Sukuma Riddles

1458. KALAGU – KIZE. AB’O B’AB’ILINGAGWA BIZAGA PYE NA NG’HOME – BUSIGA BUHOLILE.

Ikalagu yiniyo ilolile busiga ulu giki buhola ung’wigulya bugab’izaga guti nang’ha gwa ng’home. Ubusiga bhunubho bugabhizaga na ng’home yiniyo ukwigwilya kunguno bhugajilanijaga ulu bhuhola mpaga bholenganila pye chiza. Ubhoyi bhudikilakilaga. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga bho guyomba giki “ab’ob’ab’ilingagwa bizaga pye na ng’home – busiga buholile.”

Ikalagu yiniyo, ikagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalina masala gagwiyambilija chiza ulu ng’wichabho obhabhilingaga kunimo gokwe, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagib’ilingaga gwiyambilija gutumama milimo yabho bhuli ng’wene obhuka na jitumamilo jakwe bhagatumama milimo yabho bho ng’wigwano gutale, kunguno ya masala gabho agawiza genayo, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga sabho ningi bhuli ng’wene aha kaya yakwe kunguno ya masala gabho genayo aga ng’wigano go gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza chiniko, umuwikaji bhobho bhunubho.

 Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nu busiga ubho bugalenganilaga chiza ulu bohola, kunguno nabhoyi bhalina ng’wigwano go gubhuka na jitumamilo jabho ulu bhab’ilingagwa gujiyambilija gutumama milimo yabho chiza, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhayombaga giki, “ab’ob’ab’ilingagwa bizaga pye na ng’home – busiga buholile.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala ga ng’wigwano go gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

1Wakorintho 11:3.

Waefeso 1:22-23.

Waefeso 4:15.

Waefeso 5:23.

Wakolosai 1:18.

Wakolosai 2:10.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

WALIOALIKWA WAMEFIKA WOTE NA RUNGU – MASUKE YA MTAMA.

Kitendawili hicho, huangalia mtama uliotoa masuke yake. Mtama huyo, hutoa masuke ambayo huonekana kama fimbo yenye rundu kwa juu kwa sababu ya kuendana yote vizuri hivyo. Ndiyo maana watu huhadithiana kwa kusema kwamba, “walioalikwa wamefika wote na rungu – masuke ya mtama.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wenye akili za kusaidiana vizuri wanapoalikwa na mwenzao kwenda kumsaidia kufanya kazi yake, katika maisha yao. Watu hao hualikana pamoja kwenda kuyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana ambapo kila mmoja hubeba kitendea kazi kinachofaa kwa kazi hiyo, kwa sababu ya akili zao hizo zenye uelewano wa kusaidia vizuri katika kazi zao, maishani mwao. Wao hupata mali nyingi za kutumia kila mmoja kwenye familia yake kwa sababu ya ushirikiano wao huo mzuri, katika maisha yao.

Watu hao hufanana na ule mtama ambao hutoa masuke yanayoendana vizuri, kwa sababu nao husaidiana vizuri katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao kila wanapoalikwa na mwenzao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaongelea kwamba, “walioalikwa wamefika wote na rungu – masuke ya mtama.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na akili za kuwawezesha kushirikiana vizuri, katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata maendeleo mengi katika familia zao, maishani mwao.

1Wakorintho 11:3.

Waefeso 1:22-23.

Waefeso 4:15.

Waefeso 5:23.

Wakolosai 1:18.

Wakolosai 2:10.

1411. KALAGU – KIZE. OSIMINZA NOYI ALIYO ADULAB’ULAGA

Ikalagu yiniyo ihoyelile bhuhumi bho mongo. Umongo gunuyo gugahumaga bho guja bhutongi duhu kunguno gugafumilaga ku nima gujile kuntelemko. Ugoyi gudashokaga inuma kunguno aminzi gago gagahumaga bho gwika hasilili idi bho gulinha higulya. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “osiminza noyi aliyo adulab’ulaga – Mongo.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagadimilaga chiza amalagilo ga bhatale bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agagikalanaga amalagilo genayo bho gubhalanga abhanhu bhakwe gwikala chiza na bhichabho, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho gugikalana chiza amalagilo ga bhatale bhakwe bhenabho umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga numongo uyo gugajaga bhutongi bho nduhu ugushoka inuma, kunguno nuweyi agagikalanaga chiza amalagilo ga bhatale bhakwe umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “osiminza noyi aliyo adulab’ulaga – Mongo.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gub’iza na bhutungilija bho gugadimila chiza amalagilo ga ng’wa Umulungu, kugiki bhadule kupandika mpango ya gwikala na bhuyegi bho gubhashisha Ng’wigulu, umuwikaji bhobho bhunubho.

Nehemia 9:13-14.

Mithali 13:13.

Mhubiri 8:5.

Yohana 14:15.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

AMETEMBEA MNO LAKINI HAANGALII NYUMA – MTO.

Kitendawali hicho huongelea uendaji wa maji ya mto. Maji hayo ya mto huenda mbele tu kwa sababu ya kutokea mlimani kuelekea mtelemkoni. Yenyewe huwa hayarudi nyuma kwa sababu yanatokea mlimani kushuka chiza, siyo kupanda juu. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “ametembea mno lakini haangalii nyuma – mto.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaiishi vizuri maagizo ya wakubwa wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyaishi maagizo hayo ya wakubwa wake kwa kuwafundisha watu wake namna ya kuishi vizuri na wenzao, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye huishi kwa furaha kubwa katika familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuyaishi vizuri maagizo hayo ya wakubwa wake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yale maji yaendayo mbele bila kurudi nyuma, kwa sababu naye huyaishi vizuri maagizo ya wakubwa wake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ametembea mno lakini haangalii nyuma – mto.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuyaishi vizuri maagizo ya Mungu, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha ya kuwafikisha Mbinguni.

Nehemia 9:13-14.

Mithali 13:13.

Mhubiri 8:5.

Yohana 14:15.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

HE HAS WALKED A LOT BUT HE DOESN’T LOOK BACK – A RIVER.

This riddle talks about a movement of river water. This river water only moves forward because it comes from the mountain towards the slope. It itself never goes back because it comes from the mountain going down, not upwards. That is why people say that, “he has walked a lot but he does not look back – a river.”

This riddle is compared to a person who lives by observing instructions of his superiors in his life. This person puts into practices instructions of his superiors by teaching his people how to live well with their family members, because of his loyalty in life. He lives with great happiness in his family because of his loyalty to nicely living within the instructions of elders in his life.

This person is like that river water which moves forward without going back, because he also lives well the instructions of his directors in his life. That is why people say to him that, “He has walked far but he does not look back – a river.”

This riddle teaches people about being faithful enough to nicely live according to God’s commandments, so that they can receive blessings of living happily to the point of entering Heaven.

Nehemiah 9:13-14.

Proverbs 13:13.

Ecclesiastes 8:5.

John 14:15.

1371. KALAGU – KIZE. MAMA AGUTULAGWA NG’HOME GWA BHULI MAKANZA ALIYO ADATOLOKAGA – FUGO YA GUZUGILA.

Ikalagu yiniyo yiholelile fugo iyo ili nungu ya guzugila bhugali. Ifugo yiniyo jili ginhu ijo jigatumamilagwa nimo bhuli lushigu bho nduhu gwisuyijiwa kunguno ya gubhazugila jiliwa abhanhu abho bhatub’ile.

Unzugi obhugali agatumilaga ndinho obhiza guti giki aliitula inungu yiniyo ulu alibhuzuga ubhugali bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “mama agatulagwa ng’home gwa bhuli makanza aliyo adatolokaga – fugo ya guzugila.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli ngikulu uyo agiyumilaga gutumama milimo mingi ya gubhambilija abhizukulu bhakwe umukikalile kakwe. Ungikulu ng’wunuyo agigulambijaga kutumama milimo ya gumpandikila jiliwa ja gubhalisha abhizukulu bhakwe bhenabho kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho na jiliwa jingi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama milimo yakwe chiza bhunubho, umukikalile kakwe.

Ungikuku ng’wunuyo, agikolaga ni fugo iyo yazugilagwa jiliwa bhuli lushugu bho nduhu ugwifula, kunguno nuweyi agiyumilijaga gutumama milimo ya gubhapandikila jiliwa abhizugukulu bhakwe mpaka ujipandika na gubhazugila chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhizukulu bhakwe bhenabho bhagayombaga giki, “mama agatulagwa ng’home gwa bhuli makanza aliyo adatolokaga – fugo ya guzugila.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo chiza bho wiyumilija bhutale kugiki bhadule gubhapandikila jiliwa ja kubhalisha abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Kumbukumbu la torati 10:18.

2 Wafalme 6:23.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

BIBI HUPIGWA RUNGU KILA WAKATI LAKINI HATOROKI – CHUNGU CHA KUPIKIA.

Kitendawili hicho huongelea chungu cha kupikia ugali. Chungu hicho ni kitu cha kufanyia kazi kila siku bila ya kupumzika kwa sababu ya kuwapikiwa chakula watu wanaohitaji kula.

Mpishi wa ugali hutumia mwiko ambao humuonesha kama anakipiga chungu hicho anapopika chakula hicho. Ndiyo maana watu huhadithiana kwa kusema kwamba “bibi hupigwa rungu kila wakati lakini hatoroki – chungu cha kupikia.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa bibi yule ambaye huvumilia kufanya kazi nyingi za kuwasaidia wajukuu zake, katika maisha yake. Bibi huyo, hujibidisha kufanya kazi za kumpatia chakula cha kuwalisha wajukuu zake hayo kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mali na chakula kingi katika familia yake hiyo kwa sababu ya uvumilivu wake huo wa kujibidisha kufanya kazi zake vizuri, katika maisha yake.

Bibi huyo, hufanana na kile chungu cha kupikia chakula kila siku bila ya kupumzika, kwa sababu naye huvumilia kufanya kazi za kumpatia chakula cha kutosha kuwalisha wajukuu zake hao mpaka anakipata chakula hicho na kuwapikia watu wake hao vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana wajukuu zake hao husema kwamba, “bibi hupigwa rungu kila wakati lakini hatoroki – chungu cha kupikia.”

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa uvumilivu mkubwa ili waweze kupata chakula cha kutosha kuwalisha watu wao, maishani mwao.

Kumbukumbu la torati 10:18.

2 Wafalme 6:23.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE GRANDMOTHER IS BEATEN EVERY TIME BUT SHE DOESN’T ESCAPE – THE COOKING POT.

The overhead riddle talks about a pot which is used for cooking stiff food. This pot is something which people use every day without letting it to rest because they utilize it for cooking food which people need to eat.

The stiff food cook uses a special stick for hitting the pot while cooking the food. That is why people tell each other stories by saying that “the grandmother is beaten all the time but she does not escape – the cooking pot.”

This riddle is equated to a grandmother who endures doing many tasks enough to help her grandchildren, in her life. This person works hard enough to provide her grandchildren with food for feeding them because of her endurance, in her life. She earns a lot of wealth and food in her family because of her endurance in doing her jobs well in her life.

This grandmother is like a pot which cooks use for cooking food every day without letting it to rest, because she also endures working hard enough to provide her grandchildren with food which they need for running their lives. That is why her grandchildren say that, “the grandmother is beaten every time but she does not escape – the cooking pot.”

This riddle teaches people about working hard enough to fulfill their works with great patience so that they can get enough food for feeding their people in their lives.

Deuteronomy 10:18.

2 Kings 6:23.

 

 

 

1209. KALAGU –  KIZE. NANHA GWA NTEMI GUDANHAGWA NGI – MBULA.

Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile mbula kunguno ulu giki ilitula amamoto yayo gagizaga gagololokile gwinga ng’wigulya. Agoyi gagabhizaga magololoku ugwiza ahasi giti namha gwa Ntemi uyo nulu ngi idadulile ugudanha. Giko ulu ingi idadulule ugudanha ahigulya ya mamoto ga mbula yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nanha gwa mtemi gudapanhagwa ngi – mbula.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinikujo ukujikolo ijabhatale bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajitumamilaga bho likuja litale ijikolo ija bhatale bhakwe bhunabho, kunguno ya lilange lwakwe ilyawiza, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhelelaga abhanhu bhakwe bho gwikala bhikujije chiza aha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikikolaga na mamoto agambula ayo gadanhagwa ngi, kunguno nuweyi agajitumamila bho likujo litale ijikolo ija bhatale bhakwe bhenabho, aha kaya yakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nanha gwa Ngemi gudadanhagwa Ingi – Mbula.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gujitumila ijikolo ijabhatale bhabho bho likujo litale, kugiki bhadule kupandika mbango ja kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Petro 2:17.

Warumi 12:10.

Warumi 13:7.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

FIMBO YA MTEMI HAIKANYAGWI NA NZI – MVUA.

Chanzo cha kitendawili hicho chaangalia mvua kwa sababu matone ya mvua hiyo huja yakiwa yamenyoka kutoka juu wakati yanaposhuka. Yenyewe huwa yamenyoka kama fimbo ya Mfalme kiasi cha kushindwa kutua hata Inzi. Yenyewe hushuka yakiwa yamenyoka mpaga kufikia hali ya Inzi kutoweka kutua pale. Hivyo basi, Inzi hawezi kutua kwenye matone hayo ya mvua. Ndiyo maana watu huhadishiana kwa kusema kwamba, “Fimbo ya Mtemi haikanyagwi na Inzi – mvua.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana heshima kwenye vitu vya wakubwa wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huvifanyia kazi vitu vya wakubwa wake hao kwa heshima kubwa kwa sababu ya malezi yake mema, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kuwalea vyema watu walioko kwenye familia yake kwa sababu ya malezi yake mema aliyojifunza, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na matone ya mvua ambayo hayakanyagwi na Inzi, kwa sababu naye huvifanyia kazi vitu vya wakubwa wake kwa heshima kubwa, katika familia yake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “Fimbo ya Mtemi haikanyagwi na Inzi – mvua.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kutuvitumia kwa heshima vitu wa wakubwa wao, ili waweze kupata Baraka za kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

1Petro 2:17.

Warumi 12:10.

Warumi 13:7.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE KING’S ROD IS NOT TRAMPLED BY FLIES – RAIN.

The overhead riddle looks at the rain because its raindrops come from above as they fall. It is often twisted like a King’s rod to the extent that even a fly cannot land on it. It descends as if it were a snake to reach the status of a fly disappearing to land there. Therefore, the fly cannot land on those raindrops. That is why people argue with each other by saying, “The king’s rod is not trampled by flies – rain.”

This riddle is related to a person who has respect for belongings of his elders, in his life. Such person works for the possessions of his superiors with great respect because of his good upbringing, in his life. He succeeds in raising the people in his family well because of his good education he learned in his life.

This person is like raindrops that are not trampled by flies, because he works for the things of his superiors with great respect, in his family. That is why they tell people that, “The king’s rod is not trampled by flies – rain.”

This riddle imparts in people an idea of using their elders’ things with respect, so that they can get blessings of raising their families well, in their lives.

1 Peter 2:17.

Romans 12:10.

Romans 13:7.

 

 

rain-5630234_1280

 

1207. KALAGU  –  KIZE.ONKONDYA BHULI UNKWILIMA? – LUSHINGE.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola lushinge ulo luli na milimo mingi. Ulushinge lunulo, lugatumamilagwa bhuli makanza bho kumanusumila myenda kihamo nu bhudololo bholo. Huna gwene lugalenganijigwa kuli nkwilima kunguno ya wei gumanutumama milimo mingi bhuli makanza niyo bho nduhu ugucha isoni. Uweyi nulu agatung’wa ungi agifunyaga ogagutumama unimo uyo gohayiyagwa mpaga nose agakondaga obhiza guti lushinge. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga bho gubhuja giki, “onkondya bhuli umkwilima? – Lushinge.”

Ikalagu yiniyo, ikalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalekanijaga bhiye uguyitumama imilimo ya ha kaya yakwe, mpaga nose bhakonda, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhasadagwa abhatumami bha milimo yakwe yiniyo, kunguno ya gwiiganika weyi duhu bho nduhu ugubhadilila abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhapambulaga nose abhageni uja aha kaya  yakwe kunguno ya gubhalubhya bho gutumama milimo midimu ulu bhangeniha chiniko a haka kaya yake yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agantumamya milimo umkwilima okwe mpaga ukonda guti lushinge, kunguno nuweyi agabhatumamyaga milimo abhanhu bhake mbaga bhakonda bho nduhu ugubhadilila, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanbu bhagamujaga giki, “onkondya bhuli umkwilima? – Lushinge.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwiyambilija gutumama milimo yabho kihamo bho nduhu ugwilekanija, kugiki bhadule kupandika sabho ningi umukaya jabho.

Waebrania 13:1-3.

1 Petro 1:22.

Yohane 13:34.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

KWA NINI UMEMKONDESHA MKWILIMA? – SINDANO.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia Sindano inayotumika kwa kufanya kazi nyingi. Sindano hiyo, hutumiwa kwa kushonea nguo na magodolo pamoja na wembamba wake huo.

Ndiyo maana watu huifananishwa Sindano hiyo na mkwilima kwa sababu naye hufanya kazi nyingi kila wakati, bila hata ya kuona aibu. Yeye hujitolea kufanya kazi hata zile ambazo ni za wengine, mpaga mwishowe hukonda kutokana na mateso ya kufanya kazi nyingi hizo. Ndiyo maana watu huhadithiana kwa kuulizana kwamba “kwa nini umemkondesha mkwilima? – Sindano.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutegea kufanya kazi kwa kuwaachia wengine kazi za kwenye familia yake, mpaga mwishowe watu wake hao hukonda. Mtu huyo, huwa hawaonei huruma wafanya kazi wake hao, kwa sababu ya kujijali yeye mwenyewe tu bila ya kuwajali watu wake hao, maishani mwake. Yeye huwaogopesha hata wageni wake kumtembelea katika familia yake kwa sababu ya kuwafanyisha kazi nyingi na ngumu kila wanapomtembelea, kwenye familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemtumikisha kazi mkwilima wake mpaka akakonda kama Sindano, kwa sababu naye huwafanyisha kazi ngumu watu wake mpaka wanakonda bila hata ya kuwajali wake hao. Ndiyo maana watu, humuuliza kwamba, “kwa nini umemkondesha mkwilima? – Sindano.”

Kitendawili hicho, huwafundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa ushirikiano wa pamoja bila ya kutegea kwa kuwaachia wenzao, ili waweze kupata mafanikio ya kupata mali nyingi, katika familia zao.

Waebrania 13:1-3.

1 Petro 1:22.

Yohane 13:34.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

WHY DID YOU MAKE THIN THE SON IN LAW? – NEEDLE.

The foundation of this paradox looks at the Multitasking Needle. The needle is used for sewing clothes and mattresses with its thinness.

That is why people liken it to a son in law who he does a lot of works all the time, without even feeling ashamed. He dedicates himself to work even those that belong to others to the point of losing weight at the end due to the suffering of doing so many jobs. That is why people talk to each other by asking “why did you make thin the son in law?” – Needle.”

This riddle is compared to a person who relies on working by leaving the works in his family to others, but in the end, those people become weak. That person does not feel sorry for his workers, because he only cares about himself without caring about his people in his life. He even scares his guests to visit him in his family because he makes them do a lot of hard works every time when they visit him, in his family.

This person is similar to the one who made his son in law work until he was as thin as a needle, because he also makes his people work hard until they become thin without even caring about them. That is why people ask him that, “why did you make thin the son in law?” – Needle.”

This riddle imparts in people an idea of doing their works in cooperation without relying on others, so that they can achieve success in getting more wealth in their families.

Hebrews 13:1-3.

1 Peter 1:22.

John 13:34.

 

 

african-3416695_1280