him about his money that “they have been eaten by homeless people.”

This proverb is related to a person who gives his wealth to individuals without doing any research that can support him enough to recognize them well in his life. This person gives his wealth to people without doing any research which can support him enough to know them well in his life. He loses his family’s wealth because of leaving it to people whom he does not know well in his life.

This person is like the one who left his money to the homeless ones who lost it, because he also gives his wealth to people carelessly until they lose it in his life. That is why people say to him about his wealth that, “they have been eaten by homeless people.”

This proverb imparts in people an idea of being so cautious enough to not leave their wealth to people whom they do not know well, so that they can take upright carefulness of their wealth in their lives.

Leviticus 19:13.

Psalm 119:78.

Proverbs 22:22.

Jeremiah 22:17.

 

money-1477064_1280

1355. IGUGWESAGWA NH’AWA.

Akahayile kenako kahoyelile ndiimi o mitugo uyo agilendeja mpaga nose untugo gokwe gusolwa na mbiti. Undiimi ng’wunuyo, odimaga nholo, mbuli na ng’ombe. Nholo yakwe igasolwa na mbiti bho nduhu ugumana uweyi kunguno ya wilendeja bhokwe bhunubho mpaga nose abhanhu bhujibhona imbiti jiliyigwesa. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “igugwesagwa nh’awa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adajilanhanaga chiza ijikolo jakwe, umukikalile kakwe. Umungu ng’wunuyo agajilekanijaga sagala ijikolo jakwe jinijo mpaga nose jajimila kunguno ya gugayiwa witegeleja bho kujilanhana chiza isabho jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa isabho ja gung’wambilija aha kaya yakwe kunguno ya kujilekanija sagala mpaga nose jajimila ijikolo jakwe jinijo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ndiimi omitugo uyo agilendeja mpaga nose yusolwa na mbiti inholo yakwe, kunguno nuweyi agajilekanijaga sagala ijikolo jakwe mpaga nose jajimila, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki isabho yakwe “igugwesagwa nh’awa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilanhanha chiza ijikolo jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza, umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mithali 27:18.

Mithali 29:10.

Yeremia 39:11-12.

1Wathesalonike 2:7.

KISWAHILI: ANAVUTWA NA FISI.

Msemo huo huongelea juu ya mchungaji wa mifugo aliyejisahau mpaka mwishowe kondoo wake akachukuliwa na fisi. Mchungaji huyo, alikuwa akichunga kondoo, mbuzi, na ng’ombe. Kondoo wake alichukuliwa na fisi bila ya yeye kufahamu kwa sababu ya kujisahau kwake huko mpaka mwishowe watu wakawaona fisi wakimvuta kondoo huyo. Ndiyo maana watu hao walisema “anavutwa na fisi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hazitunzi vizuri mali zake katika maisha yake. Mtu huyo, huvitelekeza hovyo vitu vyake hivyo mpaka mwishowe vinapotea, kwa sababu ya kutovitunza vizuri vitu vyake hivyo, maishani mwake. Yeye huishiwa mali katika familia yake hiyo kwa sababu ya kuzitelekeza hovyo mali zake hizo mpaka mwishowe zinapotea, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule mchungaji aliyejisahau mpaka kondoo wake akachukuliwa na fisi, kwa sababu naye huvitelekeza hovyo vitu vyake mpaka mwishowe vinapotea, maishani mwake. Ndiyo maana watu wanaoziona mali zake zikipotea hivyo humwambia kwamba, “anavutwa na fisi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuvitunza vizuri  vitu vyao, ili viweze kuwasaidia vizuri katika familia zao, maishani mwao.

Mithali 27:18.

Mithali 29:10.

Yeremia 39:11-12.

1Wathesalonike 2:7.

 

ENGLISH: IT IS BEING DRAGGED BY A HYENA.

This proverb talks about a shepherd who forgot himself until finally his sheep was taken by a hyena. The shepherd was herding sheep, goats, and cattle. His sheep was taken by a hyena without him knowing because of his forgetfulness until people saw the hyenas dragging it. That is why those people said that “It is being dragged by a hyena.”

This proverb is matched to a person who does not take decent care of his possessions in his life. This person neglects his belongings until they are eventually lost, because of not taking respectable precaution of his belongings in his life. He runs out of wealth in his family because of neglecting his belongings until they are eventually lost in his life.

This person is like the shepherd who forgot himself until his sheep was taken by a hyena, because he also neglects his belongings until they are eventually lost in his life. That is why people who see his possessions disappearing like that tell him that, “it is being dragged by a hyena.”

This proverb instills in people a clue about being cautious enough to take respectable carefulness of their belongings so that they can support them well in their families in their lives.

Proverbs 27:18.

Proverbs 29:10.

Jeremiah 39:11-12.

1Thessalonians 2:7.

 

nature-3151328_1280

1354. NG’WIZA OJISAB’O.

Bhalihoyi bhanhu abho bhalibhasuga ng’ombe ya mabhele umuchalo ja Ng’watuma. Ing’ombe yiniyo, yabhisolaga mabhele mingi noyi ayo bhagasegesaga mujisabho abhanhu bhenabho kunguno bhahayaga kupandika mabhele gabhusegese na maguta ga gutwila mumakubhi. Ing’ombe yiniyo yokajaga mabhele mujisab’o kunguno ya wingi wogo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagiiyinika ing’ombe yiniyo giki, “ng’wiza ojisab’o.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nsabhi uyo agajitumamilaga isabho jakwe bho gubhambilija bhanhu, umukikalile kakwe. Unsabhi ng’wunuyo agajitumamilaga isabho jakwe jinijo bho gubhagunanha abhanhu abho bhali na makoye kugiki bhadule gugamala wangu, kunguno ya bhutogwa na wizanholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agenhaga bhuyegi kubhanhu bhingi abho agabhambilijaga mpaga bhagamala wangu amakoye gabho genayo, kunguno ya bhutogwa na wizanholo bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Unsabhi ng’wunuyo, agikolaga ni ng’ombe iyo yabhisulaga mabhele mingi mpaga bhagasegesa abhanhu, kunguno nuweyi agajitumilaga isabho jakwe bho gubhambilija bhanhu mpaga bhagamala wangu amakoye gabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ng’wiza ojisab’o.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa na wizanholo bho gujitumamila isabho jabho bho gubhambilija abhichabho abho bhali na makoye kugiki bhadule gugamala wangu amakoye genayo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Hesabu 11:8.

Kumbukumbu la Torati 8:7-8.

Yeremia 40:10.

Yoeli 2:19.

KISWAHILI: MZURI MWENYE KIBUYU.

Walikuwepo watu waliofuga ng’ombe mwenye mazima katika kijiji cha Mwatuma. Ng’ombe huyo, alikuwa akitoa mazima mengi sana ambayo walikuwa wakiyachekecha kwenye kibubu kwa sababu walitaka kupata siagi na mafuta ya kupikia chakula. Ng’ombe huyo, alikuwa akitoa maziwa yaliyojaza kibuyu kwa sababu ya wingi ya wazima yake hayo. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mzuri mwenye kibuyu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa tajiri yule ambaye huzitumia mali zake kwa kuwasaidia watu, katika maisha yake hayo. Tajiri huyo, huzitumia mali zake kwa kuwasaidia watu wanaokumbwa na matatizo mbalimbali ili waweze kuyamaliza haraka, kwa sababu ya ukarimu na upendo wake huo, maishani mwake. Yeye huleta furaha kubwa kwa watu wengi anaowasaidia mpaka wanayamaliza haraka matatizo yao kwa sababu ya upendo na ukarimu wake huo, katika maisha yake.

Tajiri huyo, hufanana na yule ng’ombe aliyekuwa akitoa maziwa mengi mpaka watu wakawa wanayachekecha ili kupata siaji na mafuta, kwa sababu naye huzitumia mali zake kwa kuwasaidia watu wenye matatizo mpaka wanayamaliza haraka matatizo hayo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mzuri mwenye kibuyu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo na ukarimu wa kuzitumia mali zao kwa kuwasaidia wenzao wanaosumbuliwa na matatizo mbalimbali ili waweze kuyamaliza haraka matatizo hayo, maishani mwake.

Hesabu 11:8.

Kumbukumbu la Torati 8:7-8.

Yeremia 40:10.

Yoeli 2:19.

 

ENGLISH: “THE GOOD ONE OF A CALABASH.”

There were folks who raised a cow with a calabash in the village of Mwatuma. The cow used to give a lot of milk that they used to shake in a calabash for getting butter and cooking oil. Milk of such cow filled a calabash because it was abundant. That is why individuals called it “the good one of a calabash.”

This saying is compared to a rich man who uses his wealth for supporting people in his life. This rich man uses his wealth to aid those who suffer from various hitches so that they can quickly solve them, because of his generosity and love, in his life. He brings great joy to several persons whom he aids until they quickly solve their glitches because of his love and generosity in his life.

This rich man resembles the cow that gave so much milk from which people got butter and oil, because he also uses his wealth for aiding individuals who are trouble until they quickly solve those glitches. That is why they call him “the good one of a calabash.”

This saying imparts in individuals an idea of being generous enough to use their wealth for supporting others who suffer from various complications so that they can quickly solve those troubles in their lives.

Numbers 11:8.

Deuteronomy 8:7-8.

Jeremiah 40:10.

Joel 2:19.

 

cow-7425394__480

1349. ALIYO NADUDOGOLAGA.

Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo ja B’ub’inza. Umunhu ng’wunuyo oyombaga mihayo ya nhana noyi aliyo lulu abhiye bhamanaga bhumbyedeleja duhu kunguno ya libhengwe lyabho linilo. Umunhu ng’wunuyo wiyumilijaga bho gubhashogeja chiza abhanhu bhenabho. Hunagwene agabhawila giki, “aliyo nadudogolaga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga nikujo kubhanhu bhakwe umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agabhitilaga mihayo ya wiza abhanhu bhakwe bho nduhu gubhadaraha sagala kunguno ya likujo lyakwe linilo umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga na bhuyeji bhutale na bhanhu bha aha kaya yakwe kunguno ya widohya bhokwe bhunubho ubho gwikala chiza nabhiye, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo obhashokeja chiza abhanhu abho bhambyedelejaga ulu aliiyomba imihayo iya nhana, kunguno nuweyi agabhitilaga mihayo ikujo abhanhu bhakwe bho nduhu gubhadaraha sagala, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga gki, “aliyo nadudogolaga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na widohya bho gwikala nikujo ukubhanhu bhabho kugiki bhadule gujilela chiza  ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Ayubu 31:34.

Mithali 13:1.

Mithali 14:23.

KISWAHILI: SISEMI KWA DHARAU.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi katika kijiji cha Bubinza. Mtu hiyo alikuwa akisema ukweli lakini wenzake walikuwa wakimdharau kwa sababu ya dharau zao hizo. Mtu huyo, alivumilia kwa kuwajibi vizuri watu hao. Ndiyo maana alisema kwamba, “sisemi kwa dharau.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayewaheshimu watu wake katika maisha yake. Mtu huyo, huwatendea mema watu hao hao bila ya kuwadharau kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuwaheshimu watu wake hao, maishani mwake. Yeye huishi kwa furaha kubwa na watu wa kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuwaheshimu watu wake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewajibu kwa heshiwa watu waliomdharau alipowaambia ukweli, kwa sababu naye huwatendea mema watu wake bila ya kuwadharau, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “sisemi kwa dharau.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwaheshimu watu wao ili waweze kuzilea vyema familia zao hizo, maishani mwao.

Ayubu 31:34.

Mithali 13:1.

Mithali 14:23.

bold-4556853_1280

nigeria-2840922_1280

nigeria-5307616_1280

 

ENGLISH: I DO NOT SPEAK WITH DISRESPECT.

Once upon a time, there was a man who lived in the village of Bubinza. He spoke the truth but his earls disrespected him because of their impudence. Such man endured their lack of respect by responding politely to them. That is why he said that, “I do not speak with disrespect.”

This saying is related to a man who respects his family members in his life. This man nicely treats folks without disrespecting them because of his humility of regarding people in his life. He lives with great happiness with his family members, because of his humility of valuing them in his life.

This man resembles the one who responded respectfully to people who disrespected him when he told them the truth, because he also politely treats his people without disrespecting them in his life. That is why he says, “I do not speak with disrespect.”

This saying imparts in societal members an idea of being humble enough to respect their societal members so that they can nicely nurture their families in their lives.

Job 31:34.

Proverbs 13:1.

Proverbs 14:23.

 

1348. GAGWA MANGETULE.

Akahayile kenako kalolile mitugo ijo jigadimagwa hangitili iyo idinahaya guding’waa nulu kamo. Imitugo jinijo aho jashiga umungitili iliyo jigigulambija gudima bho bhuyegi kunguno jali jatuubha noyi. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “gagwa mangetule.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatubhaga opandika majiliwa mingi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agapandikaga amajiliwa genayo wigulambija kugalya bho bhukamu bhutale kunguno ya gwikala alinzala gufumile likanza lilihu umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agajilyaga mpaga ojimala ijiliwa ijo agajipandikaga jinijo kunguno ya gwikala shigu ningi adalile, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni mitugo ijo jalijituubhile jigulambija gulya maswa mpaga jiguta aho jachalwa ukungitili, kunguno nuweyi apandikaga jiliwa ulu otubhaga wigulambija gujilya mpaga wiguta, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “gagwa mangetule.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilamhana chiza ijiiwa ijo bhagajipandikaga kugiki jidule gubhambilija chiza aha shigu jahabhutongi, umubhulamu bhobho bhunubho.

Walawi 26:10.

Mwanzao 43:23.

Mithali 6:8.

KISWAHILI: IMEANGUKA BAHATI.

Msemo huo, huangalia mifugo waliochungia kwenye hazina ya nyasi nyingi ambazo hawajachungua mifugo hata mara moja. Mifugo hao, walipofika kwenye nyasi hizo nyingi, walijibidisha kula kwa furaha kwa sababu walikuwa wana njaa ya kukosa chakula kwa muda wa siku nyingi. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “imeanguka bahati.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na njaa akapata chakula kingi katika maisha yake. Mtu huyo, hupata chakula hicho na kujibidisha kula kwa nguvu sana kwa sababu ya kukaa bila kula kwa muda mrefu, maishani mwake. Yeye hula chakula alichokipata mpaka anakimaliza, kwa sababu ya kukaa muda mrefu bila ya kula chakula, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale mifugo waliokuwa na njaa kwa muda mrefu wakapata nyasi na kujibidisha kuzila mpaka wakazimaliza, kwa sababu naye hupata chakula akiwa na njaa na kukila mpaka akakimaliza, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “imenguka bahati.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kukitunza vizuri chakula wanachokipata ili kiweze kuwasaidia katika siku zao za mbeleni, maishani mwao.

Walawi 26:10.

Mwanzao 43:23.

Mithali 6:8.

 

ENGLISH: LUCK HAS FALLEN.

This proverb refers to cattle that grazed in a treasure of a lot of grasses which they have never grazed before. When these cattle reached those grasses they happily ate it all because they were hungry for not having eaten for several days. That is why people said that, “luck has fallen.”

This proverb is equated to a hungry man one who finds a lot of food in his life. This person finds food and forces himself to eat very hard because of not eating for a long time in his life. He eats such food until he finishes it because of being hungry for a long time in his life.

This person is like those cattle that ate grasses which they found after being hungry for a long time because he also finds food when he is hungry and eats it until he finishes it in his life. That is why people say to him, “luck has fallen.”

This proverb teaches individuals on how to be cautious to take virtuous care of food which they get so that it can help them in their future days in their lives.

Leviticus 26:10.

Genesis 43:23.

Proverbs 6:8.

 

cow-7200409_1280

cows-4301076_1280

alm-2666146_1280