Akahayile kenako, kalolile munhu uyo adajile gujungisha nduguye uyo agapandika makoye malebhe. Umunhu ng’wunuyo, agagigwa amakoye ga nduguye ng’wunuyo wigasha duhu. Lushigu lumo agatung’wana munzila nang’hwe uduguye ng’wunuyo, ubhona soni noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “soni ya miso.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhalungujaga abhanhu abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agadililaga milimo yakwe duhu bho nduhu ugubhambilija abhanhu bhenabho abho bhali na mayange, kunguno ya bhujidalonja bhokwe. Uweyi agabhonaga soni ulu bhiza gungisha abhanhu bhenabho abho bhali bhapandika mayange, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agakija ugujungisha unduguye uyo uliopandika mayange mpaga nose bhutung’wanhila munzila nang’hwe, kunguno nuweyi adabhalunguja abhiye abho bhapandikaga makoye, mpaka bhiza kungisha aha kaya yake, umukikalile kakwe. Hunagwene agiigwa ‘soni ja miso’ ulu wibhona nabho.
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhalunguja abhichabho abho bhapandikaga mayange bho gubhayelela uko bhazengile, kugiki bhadule gwikala chiza nabho, umuwikaji bhobho.
Mwanzo 3:6-13.
KISWAHILI: AIBU YA MACHO.
Msemo huo, huangalia mtu yule ambaye hakuenda kumsalimia ndugu yake aliyepata matatizo fulani. Mtu huyo, alisikia juu ya matatizo hayo ya ndugu yake akakaa tu. Siku moja alikutana naye njiani akaona aibu sana. Ndiyo maana watu walisema kwamba ni “aimbu ya macho.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hawafariji watu waliopata matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, hujali kazi zake tu bila kuwasaidia watu hao waliopata matatizo kwa sababu ya kutokujali kwake. Yeye hujisikia aibu watu hao wanapoenda kumsalimia nyumbani kwake, maishani kwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyeacha kwenda kumtembelea ndugu yake aliyepata matatizo mpaka mwishowe wakakutana naye njiani, kwa sababu naye huwa hawafariki watu waliopata matatizo mpaka watu hao wanaenda kumsalimu kwenye familia yake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye hujisikia “aimbu ya macho” anapoonana nao.
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwafariji wenzao waliopata matatizo kwa kuwatembelea kule waliko, ili waweze kuishi nao vizuri, maishani mwao.
Mwanzo 3:6-13.
ENGLISH: THAT IS ‘KAKUNGUBALA (AN ANT).’
The overhead saying refers to a creature which is locally called ‘kakungub’ala.’ This creature is a type of squirrel that always runs away. It does not settle in one place, in its life. That is why people say to one another, “that is ‘kakungubala (an ant).’”
This saying is applied to a person who does not stay at his family, in life. This person, in turn, walks carelessly because of his reluctance to work. He suffers from famine in his family, because of his way of walking here and there without working, in his life.
This person resembles to the kakumgub’ala that ran all the time, without resting in one place, because he also does not stay at his family in life. That is why when people see him, say to one another, “that is ‘kakungubala (an ant).”
This saying, teaches people on how to live well with their families, by striving to fulfill their responsibilities, so that they can better develop their families, in their lives.
Hebrews 13: 9.
1 Peter 5: 8-9.