1398. UMUNHU UYU AGIMINYAGA WEYI NG’WINIKILI.

Olihoyi munhu uyo olina nguzu ningi umuchalo ja Ngeme. Umunhu ng’wunuyo abhuchaga miligo midito mpaga oyukoya ugusiminza kunguno ya wihadikija bhokwe bhunubho. Uweyi agayukeleja nose ugumisha kunguno ya bhunoge bho gubhucha miligo midito yiniyo. Hunagwene nose abhanhu bhagayuyomba giki, “umunhu uyu agiminyaga weyi ng’winikili.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo midito bho nduhu ugugusatwa umili gokwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo midito gwingila diyu mpaga mhindi kunguno ya gukija ugugusatwa umili gokwe gunuyo, umubhutumami bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga anogile bhuli makanza kunguno ya gutumama milimo midimu yiniyo bho nduhu ugugusatwa umili gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo obhuchaga miligo midito mpaga oyukoya ugumisha, kunguno nuweyi agatumamaga milimo midimu mpaga olala anogile, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagahayaga giki, “umunhu uyu agiminyaga weyi ng’winikili.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guilanhana chiza imimili yabho umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 9:21.

Ayubu 3:17.

KISWAHILI: MTU HUYU HUJIUMIZA YEYE MWENYEWE.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na nguvu nyingi katika kijiji cha Ngeme. Mtu huyo alikuwa akibeba mizigo mizito mpaka anaanza kutembea kwa shida kwa sababu ya kujilazimisha kubeba mizigo hiyo. Yeye alifikia hatua ya kuchelewa kuamuka asubuhi kwa sababu ya uchovu huo wa kubeba mizigo mizito, katika maisha yake. Ndiyo maana mwishowe watu walisema kwamba, “mtu huyo hujiumiza yeye mwenyewe.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi bila ya kuuhurumia mwili wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi nzito kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu ya kukosa umakini wa kuuhurumia mwili wake huo, katika kazi zake. Yeye huwa ana uchovu kila wakati kwa sababu ya kufanya kazi hizo ngumu bila ya kuuhurumia mwili wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyebeba mizigo mizito mpaka akaanza kutembea kwa shida, kwa sababu naye hufanya kazi ngumu mpaka analala akiwa amechoka sana, katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu huyu hujiumiza yeye mwenyewe.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuilinda miili yao wanapofanya kazi zao, ili waweze kuishi kwa furaha katika familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 9:21.

Ayubu 3:17.

 

ENGLISH: THIS MAN HURTS HIMSELF.

There was a man who was so strong in the village of Ngeme. He used to carry heavy maize sacks until he started walking with difficulty because of forcing himself to carry those sacks. He reached the point of waking up late in the morning because of the fatigue of carrying those heavy maize sacks, in his life. That is why people said about him that, “this man hurts himself.”

This saying is equated to a person who works without pitying his body, in his life. This person, does heavy works from morning to evening because of the lack of decent attention enough to pity his body, in his works. He is always tired because of doing those hard jobs without pitying his body, in his life.

This person resembles the one who carried heavy maize sacks until he started walking with difficulty, because he also works hard until he goes to bed very tired, in his life. That is why people say about him that, “this man hurts himself.”

This saying instills in people an idea of being watchful enough to protect their bodies while doing their jobs, so that they can live happily in their families, in their lives.

Genesis 9:21.

Job 3:17.

 

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.