Author: Sukuma legacy

1332. IGULILU LYA NGOKO GUGULA NA GUSINZA NI JIYU JILIB’ONA.

Iligulilu lya ngoko liligulilu ilo bhanhu bhagajingaga na gugula ngoko. Ahi igulilu linilo abhaguji bhagajigulaga ingoko jinijo na gwandwa gujisinza ni jiyu nulu susu jilib’ona kunguno ya kuhaya gupandika hela bho guzuka nyama ya ngoko na guijinja aha nada gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “igulilu lya ngoko gugula na gusinza ni jiyu jilib’ona.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’agitaga mito ga b’ub’i na gasoni na bhana bhalib’ona, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagitaga mihayo ya b’ub’i na ya soni yiniyo habhutongi bho bhana bhabho bho nduhu nulu gucha soni, kunguno bhali na nhungwa ja bhubhi umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagabhalangaga abhana bha ha kaya jabho gwita mihayo ya b’ub’i kunguno ya nhungwa jabho ijabhubhi jinijo, umukikalile kakwe.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhasinzaga ngoko ni jiyu jilib’ona, kunguno na bhoyi bhagitaka mihayo ya soni na bhana bhalibhona, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “igulilu lya ngoko gugula na gusinza ji jiyu jilib’ona.”

Ulusumo lunulo lolanga bhabyaji higulya ya guleka nhungwa ja gwita mihayo ya soni na bhana bhalib’ona, bho gwikala na nhungwa jawiza kugiki bhadule gubhinha lilange lyawiza abhana bhabho bhenabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-30.

Zaburi 106:39.

Mathayo 22:23-33.

Waefeso 5:3.

1Wathesalonike 4:3-6.

Wakolosai 3:5.

Wagalatia 5:19.

KISWAHILI: GULIO LA KUKU, KUNUNUA NA KUCHINJA NA VIFARANGA WANAONA.

Gulio la kuku ni soko lile ambalo watu huuza na kununua kuku. Kwenye soko hilo wanunuaji wa kuku huwanunua na kuwachinja na vifaranga wakiwa na wanaona, kwa sababu ya kutaka kupata pesa kwa kupika nyama ya kuku na kuiza hapo gulioni. Ndiyo maana watu husema kwamba, “gulio la kuku kununua na kuchinja na vifaranga wanaona.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hutenda maovu na mambo ya aibu na watoto wakiwa wanaona, katika maisha yao. Watu hao, hutenda maovu hayo na mambo hayo ya aibu mbele ya watoto wao bila hata ya kuona aibu kwa sababu wanatabia mbaya, maishani mwao. Wao huwafundisha watoto wao tabia ya kutenda maovu kwa sababu ya tabia yao hiyo mbaya ya kutenda mambo ya aibu, mbele ya watoto wao hao, katika maisha yao.

Watu hao hufanana na wale waliochinja kuku na vifaranga wakiwa wanaona, kwa sababu nao hutenda maovu na mambo ya aibu mbele ya watoto wao hao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “gulio la kuku kununua na kuchinja na vifaranga wanaona.”

Methali hiyo, hufundisha wazazi juu ya kuacha tabia ya kutenda mambo ya aibu mbele ya watoto wao, kwa kuishi katika tabia njema, ili waweze kuwapatia malezi mema watoto wao hao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-30.

Zaburi 106:39.

Mathayo 22:23-33.

Waefeso 5:3.

1Wathesalonike 4:3-6.

Wakolosai 3:5.

Wagalatia 5:19.

 

ENGLISH: CHICKEN MARKET, TO BUY AND SLAUGHTER WHILE CHICKS ARE WATCHING.

Chicken market is an arcade where people sell and buy chickens. In that arcade, chicken buyers buy and kill them while chicks are watching, because they want to make money by cooking chicken meat and selling it there in the market. That is why people say, “Chicken market, to buy and slaughter while chicks are watching.”

This proverb is related to individuals who do evil deeds by doing shameful acts in front of their children in their lives. These people do those evil deeds shamefully in front of their children without even feeling ashamed because they have wicked manners in their lives. They teach their children practices of doing evil deeds because of their evil conducts of doing shameful deeds in front of their children in their lives.

These people are like those who slaughtered chickens in front of their chicks, because they also commit evil deeds by doing shameful acts in front of their children in their lives. That is why people say to them that, “Chicken market, to buy and slaughter while chicks are watching.”

This proverb teaches parents to stop doing shameful acts in front of their children, by living in virtuous character, so that they can provide their children with worthy upbringings in their lives.

Matthew 5:27-30.

Psalm 106:39.

Matthew 22:23-33.

Ephesians 5:3.

1Thessalonians 4:3-6.

Colossians 3:5.

Galatians 5:19.

 

turkey-218742__480

1331. OB’UKAGA HASI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile b’ub’uki bho ng’wa munhu uyo winga kuwelelo. Umunhu ng’wunuyo agabhukila muli munhu uyo aginikwa lina lyakwe aho obyalwa kunguno ya gufunya likujo ukuliweyi na gulanhana ludugu. Hunagwene ulu munhu winikwa lina lya njimiji, abhanhu bhagayombaga giki, unjimiji ng’wunuyo, “ob’ukaga hasi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo akikalaga na nhungwa jawiza kugiki adule gubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga nhungwa jawiza abhiye bho gutumama milimo chiza na gubhambilija abhanhu abho bhali na makoye, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhiye bhenabho. Uweyi agadulaga ugubhalela bho gubhalanga nzila ja kubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhitila ya wiza abhiye mpaga ilina lyakwe winikwa ung’wana uyo agabyalwa, kunguno nuweyi agabhalangaga abhiye nhungwa ja gubhambilija ugubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanbu bhagang’wizukaga ulu bhabhubhona uwiza bho lilande lyakwe bho guyomba giki, “ob’ukaga hasi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa jawiza bho gwikala na bhichabho chiza, kugiki bhadule gubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, ulu bhinga ukuwelelo.

1Wakorintho 15:53-58.

1 Wathesalonike 4:13-17.

KISWAHILI: AMEINUKA CHINI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea uinukaji wa mtu yule aliyefariki dunia. Mtu huyo aliinuka kupitia mtu aliyepewa jina lakwe baada ya kuzaliwa kwa sababu ya kuonesha heshima kwake na kutunza undugu. Ndiyo maana mtu anapopewa jila na marehemu watu husema kwamba, yule marehemu, “ameinuka chini.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaishi malezi mema yawezayo kumpatia uzima wa milele, baada ya kuaga dunia. Mtu huyo, huwafundisha wenzake tabia njema ya kuishi malezi mema kwa kujibidisha kufanya kazi na kuwasaidia watu walioko kwenye matatizo mbalimbali, kwa sababu ya upendo alionao kwa watu wake hao. Yeye hufanikiwa kuwapatia malezi hayo mema watu wa kwenye familia yake, kwa kuwafundisha njia za kuupata uzima huo wa milele, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewatendea mema wenzake mpaga jila lake akapewa mtoto aliyezaliwa, kwa sababu naye huwafundisha wenzake malezi mema ya kuwasaidia kuupata uzima wa milele, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humkumkuka wanapoyaona mema yake hayo, kwa kusema kwamba, “ameinuka chini.”

Msemo huo huwafundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwafundisha wenzao namna ya kuyaishi malezi mema, ili waweze kuupata uzima wa milele baada ya kuaga dunia.

1Wakorintho 15:53-58.

1 Wathesalonike 4:13-17.

ENGLISH: THE ONE HAS RISEN DOWN.

The origin of this saying refers to the rise of a person who has passed away. Such person rose through the person who was given his name after birth because of showing respect for him in taking care of the family. That is why when a person is given a name of a deceased one, people say that, “the one has risen down.”

This saying is matched to a person who lives a worthy upbringing that can give him eternal life after passing away. This person teaches his people decent conducts of living a upright upbringing by working hard and helping others who are in various hitches, because of having a true love for his populaces. He succeeds in giving decent nurture to the people in his family by teaching them about ways which can help them enough to gain such eternal life because of his upright character in his life.

This person resembles the one who did good deeds to his societal members who gave his name to a newborn child, because he also teaches his family members about virtuous upbringings which can assist them in gaining eternal life. That is why those people praise him when they see his decent deeds by saying that “the one has risen down.”

This saying instills in individuals a clue of having a decent attitude for teaching their family members on how to live a blameless upbringing, so that they can gain eternal life after passing away.

1 Corinthians 15:53-58.

1 Thessalonians 4:13-17.

 

1330. JISUJI JA NJINGO.

Ijisuji ja njingo jilisuji ja ng’wa munhu uyo agajaga ogalilila kunjingo. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ukunjingo ogalila mpaga omala na oshoka ukubhiye kunguno ya gubhabhisa abhiye bhakije ugumana igiki agalilaga.

Aliyo lulu, abhanhu bhenabho nose bhagamana igiki agajaga ogalilila kunjingo kunguno amiso gakwe galalukaga ulu omala ugulila ukunjingo gunuko. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’witana giki, “jisuji ja njingo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina sada ya kupanza iyo agayibhisaga ukubhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agakoyiyaga ni sada yiniyo mpaga okonda kunguno ya guyibhisa ukubhiye na kukija guichala kusitali kujulagulwa wangu, umuwikaji bhokwe. Uweyi agakoyiyagwa ni sada yiniyo mpaga gobhipa umili gokwe kunguno ya gugaiwa witegeleja bho gwanguha gujulagulwa kusitali, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhisa jisuji bho gulilila kunjingo kunguno nuweyi agayibhisaga isada yakwe mpaga okonda, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jisuji ja njingo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho kuleka kubhisa makoye gabho kugiki bhadule gwambilijiwa wangu, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 11:28-30.

Luka 4:40.

Yakobo 5:15-16.

KISWAHILI: MACHOZI YA UWIGONI.

Machozi ya uwigoni ni machozi ya mtu ambaye huenda hulilia kwenye uwigo wa nyumba. Mtu huyo, huenda kwenye uwigo huo ambako hulia mpaka anamaliza ndipo anaenda kwa wenzake kwa sababu ya kujificha kwa wenzake hao ili wasifahamu kuwa huwa analia.

Lakini basi, watu hao walifahamu mwishowe kuwa yeye huwa anaenda kulia uwigoni kwa sababu ya macho yake kuwa mekundu anapomaliza kulia kule uwigoni. Ndiyo maana watu hao walimuita jila la “machozi ya uwigoni.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana ugonjwa wa kuharisha ambao huufika kwa wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huharisha mpaga anakonda kwa sababu ya kuufisha ugonjwa wake huo kwa wenzake ambao wangeweza kumpeleka hospitalini kutibiwa mapema, maishani mwake. Yeye husumbuliwa na ugonjwa huo mpaga anaishiwa nguvu mwilini mwake, kwa sababu ya kukosa umakini wa kuwahi kwenda kutibiwa hospitalini, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeficha machozi yake kwa kwenda kulilia uwigoni, kwa sababu naye huuficha ugonjwa wake mpaga anaishiwa nguvu, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “machozi ya uwigoni.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuacha kuficha matatizo yao, ili waweze kusaidiwa kuyatatua mapema, maishani mwao.

Mathayo 11:28-30.

Luka 4:40.

Yakobo 5:15-16.

 

ENGLISH: TEARS OF THE KITCHEN GARDEN.

Tears of kitchen garden are tears of a person who cries in the garden of the house. This person goes to the garden where he cries until he finishes doing so and then goes to his friends because of hiding from his friends so that they do not know that he is crying.

But then, those people finally realized that he always goes to the garden to cry because his eyes become red when he finishes crying in the garden. That is why those people called him “tears of the kitchen garden.”

This saying is paralleled to a man who has diarrhea disease which he hides from his friends in his life. This person suffers diarrhea sickness until he becomes thin because of hiding his illness to his friends who could have taken him to the hospital for treatment earlier, in his life. He is troubled by the disease to the point of losing strength in his body, because of lack of responsiveness of going to the hospital for treatment in his life.

This person is like the one who hid his tears by going to the kitchen garden because he also hides his illness until he is exhausted in his life. That is why people call him “tears of the kitchen garden.”

This saying teaches people to be cautious enough to stop hiding their problems, so that they can be helped by others enough to solve them early in their lives.

Matthew 11:28-30.

Luke 4:40.

James 5:15-16.

 

man-1465525_1280

1329. LUPA LUDI NANG’WINIKILI.

Ulupa lililintego ili ligategagwa aho igelelilwe gubhita ho ndimu nulu noni nhale. Ulupa lunulo lugapujaga ndimu iyo yupitila hoyi nulu nu munhu uyo ulutegaga ulu ubhitila hoyi lumpuja duhu kunguno ludakominije uo gupuja. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lupa ludi nang’winikili.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhejaga jilagilo ijo jigampujaga nuweyi ng’winikili, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhejaga jilagilo jagulemeja bhanhu gwita ginhu jilebhe nulu ja gubhalemeja guja hanhu, ogisanga jilintunga nuweyi ng’winikili, kungulo ya gugaiwa witegeleja bho jujikalana chiza, umuwikaji bhokwe. Uweyi agitungaga ng’winikili ulu ojibhinza ijilagilo jinijo ijo ojibheja ng’winikili, kunguno ya gugaiwa wigetegeleja bhunubho ubho gujikalana chiza, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatega lupa wisanga lulimpuja nuweyi ng’winikili, kunguno nuweyi agabhejaga jilagilo ogisanja jilintunga nuweyi ng’winikili, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lupa ludi na ng’winikili.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugikalana chiza amalagilo ayo bhagagabhejaga kugiki bhadule gwikala ni lange lya gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Isaya 1:17.

Mithali 4:2.

Yakobo 2:9.

KISWAHILI: MTEGO HAUNA MWENYEWE.

Mtego ni kitu kinachotegwa pale ambapo wanyama poli au ndege wakubwa hupita. Mtego huo, hukamata mnyama yoyote yule apitiaye hapo au hata mtu aliyeutega mtego huo akipitia hapo unamkamata tu kwa sababu haubagui wa kukamata. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtego hauna mwenyewe.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutunga amri au sheria ambazo humfunga yeye mwenyewe, katika maisha yake. Mtu huyo, gutunga sheria au amri za kuwakataza watu kwenda sehemu fulani, au za kuwakataza kufanya kitu fulani ambazo hujikuta zimemkamata yeye mwenyewe kwa sababu ya kukosa umakini wa kuziishi vizuri, maishani mwake. Yeye hujifunga mwenyewe kila anapozivunja amri hizo alizozitunga mwenyewe, kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuziishi, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetega mtego akajikuta umemkamata yeye mwenyewe, kwa sababu naye hutunga amri au sheria ambazo hujikuta zimemfunga yeye mwenyewe, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtego hauna mwenyewe.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyaishi maagizo yale wanayojitungia ili waweze kuishi kwenye malezi ya kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Isaya 1:17.

Mithali 4:2.

Yakobo 2:9.

gray-crowned-crane-5896928_1280

buffalo-840340_1280

dikdik-4281516_1280

ENGLISH: THE TRAP HAS NO OWNER.

A trap is something that is set where large animals or birds pass by. This trap catches any animal that passes by or even the person who set the trap when he/she passes by, it catches them only because it does not tell apart between the ones it catches. That is why people say that, “the trap has no owner.”

This proverb is equated to a person who makes orders or laws that bind him, in his life. Such person makes laws or orders to prohibit people from going to a certain place, or to prohibit them from doing something that he finds himself bound by because of his lack of thoughtfulness for putting them into practice well, in his life. He binds himself every time he breaks those orders that he made himself, because of his lack of responsiveness, in his life.

This person is like the one who set a trap and found himself bound by it, because he also makes orders or laws that he finds himself bound by in his life. That is why people say that, “the trap has no owner.”

This proverb imparts in people an idea of being so cautious enough to live by the instructions they create for themselves so that they can live in a way that will nicely nurture their families throughout their lives.

Isaiah 1:17.

Proverbs 4:2.

James 2:9.

1328. NANG’WIKIJA NKIMA NDOB’O KUNTWE.

Olihoyi munhu umuchalo ja Ng’watugu uyo agang’wikija nkima ndob’o kuntwe. Unkima ng’wunuyo oliabhuchije ndob’o iyo yalina minzi ayo oliogadahila kumongo go Mangu kunguno galinduhu aminzi umuchalo jabho jinijo.

Umunhu ng’wunuyo aho otung’wana nanghwe agang’wimbilija bho gung’wikija indob’o yiniyo gwingila kuntwe gokwe kunguno ya aganchila jigongo. Hunagwene agayomba giki, “nang’wikija nkima ndob’o kuntwe.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinisungu lya gubhambilija bhakima abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhambilija abhamayu abho bhali nikoye lya kugayiwa minzi bho gubhasimbila lyunzi lo minzi umuchalo jabho kugiki bhadule gulimala ilikoyi lya gubhunwa ndob’o ja minzi kumitwe yabho linilo gwingila kumongo, kunguno ya lisungu lyakwe linilo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhambilija bhamayu bhingi abho bhali na makoye kunguno ya lisungu lya nholo yakwe linilo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agang’wambilija nkima uyo oliabhuchije ndob’o ya minzi, guyicha indob’o yiniyo, gwingila kuntwe gokwe, kunguno nuweyi agabhambilija bhakima bhingi abho bhali na makoye ga gugayiwa minzi bho gubhasimbila lyinzi umuchalo jabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nang’wikija nkima ndob’o kuntwe.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nisungu lya gubhambilija abhakima abho bhali na makoye kugiki bhadule gugamala wangu amakoye genabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11:28-30.

Wafilipi 2:4.

Zaburi 72:12-14.

Zaburi 103:13.

NIMEMTUA MWANAMKE NDOO KICHWANI.

Alikuwepo mtu katika kijiji cha Mwatuju aliyemtua mwanamke ndoo kichwani. Mwanamke huyo alikuwa amebeba ndoo ya maji kichwani aliyoyachotea kwenye mto wa Mangu, kwa sababu hayakuwepo maji katika kijiji chake hicho.

Mtu huyo alikutana naye njiani akamsaidia kuitua ndoo hiyo kutoka kichwani kwa sababu alimuonea huruma. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimemtua mwanamke ndoo kichwani.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana huruma ya kuwasaidia wanawake wanakumbwa na matatizo mbalimbali, katika maisha yake. Mtu huyo, huwasaidia wakina mama katika kutatua tatizo la kukosa maji kwa kuwachimbia kisima cha maji kijijini mwao, kwa sababu ya huruma yake hiyo, maishani mwake. Yeye huwasaidia wakina mama wengi wenye matatizo mbalimbali katika kuyatatua matatizo yao, kwa sababu ya huruma yake hiyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtu aliyemuonea huruma mwanamke aliyekuwa amebeba ndoo ya maji kichwani mpaga akamsaidia kuitua ndoo hiyo kichwani, kwa sababu naye huwasaidia wanawake wengi wenye matatizo ya kukosa maji kwa kuwachimbika kisima cha maji kijijini mwao, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimemtua mwanamke ndoo kichwani.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na huruma ya kuwasaidia wanawake wanaosumbuliwa na matatizo mbalimbali ili waweze kuyatatua haraka, maishani mwao.

Mathayo 11:28-30.

Wafilipi 2:4.

Zaburi 72:12-14.

Zaburi 103:13.

outdoors-3378794_1280

ethiopia-4117617_1280

people-6556791_1280

ENGLISH: I HAVE DROPPED A BUCKET FROM A WOMAN’S HEAD.

There was a man who lived in the village of Mwatuju who met a woman carrying a bucket on her head. The woman was carrying a bucket of water on her head that she had drawn from Mangu River, because there was no water in her village.

This man met her on the way and helped her put the bucket off her head because he felt sorry for her. That is why he said, “I have dropped a bucket from a woman’s head.”

This saying is matched to a man who has compassion for helping women who face various problems in their lives. Such person helps mothers in solving problem of lack of water by digging a well for them in their village, because of his compassion for them in his life. He helps various mothers who had several problems in solving their hitches, because of his compassion, in his life.

This man resembles the one who felt sad for a woman carrying a bucket of water on her head and helped her put it down from her head, because he also helps a lot of women who face water problems by digging a well for them in their village. That is why he says that, “I have dropped a bucket from a woman’s head.”

This saying teaches people about having compassion for helping women who suffer from various difficulty so that they can solve them quickly, in their lives.

Matthew 11:28-30.

Philippians 2:4.

Psalm 72:12-14.

Psalm 103:13.