Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga mung’walida gokwe umuchalo ja Ng’watuma. Umunhu ng’wunuyo olina ng’walida kutale noyi kunguno pye abhanhu bhakwe bhikalaga mugati ya libala lwake linilo. Uweyi olilang’hanaga chiza ilibala lwake linilo kunguno lyali na solobho nhale umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene oyombaga giki, “nalimug’walida one.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina witegeleja bho gujilanhana chiza isabho jakwe umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agajilanhanaga chiza isabho jakwe bho gujitumamila mumihayo iyo ilina solobho ukubhanhu bhakwe na gujituula musoga ijo jasagaga, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gujilanhana na gujituula chiza isabho jakwe jinijo, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalilanhanaga chiza ilibala lwake mpaga wikala na bhanhu bhakwe pye abhose umulibala lwake linilo, kunguno nuweyi agajilanhana bho gujitumamila chiza isabho jakwe mpaga wikala na bhuyegi aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nali mung’walida gone.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwigulambija gutumama milimo yabho na gujitumamila chiza isabho ijo bhagajipandikaga, kugiki jidule gubhambilija chiza umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.
Mwanzo 23:17-20.
Kutoka 8:23.
Kutoka 19:12.
Ayubu 24:2.
Zaburi 105:33.
KISWAHILI: NIKO KWENYE MASKANI YANGU.
Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi kwenye maskini yake katika kijiji cha Mwatuma. Mtu huyo alikuwa na eneo kubwa sana kwa sababu lilimwezesha kuishi humo na watu wake wote. Yeye alilitunza vizuri eneo lake hilo kwa sababu lilikuwa na faida kubwa maishani mwake. Ndiyo maana alisema kwamba, “niko kwenye maskini yangu.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana umakini wa kuzitunza vizuri mali zake katika maisha yake. Mtu huyo, huzitunza vizuri mali zake kwa kuzitumia katika matumizi yanayoleta faida kwa watu wake na kuziweka pazuri zile zilizobaki kwa sababu ya umakini wake huo maishani mwake. Yeye huishi kwa furaha kubwa katika familia yake hiyo kwa sababu ya umakini wake huo wa kuzitunza na kuziweka pazuri mali zake hizo, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na yule aliye litunza vizuri eneo lake mpaka akaishi humo na watu wake wote, kwa sababu naye huzitunza mali zake kwa kuzitumia vyema mpaka anaishi kwa furaha katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “niko kwenye maskani yangu.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kujibidisha kufanya kazi zake na kuzitumia vyema mali wanazipata ili ziweze kuwasaidia vizuri katika familia zao hizo, maishani mwao.
Mwanzo 23:17-20.
Kutoka 8:23.
Kutoka 19:12.
Ayubu 24:2.
Zaburi 105:33.