Imbuki ya ulusumo lunulo, ilolile munhu uyo agabhagiisha bhanhu abho bhalibhingi, bhuzunya bhagehu duhu. Hunagwene agayomba giki, “nagisha nabhulicha.” Umunhu ng’wunuyo, agashokela ugugiisha bho lilaka litale, huna bhuzunya bhingi.
Ugubhulicha ili gulima na gubhibha mbiyu juzwa bho kulekule, nulu yuzwa imo duhu. Giko lulu, unimi ng’wunuyo agashokelaga ugubhiza mbiyu huna jazwa nyingi niyo chiza.
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho jelwa ng’holo chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe bho gumana ushokela aho obhona giki itali ugubhelela chiza, kunguno ya witegeleja na bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe chiza bhunubho. Uweyi agaponaga majiliwa mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya gutumama milimo yakwe bho bhukamu na witegeleja bhutale bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agashokela chiza ugiisha aho bhazunya bhagehu mpaga nose bhuzunya bhingi, kunguno nuweyi agatumama milimo yakwe na witegeleja bho gushokela gutumama aho itali ugubhelela chiza, umumilimo yakwe yiniyo. Hunagwene agayombaga giki, “nagisha nabhulicha.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho na witegeleja bho gushokela chiza aho idinabhelela imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umukaya jabho.
2Wakorintho 9:6.
Wagalatia 6:7-9.
KISWAHILI: NIMESALIMIA WAMEITIKIA WACHACHE.
Chanzo cha methali hiyo huangalia mtu aliyesalimia watu wengi, wakaitikia wachache tu. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimesalimia wameitikia wachache.” Mtu huyo, alirudia kuwasalimia tena hao watu kwa sauti kubwa zaidi kuliko ile aliyoitumia mwanzoni. Yeye alipofanya hivyo, waliitikia watu wengi zaidi kuliko wale wa kwanza.
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kwa ufuatiliaji mzuri sana, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kurudia kila pale anapoona kuwa hapajaisha vizuri, kwa sababu ya bidii yake na umakini wake huo katika kufanya kazi zake. Yeye hupata mazao mengi sana katika familia yake kwa sababu ya kufanya kazi kwa bidii na umakini mkubwa, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyesalimia watu wengi, wakaitikia wachache, akarudia kuwasalimia watu hao kwa sauti kubwa zaidi, mpaka wakaitikia wengi, kwa sababu naye huyatekeleza majukumu yake kwa kurudia pale anapoona kwamba hapajaisha vizuri, mpaka kazi yote inaisha. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimesalimia wameitikia wachache.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kutekeleza majukumu yao kwa umakini wa kuparudia pale ambapo hapajafanyika vizuri, mpaka kazi yote imalizike vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika familia zao.
2Wakorintho 9:6.
Wagalatia 6:7-9.
ENGLISH: I HAVE GREETED A FEW OF THEM HAVE RESPONDED.
The source of the over head proverb looks at a person who greeted many people, only a few of them responded. That is why he said that, “I have greeted a few of them have responded.”
This man repeated to greet them in a louder voice than the one which he used at first. When he did that, they responded to more people than the first ones.
This proverb is compared to a person who does his works with a very good follow-up, in his life. Such person carries out his duties by repeating whenever he sees that it has not ended well, because of his diligence and his focus in doing his works. He gets a lot of crops in his family because of hard working and great focus, in his life.
This person is similar to the one who greeted many people but a few of them responded, and repeated greeting them with a louder voice, until they responded to many, because he also carries out his duties by repeating when he sees that it has not ended well, until all the work is finished. That is why he says that, “I have greeted a few of them have responded.”
This proverb teaches people about increasing enough effort to carry out their duties with the attention to repeat where it is not done well, until all the work is finished well, so that they can get a lot of success, in their families.
2 Corinthians 9:6.
Galatians 6:7-9.




