Author: Sukuma legacy

884. NG’WAB’EJA GULIGINEHE HOYI?

Olihoyi namhala umo uyo agabhatuma bhana bhakwe gujutumama nimo kungunda gokwe. Agabhawila, “jagi mgalimile ingese.” Abhana bhakwe bhagashosha, “nahene B’ab’a.”

Abhana bhakwe bhenabho, bhagaja bhugalimila ingese yiniyo bho gufugila amaswa pye ilibala ilo bhalilimilaga. Unamhala aho oja ugujubhalinguja ugasanga maswa mingi gimilaga ayo bhagafugilaga. Hunagwene agabhabhuja giki, “ng’wab’eja guliginehe hoyi?”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhadatumamaga chiza imilimo iyo bhagatumagwa na bhichacho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumama heke umo bhaliganikala bhoyi kunguno bhaditegelejaga chiza ulu bhaliwilwa mhayo. Abhoyi bhagaikenagula imilimo yabho kunguno ya gukija gutungilija umo bhawililagwa na bhichabho, umubhutumami bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhana abho bhadatumamile chiza unimo uyo bhali bhatung’wa gujutumama nu sabho, kunguno nabhoyi bhadatumamaga chiza imilimo iyo bhagatumagwa na bhichabho, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagabhabhujaga giki, “ng’wab’eja guliginehe hoyi?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guitegeleja chiza imilimo iyo bhagatumagwa guitumama, kugiki bhadule guitumama chiza, umuwikaji bhobho.

Waroma 9: 30 – 33.

Mwanzo 3:12-19.

Mathayo 27:3-5.

 

KISWAHILI: MUMETENGENEZA LIPI HAPO?

Alikuwepo mzee aliyewatuma watoto wake kwenda kufanya kazi kwenye shamba lake. Aliwaambia, “nendeni mkapalilie palizi.” Watoto wake walijibu, “sawa baba.”

Watoto wake hao, walienda kupalilia ile palizi kwa kufukia majani kwenye sehemu yote waliyoipalilia. Mzee alipoenda kuwakagua alikuta majani mengi waliyoyafukia yamesimama. Ndiyo maana aliwauliza kwamba, “mumetengezeza lipi hapo?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huwa hawatekelezi vizuri kazi walizotumwa na wenzao, katika maisha yao. Watu hao, huyatekeleza vingine majukumu yale walioagizwa kuyafanya, tofauti na walivyoelekezwa. Wao huziharifu kazi zao kwa sababu ya kuacha kuyazingatia maagizo waliyopewa na  wenzao, katika utumishi wao.

Watu hao hufanana na watoto wale ambao hawakuitekeleza vizuri kazi waliopewa na baba yao, kwa sababu nao huwa hawayatekelezi vizuri majukumu yale waliopewa na wenzao, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwauliza kwamba, “mumetengezenza lipi hapo?”

Msemo huo, hufundisha watu juu kuwa na umakini wa kuyaelewa maagizo wanayopewa na wenzao, ili waweze kuyatekeleza vizuri, maishani mwao.

Waroma 9: 30 – 33.

Mwanzo 3:12-19.

Mathayo 27:3-5.

dirt-

 

maza-

 

 

 

ENGLISH: WHAT HAVE YOU DONE THERE?

There was an old man who sent his children to work on his farm. He told them, “Go and weed out the weeds.” His children replied, “OK, father.”

His children, however, went to weed the weeds by covering the leaves in all places where they passed. When the old man went to inspect them, he found that most of the leaves which they had covered had appeared. That is why he asked them, “What have you done there?”

This saying is applied to those people who do not perform well the tasks which have been assigned to them by their associates, in their lifetime. These people, in turn, carry out their tasks assigned to them, contrary to their instructions. They ruin their jobs because they do not pay attention to the instructions given to them by their nobles, in their ministry.

These people are like those children who did not do well the work that was given to them by their father, because they also do not fullfill well their responsibilities which have been given to them by their fellows, in their lives. That is why people ask them, “What have you done there?”

This saying instills in people an idea of being careful enough to understand the instructions which have been given to them by their fellows, so that they can carry them out well, in their lives.

Romans 9: 30-33.

Genesis 3: 12-19.

Matthew 27: 3-5.

883. HENAHO WICHA ICHA DUHU.

Alihoyi moji uyo omogaga munhu o wanga. Umoji ng’wunuyo, omogaga numo jalijasagila duhu inzwili umu ntwe go ng’wa munhu ng’wunuyo, kunguno inzwili iningi jalijashila. Uweyi wicha ichaga duhu omala ugumoja umunhu ng’wunuyo. Hunagwene umoji ng’wunuyo agayomba giki, “henaho wicha icha duhu.”

Akahayile kenako, kagalengajiyagwa kuli munhu uyo agalangaga munhu uyo alinmani, umu nhimo gokwe. Umunhu ng’wunuyo, adakoyaga ugulanga kunguno ya bhumani bho wangu ubho alinabho unangwa okwe. Uweyi agatumilaga makanza maguhi duhu agagulanga omana na gumana umunhu ng’wunuyo, kunguno ya masala gakwe gubhiza mangu uguidebha yose iyo alilangwa.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo omogaga munhu o wanga ugumala wangu unimo gunuyo, kunguno nu weyi agatumilaga makanza makuhi duhu agagulanga, odeb’a unangwa okwe, umubhutumami bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “henaho wicha icha duhu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleza bho guidebha wangu imilimo yabho, kugiki bhadule kuimala chiza na wangu, umubhutumami bhobho.

Marko 10:19-20.

 

KISWAHILI: HAPO NI USHUSHA SHUSHAJI TU.

Aliyowepo kinyozi mmoja aliyekuwa akimnyoa mtu mwenye upaa. Kinyozi huyo, alinyoa sehemu zile tu ambazo nywele zilikuwepo kwenye kichwa chake mtu huyo kwa sababu nywele zilizo nyingi zilikuwa zimekwisha. Yeye alishusha shusha tu akamaliza kumnyoa mtu huyo. Ndiyo maana kinyozi huyo alisema kwamba, “hapo ni ushusha shushaji tu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye humfundisha mtu aliye mwelewa, katika kazi yake. Mtu huyo, huwa hahangaiki kumfundisha mwanafunzi wake huyo, kwa sababu ya uelewa wa haraka aliyonao. Yeye hutumia mtu mfupi tu wa kumfundisha, anamaliza kazi yake, kwa sababu ya akili yake hiyo kuwa na wepesi wa kuyaelewa yale yote anayofundishwa.

Mtu huyo, hufanana na yule kinyozi aliyetumia mtu mfupi kumnyoa mtu mwenye upaa akamaliza, kwa sababu naye hutumia mtu mfupi kumfundisha mtu mwenye uelewa wa haraka anaelewa, katika kazi yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “hapo ni ushusha shushaji tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyaelewa vizuri majukumu yao, ili waweze kuyakeleza vizuri kwa haraka, katika utumishi wao.

Marko 10:19-20.

woman-shaved

 

ENGLISH: THERE IS JUST DOWNLOADING.

There was one barber who was shaving a bald man. The barber shaved off only the remaining hairs on his head because most of the hairs on his head were gone. He just lowered the download and finished shaving the man. That is why the barber said, “There is just a downloading.”

This saying is compared to the one who teaches an intelligent person. This person does not spend so much time in teaching his student, because of the quick understanding he has. He uses only a short time to do so enough to finish his work; because of the mind of his students being so quick to understand everything which he is taught.

This person resembles the barber who spent a very short time in shaving a bald man; because he also uses a short time in teaching a man who has a quick understanding mind, in his work. That is why he says, “there is just a downloading.”

This saying teaches people about being carefully enough to understand their responsibilities well, so that they can successfully in their ministry.

Mark 10: 19-20.

882. SONI JA MISO.

Akahayile kenako, kalolile munhu uyo adajile gujungisha nduguye uyo agapandika makoye malebhe. Umunhu ng’wunuyo, agagigwa amakoye ga nduguye ng’wunuyo wigasha duhu. Lushigu lumo agatung’wana munzila nang’hwe uduguye ng’wunuyo, ubhona soni noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “soni ya miso.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhalungujaga abhanhu abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agadililaga milimo yakwe duhu bho nduhu ugubhambilija abhanhu bhenabho abho bhali na mayange, kunguno ya bhujidalonja bhokwe. Uweyi agabhonaga soni ulu bhiza gungisha abhanhu bhenabho abho bhali bhapandika mayange, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agakija ugujungisha unduguye uyo uliopandika mayange mpaga nose bhutung’wanhila munzila nang’hwe, kunguno nuweyi adabhalunguja abhiye abho bhapandikaga makoye, mpaka bhiza kungisha aha kaya yake, umukikalile kakwe. Hunagwene agiigwa ‘soni ja miso’ ulu wibhona nabho.

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhalunguja abhichabho abho bhapandikaga mayange bho gubhayelela uko bhazengile, kugiki bhadule gwikala chiza nabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:6-13.

KISWAHILI: AIBU YA MACHO.

Msemo huo, huangalia mtu yule ambaye hakuenda kumsalimia ndugu yake aliyepata matatizo fulani. Mtu huyo, alisikia juu ya matatizo hayo ya ndugu yake akakaa tu. Siku moja alikutana naye njiani akaona aibu sana. Ndiyo maana watu walisema kwamba ni “aimbu ya macho.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hawafariji watu waliopata matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, hujali kazi zake tu bila kuwasaidia watu hao waliopata matatizo kwa sababu ya kutokujali kwake. Yeye hujisikia aibu watu hao wanapoenda kumsalimia nyumbani kwake, maishani kwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeacha kwenda kumtembelea ndugu yake aliyepata matatizo mpaka mwishowe wakakutana naye njiani, kwa sababu naye huwa hawafariki watu waliopata matatizo mpaka watu hao wanaenda kumsalimu kwenye familia yake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye hujisikia “aimbu ya macho” anapoonana nao.

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwafariji wenzao waliopata matatizo kwa kuwatembelea kule waliko, ili waweze kuishi nao vizuri, maishani mwao.

Mwanzo 3:6-13.

child----

model-

ENGLISH: THAT IS ‘KAKUNGUBALA (AN ANT).’

The overhead saying refers to a creature which is locally called ‘kakungub’ala.’ This creature is a type of squirrel that always runs away. It does not settle in one place, in its life. That is why people say to one another, “that is ‘kakungubala (an ant).’”

This saying is applied to a person who does not stay at his family, in life. This person, in turn, walks carelessly because of his reluctance to work. He suffers from famine in his family, because of his way of walking here and there without working, in his life.

This person resembles to the kakumgub’ala that ran all the time, without resting in one place, because he also does not stay at his family in life. That is why when people see him, say to one another, “that is ‘kakungubala (an ant).”

This saying, teaches people on how to live well with their families, by striving to fulfill their responsibilities, so that they can better develop their families, in their lives.

Hebrews 13: 9.

1 Peter 5: 8-9.

881. KENAKO KAKUNGUB’ALA.

Akahayile kenako, kalolile kajisumva ako kagitanagwa ‘kagungub’ala.’ Akajisumva kenako kikolile na b’ushiishi ako kagikala kupelanya duhu bhuli makanza. Akoyi kadalendaga ha lwande lumo, umukikalile kago. Hunagwene abhanhu bhagiwilaga giki, “kenako kakungub’ala.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adalendaga aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga uyunga sagala kunguno ya bhujidatogwa gutumama milimo bhokwe. Uweyi agikalaga ukoya na nzala ya gugayilwa jiliwa aha kaya yakwe, kunguno ya bhuyungi bhokwe bhunubho, bho nduhu gutumama milimo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na kakungub’ala  ako kagikalaga kupelanya bhuli makanza, kunguno nu weyi adalendaga aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu ulu bhanhona bhagiwilaga giki, “kenako kakungub’ala.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikala kihamo na kaya jabho bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waebrania 13:9.

1Petro 5:8-9.

 

KISWAHILI: HAKO NI KAKUNGUBALA.

Msemo huo, huangalia kakiumbe kanakoitwa ‘kakungub’ala.’ Kakiumbe hako ni jamii ya sisimizi ambako huwa kanakimbia tu wakati wote. Kenyewe huwa hakatulii sehemu moja, katika maisha ya kenyewe. Ndiyo maana watu huambiana kwamba, “hako ni kakungubala.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hutulii nyumbani kwake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anatembea hovyo kwa sababu ya kutopenda kwake kufanya kazi. Yeye hukumbwa na matatizo ya kukosa chakula kwenye familia yake, kwa sababu ya utembeaji wake huo, bila kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na kungubala aliyekuwa akikimbia kila wakati, bila kutulia sehemu moja, kwa sababu naye huwa hatulii kwenye familia yake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu wakimuona huambiana kwamba, “hako ni kakungubala.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuishi pamoja na familia zao, kwa kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kuziendeleza vizuri hizo familia zao, maishani mwao.

Waebrania 13:9.

1Petro 5:8-9.

ants kungubala

fulanis-

 

friends-sudan

ENGLISH: THAT IS ‘KAKUNGUB’ALA (AN ANT).’

The overhead saying refers to a creature which is locally called ‘kakungub’ala.’ This creature is a type of squirrel that always runs away. It does not settle in one place, in its life. That is why people say to one another, “that is ‘kakungub’ala (an ant).’”

This saying is applied to a person who does not stay at his family, in life. This person, in turn, walks carelessly because of his reluctance to work. He suffers from famine in his family, because of his way of walking here and there without working, in his life.

This person resembles to the kakumgub’ala that ran all the time, without resting in one place, because he also does not stay at his family in life. That is why when people see him, say to one another, “that is ‘kakungub’ala (an ant).”

This saying, teaches people on how to live well with their families, by striving to fulfill their responsibilities, so that they can better develop their families, in their lives.

Hebrews 13: 9.

1 Peter 5: 8-9.

880. IPONDA SONI UGUGWISHA NZALA NA B’AGENI BHALIHO.

Yalihoyi kaya imo iyo igapandika b’ageni. Abhageni bhenabho, bhagahoya gwingila diyu mpaga mhindi aliyo bhadalile ijiwa ja aha kaya yiniyo. Nose abhikaji bha ha kaya yiniyo, aho lyashiga ilikanza lya mhindi bhagab’ona soni ugub’ikaja nzala chiniko, bhageni bhabho  bhenabho. Hunagwene bhagayomba giki, “iponda soni ugugwisha nzala na b’ageni bhaliho.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adab’adililaga chiza abhageni bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, ulu opandikaga bhageni agadililaga milimo yakwe duhu, bho gubhalekanija abhanhu bhakwe bhenabho, kunguno ya wiming’holo bhokwe. Uweyi agagayiyagwa abhanhu bha gungeniha aha kaya yake kunguno ya bhujidalonja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni kaya iyo idabhadilile bho gubhazugila jiliwa abhageni bhayo, kunguno nu weyi adab’adililaga bho gubhagalila chiza abhageni bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “iponda soni ugugwisha nzala na b’ageni bhaliho.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhadilila bho gubhagalila chiza abhageni bhabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:35.

Luka 10: 38 – 40a.

KISWAHILI: NI AIBU KUSHINDA NJAA NA WAGENI WAPO.

Ilikuwepo familia moja iliyopata wageni. Wageni hao, waliongea kuanzia asubuhi hadi jioni, lakini hawakula chakula cha kwenye familia hiyo. Mwishowe wakaaji wa kwenye familia hiyo, walianza kujisikia aibu kwa kuwakalisha njaa namna hiyo, wageni hao. Ndiyo maana walianza kusema kwamba, “ni aibu kushinda njaa na wageni wapo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule asiyewajali vizuri wageni wake, kwenye maisha yake. Mtu huyo, akipata wageni huendelea na shuguli zake tu bila kuwajali watu wake hao, kwa sababu ya uchoyo wake. Yeye hukosa wageni wa kumtembelea kwenye familia yake, kwa sababu ya kutowajali kwake watu hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na familia ile ambayo haikuwajali vizuri wageni wake, kwa kupatia chakula, kwa sababu naye huwa hawajali wageni wanaomtembelea, kwa kuwakarimu chakula, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ni aibu kushinda njaa na wageni wapo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwajali kwa kuwakarimu vizuri wageni wao, ili waweze kupata Baraka za kuwawezesha kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 25:35.

Luka 10: 38 – 40a.

botswana--1

botswana--2

ENGLISH: IT IS A SHAME TO STARVE WHEN GUESTS ARE PRESENT.

There was one family that received guests. The guests talked from morning till evening with members of that family. They however, did not eat any food of that family. Eventually the dwellers of that family began to feel embarrassed about starving in such present of those guests. That is why they began to say that, “It is a shame to starve when guests are present.”

This proverb is equated to a man who does not take good care of his guests, in his life. Such man, when he gets guests, he goes on with his business without caring about his them, because of his greed. He misses visitors in his family, because of his indifference to those people, in his life.

This person is like the family that did not take good care of their guests, by giving them food, because he also does not care about the guests who visit him, in his life. That is why people tell him that, “It is a shame to starve when guests are present.”

This proverb imparts in people a clue on how to care of their people by being kind to their guests, so that they can receive blessings that can enable them to live peacefully with one another, in their lives.

Matthew 25:35

Luke 10: 38-40a.