legacy

1396. NI B’ULI ALIB’AKIJA?

Olihoyi munhu uyo oling’wi o walwa uyo ob’ung’waga noyi umkikalile kakwe. Uwalwa bhunubho bhugagubhakijaga umili gokwe kunguno ya bhukoji bhobho bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, agakumuka noyi umuchalo jakwe kunguno ya bhung’wi bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayibhuja nose giki, “ni b’uli alib’akija?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagukenagulaga umili gokwe bho gwita mihayo iyo igang’wenhelaga makoye, umukikalile kakwe. umunhu ng’wunuyo, agalyaga jiliwa mpaga osata kunguno ya gugayiwa witegeleja umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agagulab’ulaga umili gokwe kunguno ya gugayiwa witegeleja bhunubho umukatumamile ka jikolo jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ong’waga walwa mpaga ogulabhula umili gokwe, kunguno nuweyi agalyaga jiliwa ja gugukenagula umili gokwe umikikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki “ni b’uli alib’akija?”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitumamila chiza ijikolo jabho, kugiki bhadule guyilanhana chiza imimili yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 9:21.

Ayubu 3:17.

KISWAHILI: KWA NINI UNAJIUNGUZA?

Alikuwepo mtu aliyekuwa mlevi wa pombe kali katika maisha yake. Pombe hiyo iliuharibu mwili wake kwa sababu ya ukali wake huo. Mtu huyo, alijulikana sana kwenye kijiji chake kwa sababu ya ulevi wake huo. Ndiyo maana watu walimuuliza kwamba “kwa nini anajiunguza?”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huudhuru mwili wake kwa kutenda matendo ambayo humletea matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, hula chakula kupita kiasi mpaga anaugua kwa sababu ya kukosa umakini wa kuwa na kiasi maishani mwake. Yeye huuharibu mwili wake huo kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuwa na kiasi katika matumizi ya vitu vyake katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyelewa pombe kali mpaka akaiharibu afya yake, kwa sababu naye hula chakula kupita kiasi mpaka anaugua, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, “kwa nini anajiunguza?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuvitumia vitu vyao kwa kiasi kizuri, ili waweze kuzilinza vizuri afya zao, katika maisha yao hayo.

Mwanzo 9:21.

Ayubu 3:17.

ENGLISH: WHY DO YOU HURT YOURSELF?

There was a man who was a heavy drinker of alcohol in his life. The alcohol destroyed his body because of its intensity. Such man became so well known in his village because of his alcoholism. That is why people asked him that, “Why do you hurt yourself?”

This saying is equaled to a person who harms his body by doing deeds that cause him hitches in his life. This man eats too much food to the point of getting sick because of a lack of attention to moderation in his life. He destroys his body because of his lack of attention to such moderation in using of his belongings in life.

This man is similar to a person who drank too much alcohol to the point of ruining his health, because he also eats too much food until he gets sick, in his life. That is why people ask him that, “Why do you hurt yourself?”

This saying teaches people about being so careful enough to use their possessions in the right way, so that they can take respectable care of their health in their lives.

Genesis 9:21.

Job 3:17.

1395. LYAGI NAWE DUHU.

Olihoyi nigini uyo wikalaga aha kaya ya bhasab’i. Unigini ng’wunuyo agahaya gujulya na bhanhu bhatale aho jatengwa ijiliwa kunguno oliatuubhile. Abhanhu bhagayunemeja ugujilya ijiliwa jinijo kunguno jali jabhatale. Hunagwene unamhala oha kaya yiniyo agabhawila giki, “lyagi nawe duhu.”

Akakayile kenako kagalenganijiyagwa ku kaya ya bhanhu abho bhalibhizanholo umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagabhakaribhushaga pye abhanhu bhajilya ijiliwa jabho ulu japyaga kunguno ya wizanholo bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga mbango ja gwikala bho mholele na bhanhu bhabho aha kaya yabho yiniyo, kunguno ya wizanholo bhobho bhunubho.

Ikaya ya bhanhu bhenabho igikolaga nu namhala uyo olyaga na bhanigini ijiliwa jakwe ulu japyaga, kunguno nabhoyi bhagabhakaribhushaga pye abhanhu bhajilya ijiliwa jabho ulu japyaga, aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene bhagayombaga giki, “lyagi nawe duhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhambilija abhichabho abho bhalina makoye, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umukaya jabho jinijo.

Yahone 6:31-33.

Mathayo 25:35.

Yohane 6: 55-56.

KISWAHILI: MLE NAYE TU.

Alikuwepo mtoto aliyekuwa akiishi kwenye familia tajiri. Mtoto huyo, alitaka kula na watu wazima kilipowekwa mezani chakula chao kwa sababu alikuwa na njaa. Watu walimzuia kukila chakula hicho kwa sababu kiliwa cha watu wazima. Ndiyo maana mzee wa familia hiyo aliwaambia kwamba, “mle naye tu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa familia ya watu wale ambao ni wakarimu katika maisha yao. Watu hao huwakaribisha watu wote kula chakula chao kinapoiva kwa sababu ya ukarimu wao huo, maishani mwao. Wao hupata Baraka za kuishi kwa furaha kubwa katika familia yao, kwa sababu ya ukarimu wao huo katika maisha yao.

Familia ya watu hao, hufanana na yule mzee aliyekula chakula chake pamoja na watoto kilipoiva, kwa sababu nao huwakaribisha watu wote kula chakula chao kinapoiva, katika familia yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “mle naye tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwasaidia wenzao wanaokumbwa na matatizo mbalimbali, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa katika familia zao.

Yahone 6:31-33.

Mathayo 25:35.

Yohane 6: 55-56.

ENGLISH: EAT ONLY WITH HIM.

There was a child who lived in a rich family. This child wanted to eat with adults when their food was placed on the table because he was hungry.  People prevented him from eating such food because it was for adults. That is why the elder of the family told them that, “eat only with him.”

This saying is related to the family of people who are generous in their lives. These people invite everyone to eat their food when it is ready because of their generosity in their lives. They receive blessings of living with great happiness in their family, because of their generosity in their lives.

This family of these people is like the old man who ate his food with children when it was ready, because they also invite everyone in their family to eat their food when it is ready. That is why they say that, “eat only with him.”

This saying imparts in people an idea of being generous enough to help their nobles who are facing various hitches, so that they can live with great happiness in their families.

John 6:31-33.

Matthew 25:35.

John 6: 55-56.

1392.  LWINZI LONE LOKAMA

Alihoyi munhu uyo olina lwinzi umuchalo ja Jishapu. Umunhu ng’wunuyo, olialutogilwe noyi ulwinzi lokwe lunulo kunguno lo ng’wambilijaga noyi. Aliyo lulu, ulwinzi lunulo lugakama kunguno gagashila aminzi genayo. Hunagwene agayomba giki, “lwinzi lone lokama.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo olimsab’i omajikolo mingi uyo oliadakoyaga, ijo jigashila mpaga wandya guyukoya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, olinsab’i o majikolo mingi ayo ogatumamilaga bho gugisanya nyadoshi mpaga nose gushila, kunguno ya gugisanya goyi bhuli nimo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agahabhika mpaka wandya guyukoya aha kaya yakwe kunguno ya bhudoshi bhokwe ubho gujisanya isabho jinijo na kujitumilaga sagala, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo lugakama ulwinzi ulo olialutogilwe, kunguno nuweyi jigashila isabho jakwe ijo oliajisanije noyi mpaga uyukoyakoya, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayomba giki, “lwinzi lone lokama.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka gudosela jikolo ulu bhajipandikaga, kugiki bhadule gujilanija jisoga na bhichabho abhahab’i, umuwikaji bhobho.

Kutoka 22:25.

Kutoka 23:6.

Mathayo 5:40.

Mithali 19:17.

Mithali 22:2.

Mithali 22:9.

KISWAHILI: KISIMA CHANGU KIMEKAUKA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na kisima kwenye kijiji cha Kishapu. Mtu huyo, alikuwa anakipenda sana kisima chake hicho kwa sababu kilikuwa kinamsaidia sana maishani mwake. Lakini basi, kisima hicho kilikauka akaanza kuhangaika. Ndiyo maana alisema kwamba, “kisima changu kimekauka.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyekuwa tajiri ambaye alifirisika mpaka akaanza kuhangaika, katika maisha yake. Mtu huyo, alipokuwa tajiri wa mali nyingi, alikuwa akizitumia mali zake hizo kwa majivuno mpaka mwishowe zikaisha, kwa sababu ya kuzitegemea sana mali hizo kwenye kutatua kila tatizo, maishani mwake. Yeye alifirisika mpaka akanza kuhangaika kwenye familia yake, kwa sababu ya majivuno yake ya kutegemea mali zake na kuzitumia vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye kisima alichokuwa anakipenda kilikauka, kwa sababu naye aliishiwa mali zake alizokuwa anazitegemea sana mpaka akaanza kuhangaika, maishani mwake. Ndiyo maana alisema kwamba, “kisima changu kimekauka.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha majivuno wanapotajirika, ili waweze kuendana vizuri na wenzao ambao ni maskini, maishani mwao.

Kutoka 22:25.

Kutoka 23:6.

Mathayo 5:40.

Mithali 19:17.

Mithali 22:2.

Mithali 22:9.

 

ENGLISH: MY WELL HAS DRIED UP.

There was a man who had a well in the village of Kishapu. Such man liked his well so much because it supported him a lot in his life. But then, the well dried up until he began to worry. That is why he said that, “my well has dried up.”

This saying is matched to a rich man who lost his wealth until he started to worry, in his life. When this man was rich with a lot of wealth, he used his wealth arrogantly until it finally ran out, because he relied too much on it in solving every difficult in his life. He was broke until he started to worry about his family, because of his pride of relying too much on his wealth in using it.

This man is similar to the one whose well which he liked dried up, because he also ran out of the wealth which he had relied on so much until he started to worry, in his life. That is why he said that, “my well has dried up.”

This saying imparts in people an idea of abandoning pride when they become rich, so that they can fit in well with their poor nobles in their lives.

Exodus 22:25.

Exodus 23:6.

Matthew 5:40.

Proverbs 19:17.

Proverbs 22:2.

Proverbs 22:9.

 

1391. AGALILAGA ULU WIZA HA WELELO.

Akahayile kenako kingilile kuli ng’wana uyo obyalagwa. Ung’wana ng’wunuyo agalilaga ulu obyalwa kunguno wingilaga muweja umo adamanilile. Uweyi agalombaga wambilijiwa kuli msumbi okwe kunguno wandyaga wikaji bhupya kugiki adule gwikala mhola. Hunagwene abhanhu bhagahaga giki, “agalilaga ulu wiza ha welelo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalombaga wambilija kuli Mulungu ulu wandyaga nimo gupya umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agandyaga imilimo yakwe imipya bho gunomba Mulungu kunguno ya guzunya gokwe gutale ukubhudula bho Nsumbi okwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe imipya yiniyo, kunguno ya kunomba Mulungu aho alandya uguitumama, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ng’wana uyo agalombaga wambilijiwa kuli nsumbi okwe bho gulila ulu obyalwa, kunguno nuweyi agalombaga wambilijiwa kuli Mulungu ulu alandya uguitumama imilimo yakwe imipya yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “agalilaga ulu wiza ha welelo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kulomba wambilijiwa kuli Mulungu ulu bhalandya uguitumama imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umutumami bho milimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

1 Wakorintho 13:11.

KISWAHILI: HULIA ANAPOKUJA DUNIANI.

Msemo huo ulianzia kwa mtoto aliyezaliwa. Mtoto huyo hulia baada ya kuzaliwa kwa sababu ameingia ulimwengu ambamo hajazoea. Yeye huomba msaada kwa muumba wake kwa sababu ameanza maisha mpya kwake ili aweze kuyamudu vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hulia anapokuja duniani.”

Msema huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huomba msaada kwa Mungu anapoanza kazi mpya, katika maisha yake. Mtu huyo, huanza kazi mpya kwa kumuomba Mungu kwa sababu ya imani yake kubwa kwenye uwezo wa Muumba wake maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi katika kazi zake hizo mpya, kwa sababu ya kumuomba Mungu anapoanza kuzifanya kazi zake hizo, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule mtoto ambaye huomba msaada kwa Muumba wake kwa kulia baada ya kuzaliwa, kwa sababu naye huomba msaada kwa Muumba wake anapoanza kufanya kazi zake hizo mpya, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hulia anapokuja duniani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuomba msaada kwa Mungu wanapoanza kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika utendaji wao wa kazi, maishani mwao.

1 Wakorintho 13:11.

 

ENGLISH: HE CRIES WHEN HE COMES INTO THE WORLD.

This saying is originated from a newborn baby. The newborn baby cries after birth because of entering into new world which it is not used to. It asks for help from the creator because of starting a new independent life so that it can nicely cope with it. That is why people say that, “he cries when he comes into the world.”

This saying is associated to a person who asks for help from God when he starts a new job, in his life. Such person, starts a new job by asking God because of his great faith in the power of his Creator in his life. He achieves great success in his new jobs, because of depending on God when he starts doing them, in his life.

This person resembles the child who asks for help from his Creator by crying after birth, because he also asks for help from his Creator when he starts doing new jobs, in his life. That is why people say to him that, “he cries when he comes into the world.”

This proverb teaches people about asking God for help when they begin to carry out their duties, so that they can achieve great success in their lives.

1 Corinthians 13:11.

 

 

1390. AGIYINGIJAGA LESHI WEYI NG’WINIKILI.

Imbuki ya kahayile kenako kahoyelile noni iyo igitanagwa Gologobo. Inoni yiniyo ulu yub’andila igoyaga ugufuma nulu hado kunguno igab’izaga yenhelwa ijiliwa haho nu ngoshi oyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki “agiyingijaga leshi weyi ng’winikili.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhitoji abho bhitogilwe chiza umuwikaji bhobho. Abhitoji bhenabho bhagiyambilijaga ugutumama imilimo yabho chiza bho gushola jiliwa ungosha ulu alisata unkima okwe, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikala na bhuyegi aha kaya yabho bho gubhalela chiza abhana bhabho kunguno ya witogwi bhobho bhunubho, umukikalile kabho.

Abhitoji bhenabho bhagikolaga ni noni ijo jigiyambilija bho gwenha ijiliwa ing’osha ulu yub’andila inhima, kunguno nabhoyi bhagiyambilija bho witogwi bhutale umuwitoji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagab’awilaga giki, “agiyingijaga leshi weyi ng’winikili.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na witogwi bho gwiyambilija chiza umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gujilela bho bhuyegi bhutale ikaya jabho.

Waefeso 4:25-28.

KISWAHILI: HUJIINGIZA JELA YEYE MWENYEWE.

Chanzo cha msemo huo huongelea ndege anayeitwa Gologobo ambaye ni jamii ya njiwa. Ndege huyo akiatamia mayayi huwa hatoki hata kidogo pale kwa sababu huwa analetewa chakula na mume wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hujiingiza jela yeye mwenyewe.”

Msemo huo hulinganishwa kwa wana ndoa wale wapendanao vizuri maishani mwao. Wana ndoa hao husaidiana katika kuyatekeleza majukumu yao vizuri kwa mwanaume kumtafutia chakula mke wake anapokuwa anaumwa, maishani mwao. Wao huishi na furaha kwenye familia ya kuwalea vyema watoto wao kwa sababu ya upendo wao huo, katika maisha yao.

Wana ndoa hao hufanana na wale ndege wanaosaidiana kwa mume kumletea chakula mke wake anapoatamia mayayi, kwa sababu nao husaidiana kwa upendo mkubwa katika maisha yao hayo ya ndoa. Ndiyo maana watu husema juu yao kwamba, “hujiingiza jela yeye mwenyewe.”

Msemo huo, hufundisha wana ndoa juu ya kuwa na upendo wa kusaidiana vizuri katika maisha yao hayo ili waweze kuzilea kwa furaha vizuri familia zao, maishani mwao.

Waefeso 4:25-28.

ENGLISH: HE GOES INTO PRISON HIMSELF.

The origin of this saying is about a bird called Gologobo, which is within species of pigeon. When the bird lays eggs never leaves at all because her husband brings food to her. That is why people say that, “he goes into prison himself.”

This saying is equated to married couples who love each other in their lives. These married couples help each other in fulfilling their responsibilities in which the man finds food for his wife when she is sick, in their lives. They live happily in their family by raising their children well because of their love to each other, in their lives.

These married couples are like those birds that help each other enough to bring food for the husband when his wife lays eggs, because they also help each other with great love in their married life. That is why people say about them that, “he goes into prison himself.”

This proverb teaches married couples about loving each other well in their lives so that they can happily raise their families in their lives.

Ephesians 4:25-28.