Sukuma Sayings

1272. IJI JILINGILA MUBOMA ITI GIKI JIHALA.

Akahayile kenako kahoyelile bhanhu abho bhagingilaga muboma. Umuboma igabhizaga mubhanhu bhingi abho bhagikalaga bhutumama milimo yabho bhuli ng’wene nimo gokwe kunguno ya wingi bho milimo ya munumo.

Aliyo lulu, abhanhu abhangi abho bhagalekagwa umuchalo ja bhanhu bhagehu, bhagabhabhonaga bhuhala abho bhagingilaga muboma, kunguno ya kuidalaha imilimo ya muboma yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “iji jilingila muboma iti giki jihala.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayidarahijaga sagala imilimo ya bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agachagulaga imilimo iminogu oyitumama kunguno ya bhudalahija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imilimo iya gutumama aha kaya yakwe kunguno ya bhudalahija bho milimo iyo agaibhonaga yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagabhabhona bhuhala abhanhu abho bhagingila muboma, kunguno nuweyi agayidalahija sagara imilimo iyo agaiyibhonaga yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “iji jilingila muboma iti giki jihala.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka kuidalahija sagara imilimo ya bhichabho, kugiki bhadule gutumama milimo ya gudula gubhambilija chiza ugujibheja ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Luka 9:1-6.

Luka 12:16-18.

KISWAHILI: WANAOINGIA MJINI SIO KWAMBA WAJINGA.

Msemo huo huongelea watu walioingia mjini. Mjini huishi watu wengi ambao hufanya kazi mbalimbali kila mmoja akiwa na yake kwa sababu ya wingi wa kazi hizo.

Lakini basi, baadhi ya watu wanaoishi vijijini huwafikiria kama ni wajinga wale wanaongia mjini kwa sababu ya kudharau kazi za humo mjini. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “wanaoingia mjini sio kwamba wajinga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hudharau hovyo kazi anazoziona, katika maisha yake. Mtu huyo, huchagua kazi zilizorahisi kuzifanya kwa sababu ya dharau yake hiyo ya baadhi ya kazi, maishani mwake. Yeye hukosa kazi za kufanya katika familia yake hiyo kwa sababu ya dharau yake ya kazi anazoziona, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliowaona kama ni wajinga watu walioingia mijini, kwa sababu naye huzidharau hovyo kazi anazoziona, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “wanaoingia mjini sio kwamba wajinga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kudharau kazi wanazoziona katika maeneo yao ili waweze kufanya kazi za kuwawezesha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 9:1-6.

ferry-214475__480

ENGLISH: THOSE WHO ENTER THE CITY ARE NOT STUPID.

This saying speaks of people who entered the city. Many people live in cities who do different jobs, each one with his own because of having a number of jobs in them.

But then, some people who live in rural areas think that those who move to the cities are stupid because they despise jobs which are in the cities. That is why people tell them that, “those who enter the city are not stupid.”

This saying is related to a person who carelessly despises works which he sees in his life. Such person chooses easy jobs because of his disdain for some jobs in his life. He misses work to do in his family because of his disdain for works which he sees in his life.

This person resembles the one who considered people who entered the cities as idiots, because he also despises works which he sees in his life. That is why people tell him that, “those who enter the city are not stupid.”

This saying teaches people about stopping scorning jobs which they see in their areas so that they can do jobs that can enable them to nicely develop their families, in their lives.

Luke 9:1-6.

1271. UNG’HABI ADIKUGAGA ULU WIKUGA UWILWA WIB’AGA.

Bhali hoyi bhanhu abho bhagamona mhunhu nhab’i alina sabho ijo uliojikuga. Abhanhu bhenabho aho bhamona bhagamuja, “ojifunyaga heyi isabho jinijo iki ulinhabhi?” Uweyi agashosha, “najikugaga.” Abhoyi bhagalema bhaliyomba, “udajikugile, ubhebhe ojibhaga duhu!” Hunagwene abhanhu bhagandya guyuyomba giki, “unhab’i adikugaga ulu wikuga uwilwa wib’aga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu nsabhi uyo ugabhadalahaga abhahab’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadalahaga abhanhu abho bhadina sabho kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga ugwikala chiza na bhanhu abha ha kaya yakwe kunguno ya bhudoshi bhokwe ubho gubhitila libheng’we abhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhagang’wila wibhaga umunhu uyo agikuja sabho, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhanhu abho bhadinasabho umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “unhab’i adikugaga ulu wikuga uwilwa wib’aga.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhudoshi bho gubhadalaha abhahabhi, kugiki bhadule gwikala ni kujo kubhanhu bhose ilya gubhambilija ugujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho bhunubho.

Kutoka 22:25.

Mambo ya walawi 14:31.

2 Samweli 12:1-6.

Kumbukumbu la Torati 15:4.

KISWAHILI: MASKINI HAOKOTI AKIOKOTA HUAMBIWA KAIBA.

Walikuwepo watu waliomuona mtu maskini na mali alizoziokota. Watu hao walipomuona walimuuliza, “umezitoa wapi mali hizo kwa vile wewe ni maskini?” Yeye aliwajibu, “nimeziokota.” Wao walikataa wakisema “hukuziokota, wewe umeziiba tu.” Ndiyo maana watu wakaanza kusema kwamba, “maskini haokoti akuziokota huambiwa kaiba.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu tajiri ambaye huwadharau maskini katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu wale ambao hawana mali kwa sababu ya majivuno yake hayo, maishani mwake. Yeye hushindwa kuishi vizuri na watu katika familia yake, kwa sababu ya majivuno yake hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliomdharau mpaka wakamwita mwizi, maskini aliyeokota mali, kwa sababu naye huwadharau maskini maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “maskini haokoti akiokota huambiwa kaiba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha majivuno ya kuwadharau watu maskini, ili waweze kuwa na hekima ya kuwaheshimu watu wote, itakayosaidia katika kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kutoka 22:25.

Mambo ya walawi 14:31.

2 Samweli 12:1-6.

Kumbukumbu la Torati 15:4.

crying-african-man-4670799_1280

ENGLISH: THE POOR DOES NOT PICK UP, IF HE/SHE PICKS UP HE/SHE IS TOLD THAT HE/SHE HAS STOLEN.

There were people who saw a poor man who had wealth which he picked up. When they saw him, they asked him, “Where did you get those possessions since you are poor?” He answered them, “I have picked them up.” They refused, saying “you did not pick them up, you just stole them.” That is why people began to say that, “the poor does not pick up, if he/she picks up he/she is told that he/she has stolen.”

This saying is matched to a rich man who despises the poor ones in his life. Sucgh person, despises those who have no wealth because of his pride, in his life. He fails to live well his family members, because of his pride, in his life.

This person is similar to those who despised a poor one until they called him a thief, while he collected wealth, because he also despises the poor ones in his life. That is why he tells them that, “the poor does not pick up if he/she picks up he/she is told that he/she has stolen.”

This saying instills in people an idea of leaving pride of despising poor people, so that they can have wisdom of respecting all people, which will help them in raising well their families, in their lives.

Exodus 22:25.

Leviticus 14:31.

2 Samuel 12:1-6.

Deuteronomy 15:4.

1269. ATOMOKILE UNG’WANA B’UYA.

Akahayile kenako agawilaga munhu uyo ali masala magehu. Umunhu ng’wunuyo, agawilagwa na bhanhu abho bhagamhonaga akikalile kakwe ako kagolechaga chene kunguno ya miito gakwe. Abhoyi bhayombaga bho gunkelela uweyi kugiki adizumana umo bhaling’wilila. Hunagwene bhagayombaga giki, “atomokile ung’wana b’uya.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja bhub’i umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agitakaga mihayo ya sagala aha kaya yakwe, kunguno ya nhungwa jakwe ija bhub’i jinijo. Uweyi agidumanga na bhanhu bhingi aha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ija bhub’i jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu omalaga magehu kunguno nuweyi agitaka mihayo ya bhub’i umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “atomokile ung’wana b’uya.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka gwita mihayo ya bhub’i bho gwita ya wiza, kugiki bhadule gujilanhana chiza kaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 32:9.

Mithali 7:7.

Mithali 9:4.

Mithali 11:12.

Mithali 11:22.

KISWAHILI: MTU MWENYE AKILI PUNGUFU.

Msemo huo huambiwa mtu mwenye akili pungufu. Mtu huyo, huambiwa na watu wanaomuona namna yake ya kuishi kwa sababu ya matendo yake yanayoonesha hivyo. Watu humsema hivyo kwa njia ya fumbo ili asielewe kinachoongelewa juu yake. Ndiyo maana wao humwambia kwamba ni “mtu mwenye akili pungufu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia mbaya katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda mambo ya hovyo kwenye familia yake, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya. Yeye hukosana na watu wengi kwenye familia yake kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwenye akili pungufu, kwa sababu naye hufanya mambo mabaya katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba ni “mtu mwenye akili pungufu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda maovu kwa kutenda mema ili waweze kuzilinda vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 32:9.

Mithali 7:7.

Mithali 9:4.

Mithali 11:12.

Mithali 11:22.

 

ENGLISH: A PERSON OF LIMITED INTELLIGENCE.

This saying is said to a person who has restricted cleverness. Such person is told by people who see his way of living and discover that is contrary to normal life because of his actions that show such situation. People say so to him in a mystical way so that he does not understand what is being said about him. That is why they tell him that he is “a person of limited intelligence.”

This saying is matched to a person who has wicked deeds in his life. Such person does reckless things to his family, because of his ruthless manners. He is at odds with many people in his family because of his evil deeds in his life.

This person resembles the one who had partial cleverness, because he also does wicked deeds in his life. That is why people call him “a person of limited intelligence.”

This saying imparts in people an idea of giving up customs of doing evils by doing good ones so that they can soundly protect their families in their lives.

Psalm 32:9.

Proverbs 7:7.

Proverbs 9:4.

Proverbs 11:12.

Proverbs 11:22.

martial-arts-150005_1280

 

1268. LYAGA NSIGA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhang’wi b’a walwa. Bhalihoyi bhang’wi b’a walwa abho bhikomelejaga gung’wa walwa bho guyomba giki ‘lwaga nsiga’, munho bhang’we walwa. Ubhulingisilo bhoho bhuli bhusiga ubho bhugatumilagwa ugubhubheja uwalwa bhunubho. Gashinaga lulu, ugung’wa uwalwa hugulwa ubhusiga. Hunagwene abhang’wi bha walwa bhenabho bhagiwilaga giki “lwaga nsiga.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagajikenagulaga sagala isabho jabho umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagajikenagulaga isabho jabho bho gujigulila majikolo ayo gadinasolobho aha kaya jabho kunguno ya gugayiwa witegeleja umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhukoya na makoye ga gugayiwa jiliwa aha kaya jabho kunguno ya kujikenagula sagala isabho jabho jinijo, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhajing’welaga walwa isabho jabho, kunguno nabhoyi bhagajikenagulaga sagala isabho jabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagiwilaga giki, “lwaga nsiga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitumamila chiza isabho jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza ugujibheja ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Mwanzo 9:20-29.

Isaya 24:9.

Yeremia 25:27.

Isaya 5:22.

Zaburi 107:27.

KISWAHILI: KULA MTAMA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia wanywaji wa pombe. Walikuwepo wanywaji wa pombe waliokuwa wakihimizana kunywa pombe hiyo kwa kusema “kula mtama” maana yake, wanywe pombe. Lengo lake ni mtama ambao hutumika katika kutengenezea pombe hiyo. Kumbe basi, kunywa pombe ndiyo kula mtama. Ndiyo maana wanywaji hao wa pombe huhimizana kuinywa pombe hiyo kwa kusema kwamba, “kula mtama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huziharibu hovyo mali zao katika maisha yao. Watu hao, huziharibu mali zao hizo kwa kuzinunulia vitu visivyo na faida katika familia zao, kwa sababu ya kukosa umakini maishani mwao. Wao huishi kwa kuhangaishwa na matatizo ya kukosa chakula katika familia zao, kwa sababu ya kuzitumia hovyo mali zao hizo, katika maisha yao.

Watu hao hufanana na wale waliozinywea pombe mali zao, kwa sababu nao huzitumia hovyo mali zao hizo, katika maisha yao. Ndiyo maana huambiana kwamba, “kula mtama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitumia vizuri mali zao, ili ziweze kuwasaidia vizuri katika kuziendeleza familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 9:20-29.

Isaya 24:9.

Yeremia 25:27.

Isaya 5:22.

Zaburi 107:27.

ENGLISH: EAT MILLET.

The spring of this saying looks at the drinkers of alcohol. There were alcoholic drinkers who were encouraging each other to drink an alcohol by saying “eat millet” which means, drink alcohol. Its target is millet which is used in making such alcohol. However, drinking alcohol is eating millet. That is why those who drink alcohol encourage each other to drink it by saying, “eat millet.”

This saying is equated to people who want only to destroy their possessions in their lives. Those people, destroy their property by buying useless things for their families, because of lack of attention in their lives. They live worried about problems of lacking food in their families, because of such careless use of their possessions, in their lives.

Those people are like those who drank alcohol which they bought by using their wealth, because they use their wealth carelessly in their lives. That is why they say to each other that, “eat millet.”

This saying imparts in people an idea of being careful in using their properties well, so that they can nicely help them in developing their families in their lives.

Genesis 9:20-29.

Isaiah 24:9.

Jeremiah 25:27.

Isaiah 5:22.

Psalm 107:27.

african-food-3957740__480

1267. GAGWA MAMOTO

Imbuki ya kahayile kenako ilolile mamoto ga mbula ayo gagatongaga ulu yuluhaya gutula. Amamoto genayo gagagwa hado hado nose gakwila ulu yafugila imbula. Gashinaga lulu amamoto genayo gagabhizaga jimanyikijo ja gwandwa gutula mbula. Hunagwene abhanhu ulu bhagabhona bhagayombaga giki, “gagwa mamoto.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajaga bhulilila mumakaya ayo gabishaga ijiliwa, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagajaga gujulya jiliwa aha kaya iyo bhabhonaga lilizika lyochi bhagalindila mpaga japya, kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo aha kaya jabho. Abhoyi bhagadumaga ugujibheja ikaya jabho kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo bhusanyaga guja bhulilila mumakaya gabhanhu, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na mamoto ga mbula ayo gagakwilaga hado hado nose ya kula mbula, kunguno nabhoyi bhagalilila jiliwa mumakaya mpaga nose bhiguta, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhayombaga giki, “gagwa mamoto.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka ng’hungwa ja bhuliliji bho mumakaya bho gwigulambija gutumama milimo yabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 20:4a.

Mithali 19:24a.

Mithali 26:16a.

KISWAHILI: YAMEANGUKA MATONE.

Chanzo cha msemo huo huangalia matone ya mvua ambayo hutangulia inapotaka kunyesha. Matone hayo, huanguka kidogo kidogo mwishowe yanakuwa mvua kubwa. Kumbe basi, matone hayo huwa ni alama ya kuanza kunyesha mvua. Ndiyo maana watu wakiyaona husema kwamba, “yameanguka matone.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huenda kula kwenye familia za watu walioivisha chakula, maishani mwao. Watu hao, huenda kula chakula kwenye familia ile wanapoona moshi unatokeza kusubiria chakula hicho mpaka kinaiva, kwa sababu ya uvivu wa kufanya kazi kwenye familia zao. Wao hushindwa kuziendeleza familia zao kwa sababu ya uvivu huo wa kufanya kazi zao, wakitegemea kwenda kula chakula cha wenzao.

Watu hao hufanana na yale matone ya mvua ambayo huongezeka kidogo kidogo mpaka mwishowe yanakuwa mvua, kwa sababu nao huenda kula kwenye familia za watu mpaga mwishowe wanatosheka, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwasema kwamba, “yameanguka matone.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu wa kufanya kazi wakitemea kula kwenye familia za wenzao, kwa kujibidisha kufanya kazi, ili waweze kuziendeza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mithali 20:4a.

Mithali 19:24a.

Mithali 26:16a.

ENGLISH: DROPS HAVE FALLEN.

The basis of this saying looks at the raindrops that precede when it wants to rain. These drops fall little by little and finally become heavy rain. However, those drops are signs of rain. That is why when people see them, they say, “drops have fallen.”

This saying is related to people who go to eat in families of others who fed them, in their lives. Those people go to eat food in the family when they see smoke coming out and wait for the food until it is cooked, because of their laziness of working in their families. They fail to support their families because of their laziness of doing their works, by depending on going to eat their friends’ food.

Those people are like the raindrops which increase little by little until they finally become rain, because they also go to eat in the families of people who are finally satisfied, in their lives. That is why people say that, “drops have fallen.”

This saying teaches people about abandoning habit of working lazily while spitting in families of their colleagues, by forcing themselves to work, so that they can manage to run well their families, in their lives.

Proverbs 20:4a.

Proverbs 19:24a.

Proverbs 26:16a.

 

raindrop-