legacy

1452. ALI MUKAPILIPONDO.

Akahayile kenako kalolile munhu uyo ali mujifungo kunguno ya yabhubhi bhokwe. Umunhu ng’wunuyo oliotungwa kunguno ya wikolosha bhokwe bhunubho ukubhiye. Uweyi abhikoloshaga abhiye, widuma nabho mpaka oding’wa na kuchalwa mukapilipondo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ali mukapilipondo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na nhungwa ja gwita mihayo yabhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agidumaga na bhanhu abho agikalaga nabho mpaka oyisalambanya ikaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agaikenagulaga ikaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhikoloshaga abhiye mpaka uchalwa mujela, kunguno nuweyi agidumaga na bhanhu bhakwe mpaka oyikenagula ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ali mukapilipondo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka gwita yabhubhi bho gubhiza na nhungwa ja gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya yabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mwanzo 39:20-23.

Luka 23:19-28.

Matendo 12:4-5.

Waebrania 11:36.

Ufunuo 2:10.

KISWAHILI: YUMO KIFUNGONI.

Msemo huo huangalia mtu aliyekuwa kifunguni kwa sababu ya makosa mbalimbali. Mtu huyo, alifungwa kwa sababu ya uchokozi wake kwa wenzake. Yeye aliwachokoza watu mpaka akakosana nao na kupelekwa jela. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “yumo kifungoni.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu mwenye tabia ya kutenda maovu, katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda maovu ya kuwakosea haki wenzake mpaka anaivuruga familia yake, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, maishani mwake. Yeye hukosana na wenzake mpaka wanaishi bila kusalimiana nao kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kutenda maovu, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewachokoza wenzake mpaka akafungwa jela, kwa sababu naye huwatendea maovu wenzake mpaka anaivuruga familia yake maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “yumo kifungoni.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kusaidiana vizuri katika kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 39:20-23.

Luka 23:19-28.

Matendo 12:4-5.

Waebrania 11:36.

Ufunuo 2:10.

 

ENGLISH: HE IS IN JAIL.

This saying refers to a person who has been imprisoned because of various offenses. He was sent to jail because of his aggressive behavior toward others. He provoked his peers repeatedly until he got into serious trouble and was imprisoned. That is why people said of him, “He is in jail.”

This saying is compared to a person who has a habit of doing evil in his life. Such a person wrongs others through his bad behavior until he brings trouble upon himself. Because of his actions, he disrupts his family life and damages relationships with his nobles. Eventually, people avoid greeting him or associating with him because of his behavior.

This person is similar to the one who provoked others and ended up in prison, because both cause harm through their actions and suffer the consequences. That is why people say of him, “He is in jail.”

This saying teaches people the importance of good character and cooperation helping one another and behaving responsibly so that they may live peacefully and raise their families well.

Genesis 39:20–23.

Luke 23:19–28.

Acts 12:4–5.

Hebrews 11:36.

Revelation 2:10.

 

1451. LYALIMBU.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile munhu uyo otumamaga nimo gokwe mpaga ogumala chiza. Umunhu ng’wunuyo agagutumama unimo gunuyo bho nguzu ningi mpaga lyugalibhila ilimi kunguno ohayaga agumale wangu. Uweyi agagumala chiza unimo gokwe kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama nimo mpaga lyagalibhila ilimi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “lyalimbu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo olinkamu o gutumama milimo yakwe chiza mpaka oyimala, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe gwingila diyu mpaka oyimala chiza kunguno ya bhukamu bhokwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama chiza mpaka oyimala imilimo yakwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatumama nimo gokwe mpaga ogumala, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaka oyimala chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lyalimbu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mhubiri 3:1-12.

2Thimotheo 4:2.

KISWAHILI: LA JUA KUCHWA.

Chanzo cha msemo huo humwangalia mtu aliyefanya kazi yake mpaka akaimaliza. Mtu huyo, aliitekeleza kazi yake hiyo kutwa nzima kwa sababu alitaka kuimaliza haraka. Yeye aliimaliza vizuri kazi yake hiyo kwa sababu ya bidii yake ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake kutwa nzima. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba ni “la jua kuchwa.”

Msemo huo hulinganishwwa kwa mtu mwenye bidii ya kufanya kazi zake vizuri mpaka anazimaliza, katika maisha yake. Mtu huyo hujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yake kuanzia asubuhi mpaka anayamaliza kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi katika familia yake hiyo kwa sababu ya bidii yake ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake hayo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeitekeleza vizuri kazi yake mpaka akaimaliza, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake vizuri mpaka anazimaliza, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba ni “la jua kuchwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mhubiri 3:1-12.

2Thimotheo 4:2.

 

ENGLISH: ALL-SUN-TIME WORKER.

The origin of this saying refers to a person who works continuously until his task is completed. He works throughout the day because he desires to finish his work quickly and properly. Through his diligence and commitment, he completes his duties successfully. Because of this, people describe him as an “all-sun-time worker,” meaning someone who works from morning until the end of the day without giving up.

This saying is matched to a person who is diligent in carrying out his responsibilities in life. Such a person strives to perform his duties faithfully from morning until they are finished. Because of his hard work and perseverance, he achieves great success, especially within his family and daily life.

This person is similar to the worker who completes his task through dedication and endurance. In the same way, he fulfills his responsibilities until the end. That is why people say of him that he is an “all-sun-time worker.”

This saying teaches people the value of diligence, perseverance, and commitment to duty. By working faithfully and consistently, a person can achieve much success in life.

Ecclesiastes 3:1–12.

2 Timothy 4:2.

 

 

1450. ALI NIBALE.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo oligugilaga ilibale lyakwe. Umunhu ulinibale ilo olibhisaga ukubhalagu bha libale linilo kunguno ya kubhona soni jakwe jinijo. Uweyi agalikuja nose ililonda lyakwe mpaka abhanhu bhumonija ilibale linilo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki “alinibale.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandika makoye ugabhisa mpaga ganemela, umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, apandikaga makoye giti sata wikala nayo bho nduhu uguyichala ugubhugota kunguno ya gubhona soni, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agaminyiyagwa na makoye genayo aga sata mpaga yanemela uguipicha, umukikalile kakwe.

Munhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhisaga libhale lyakwe mpaka nose lyukula, kunguno nuweyi agabhisaga amakoye gakwe gakula mpaka bhagabhona abhiye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhiye bhenabho bhagang’wilaga giki, “ali nibale.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya gujichala kubhugota wangu isata jabho, kugiki bhadule gugamala wangu amakoye genayo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Kutoka 23:25.

Kumbukumbu la Torati 7:15.

Mathayo 8:17.

Kumbukumbu la Torati 28:59.

KISWAHILI: ANA KIDONDA.

Msemo huo huongelea mtu aliye kuwa na kidonda chake. Mtu huyo alikuwa na kidonda alichokificha kwa watu kidonda hicho kwa sababu ya kuona aibu kwake huko. Mwishowe yeye alikikikuza kidonda chake mpaka watu wakaelewa kuwa ana kidonda hicho. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “ana kidonda.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupata matatizo akayaficha mpaka yanamzidi uwezo wa kuyatatua, katika maisha yake. Mtu huyo hupata matatizo yakiwemo yale ya ugonjwa anakaa nayo bila ya kuyapelekea hositalini kwa sababu ya kuona aibu kwakwe huo, maishani mwake. Yeye huumizwa na matayo hayo ya magonjwa mpaga yanashindikana kupona kwa sababu ya aibu yake hiyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeficha kidonda chake mpaka kikawa kikubwa, kwa sababu naye huyaficha matatizo yake ya ugonjwa mpaka wanayaona wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana wenzake hao husema kwamba, “ana kidonda.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwahi kuyapeleka magonjwa yao hositalini wanapougua, ili waweze kuyatatua haraka matatizo hayo, maishani mwao.

Kutoka 23:25.

Kumbukumbu la Torati 7:15.

Mathayo 8:17.

Kumbukumbu la Torati 28:59.

 

ENGLISH: HE HAS A SORE.

This saying refers to a person who has a sore but hides it from other people because of shame. At first, the sore is small and could easily be treated, but because the person conceals it, the sore continues to grow. In the end, it becomes obvious to everyone that he has a sore. That is why people finally say, “he has a sore.”

This saying is compared to a person who experiences problems in life but chooses to hide them instead of seeking help. Such a person may suffer from illness yet refuse to go to the hospital because of shame or fear. As time passes, the illness becomes worse and more painful, making it difficult or impossible to heal quickly.

This person is similar to the one who hid his sore until it became large, because he also hides his problems until others can clearly see them. When his condition becomes obvious, people then say about him, “he has a sore.”

This saying teaches people not to hide their problems, especially illnesses, but to seek help early. By going to the hospital when they are sick, people can solve their problems quickly and avoid unnecessary suffering in their lives.

Exodus 23:25.

Deuteronomy 7:15.

Matthew 8:17.

Deuteronomy 28:59.

 

1448. BHULI NDUMA YINA NDUMA NYIYE.

Aho kale olihoyi ntongeji o muchalo jimo umubhutemi bho bhuduhe. Untongeji ng’wiyuno ofunyaga long’we umuchalo jakwe ya gubhawila abhanhu bhakwe gwitimija iyo ayitogilwe uweyi kunguno ya bhutale bhokwe bhunubho. Uweyi agageniha ugafunya long’we muchalo ja bhange kunguno oliadajidebhile chiza inbinbi ja bhugelelo bho chalo jakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “bhuli nduma yina nduma nyiye.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinibhengwe kubhiye lya guyomba mihayo yakwe bho nduhu gubhiza na lubhimbi, umukikalile kakwe.  Umunhu ng’wunuyo agayombaga mihayo yakwe bho gubhadalahija abhiye umumahoya gakwe kunguno ya libhengwe lyakwe linilo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga widuma na bhanhu bhuli makanza aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya libhengwe lyakwe linino ilya guyomba mihayo yakwe bho nduhu gubhiza na lubhimbi, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikologa nu ntongeji uyo oliadajimanile inbinbi ja chalo jakwe mpaga nose ugafunya long’we muchalo ja bhangi, kunguno nuweyi alinibhengwe lya guyomba mihayo yakwe bho nduhu gubhiza na lubhimbi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhuli nduma yina nduma nyiye.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guchagulila mihayo miza ulubhalihoya na bhanhu bhabho umumahoya gabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Matendo ya mitume 13:45-47.

Isaya 28:10-13.

KISWAHILI: KILA MKUBWA ANA MKUBWA WAKE.

Hapo zamani alikuwepo kiongozi wa kijiji kimoja katika utawala wa bhuduhe. Kiongozi huyo, alikuwa akitoa amri kwa watu wake ya kuwaambia watekeleze kile alichokitaka yeye kwa sababu ya ukubwa wake huo. Yeye alienda ugenini akaanza kutoa amri kwenye kijiji ambacho siyo chake, kwa sababu hakuifahamu vizuri mipaka ya kijiji chake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “kila mkubwa ana mkubwa wake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anadharau kwa wenzake ya kuongea maneno bila ya kuwa na mipaka, katika maisha yake. Mtu huyo, huongea maneno yake kwa kuwadharau wenzake katika maongezi yake hayo kwa sababu ya dharau yake hiyo kwa wenzake, maishani mwake. Yeye hukosana na watu wake mara nyingi katika familia yake kwa sababu ya dharau yake hiyo ya kuongea maneno bila kuwa na mipaka, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule kiongozi asiyeielewa mipaka yake mpaga akatoa amri kwenye kijiji cha mwingine, kwa sababu naye anadharau ya kuongea maneno yake bila ya kuwa na mipaka, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kila mkubwa ana mkubwa wake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuchagua vizuri maneno ya kuongea na watu katika maongezi yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Matendo ya mitume 13:45-47.

Isaya 28:10-13.

 

ENGLISH: EVERY BIG HAS HIS BIG.

Once upon a time, there was a village leader in the Bhuduhe administration. Because of his position and authority, he often gave orders to his people, expecting everyone to obey him. One day, he traveled abroad and began giving orders to people in another village that was not under his leadership. He did this because he did not understand the boundaries of his authority. That is why people said to him, “every big has his big.”

This saying is compared to a person who is disrespectful to his peers by speaking without limits in his life. Such a person talks carelessly and despises others through his words. Because of this behavior, he often quarrels with members of his family and community. His problem is not strength or wisdom, but the failure to know when and how to speak with respect.

That person is like the village leader who did not understand his limits and gave orders in another man’s village. In the same way, he speaks as if no one is above him, forgetting that there is always someone greater or wiser. That is why people remind him by saying, “every big has his big.”

This saying teaches people to be careful with their words and to respect boundaries when speaking to others. By choosing the right words and knowing their limits, people can live peacefully and raise their families well in their lives.

Acts 13:45–47.

Isaiah 28:10–13.

 

 

 

 

1447. MUMO IGAKULILA ING’HUNI IDULIPUNDULA ILIHIMA.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile bhukuji bho ng’huni ubho bhudadulile ugulipundula ilihima. Ilihima linilo ligazwalilagwa kuntwe mpaka lyagugubija untwe gunulo. Ilyoi ligayigubijaga pye ning’huni iyo idadulila ugulipundula kunguno ligikalaga higulya ya ntwe gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “mumo igakulila ing’huni idulipundula ilihima.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhizaga na nhinda ja gubhadalaha abhabyaji bhakwe ulu opandika jikolo, umukikalile kakwe. UMunhu ng’wunuyo, agabhitilaga nhinda abhabyaji bhakwe ja gubhabyedeleja ulu osabha kunguno ya nhinda jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga izumo lya guduma uguibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya nhinda jakwe jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni ng’huni iyo igaduma ugulipundula ilihima kihamo nubhukuji bhoyo, kunguno nuweyi agigimbaga bhusabhi bho gubhadeleja abhabyaji bhakwe mpaga opandika izumo lya kuduma uguyibheja chiza ikaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mumo igakulila ing’huni idulipundula ilihima.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gubhakuja na gubhambilija chiza abhabyaji bhabho kugiki bhadule kupandika mbango ja kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

(Luka 14:11) “Kila mtu anayejitukuza atashushwa, naye ajinyenyekezae atatukuzwa.”

HATA KISOGO KIKUE HAKITATOBOA KOFIA.

Chanzo cha methali hiyo huangalia ukuaji wa kisogo usioweza kuitoboa kofia. Kofia hiyo ni kitu kinachovalia kichwani mpaka kinakifunika kichwa chote. Yenyewe hukifunika kisogo chote ambacho hakiwezi kuitoboa kofia hiyo.  Ndiyo maana watu husema kwamba, “hata kisogo kikue hakitatoboa kofia.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupata kiburi cha kuwadharau wazazi wake anapotaka mali, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaletea kiburi wazazi wake kwa kuanza kuwadharau anapopata mafanikio ya mali kwa sababu ya kiburi chake hicho, maishani mwake. Yeye hupata laana ya kushindwa kuiendeleza vizuri familia yake, kwa sababu ya kiburi chake hicho, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na kile kisogo kilichoshindwa kuitoboa kofia pamoja na ukuaji wake huo, kwa sababu naye kupata maendeleo ya mali na kuanza kuwafanyia kiburi cha kuwadharau wazazi wake mpaga anapata laana ya kushindwa kuiendeleza vizuri familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hata kisogo kikue hakiwezi kuitoboa kofia.”

Methali hiyo, huwafundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwaheshimu na kuwasaidia vizuri wazazi wao, ili waweze kupata baraka za kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

 (Luka 14:11) “Kila mtu anayejitukuza atashushwa, naye ajinyenyekezae atatukuzwa.”

 

ENGLISH: EVEN IF THE BACK OF THE HEAD GROWS, IT WILL NOT PIERCE A HAT.

The source of this proverb comes from a image of a back of head as a person grows. No matter how much the back of the head grows, it cannot pierce a hat, because a hat is made to cover the whole head. The hat remains above the head and controls its shape. That is why people say, “even if the back of the head grows, it will not pierce a hat.”

This proverb is compared to a person who becomes wealthy and successful but then grows arrogant and begins to despise his parents. Instead of honoring those who raised him, he allows pride to control his heart. Though he may have money and influence, he cannot rise above the authority and blessing of his parents, just as the back of the head cannot break through a hat.

Because of his arrogance, such a person brings shame instead of honor. He may receive a curse rather than a blessing, leading to failure in properly building and sustaining his own family. His pride blocks his progress, just as the hat blocks the head from piercing through it.

This proverb therefore teaches humility. It reminds people to respect, honor, and support their parents, even after gaining wealth or status. By doing so, they receive blessings and succeed in raising their families well.
(Luke 14:11)“Everyone who exalts himself will be humbled, but he who humbles himself will be exalted.”