Author: Sukuma legacy

1445. INHANDA IGAPUGIJIYAGWA KULE.

Imbuki ya lusumo lunulo ihoyelile ningi o ndimu yose yose iyo ilinhanda. Uningi o ndimu yiniyo agatumilaga masala mingi uguilinga indimu yiniyo mpaga oipuja kunguno adadulile uguipuja bho guibhulugutila sagala. Uweyi agayizaga bho chiza chiza, haho itali kule kunguno idulule gunemaja ulu wiyegela sagala sagala. Hunagwene agayombaga giki, “inhanda igapugijiyagwa kule.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile ugwikala chiza nu munhu unshilimu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahoyaga nu munhu unshilimu bho gutumila masala mingi ayo gagang’wambilijaga ugwikala chiza nanghwe, nulu gunanda jiloko kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga bho mholele nu munhu unshilimu ng’wunuyo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ningi o ndimu uyo agatumila masala mingi mpaga wipuja bho kule indimu inhanda yiniyo, kunguno nuweyi agatumilaga masala mingi mpaga wikala chiza nu munhu unshilimu ng’wunuyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “inhanda igapugijiyagwa kule.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gubhambilija ugutumama milimo yabho na gwikala chiza na bhanhu, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 16:1-8.

KISWAHILI: MJANJA HUNASWA KWA MBALI.

Chanzo cha methali hiyo huongelea mwindaji wa mnyama yeyote yule ambaye ni mjanja. Mwindaji wa mnyama huyo hutumia akili nyingi za kumwinda mnyama huyo mpaka anafanikiwa kumnasa kwa sababu hawezi kumnasa kwa kumuijia hovyo. Yeye humwendea polepole akiwa mbali kwa sababu mnyama huyo anaweza hata kumjeruhi akimwendea hovyo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mjanja hunaswa kwa mbali.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule anayeelewa kuishi vizuri na mtu mjanja, katika maisha yake. Mtu huyo, huongea na mtu mjanza kwa kutumia akili nyingi ambazo humsaidia katika kuishi naye vizuri hata hufikia hatua ya kumuazima vitu, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huishi kwa amani na mtu mjanja kwa sababu ya umakini wake huo katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwindaji aliyetumia akili nyingi mpaka akamnasa kwa mbali mnyama mjanja, kwa sababu naye hutumia akili nyingi mpaka anaweza kuishi vizuri na mtu mjanja, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mjanja hunaswa kwa mbali.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kutumia akili nyingi katika kuyatekeleza majukumu yao na kuishi na watu wao vizuri, ili waweze kupata maendeleo mengi, maishani mwao.

Luka 16:1-8.

ENGLISH: “A CUNNING ONE IS CAUGHT FROM A DISTANCE.”

This proverb originates from the experience of a hunter pursuing a dangerous or cunning animal. Such an animal cannot be captured by approaching it carelessly or directly, because it may escape or even harm the hunter. Instead, the hunter must use patience, strategy, and intelligence, observing the animal carefully and approaching it slowly from a safe distance until the right moment comes. Because of this careful method, people say, “a cunning one is caught from a distance.”

The proverb teaches that dealing with a clever, difficult, or cunning person requires wisdom and careful thinking. One cannot interact with such a person casually or emotionally. Instead, a person must use intelligence, attentiveness, and self-control in communication and actions.

A wise person knows how to speak carefully, act thoughtfully, and relate peacefully even with a cunning person. Through wisdom and patience, he may live well with such a person, borrow from him, work with him, or coexist without conflict. Peace is maintained not by confrontation, but by understanding and prudence.

This wise person resembles the hunter who successfully captured a cunning animal by using intelligence and distance rather than force. In the same way, he manages relationships wisely, avoiding unnecessary danger while still achieving his goals in life. That is why it is said, “a cunning one is caught from a distance.”

The proverb teaches people to act wisely and intelligently in their daily duties and relationships. Careful thinking, patience, and strategic behavior help a person make progress in life and live peacefully with others, even in challenging situations.

This wisdom is reflected in Luke 16:1–8, where Jesus praises the shrewd manager, not for dishonesty, but for acting wisely and thoughtfully in a difficult situation. The passage highlights the value of prudence and intelligence in dealing with complex realities of life.

 

 

1444. B’UH’I NA B’UH’I.

Akahayile kenako kaholelile wingi bho bhanhu abho bhalikuminga hali ntale obho. Abhanhu bhenabho bhanumbilijaga untale obho ng’wunuyo kunguno ya gubhalanhana chiza umuchalo jabho jinijo. Hunagwene bhanhu bhagawitana uwingi bho bhanhu bhenabho giki “b’uh’i na b’uh’i.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhazunya abho bhagikumingaga kunamya na gumnumbilija Mulungu unanhani obho, umuwikaji bhobho. Abhazunya bhenabho, bhagisumbyaga gunyanya Mungu, gudegeleka mhayo gokwe bho gusoma shandikwa shela, na kunumbilija kuwiza bhokwe ubho gubhalanhana chiza umuwikaji bhobho bhunubho. Abhoyi bhagapandikaga nema na mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho kunguno ya guwikalanga chiza ubhuzunya bhobho bhunubho, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhalibhikuminga kunumbilija untale obho uyo agabhalanhana chiza, kunguno nabho bhagikumingaga kunamya na gunumbilija Mulungu uyo agabhalanhanaga chiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagawitanaga uwikumingi bhobho giki, “b’uh’i na b’uh’i.”

Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya guwikalana chiza ubhuzunya bhobho bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gupandika mbango ja gujilela chiza ikaya jabho mpaga bhashige Ng’wigulu.

Ufunuo 7:9.

Mwanzo 1:28-31.

Mwanzo 15:4-6.

KISWAHILI: UMATI NA UMATI.

Msemo huo, huongelea wingi wa watu waliokusanyika kwa kiongozi wao. Watu hao, walikusanyika kwa lengo la kumshukuru kiongozi wao huo kwa kuwaongoza na kuwalinda vizuri katika kijiji chao hicho. Ndiyo maana watu waliuita wingi wa watu hao jina la “umati na umati.”

Msemo huo hulinganishwa kwa wakristo wale ambao hukusanyika kumuabudu na kumshukuru Mungu awalindaye, maishani mwao. Wakristo hao, hukusanyika, kumwabudu Mungu, kumsikiliza kwa kusoma Biblia, na kumshukuru kwa wema na ulinzi wake anaowajalia, katika maisha yao. Wao hufanikiwa kupata nema na baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao, kwa sababu ya kuuishi vyema ukristo wao huo, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliokusanyika kumshukuru kiongozi wao aliyewalinda vyema, kwa sababu nao hukusanyika kumwabudu na kumshukuru Mungu kwa wema na ulinzi wake anaowajalia, maishani mwao. Ndiyo maana watu huuita mkusanyika wao huo jina la “umati na umati.”

Msemo huo, hufundisha wakristo juu ya kuuishi vyema ukristo wao kwa kuyaishi vizuri maagizo ya Mungu, ili waweze kupata baraka za kuzilea vyema familia zao, na kufika Mbinguni.

Ufunuo 7:9.

Mwanzo 1:28-31.

Mwanzo 15:4-6.

 

ENGLISH: CROWD AND CROWD.

This saying refers to a large gathering of people assembled around their leader. The people come together to thank their leader for guiding them well and protecting their village. Because of the great number of people gathered in unity, this assembly is called “crowd and crowd.”

This saying is compared to Christians who gather together to worship and thank God, who protects them in their lives. These Christians come together to praise God, and listen to Him through reading the Bible, as well as giving thanks for His goodness and protection. By living their Christian faith faithfully, they receive blessings and graces that enable them to live happily and peacefully in their families.

Just as the people gathered to thank their leader for his care and protection, Christians also gather to worship and thank God for His constant goodness and protection in their lives. For this reason, their gathering is also called “crowd and crowd.”

This saying teaches Christians the importance of living their faith well by obeying God’s commandments. By doing so, they receive blessings in their family life and are guided on the path that leads to Heaven.

Revelation 7:9.

Genesis 1:28–31.

Genesis 15:4–6.

 

1443. MUUMBI.

Akahayile kenako kahoyelile nimo go guubhumba jikolo. Olihoyi munhu uyo obhunbaga nungu umuchalo ja gabhale. Umunhu ng’wunuyo ajibhuumbaga inungu ginijo jagulwa na bhanhu kunguno ojibhumbaga chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “muumbi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agankujaga Mulungu umsumbi o jivumva jose, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agankujaga Mulungu bho gwikala na bhanhu chiza kunguno ya bhutungulija bhokwe ubho gudebha igiki abhenabho bhalijisumva jakwe Umsumbi o jose. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhose gunzunya Mulungu bho gwikala nabho bho nhungwa jakwe ijawiza jinijo umubhulamu bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ojibhumbaga chiza inungu jakwe mpaga abhanhu bhajigula, kunguno nuweyi abhalangaga abhanhu gunzunya Mulungu mpaga bhayikala na nhungwa jawiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanga giki, “muumbi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhalanga gunzunya Mulungu umsumbi o ginhu jose, bho gwikala nabho chiza, kugiki bhadule gushiga Ng’wigulu.

Zaburi 104:24.

Mwanzo 1:1-3.

Mwanzo 2:1-4.

KISWAHILI: MUUMBAJI.

Msemo huo, huongelea kazi ya kuumba vitu. Alikuwepo mtu aliyekuwa akifinyanga vyungu katika kijiji cha Gabale. Watu walikuwa wakivinunua vyungu alivyovifinyaga mtu huyo kwa sababu alivitengeneza vizuri. Ndiyo maana watu walimuita jina la “muumbaji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye humtukuza Mungu aliyeviumba vitu vyote, maishani mwake. Mtu huyo, huntukuza Mungu kwa kuishi na watu wake vizuri kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kutambua kuwa, hao ni viumbe wa huyo Muumba wa vyote. Yeye huwafundisha watu juu ya kumwamini Mungu kwa njia ya kuishi nao vizuri hivyo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefinyanga vyungu vyake vizuri mpaka watu wakavinunua, kwa sababu naye hugeuza mioyo ya watu kuwa mizuri, kwa kuwafundisha kumwamini Mungu, kwa njia ya maisha yake. Ndiyo maana watu humuita jina la “muumbaji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuishi maisha yawafundishayo wenzao kumwamini Mungu, kwa kuishi nao vizuri, ili waweze kufika Mbinguni.

Zaburi 104:24.

Mwanzo 1:1-3.

Mwanzo 2:1-4.

 

ENGLISH: CREATOR

This saying refers to the work of creating. There was a man in the village of Gabale who made pots. He shaped them carefully and skillfully, and because his pots were strong and beautiful, people were eager to buy them. Because of his excellent work, the people called him a “creator.”

This saying is likened to a person who glorifies God, the Creator of all things, through his life. Such a person honors God by living well with others and by showing faithfulness, recognizing that all people are creatures of the one true Creator. Through his good conduct, he teaches others to believe in God.

Just as the potter carefully molded his pots until they were useful and desirable, this person shapes the hearts of others toward goodness by the example of his life. Through his actions and faith, he leads people closer to God. That is why he is also called a “creator.”

This saying teaches people to live in a way that inspires others to believe in God. By living peacefully, faithfully, and righteously with others, they guide their peers on the path that leads to Heaven.

Psalm 104:24.

Genesis 1:1–3.

Genesis 2:1–4.

 

1442. JILEGESA.

Akahayile kenako kalolile tushinu tudododo uto tugabhugusaga manti na malubab’o bho gulegesa. Utoi tudulile gulikenagula nulu linti litale mpaga tuligwisha kunguno ya bhuli bhoto bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagatwitanaga giki, “jilegesa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nsigani ogubhalisanya bhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhasigaga bho gubhayomba shibhi abhiye na gubhalisanya mpaka nose oyibhulaga ikaya yabho, kunguno ya bhusigani bhokwe ubhogubhalisanya bhanhu bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agaikenagulaga ikaya yakwe kunguno ya bhusigani bhokwe ubho ubhogubhalisanya bhanhu bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu tushinu uto tugalegesaga manti bho gugalya mpaga gagwa, kunguno nuweyi agabhasigaga bho gubhalisanya abhanhu mpaga bhiduma, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jilegesa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka bhusigani bho gubhalisanya abhanhu kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Zaburi 23:1-6.

Kutoka 6:6-8.

Ayubu 6:1-4.

KISWAHILI: KIPEKECHA.

Msemo huo, huangalia wadudu wadogo wadogo ambao hula miti au mbao kwa kupekecha. Wadudu hao wanaweza kuharibu hata mti mkuwa kwa kuupekecha mpaga ukaanguka kwa sababu ya ulaji wao huo. Ndiyo maana watu huwaita wadudu hao jina la “kipekecha.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni msengenyaji wa kugombanisha watu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwasengenya watu kwa kuwagombanisha mpaka anafunja familia zao, kwa sababu ya usengenyaji wake huo wa kugombanisha watu, maishani mwake. Yeye huitenganisha familia yake kwa sababu ya usengenyaji wake huo wa kugombanisha watu, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na wale wadudu wanaangusha miti mikubwa kwa kuipekecha, kwa sababu naye hutenganisha familia kwa maneno yake ya usengenyaji huo wa kugombanisha watu, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “kipekecha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha usengenyaji wa kugombanisha watu maishani mwao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, katika maisha yao.

Zaburi 23:1-6.

Kutoka 6:6-8.

Ayubu 6:1-4.

 

ENGLISH: TREE EATERS.

This saying refers to small insects that eat trees or wood by gnawing. Although they are small, these insects can destroy even a very large tree by eating it slowly from the inside until it finally falls. Because of this destructive behavior, people call them “tree eaters.”

This saying is compared to a person who is a gossiper and a troublemaker in life. Such a person spreads gossip among people, causing quarrels, hatred, and division. Through careless and harmful words, the gossiper gradually destroys relationships and even breaks families apart, just as the insects destroy a tree little by little.

Like the insects that bring down a strong tree by constant gnawing, a gossiper destroys families and communities through repeated words that cause conflict. That is why such a person is also called a “tree eater.”

This saying imparts in people an idea of avoiding gossip and actions that create conflict. It encourages self-control in speech, peace among people, and the protection of families, so that homes and communities may grow strong instead of being destroyed from within.

Psalm 23:1–6.

Exodus 6:6–8.

Job 6:1–4.  

 

1441. NILEKAGE NIYAGALULE.

Akahayile kenako kahoyelile bhanhu bhabhili abho bhikalaga kihamo. Abhanhu bhenabho bhalibhaduma ugujilanija lihamo kunguno uungi onkelelaga ung’wiye mpaga nose uikala na bhusunduhazu umumoyo gokwe. Ung’wiye ng’wunuyo aganoga nose ugwikala na bhusunduhazu bhunubho mpaga nose wiyangula gulekana nang’hwe. Hunagwene agayomba giki, “nilekage niyagalule.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhitoji abho bhali na bhushilimu bho gwikelela, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhuli ng’wene agiganikaga giki, alina masala mingi kulebha ung’wiye kunguno ya bhushilimu bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagadumaga uguyilela chiza ikaya yabho kuguno ya bhushilimu bhobho bhunubho, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagaduma ugwikala kihamo mpaga nose bhulekana, kunguno nabhoyi bhali na bhushilimu bho gwikelela mpaga nose bhaduma uguilela chiza ikaya yabho, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene bhuli gwene agiganikaga gung’wila ung’wiye giki, “nilekage niyagalule.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji hugulya ya guleka bhushilimu bho gwikelela kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Isaya 61:1-3.

Matendo 2:42.

Matendo 4:32.

Wagalatia 5:22.

Mathayo 18:20.

KISWAHILI: NIACHE HURU.

Msemo huo huongelea watu wawili walioishi pamoja. Watu hao walishindwa kuendana pamoja kwa sababu mmoja alikuwa na ujeuri wa kumpunja mwenzake mpaka mwishowe huyo mwenzake alianza kuishi kwa huzuni moyoni mwake. Mwenzake huyo, alichoka kuishi katika huzuni hiyo akaamua kuachana naye. Ndiyo maana alisema kwamba, “niache huru.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wana ndoa wale wenye ujeuri wa kupunjana katika maisha yao. Watu hayo, kila mmoja hujifikiria kwamba ana akili nyingi kuliko mwenzake kwa sababu ya ujeuri wao huo wa kudharauriana, maishani mwao. Wao hushindwa kuilea vyema familia yao hiyo kwa sababu ya ujeuri wao huo wa kudharauriana, katika maisha yao hayo.

Msemo huo hulinganishwa kwa wale walioshindwa kuishi pamoja mpaka mwishowe wakaachana kwa sababu nao wana ujeuri wa kudharaurina mpaka mwishowe wanashindwa kuilea vyema familia yao, maishani mwao. Ndiyo maana kila mmoja wao hufikiria kumwambia mwenzake kwamba, “niache huru.”

Msemo huo, hufundisha wana ndoa juu ya kuacha ujeuri wa kudharauriana katika maisha yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Isaya 61:1-3.

Matendo 2:42.

Matendo 4:32.

Wagalatia 5:22.

Mathayo 18:20.

 

ENGLISH: LET ME BE FREE

This saying speaks about two people who lived together but failed to live in harmony. One of them repeatedly despised and belittled the other. As a result, the one who was despised began to live with deep sadness in his heart. Eventually, tired of carrying this pain, he chose to leave. That decision gave rise to the words, “Let me be free.”

The saying is especially relevant to married couples who despise one another in their daily lives. Each spouse believes himself or herself to be wiser or more important than the other. This attitude of contempt destroys mutual respect and love, and as a result, such couples fail to raise their family well.

It also applies to people who were unable to continue living together and finally separated. Their relationship broke down because of constant belittling and lack of respect. When unity disappears and family life collapses, each person eventually feels compelled to say to the other, “Let me be free.”

This saying teaches married couples, and all who live in close relationships to abandon the violence of despising and belittling one another. Only through respect, love, and humility can families be built up and children be raised well.

Isaiah 61:1–3 – God’s mission of healing the brokenhearted and setting the oppressed free.

Acts 2:42 – The call to unity, fellowship, and shared life.

Acts 4:32 – Living together in one heart and mind.

Galatians 5:22 – The fruits of the Spirit that sustain healthy relationships.

Matthew 18:20 – God’s presence where people gather in unity.