Sukuma Sayings

1440. NAJA.

Aho kale olihoyi munhu uyo agasumba lugendo lo guja bhugeni. Umunhu ng’wunuyo agabhitana abhanwani bhakwe bhuja aha kaya yakwe kunguno ya gubhalaga. Aho bhaja abhanwani bhakwe bhenabho abhagabhawila giki bhikale mhola uweyi aligeniha. Hunagwene agayomba giki, “naja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga chiza na bhanhu bha ha kaya yake. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga lilange lya gwikala bhitogilwe chiza bho gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho guyilela chiza ikaya yakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhitana gubhalaga abhanwani bhakwe aho ohaya gugeniha, kunguno nuweyi agajaga gujubhalanga lilange lya gwikala chiza na bhanhu umuwikaji bhokwe. Hunagwene ulu alibhalaga agayombaga giki, “naja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gubhalela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi umukaya jabho jinijo.

Kutoka 18:27.

1Wafalme 8:66.

Marko 6:46.

2 Wakorintho 2:13.

KISWAHILI: NAENDA.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyetaka kusafiri kwenda ugenini. Mtu huyo aliwaita rafiki zake kwenda nyumbani kwake kwa sababu alitaka kuwaaga. Walipofika kwake wale rafiki zake aliwaambia wakae salama kwa sababu yeye alikuwa anaenda ugenini. Ndiyo maana aliwaambia kwamba, “naenda.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule anayeishi vizuri na watu wa nyumbani mwake katika maisha yake. Mtu huyo, huwafundisha watu wake malezi ya kuishi kwa upendo wakisaidiana vizuri katika kufanya kazi zao, kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake. Yeye hupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo kwa kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuwafundisha malezi mema watu wake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewaita rafiki zake ili awaage alipotaka kusafiri, kwa sababu naye kuenda kuwafundisha malezi mema watu wake katika maisha yake. Ndiyo maana anapotaka kuwaacha huwaambia kwamba, “naenda.”

Msemo huyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuwalea vyema watu wao, ili waweze kuishi kwa furaha katika familia zao, maishani mwao.

Kutoka 18:27.

1Wafalme 8:66.

Marko 6:46.

2 Wakorintho 2:13.

1439. ILIHO GWINDA UMUMAGANIKO.

Alihoyi munhu uyo oliokwililwa maganiko umung’holo yakwe. Umunhu ng’wunuyo wiganikaga bhuli mhayo gwene ugubhona gudimu duhu ugugutimija umukikalile kakwe. Aliyo ulu wiganika chiza amana igiki alinabho ubhudula ubho gugahebha amaganiko geneyo. Hunagwene agayomba giki, “iliho gwinda umumaganiko.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gwiganika chiza mpaga odula gugamala makoye gakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagamalaga amakoye gakwe bho gwiganika chiza mpaga ojipandika inzila ja gugamala wangu kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalelaga abhanhu bha ha kaya yakwe bho gwikala na wiyumilija bho gugamala amakoye gabho chiza, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agadebha igiki adulile ugugamala amakoye gakwe ulu wiganika chiza, kunguno nuweyi agiyumilijaga bho gwiganika chiza mpaga ojipandika inzila ja gugamala wangu amakoye gakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “iliho gwinda umumaganiko.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gwiganika chiza mpaga bhajipandika inzila ja gugamala wangu amakoye gabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 22:39-42.

Mathayo 26:36-41.

Mathayo 27:3-5.

KISWAHILI: KUNA NJAMA KATIKA MAFIKIRIO.

Alikuwepo mtu aliyejawa mawazo moyoni mwake. Mtu huyo, alikuwa akifikiria kila jambo anaona kuwa ni gumu kulitelekeza katika maisha yake. Lakini akifikiri vizuri anaelewa kuwa anao uwezo wa kuyamaliza mawazo yake hayo. Ndiyo maana alisema kwamba, “kuna njama katika mafikirio.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatatua matatizo mengi kwa kuvumilia katika maisha yake. Mtu huyo, huyamaliza matatizo yake kwa kufikiri vizuri mpaka anazipata njia za kuyatatulia matatizo hayo, kwa sababu ya umakini wake huo maishani mwake. Yeye huwalea watu wa familia yake kwa kuishi katika uvumilivu wa kuyamaliza vizuri matatizo hayo, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeelewa kuwa unao uwezo ya kuyamaliza mawazo yake akifikiri vizuri, kwa sababu naye huvumilia kwa kufikiria vizuri mpaka anazipata njia za kuyamaliza kwa haraka matatizo yake maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kuna njama katika mafikirio.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kufikiria vizuri mpaka wanazipata njia za kuyamaliza kwa haraka matatizo yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 22:39-42.

Mathayo 26:36-41.

Mathayo 27:3-5.

 

1438. AHO NG’WALI MCHILE IGWANDYA.

Aho kale bhalihoyi bhanhu abho bhalibhadagulebhile mhayo nhebhe abho bhikalaga muchalo na Sanjo. Jigabhita shigu ningi abhanhu bhenabho bhalikala bho nduhu ugugumana umhayo gunuyo kunguno ya kugayiwa munhu uogubhalomela chiza. Aho bhagudebha umhayo gunuyo bhagayega kunguno bhagamana igiki gashinaga igwandya bhali guti bhachile umugwikala bhadagumanile umhayo gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawila giki, “aho ng’wali mchile igwandya.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nzunya uyo obhatijiwa wandya wikaji bhupya umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikomeja gwikala witogilwe na bhiye chiza na guleka gwita imihayo ya umushibhi, kunguno ya guntogwa Mulungu na bhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalelaga bho gwikala ni lange lya guleka gwita mihayo ya bhubhi abhanhu bhakwe, kugiki bhadule gwikala bhalumanile na Yesu mpija obho uyo obhinja mubhusese bho gwita mihayo yabhubhi, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagagumana bho gukeleja umhayo uyo bhalidagumanile umuwikaji bhobho, kunguno nuweyi aho oliatali ugunzunya Yesu, aliochile bho gwita mihayo yabhubhi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “aho ng’wali mchile igwandya.”

Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya gubhulanhana chiza ubhuzunya bhobho bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Sebha, kugiki bhadule gushiga Ng’wigulu.

Wakolosai 2:4.

Wakolosai 2:8.

Wakolosai 2:20.

Wakolosai 3:1-11.

Waefeso 2:1-10.

KISWAHILI: PALE MLIPOKUWA MMEKUFA MWANZONI.

Hapo zamani walikuwepo watu ambao hawakulifahamu neno fulani katika kijiji cha Sanjo. Zilipata siku nyingi bila ya watu hao kupata uelewa wa neno hilo kwa sababu ya kukosa mtu wa kuwaelewesha vizuri.

Walipopata bahati ya kulifahmu neno hilo walifurahi kwa sababu waligundua kwamba walikuwa  kama wamekufa kwa kutokulifahamu neno hilo. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba “pale mlipokuwa mmekufa mwanzoni.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mkristo aliyebatizwa akaingia kwenye maisha mpya ya neema katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kuishi kwa upendo na wenzake akiwafundisha watu kuacha dhambi kwa kutenda mema, kwa sababu ya upendo wake huo kwa Mungu na wenzake, maishani mwake. Yeye huwalea watu wake kwa kuwaonesha mfano wa kuuishi upendo wa Mungu na kuacha kutenda dhambi, ili waweze kuungana vizuri na Yesu Mkombozi aliwakomboa kutoka katika utumwa na dhambi, maishani mwao.

Mtu huyo hufanana na yule aliyechelewa kulielewa neno fulani katika maisha yake, kwa sababu naye alikuwa kama amekufa wakati wa kabla ya kumwamini Yesu na kubatizwa, hasa kwa kuishi maisha ya dhambi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia yeye na wenzake kwamba, “pale mlipokuwa mmekufa mwanzoni.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuutunza vizuri ukristo wao kwa kuyaishi vizuri maagizo ya Mungu, ili waweze kufika Mbinguni.

Wakolosai 2:4.

Wakolosai 2:8.

Wakolosai 2:20.

Wakolosai 3:1-11.

Waefeso 2:1-10.

 

1437. MADUKU.

Alihoyi munhu uyo oliozenga maduku umuchalo ja bhuduhe. AMaduku genayo jili numba ndododo ijo jigazengagwa bho maswa gwingila hasi mpaga kwigulya. Umunhu ng’wunuyo agajitumamilaga inumba jinijo kunguno ya gutimija bhulingisilo bhulebhe ubho abhuhaiye uweyi umukikalile kakwe. Hunagwene agajitanaga giki, “maduku.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikomejaga kubheja jikolo ijo jidulile gumwambilija ugubhushigila wangu ubhulingisilo bhokwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe bho jitumamilo jawiza ijo jidulile kung’wambilija ugubhushigila wangu ubhulingisilo bhokwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga matwajo mingi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho gutumamila jitumamilo jawiza umumilimo yakwe yiniyo aha kaya yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agazenga maduku ga gung’wambilija ugubhushigila wangu ubhulingisilo bhokwe, kunguno nuweyi agatumamilaga jitumamila jawiza mpaga obhushigila wangu ubhulingisilo bhokwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga ijitumamilo jakwe jinijo giki, “maduku.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na jitumamilo jawiza ijagudula gubhambilija uguitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho bhunubho.

Ufunuo 3:15-19.

Kumbukumbu 30:15-16, 19.

KISWAHILI: VIZIMBA.

Alikuwepo mtu aliyejenga vizimba katika kijiji cha bhuduhe. Vizimba hivyo ni nyumba ndogondogo zilizojengwa kwa nyasi kuanzia chini hadi juu. Mtu huyo huzitumia nyumba hizo kwa sababu ya kuyatimiza kwa haraka malengo yake katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huziita nyumba hizo jila la “vizimba.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujibidisha kutengeneza kitu ambacho chaweza kumsaidia katika kuyafikia malengo yake kwa haraka kwa sababu ya ubunifu wake katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa kutumia zana nzuri za kumwezesha kuyatekeleza vizuri na kwa haraka malengo yake kwa sababu ya ubunifu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mafaniko mengi katika familia yake hiyo kwa sababu ya ubunifu huo wa kutumia zana nzuri za kuweza kumsaidia katika kuyafikia kwa haraka malengo yake hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejenga vizimba vya kumsaidia katika kuyafikia malengo yake, kwa sababu naye hutumia zana za kumwezesha kuzimaliza kazi zake kwa haraka mpaka anayafikia malengo yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu huziita zana zake jina la “vizimba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ubunifu wa kutumia zana nzuri za kuwawezesha kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Ufunuo 3:15-19.

Kumbukumbu 30:15-16, 19.

ENGLISH: CAGES

The origin of this saying comes from a man who lived in the village of Bhuduhe. He built small houses made of grass, constructed from the ground up. These houses were simple but effective, allowing him to accomplish his work quickly and efficiently. Because they helped him achieve his goals without delaying, he called these houses “cages.”

This saying is compared to a person who works hard enough to create something useful that helps him achieve his goals quickly through creativity. Such a person chooses and uses good tools wisely so that his work can be done well and without wasting time. Through this creativity and proper use of tools, he attains success in his work and is able to support his family effectively.

Just as the man built cages to help him reach his goals, this person uses appropriate tools and skills to complete his tasks efficiently until his goals are fulfilled. Because these tools help him succeed quickly, people refer to them as “cages.”

This saying teaches people an importance of creativity, diligence, and the wise use of good tools in their work. When people work creatively and responsibly, they are able to provide well for their families and make positive progress in their lives.

Revelation 3:15–19.

Deuteronomy 30:15–16, 19.

 

 

 

1436. LINZWI LILINA MATAMBI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile linzwi ilo ligakulaga bho guja hasi mpaga lyabhiza na matambi agagulidimila ilinti ilitale ilo lilina matambi galyo. Ilinzwi linilo ligabhizaga na nguzu ja gudula gugudimila unti intale pye na matambi gago kunguno ya bhujamu bholyo. Hunagwene abhanhu bhagalitanaga giki, “linzwi lilina matambi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atolile mpaga upandika bhana bhingi, bhizukuru na bhizimbili bhakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ung’wunuyo agayilelaga chiza ikaya yakwe bho guilanga gutumama milimo ya gubhapandikila matwajo gaguyilanhanila chiza ikaya yiniyo kunguno ya witegelecha bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako. Uweyi agapandikaga matwajo mingi noyi akaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho guyilela chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni linzwi ilo lilina matambi ga gugudimila unti na matambi gago, kunguno nu weyi alina nanguzu na witegeleja bhutale ubho guyilela na guyilanhana chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “linzwi lilina matambi.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilela chiza ikaya jabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 17:7.

2 Samweli 5:12.

Yohana 15:1-9.

KISWAHILI: MZIZI WENYE MATAWI.

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya mzizi unaokua kwa kwenda chini ya ardhi mpaka unapata matawi ya kuweza kuushikiria mti mkubwa wenye matawi. Mzizi huo huwa na nguvu za kuweza kuushikiria mti mkubwa wenye matawi yake kwa sababu ya uimara wake huo. Ndiyo maana watu huuita jina la “mzizi wenye matawi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule aliyeoa akapata watoto wengi, wajukuu na vilembe, katika maisha yake. Mtu huyo, huilea vyema familia yake hiyo kwa kuifundisha kufanya kazi za kuwapatia mahitaji ya kutosha kutumia kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi sana kwenye familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuilea vyema familia hiyo, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na ule mzizi wenye matawi ya kuushikiria mti wenye matawi, kwa sababu naye ana nguvu na uaminifu wa kuilinda vyema familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mzizi wenye matawi.”

Msemo huo hufundisha wana ndoa juu ya kuwa na uaminifu wa kuzilea vyema familia zao, ili waweze kupata maendeleo mengi katika familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 17:7.

2 Samweli 5:12.

Yohana 15:1-9.

 

ENGLISH: BRANCHED ROOT

The origin of this saying comes from a root that grows underground and develops many branches strong enough to support a large tree. Because of its deep foundation and spreading branches, the root is able to hold the tree firmly and give it stability. For this reason, people call it a “branched root.”

This saying is matched to a person who gets married and is blessed with many children, grandchildren, and great-grandchildren. Such a person raises the family well by teaching them good values, responsibility, and useful skills so that they can provide for their needs. Through faithfulness, commitment, and hard work, this person builds a strong and successful family.

Like a branched root that supports a great tree, this person has the strength, loyalty, and wisdom to protect and sustain the family throughout life. That is why he is called a “branched root.”

This saying imparts in married couples an idea of importance of faithfulness, responsibility, and dedication in raising their families. When a family is built on these virtues, it grows strong, stable, and fruitful, bringing lasting progress and blessing to future generations.

Genesis 17:7.

2 Samuel 5:12.

John 15:1–9.