Sukuma Sayings

1227. PANDULAGA MIHAYO.

Oliyohi munhu uyo uyombaga mihayo yakwe bho lilaka lidoni umumahoya gakwe. Umunhu ng’wunuyo, wikalaga muchalo ja bhanhu bhingi abho bhadumaga uguigwa chiza imihayo yakwe yiniyo kunguno ya guiyomba bho lilaka lidoni, umumahoya gakwe genayo. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagang’wila giki, “pandulaga mihayo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayombaga mihayo bho guyigondya, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, adaiyigololaga chiza umihayo ya mumahoya gakwe genayo, kunguno ya gubhisa ginhu ijo agikalaga adahayile igiki abhiye bhajimane, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga ugubhalela chiza abhanhu bha aha kaya yake kunguno ya guduma guigolola chiza imihayo ya mumahoya yakwe genayo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oyombaga mihayo yakwe bho lilaka lidoni, kunguno nuweyi agayomba mihayo yakwe bho nduhu uguigolola chiza, umumahoya gakwe genayo, aha kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “pandulaga mihayo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higlya ya guyomba bhunhana bho guigolola chiza imihayo ya mumahoya yabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 10:16.

Luka 12:2-3.

KISWAHILI: PASUA MANENO.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akiongea maneno yake kwa sauti ndogo katika maongezi yake. Mtu huyo, aliishi kwenye kijiji cha watu wengi, ambao walishindwa kuyasikia vizuri maneno yake kwa sababu ya kuyaongea kwa kutumia sauti ndogo. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “pasua maneno.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongea maneno yake kwa kuyapindisha, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hayanyoshi vizuri maneno yake hayo, kwa sababu ya kuficha kitu fulani ambacho huwa hataki watu wengine wakielewe, maishani mwake. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya yeye kushindwa kuyanyoosha vizuri maneno yake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesema maneno yakwe kwa sauti ndogo mpaka wenzake wakashindwa kuyasikia, kwa sababu naye huongea maneno bila kuyanyosha vizuri mpaka watu wanashindwa kuyaelewa vizuri, katika maongezi yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “pasua maneno.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kusema ukweli kwa kuyanyosha vizuri maneno yao, katika maongezi yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mathayo 10:16.

Luka 12:2-3.

ENGLISH: BREAK THE WORDS.

There was a man who was speaking words in a low voice in his speech. Such person lived in a village of many people who failed to hear his words properly because he spoke them in a low voice. That is why those people told him that, “break the words.”

This saying is likened to a person who speaks his words by twisting them, in his life. Such person does not speak correctly his words, because he hides something that he does not want other people to understand, in his life. He fails to develop his family properly because of failing to properly stretch his words, in his life.

This person is similar to the one who said his words in a low voice until his colleagues could not hear them, because he also speaks words without stretching them properly until people are unable to understand them properly, in his speech. That is why people tell him that, “break the words.”

This saying teaches people about telling the truth by stretching their words properly, in their speech, so that they can raise their families well, in their lives.

Matthew 10:16.

Luke 12:2-3.

old-3391298_1280

1225. DAGELALA GUBHONA KALYETO DUHU.

Bhalihoyi bhanhu abho bhalibhaja gujunlola ngeni uyo obhitilaga umuchalo jabho. Abhanhu bhenabho bhagaduma ugumona na gundebha chiza ungeni ng’wunuyo, kunguno agabhita wangu wangu aho bhasangwa bhiyebhaga. Hunagwene bhagayomba giki, “dagelela gubhona kalyeto duhu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagiyebhaga ugutumama imilimo yabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagajaga ugujutumama imilimo yabho bhagalendela yingi duhu iyo idina solobho kunguno ya wiyebhu bhobho bhunubho, umubhutumami bho milimo yabho. Abhoyi bhagakelaga bhuli ng’waka umukaya jabho kunguno ya gwiyebha kutumama milimo yabho yiniyo, bho gulendela yingi iyo idina solobho yoseyose, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhagaja gujunola ngeni bhugiyebha mpaga ubhita bhadamonile chiza, kunguno nabhoyi bhagajaga ugutumama imilimo yabho bhagiyibha bho gulendela iyo idina solobho yoseyose umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “dagelega kubhona kalyeto duhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka gwiyebha gutumama milimo yabho bho gwigulambija guitumama na bhukamu bhutale, kugiki bhadule kupandima matwajo mingi, umukaya jabho.

Habakuki 1:11.

Luka 19:1-3.

KISWAHILI: TUMEKOMEA KUONA NUSU TU.

Walikuwepo watu walioenda kumuona mgeni aliyekuwa akipita katika kijiji chao. Watu hao, hawakuweza kumuona na kumfahamu vizuri mgeni huyo kwa sababu yeye alipita haraka wakati wao wakiwa wamejisahamu. Ndiyo maana walisema kwamba, “tumekomea kuona nusu tu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hujisahau kufanya kazi zao, katika maisha yao. Watu hao, huenda kufanya kazi zao na kupoteza muda wao kwa kujali vitu visivyo na faida yoyote kwao, kwa sababu ya kujisahamu kwao huko, katika utekelezaji wa majukumu yao. Wao hukosa chakula kila mwaka kwenye mashamba yao, kwa sababu ya kujisahamu kwao huko kufanya kazi zao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale walioenda kumuona mgeni wakajisahau na kukomea kumuona nusu, kwa sababu nao pia huenda kufanya kazi zao na kupoteza muda wao kwa kujali vitu visivyo na faida yoyote, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tumekomea kuona nusu tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kujisahau katika kuyatekeleza majukumu yao kwa kujibidisha kuzifanya kazi hizo kwa bidii kubwa, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika familia zao.

Habakuki 1:11.

Luka 19:1-3.

ENGLISH: WE HAVE ONLY SEEN HALF.

There were people who went to see a stranger who was passing through their village. Those people could not see and get to know the stranger well because he passed quickly while they were busy. That is why they said that, “we have only seen half.”

This saying is compared to people who forget to do their works, in their lives. Those people go to do their works by wasting their time caring about things that are of no benefit to them, because of their self-indulgence in the implementation of their duties. They lack food every year in their fields, because of their indulgence in doing their works, in their lives.

Those people are like those who went to see a stranger and forgot themselves by wasting their time in useless things until they ended up seeing him only half way, because they also go to do their works and waste their time worrying about things that have no benefit in their lives. That is why they say that, “we have only seen half.”

This saying imparts in people an idea of stopping from wasting their time in useless things themselves enough to carry out their responsibilities by forcing themselves to do those tasks with great effort, so that they can get a lot of success, in their families.

Habakkuk 1:11.

Luke 19:1-3.

africa-5274086_1280

 

 

 

1223. NAMANHYA NAYO INGWESHI IBHUCHIJE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo agatung’wana na ngweshi umulugendo lokwe. Ingweshi yiniyo, kali kashinu kagulala aka kagabhuchaga nghumbi nulu ngino na jingi jingi kagajisimbila hasi. Akoyi kagajicholaga ijikolo mpaga kajipandika na kujibhucha kagajituula bho kujisimbila hasi chiza. Hunagwene umunhu uyo agatung’wana nayo agayomba giki, “namanhya nayo ingweshi ibhuchije.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajicholaga ijikolo mpaga ojipandika na kujituula chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga kutumama milimo yakwe chiza aha kaya yakwe kunguno ya bhukamu bhokwe ubhogutumama milimo yakwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga jikolo nyingi ijo agajituulaga chiza aha kaya yakwe, kunguno ya bhukamu bho gutumama chiza milimo na witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ngweshi iyo ipandikaga jikolo yajibhucha na kujujituula chiza, kunguno nuweyi agigulambijaga kutumama milimo mpaga ojipandika ijikolo na gujituula chiza aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu abho bhagatung’wanaga nawe bhagibhiwilaga giki, “namanhya nayo ingweshi ibhuchije.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho mpaga bhajipandika ijikolo na kujilanhana chiza, umukaya jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:44.

Mathayo 25:14-30.

KISWAHILI: NIMEKUTANA NAYE NONDO AMEBEBA.

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya mtu aliyekutana na nondo aliyekuwa amebeba mzigo. Nongo huyo ni mdudu arukaye ambaye hubeba panzi, funza na vingine vingi, kwenda kuvichimbia ardhini. Yeye hutafuta vitu mpaka anavipata na kuvichukua kwenda kuvichimbia ardhini anapotunzia mali zake. Ndiyo maana yule mtu aliyekutana naye alisema kwamba, “nimekutana naye Nondo amebeba.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutafuta vitu mpaka anavipata na kuvitunza vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake vizuri kwenye familia yake kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi ambazo huzitunza kwa kuziweka vizuri katika familia yake kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi kwa umakini, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule Nondo aliyepata vitu na kuvitunza kwa kuviweka vizuri, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi mpaka anapata mali na kuziweka vizuri katika familia yake. Ndiyo maana wale wanaokutana naye huambiana kwamba, “nimekutana naye Nondo amebeba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri mpaka wanapata mali na kuzitunza vizuri, ili ziweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Mathayo 13:44.

Mathayo 25:14-30.

ENGLISH: I HAVE MET A MOTH CARRYING.

This saying talks about a person who met a moth that was carrying a load. The moth is a flying insect that carries grasshoppers, worms and many others which it keeps them digging a hole for them in the ground. It looks for things until it finds them and takes them to a dug hole in the ground where it takes care of his possessions. That is why the person who met it said that, “I have met a Moth carrying.”

This saying is compared to a person who searches for things until he finds them and takes good care of them in his life. Such person has to do his work well in his family because of his hard working life. He gets a lot of assets which he keeps them well in his family because of his hard working life.

This person is like the Moth that found things and took care of them by keeping them well, because he also works hard until he gets good wealth enough keep them well in his family. That is why those who meet him tell each other that, “I have met a Moth carrying.”

This saying teaches people on how to work hard by doing their jobs well until they get good wealth enough to take good care of them, so that they can help them well, in their lives.

Matthew 13:44.

Matthew 25:14-30.

insect-8182145_1280

 

 

 

 

1221. NABHILE JILATU JIDAZWALAGWA BHANIGINI.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, oliokula bho gwingila mubhunigini wingila mubhutale uyo wilenganijaga na jilatu kunguno abhanhu abhadoni badajizwalaga ijilatu ija bhatale. Jidalatu jinijo jidubhigelelwa kunguno amagulu gabho gatali madoo, ijoyi jigubhihulunguta duhu. Hunagwene agayomba giki, “nabhile jilatu jidazwalagwa bhanigini.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu ntale uyo agitaga miito ga nyatale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga kajile ka wiza abhile bho gubhitila miito gi kujo ayo gali ga nyatale kunguno ya likujo lwakwe ilo alinavyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agailelaga chiza ikaya yakwe bho gwikala bhikujije chiza kunguno ya lilange lwakwe ilya wiza linilo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo akagula uyita miito ga nyatale ayo bhaditaga abhanigini, kunguno nuweyi agitaga miito ga ng’watale ayo gagang’winhaga likujo lya guilela chiza ikaya yakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nabhile jilatu jidazwalagwa bhanigini.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwita miito gikujo bho guleka ayo galiganyanigini umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Kumbukumbu la Torati 32:7.

Waefeso 6:1-4.

KISWAHILI: NIMEKUWA KIATU KISICHOVALIWA WATOTO.

Chanzo cha msemo huo, huangalia mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo, alikua kwa kutoka katika utoto na kuingia ukubwani, aliyejilinganisha na kiatu kwa sababu watoto hawawezi kuvaa kiatu cha wakubwa. Kiatu hicho kitawapyawa watoto hao kwa sababu miguu yao bado ni midogo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimekuwa kiatu kisichovaliwa watoto.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu mkubwa ambaye hufanya matendo ya yenye busara, katika maisha yake. Mtu huyo, huwafundisha mwenendo mwema wenzake kwa kupitia matendo yake hayo yenye busara kwa sababu ya hekima aliyo nayo, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kuilea kwa kuheshimiana vyema familia yake kwa sababu ya malezi yake hayo mema, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekua akatenda matendo ya yenye busara yasifanywa na watoto, kwa sababu naye hutenda matendo yenye busara ambayo humpatia heshima ya kuilea vyema familia yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimekuwa kiatu kisichovaliwa watoto.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na busara ya kutenda matendo mema kwa kuacha matendo ya kitoto katika kazi zao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kumbukumbu la Torati 32:7.

Waefeso 6:1-4.

ENGLISH: I HAVE BECOME A SHOE THAT IS NOT WORN BY CHILDREN.

The source of this saying looks at a person who lived in a certain village. Such person grew from childhood to adulthood by comparing himself to a shoe because children cannot wear the shoes of adults. Such shoe will not be given to children because their feet are still small. That is why he said that, “I have become a shoe that is not worn by children.”

This saying is related to a great person who does wise actions in his life. That person teaches good behavior to his colleagues through his wise actions because of his wisdom in life. He succeeds in raising his family members well by respecting each other because of his good upbringing, in his life.

This person is similar to the one who grew up by doing wise deeds which are not done by children, because he also does wise deeds that give him honor of raising his family members well. That is why he says that, “I have become a shoe that is not worn by children.”

This saying teaches people about being wise enough to do good deeds by leaving childish actions in their works, so that they can raise their family members well in their lives.

Deuteronomy 32:7.

Ephesians 6:1-4.

boot-250012_1280

1220. DAYUNG’WAGA AKABHUNONU KALI KULE KAGUDEGELEKEJA.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhanhu abho bhang’waga ginhu ja gusanja jinonelejo. Ijinonejo jinijo jili giti sukali, bhushishi, na jingi jingi ijo jikolile na jinijo. Ijoyi jigongejaga bhunoni giti gutyila munhu mumakubhi, nulu guditila ng’asha muwalwa.

Abhanbu bhenabho bhang’waga walwa ubho bholibhutafulile ing’asha kunguno bhakigwa akabhunonu bho kule umubhung’wi bhobho bhunubho. Hunagwene bhagayomba giki, “dayung’waga akabhunonu kali kule kagudegelekeja.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo guti go guzuga kinhu okija ugugumala chiza, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agabhizaga adamanile ugujidebhela chiza ijisanjo ja jiliwa jakwe umubhutumami bhokwe kunguno ya kuleka gugudilila chiza unimo gokwe gunuyo. Uweyi agadumaga uguyilanga gutumama milimo chiza ikaya yakwe kunguno ya guleka guidilila mpaga oyimana chiza imilimo yakwe yiniyo, umubhutumami bhokwe, bhunubho.

Unimo go ng’wa munhu ng’wunuyo, gugikolaga nu walwa ubho bhulibhudafulile chiza ing’asha, kunguno nugoyi gudatumamilwe mpaga gushila chiza. Hunagwene abhanhu bhagagulolaga bhayomba giki, “dayung’waga akabhunonu kali kule kagudegelekeja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guidebha na guitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umubhutumami bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:13.

Yohana 2:1-11.

Luka 13:21.

Wagalatia 5:9.

KISWAHILI: TULIKUWA TUNAKUNYWA UTAMU ULIKUWA KWA MBALI.

Chanzo cha msemo huo, kilianzia kwa watu waliokuwa waking’wa kitu ambacho huchangang’wa na kikolezo. Kikolezo hicho ni kama: sukari, ukwaju, na vingine vingi vinavyofanana na hivyo. Vyenyewe huongeza radha ya utamu kama vile kutia chumvi kwenye mboga au kutia chachu kwenye pombe.

Watu hao, walikuwa wanakung’wa pombe ambayo chachu yake haikukolea vizuri kwa sababu ile radha ya utamu walikuwa wakiisikia kwa mbali katika unywaji wao. Ndiyo maana walisema kwamba, “tulikuwa tunakunywa utamu ulikuwa kwa mbali.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hazimalizi vizuri kazi zake zikiwemo zile za kupika kitu fulani, katika utekelezaji wa majukumu yake. Mtu huyo, huwa havielewi vizuri vigezo au vikolezo vya kazi yake kwa sababu ya kutokuzijali vizuri kazi zake hizo, katika utekelezaji wa majukumu yake hayo. Yeye hushindwa kuifundisha vizuri familia yake juu ya namna ya kuyatekeleza vizuri majukumu ya kazi zake hizo, kwa sababu ya kutokuzijali kazi zake mpaga anazielewa vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yake hayo.

Kazi za mtu huyo, hufanana na ile pombe ambayo chachu yake haikukolea vizuri, kwa sababu nazo hazikutekelezwa vizuri mpaga mwisho. Ndiyo maana watu huziona kazi hizo, na kusema kwamba, “tulikuwa tunakunywa utamu ulikuwa kwa mbali.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzielewa na kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika ukamilishaji wa majukumu yao, maishani mwao.

Mathayo 5:13.

Yohana 2:1-11.

Luka 13:21.

Wagalatia 5:9.

ENGLISH: WE WERE DRINKING THE SWEETNESS THAT WAS FAR AWAY.

This saying started from people who were eating something that was affected by spices. The flavoring is like: sugar, butter, and many others which are similar to that. By itself it adds to the taste of sweetness like adding salt to vegetables or adding yeast to alcohol.

Those people were drinking alcohol that yeast did not flavor well because they were tasting the sweetness from afar in their drinking. That is why they said that, “we were drinking the sweetness that was far away.”

This saying is equated to a person who does not finish his tasks well, including those of cooking something in fulfilling his duties. Such person does not understand well the conditions of his works because of not paying attention to his works enough to fulfill his duties. He fails to properly teach his family members on how to properly carry out their responsibilities, because of not caring about his works in his responsibilities.

The works of that person are like the wine which its yeast did not ferment properly, because they were also not properly carried out to the end. That is why people see those works, and say that, “we were drinking the sweetness that was far away.”

This saying imparts in people an idea of understanding their works enough to perform them well, so that they can get a lot of successes in fulfilling their responsibilities in their lives.

Matthew 5:13.

John 2:1-11.

Luke 13:21.

Galatians 5:9.

tamarind-1549214_1280