Sukuma Sayings

1496. NALIMUG’WALIDA GONE.

Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga mung’walida gokwe umuchalo ja Ng’watuma. Umunhu ng’wunuyo olina ng’walida kutale noyi kunguno pye abhanhu bhakwe bhikalaga mugati ya libala lwake linilo. Uweyi olilang’hanaga chiza ilibala lwake linilo kunguno lyali na solobho nhale umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene oyombaga giki, “nalimug’walida one.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina witegeleja bho gujilanhana chiza isabho jakwe umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agajilanhanaga chiza isabho jakwe bho gujitumamila mumihayo iyo ilina solobho ukubhanhu bhakwe na gujituula musoga ijo jasagaga, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gujilanhana na gujituula chiza isabho jakwe jinijo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalilanhanaga chiza ilibala lwake mpaga wikala na bhanhu bhakwe pye abhose umulibala lwake linilo, kunguno nuweyi agajilanhana bho gujitumamila chiza isabho jakwe mpaga wikala na bhuyegi aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nali mung’walida gone.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwigulambija gutumama milimo yabho na gujitumamila chiza isabho ijo bhagajipandikaga, kugiki jidule gubhambilija chiza umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

 Mwanzo 23:17-20.

Kutoka 8:23.

Kutoka 19:12.

Ayubu 24:2.

Zaburi 105:33.

KISWAHILI: NIKO KWENYE MASKANI YANGU.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi kwenye maskini yake katika kijiji cha Mwatuma. Mtu huyo alikuwa na eneo kubwa sana kwa sababu lilimwezesha kuishi humo na watu wake wote. Yeye alilitunza vizuri eneo lake hilo kwa sababu lilikuwa na faida kubwa maishani mwake. Ndiyo maana alisema kwamba, “niko kwenye maskini yangu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana umakini wa kuzitunza vizuri mali zake katika maisha yake. Mtu huyo, huzitunza vizuri mali zake kwa kuzitumia katika matumizi yanayoleta faida kwa watu wake na kuziweka pazuri zile zilizobaki kwa sababu ya umakini wake huo maishani mwake.  Yeye huishi kwa furaha kubwa katika familia yake hiyo kwa sababu ya umakini wake huo wa kuzitunza na kuziweka pazuri mali zake hizo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliye litunza vizuri eneo lake mpaka akaishi humo na watu wake wote, kwa sababu naye huzitunza mali zake kwa kuzitumia vyema mpaka anaishi kwa furaha katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “niko kwenye maskani yangu.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kujibidisha kufanya kazi zake na kuzitumia vyema mali wanazipata ili ziweze kuwasaidia vizuri katika familia zao hizo, maishani mwao.

Mwanzo 23:17-20.

Kutoka 8:23.

Kutoka 19:12.

Ayubu 24:2.

Zaburi 105:33.

1495. UDUDUMIJA NONI YA NG’WILAGO BUJIKU WILAGA.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile noni iyo igitanagwa mbilibili. Inoni yiniyo ing’hangala iningi itogilwe gwikala mumalago. Ulu jegela jiduku igabhizaga ulila nakalile ka kagududumija giti ilimuminzi. Giko lulu igabizaga jimanyikijo ja giki ihaha jashiga jidiku ja gandwa gulima. Hunagwene abhanhu bhagayiwilaga giki, “ududumija noni ya ng’wilago bujiku wilaga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina witegeleja bho gubheja jitumamilo jakwe chiza ulu jegela ijiduku, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agibhegelajaga ulu jegela ijiduku bho gubheja jitumamilo guti magembe, mapanga ga gusengela malale na gwandya gulima kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agalimaga bho gutumamila jitumamilo jakwe chiza mpaga opandika matwajo mingi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni noni iyo igalilaga ulu jegela ijiduku, kunguno nuweyi ulu jegela ijiduku agajibhejaga chiza ijitumamilo jakwe mpaga olima chiza na gupandika sabho ningi ha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ududumija noni ya ng’wilago bujiku wilaga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gubheja pye jitumamilo ja milimo yabho ulu lyegela ilikanza lya kuyitumama imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mwanzo 8:22.

Zaburi 102:13.

Mhubiri 3:1.

Danieli 2:21.

Matendo 1:7.

KISWAHILI: LIA NDEGE WA ENEO LA KABIRU NA MTO, USIKU UMEINGIA.

Chanzo cha msemo huo huongelea ndege anayeitwa dudumizi. Ndege huyo, hupendelea kuishi karibu na mto. Masika jakikaribia, yeye hulia kama yuko majini. Hivyo basi, yeye huwa ni ishara ya kuonesha kwamba kipindi cha kilimo kimekaribia. Ndiyo maana watu humwambia ndege huyo kwamba, “lia ndege wa eneo la karibu na mto, usiku umeingia.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana umakini wa kuandaa vitendea kazi vyake vizuri yanapokaribia masika, katika maisha yake. Mtu huyo, kikikaribia kipindi cha masika huviandaa vitendea kazi vyake vizuri, kama vile majembe, mapanga ya kufyekea maeneo na kuanza kulima, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye hulima kwa kutumia vitendea kazi vyake vizuri mpaka anapata mafanikio makubwa kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule ndege anayelia kinapokaribia kipindi cha masika, kwa sababu naye kikikaribia kipindi cha masika hujiviandaa vyema vitendea kazi vyake mpaka analima vizuri na kupata mali nyingi kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “lia ndege wa eneo la karibu na mto, usiku umeingia.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuviandaa vyema vitendea kazi vyao vyote kinapokaribia kipindi cha kuanza kuzitekeleza kazi zao hizo, ili waweze kupata mafanikio mengi katika familia zao hizo, maishani mwao.

Mwanzo 8:22.

Zaburi 102:13.

Mhubiri 3:1.

Danieli 2:21.

Matendo 1:7.

1494. AYISE NABHO LIDULOLILE ILIPEMBE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile lipembe ilo lilolile bhanhu bhalebhe. Ilipembe linilo bhalitumilaga bhanhu bha mbina abho bhalyokajaga bhugota na bhalilogeja ukubhikindi bha mbina bhichabho kunguno ya gubhogohya abhanishi bhabho umumbina jabho jinijo. Abho bhalibhona ilipembe linilo giki libhalolile bhoyi bhogohaga giki bhadulile gupandika makoye. Hunagwene bhayombaga giki, “ayise nabho lidulolile ilipembe.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nzunya uyo adina witegeleja bho guwikalana chiza ubhuzunya bhokwe umukikalile kakwe kenako. Unzunya ng’wunuyo, agasadaga wiganika giki agulogagwa na bhiye mpaga ogalagulwa kubhafumu kunguno ya gugayiwa witegeleja bho guwikalana chiza ubhuzunya bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga uguilela nyazunya ikaya yakwe yiniyo kunguno ya gugayiwa witegeleja bhunubho ubho gubhuwikalana chiza ubhuzunya bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Unzunya ng’wunuyo, agikolaga nabho bhogohaga ulu bhabhona lipembe libhalolile, kunguno nuweyi agasadaga ogoha bho gwiganika giki agulogagwa mpaga ogalagulwa kubhafumu, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “ayise nabho lidulolile ilipembe.”

Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gujilela nyazunya ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 10:26-28.

Luka 12:4-5.

KISWAHILI: SISI NDIYO HAWA LINAOTUANGALIA PEMBE.

Chanzo cha msemo huo huongelea pembe lililowaangalia watu fulani. Pembe hilo walilitumia wacheza ngoma waliolijaza dawa na kulielekeza kwa wapinzani wao katika mchezo wao huo wa ngoma kwa sababu ya kutaka kuwaogopesha wapinzani wao hao. Wale walioliona kuwa pembe hilo linawaangalia wao waliogopa kwa kufikiria kwamba litawadhuru. Ndiyo maana walisema kwamba, “sisi ndiyo hawa linaotuangalia pembe.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mkristo yule ambaye hana umakini wa kuuishi vizuri ukristo wake, katika maisha yake. Mkristo huyo, anapougua hufikiria kwamba amelogwa na wenzake mpaka anapiga ramli kwa waganga wa kienyeji kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuuishi vizuri ukristo wake, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea kikristo familia yake kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuyaishi maagizo ya Mungu, katika maisha yake hayo.

Mkristo huyo hufanana na wale walioogapa walipoliona pembe limewaangalia wao, kwa sababu naye anapougua huogopa kwa kufikiria kwamba analogwa na wenzake mpaka anapiga ramli kwa waganga wa kienyeji, maishani mwake. Ndiyo maana husema kwamba, “sisi ndiyo hawa linaotuangalia pembe.”

Msemo huo, hufundisha wakristo juu ya kuwa na umakini wa kuyaishi maagizo ya Mungu, ili waweze kuzilea kikristo familia zao, maishani mwao.

Mathayo 10:26-28.

Luka 12:4-5.

1493. OLOMBELA HADIMU.

Aho kale olihoyi munhu uyo agaja gujulomba ginhu hali nzenganwa ng’wiye. Umunhu ng’wunuyo agalomba mzagamba ya ng’ombe ulemejiwa kunguno ya gulomba ginhu ijo ajisanije ung’wiye. Hunagwene unzenganwa ng’wiye ng’wunuyo agang’wila giki, “olombela hadimu.”

Akayayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina witegeleja bho guwabhila bhunhana abho alibhambilija, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo agabhambilija abhiye bho gubhinza ijo adulile na gubhalemeja ijo adadulie ugubhinha bho gubhawila bhunhana kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agailelaga chiza ikaya yakwe yiniyo kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo adang’winhile inzagamba unzenganwa ng’wiye uyo aganomba, kunguno nuweyi adabhambilija abho bhaganombaga ginhu ijo adadulile ugubhinha, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, “olombela hadimu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wigeteleja bho gubhawila bhunhana abho bhalibhambilija kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 11:5-7.

Mathayo 20:20-23.

KISWAHILI: UMEOMBEA PAGUMU.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeenda kuomba kitu kwa jirani yake. Mtu huyo aliomba fahali wa ng’ombe akakataliwa kwa sababu ya kuomba kitu alichokitegemea mwenzake huyo. Ndiyo maana alimwambia jirani yake huyo kwamba, “umeombea pagumu.”

Msemo huo, hulinaganishwa kwa mtu yule ambaye ana umakini wa kuwaambia ukweli wale anaowasaidia, katika maisha yake. Mtu huyo, huwasaidia wenzake kwa kuwapatia kile anacho weza na kuwakataza kile ambacho hana uwezo wa kuwapatia kwa kuwaambia ukweli, kwa sababu ya umakini wake huo maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake hiyo kwa sababu ya umakini wa huo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye hakumpatia fahali wa ng’ombe mwenzake aliyemuomba, kwa sababu naye hawasaidii wale wanaomuomba kitu ambacho hana uwezo wa kuwapatia, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia wenzake hao kwamba, “umeombea pagumu.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwaeleza ukweli wale wanaowasaidia ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 11:5-7.

Mathayo 20:20-23.

1492. LISO LYAB’INA.

Olihoyi munhu uyo agab’inya liso lyakwe umuchalo ja Ng’watuma. Umunhu ng’wunuyo agadebha igiki agupandika bhageni kunguno ubhubhini bho liso lolilumenho lo gupandika bhageni umuchalo jinijo. Uweyi agibhegeleja chiza ugubhasumbila abhageni bhenabho. Hunagwene agayomba giki, “liso lyab’ina.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wiza bho ng’holo bho gubhabokela bhageni chiza aha kaya yake yiniyo, umuwikaji bhobwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhasumbilaga chiza abhageni bhakwe bho gubhabhegeja jiliwa jawiza kunguno ya wizang’holo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe kunguno ya wizang’holo bhokwe bhunubho ubho gubhagalila chiza abhageni bhakwe bhenabho umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agibhegeleja gubhasumbila bhageni bhakwe chiza aho lyab’ina iliso lyakwe, kunguno nuweyi alina wizang’holo bho gubhagalila chiza abhageni bhakwe mpaga opandika mbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “liso lyab’ina.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizang’holo bho gubhagalila chiza abhageni bhabho kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala na bhuyeji umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

1Samweli 10:7.

Yohana 2:11.

Ufunuo 12:1-4.

KISWAHILI: JICHO LIMECHEZA.

Alikuwepo mtu katika kijiji cha Mwatuma ambaye jicho lake lilicheza. Mtu huyo alielewa kuwa atapata wageni kwa sababu kucheza kwa jicho ni ishara ya kupata wageni katika kijiji hicho. Yeye alijiandaa vizuri kuwapokea wageni wake hao. Ndiyo maana alisema kwamba, “jicho limecheza.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana ukarimu wa kupokea vizuri wageni kwenye familia hiyo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwapokea vizuri wageni wanaofika kwenye familia yake kwa kuwaandalia chakula kizuri, kwa sababu ya ukarimu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo, kwa sababu ya ukarimu wake huo wa kuwatunza vizuri wageni wake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejiandaa kuwapokea vizuri wageni wake lilipocheza jicho lake, kwa sababu naye huwapokea na kuwatunza vizuri wageni wake mpaka anapata baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana husema kwamba, “jicho limecheza.”

Msemo huo, hufundisha watu juu wa kuwa na ukarimu wa kuwatunza vizuri wageni wao, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao hizo, maishani mwao.

1Samweli 10:7.

Yohana 2:11.

Ufunuo 12:1-4.