Author: Sukuma legacy

1391. AGALILAGA ULU WIZA HA WELELO.

Akahayile kenako kingilile kuli ng’wana uyo obyalagwa. Ung’wana ng’wunuyo agalilaga ulu obyalwa kunguno wingilaga muweja umo adamanilile. Uweyi agalombaga wambilijiwa kuli msumbi okwe kunguno wandyaga wikaji bhupya kugiki adule gwikala mhola. Hunagwene abhanhu bhagahaga giki, “agalilaga ulu wiza ha welelo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalombaga wambilija kuli Mulungu ulu wandyaga nimo gupya umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agandyaga imilimo yakwe imipya bho gunomba Mulungu kunguno ya guzunya gokwe gutale ukubhudula bho Nsumbi okwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe imipya yiniyo, kunguno ya kunomba Mulungu aho alandya uguitumama, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ng’wana uyo agalombaga wambilijiwa kuli nsumbi okwe bho gulila ulu obyalwa, kunguno nuweyi agalombaga wambilijiwa kuli Mulungu ulu alandya uguitumama imilimo yakwe imipya yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “agalilaga ulu wiza ha welelo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kulomba wambilijiwa kuli Mulungu ulu bhalandya uguitumama imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umutumami bho milimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

1 Wakorintho 13:11.

KISWAHILI: HULIA ANAPOKUJA DUNIANI.

Msemo huo ulianzia kwa mtoto aliyezaliwa. Mtoto huyo hulia baada ya kuzaliwa kwa sababu ameingia ulimwengu ambamo hajazoea. Yeye huomba msaada kwa muumba wake kwa sababu ameanza maisha mpya kwake ili aweze kuyamudu vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hulia anapokuja duniani.”

Msema huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huomba msaada kwa Mungu anapoanza kazi mpya, katika maisha yake. Mtu huyo, huanza kazi mpya kwa kumuomba Mungu kwa sababu ya imani yake kubwa kwenye uwezo wa Muumba wake maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi katika kazi zake hizo mpya, kwa sababu ya kumuomba Mungu anapoanza kuzifanya kazi zake hizo, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule mtoto ambaye huomba msaada kwa Muumba wake kwa kulia baada ya kuzaliwa, kwa sababu naye huomba msaada kwa Muumba wake anapoanza kufanya kazi zake hizo mpya, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hulia anapokuja duniani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuomba msaada kwa Mungu wanapoanza kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika utendaji wao wa kazi, maishani mwao.

1 Wakorintho 13:11.

 

ENGLISH: HE CRIES WHEN HE COMES INTO THE WORLD.

This saying is originated from a newborn baby. The newborn baby cries after birth because of entering into new world which it is not used to. It asks for help from the creator because of starting a new independent life so that it can nicely cope with it. That is why people say that, “he cries when he comes into the world.”

This saying is associated to a person who asks for help from God when he starts a new job, in his life. Such person, starts a new job by asking God because of his great faith in the power of his Creator in his life. He achieves great success in his new jobs, because of depending on God when he starts doing them, in his life.

This person resembles the child who asks for help from his Creator by crying after birth, because he also asks for help from his Creator when he starts doing new jobs, in his life. That is why people say to him that, “he cries when he comes into the world.”

This proverb teaches people about asking God for help when they begin to carry out their duties, so that they can achieve great success in their lives.

1 Corinthians 13:11.

 

 

1390. AGIYINGIJAGA LESHI WEYI NG’WINIKILI.

Imbuki ya kahayile kenako kahoyelile noni iyo igitanagwa Gologobo. Inoni yiniyo ulu yub’andila igoyaga ugufuma nulu hado kunguno igab’izaga yenhelwa ijiliwa haho nu ngoshi oyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki “agiyingijaga leshi weyi ng’winikili.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhitoji abho bhitogilwe chiza umuwikaji bhobho. Abhitoji bhenabho bhagiyambilijaga ugutumama imilimo yabho chiza bho gushola jiliwa ungosha ulu alisata unkima okwe, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikala na bhuyegi aha kaya yabho bho gubhalela chiza abhana bhabho kunguno ya witogwi bhobho bhunubho, umukikalile kabho.

Abhitoji bhenabho bhagikolaga ni noni ijo jigiyambilija bho gwenha ijiliwa ing’osha ulu yub’andila inhima, kunguno nabhoyi bhagiyambilija bho witogwi bhutale umuwitoji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagab’awilaga giki, “agiyingijaga leshi weyi ng’winikili.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na witogwi bho gwiyambilija chiza umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gujilela bho bhuyegi bhutale ikaya jabho.

Waefeso 4:25-28.

KISWAHILI: HUJIINGIZA JELA YEYE MWENYEWE.

Chanzo cha msemo huo huongelea ndege anayeitwa Gologobo ambaye ni jamii ya njiwa. Ndege huyo akiatamia mayayi huwa hatoki hata kidogo pale kwa sababu huwa analetewa chakula na mume wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hujiingiza jela yeye mwenyewe.”

Msemo huo hulinganishwa kwa wana ndoa wale wapendanao vizuri maishani mwao. Wana ndoa hao husaidiana katika kuyatekeleza majukumu yao vizuri kwa mwanaume kumtafutia chakula mke wake anapokuwa anaumwa, maishani mwao. Wao huishi na furaha kwenye familia ya kuwalea vyema watoto wao kwa sababu ya upendo wao huo, katika maisha yao.

Wana ndoa hao hufanana na wale ndege wanaosaidiana kwa mume kumletea chakula mke wake anapoatamia mayayi, kwa sababu nao husaidiana kwa upendo mkubwa katika maisha yao hayo ya ndoa. Ndiyo maana watu husema juu yao kwamba, “hujiingiza jela yeye mwenyewe.”

Msemo huo, hufundisha wana ndoa juu ya kuwa na upendo wa kusaidiana vizuri katika maisha yao hayo ili waweze kuzilea kwa furaha vizuri familia zao, maishani mwao.

Waefeso 4:25-28.

ENGLISH: HE GOES INTO PRISON HIMSELF.

The origin of this saying is about a bird called Gologobo, which is within species of pigeon. When the bird lays eggs never leaves at all because her husband brings food to her. That is why people say that, “he goes into prison himself.”

This saying is equated to married couples who love each other in their lives. These married couples help each other in fulfilling their responsibilities in which the man finds food for his wife when she is sick, in their lives. They live happily in their family by raising their children well because of their love to each other, in their lives.

These married couples are like those birds that help each other enough to bring food for the husband when his wife lays eggs, because they also help each other with great love in their married life. That is why people say about them that, “he goes into prison himself.”

This proverb teaches married couples about loving each other well in their lives so that they can happily raise their families in their lives.

Ephesians 4:25-28.

1389. OLAMBILE GITI LUYILO LWA SHI (NDILO)

Akahayile kenako kahoyelile kalambile kwa gwibhona na munhu nhebhe uyo olidabhayelelaga abhiye umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo oliolamba giti luyilo lwa shi, kunguno ishi igikalaga muminzi umodijinogu uguila. Hunagwene umunhu ng’wunuyo aho bhamona abhiye bhagang’wila giki “olambile giti luyiyo lwa shi (ndilo).”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adagishaga bhaduguye umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga aha kaya yakwe agutumamaga milimo yakwe duhu bho nduhu ugubhagisha abhadugu bhakwe lunu bhapandikaga makoye, kunguno ya bhudidalonja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga mayange aha kaya yakwe ogayiwa abhadugu abhagwiza gungisha kunguno ya bhujidalonja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo wikalaga miaka mingi bho nduhu ugubhagisha abhadugu bhakwe kunguno nuweyi agikalaga ha kaya yakwe bho nduhu ubhudiliji bho gubhagisha abhadugu bhakwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhadugu bhakwe bhenabho bhagang’wilaga giki, “olambile giti luyiyo lwa shi (ndilo).”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhudiliji bho gwigisha na bhadugu bhabho ulu bhikumbulaga kugiki bhadule gwiyambilija chiza, umukaya jabho.

Waebrania 12:14.

KISWAHILI: UMEADIMIKA KAMA JASHO LA SAMAKI (KITOWEO).

Msemo huo huongelea juu ya kuadimika kwa mtu yule ambaye alikuwa hawatembelei wenzake maishani mwake. Mtu huyo, aliadimika kama jasho la samaki kwa sababu, samaki huiishi majini kwenye hali ambayo hawezi kutoka jabho. Ndiyo maana watu walipomuona mtu huyo walimwambia kwamba, “umeadimika kama jasho la samaki (kitoweo).”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hasalimii ndugu zake katika maisha yake. Mtu huyo, hukaa nyumbani kwake akiendelea na kazi zake bila ya kwenda kuwasalimia ndugu zake kwa sababu ya kutokujali kwake, maishani mwake. Yeye hupata shida ya kukosa ndugu wa kumsalimia anapokumbwa na matatizo kwa sababu ya kutokujali kwake huko katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeishi kwa miaka mingi bila kuwasalimia ndugu zake, kwa sababu naye hukaa nyumbani kwake bila kujali umuhimu wa kuwasalimia ndugu zake, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “umeadimika kama jasho la samaki (kitoweo).”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na hali ya kujali umuhimu wa kuwasalimia ndugu zao wanapokumbukana, ili waweze kusaidiana vizuri, katika familia zao.

Waebrania 12:14.

ENGLISH: YOU HAVE BECOME EXPENSIVE LIKE SWEAT OF A FISH.

This saying talks about a person who did not visit his friends for a long time in his life. Such person, became costly like fish’s sweat because, fish live in water in a state where they cannot get out of the water enough to sweat. That is why when people saw that person, they told him that, “You have become expensive like sweat of a fish.”

This saying is equated to a person who does not greet his relatives in his life. Such person, stays at home continuing with his works without going to greet his associates because of his indifference, in his life. He experiences difficult of not having relative to greet him when he has difficulties because of his indifference in his life.

This person, resembles the one who lived for many years without greeting his associates, because he also stays at home without considering an importance of greeting them, in his life. That is why the people tell him that, “You have become expensive like sweat of a fish.”

This saying teaches people about meaning of greeting their relatives when they remember each other, so that they can help each other well, in their families.

Hebrews 12:14.

1388. OISHIDAKAGA ISATA.

Olihoyi munhu uyo osadaga umuchalo ja Masanga. Umunhu ng’wunuyo agaja kubhugota ugayibhulila isata yiniyo bho gung’wila udakitali pye umoosatilaga kunguno ya gugudilila chiza umili gokwe gunuyo. Uweyi agalagulwa mpaga upila wangu kunguno ya guibhulila chiza isata yiniyo ukuli dakitali okwe. Hunagwene abhanhu bhang’wila giki, “oishidakaga isata.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudililaga chiza umili gokwe bho guguchala kubhugota ulu osadaga umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agasataga wanguha guja kusitali oganomela udakitali umo agusatilaga bho nduhu uguibhisa isata kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gugudilila chiza umili gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapilaga wangu ulu osataga kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gwanguha guja kusitali ulu osataga umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agajuibhulila kuli dakitali isata yakwe mpaga upila wangu, kunguno nuweyi aganguhaga guja kusitali ulu osataga ogalagulwa mpaga opila wangu, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “oishidakaga isata.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwanguha guja kusitali ulu bhasataga, kugiki bhadule gulagulwa na gupila wangu, umuwikaji bhokwe.

Mathayo 8:1-4.

Mathayo 8:28-34.

Mathayo 9:1-2.

Mathayo 9:18-22.

KISWAHILI: AMEUSHITAKI UGONJWA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa anaumwa kwenye kijiji cha Masanga. Mtu huyo, alienda hosipitalini kuushitaki ugonjwa huo kwa kumweleza dakitali alivyokuwa anaumwa kwa sababu ya kuujali vizuri mwili wake huo. Yeye alitibiwa mpaka akapona haraka kwa sababu ya kuushitaki vizuri ugonjwa huo kwa dakitali wake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “ameushitaki ugonjwa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huujali vizuri mwili wake kwa kuupeleka hosipitalini anapoumwa, katika maisha yake. Mtu huyo, huwahi kwenda hosipitalini anapoumwa kwenda kumweleza dakitali anavyoumwa bila ya kuuficha ujonjwa wake kwa sababu ya umakini wake huo wa kuujali vizuri mwili wake. Yeye hupona haraka anapougua kwa sababu ya kuwahi kwenda kutibiwa hosipitalini, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeushitaki ugonjwa kwa dakitali wake mpaka akatibiwa na kupona haraka, kwa sababu naye huwahi kwenda hopitalini kutibiwa na kupona haraka anapoumwa, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ameushitaki ugonjwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwahi kwenda kutibiwa hositalini wanapoumwa ili waweze kupona haraka, katika maisha yao.

Mathayo 8:1-4.

Mathayo 8:28-34.

Mathayo 9:1-2.

Mathayo 9:18-22.

ENGLISH: HE HAS ACCUSED ILLNESS.

There was a man who was sick in the village of Masanga. He went to the hospital to complain about such disease by telling the doctor how he was sick because he took respectable care of his body. He was treated until he recovered quickly because he had complained about it well to his doctor. That is why people told him that, “he has accused illness.”

This saying is equaled to a person who takes decent care of his body by taking it to the hospital when he is sick, in his life. Such man, when he is sick, goes to the hospital to tell the doctor how he is sick without hiding his illness because of his decent attention enough to take respectable care of his body. He recovers quickly when he gets sick because of attending to the hospital to get treatments in his life.

This man resembles the one who complained about his sickness to his doctor until he was treated and recovered quickly, because he also goes to the hospital to be treated enough to recover quickly when he is sick, in his life. That is why people say to him that, “he has accused illness.”

This saying imparts in people an idea of being careful enough to go to the hospital for treatment when they are sick so that they can recover quickly in their lives.

Matthew 8:1-4.

Matthew 8:28-34.

Matthew 9:1-2.

Matthew 9:18-22.

1387. OBHINHAGA ABHANHU BHUPILIPILI.

Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, otulaga bhupilipili umujiliwa jakwe mpaga bhaduma abhangi ujilya kunguno ya gukaliha guti bhalyaga bhupilili wenikili. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “abhinhaga abhanhu bhupilipili.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu nchilu uyo agabhakalihilaga sagala abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga ubhadukagula sagala abhanhu bhakwe ulu okenyiyagwa nulu hadoo duhu, kunguno ya bhukali bhokwe ubho sagala bhunubho. Uweyi obhadukagulaga abhanhu bha ha kaya yakwe mpaga bhasatya umu ng’holo jabho gitumumo bhugasatijaga ubhupilipili kunguno ya bhukali bho mihayo iyo abhawilaga yiniyo. Abhanhu bhakwe bhenabho bhangigaga aha ng’wakwe osaga bhung’wene kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatuula bhupilipili umujiliwa jakwe mpaga bhuduma ugujilwa ijiliwa jinijo abhiye, kunguno nuweyi agabhawilaga mihayo mikali abhanhu bhakwe mpaga bhasatya umu ng’holo jabho guti bhalyaga bhupilipili. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “abhinhaga abhanhu bhupilipili.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka gubhawila mihayo ya gubhaminya abhanhu bhabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Yoshua Bin Sira 7:8.

Yoshua Bin Sira 8:15.

KISWAHILI: AMEWAPA WATU PILIPILI.

Alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo, alikuwa alikiweka pilipili kwenye chakula chake mpaka watu wengine wanashindwa kukila kwa sababu ya kuwaumiza kama wanakula pilipili wanapokila chakula hicho. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “amewapa watu pilipili.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na hasira ya kuwafokea watu hovyo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatukana hovyo watu wake anakosewa kidogo kwa sababu ya hasira yake hiyo ya hovyo, maishani mwake. Yeye huwaumiza watu waishio kwenye familia yake kwa kuwakaripia kupitia maneno ambayo huwaumiza mpaga wanaondoka nyumbani kwake hapo na kumuacha pekee yake kwa sababu ya hasira zake hizo za hovyo, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeweka pilipili kwenye chakula chake mpaka wengine wakashindwa kukila, kwa sababu naye huwatukana watu wake kwa kutumia maneno makali mpaka wanaondoka nyumbani kwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amewapa watu pilipili.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwaambia watu wao maneno ya kuumiza mioyo yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Yoshua Bin Sira 7:8.

Yoshua Bin Sira 8:15.

ENGLISH: HE GAVE PEOPLE PEPPER.

There was a man who lived in a certain village. Such man used to put pepper in his food until other people could not eat it because it hurt them if they ate pepper when eating that food. That is why people told him that, “he gave people pepper.”

This proverb is related to a person who is angry and shouts at people in his life. This man insults his people in this way when he is offended even a little because of his anger in his life. He hurts people who live in his family by scolding them through words that hurt them so much that they leave his house by letting him remain alone because of his anger in his life.

This man resembles the one who put pepper in his food until others could not eat it, because he also insults his people by using harsh words until they leave his house. That is why people told him that, “he gave people pepper.”

This proverb instills in people an idea of stopping habit of saying hurtful words to their family members, so that they can raise their families well in their lives.

Joshua 7:8.

Joshua 8:15.