Olihoyi namhala uyo olina kaya nhale iyo yali na bhana bhingi. Unamhala ng’wunuyo oliatogilwe gubhakuminga abhana bhakwe hajikome bhiza bhota moto ukunu alibhalomela kajile ka hakaya yakwe. Uweyi witaga chene bhuli lushigu, kunguno ya gubhalanga gwikala na bhanhu chiza abhana bhakwe bhenabho. Hunagwene obhitanaga bho guyomba giki, “nzugi hajikome nanzule.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhabyaji abho bhagafunyaga lilange lya wiza ukubhana bhabho, umuwikaji bhobho. Abhabyaji bhenabho, bhagacholaga likanza lya wiza ilo bhagalitumilaga bho gubhalanga abhana bhabho nhungwa ja gwikala bho witogwa na bhanhu, kunguno ya bhutungilija bhobho bhunubho umukikalile kabho. Abhoyi bhagikalaga na bhuyegi aha kaya yabho kunguno ya gubhinha lilange lya wiza abhana bhabho, umuwikaji bhobho.
Abhabyaji bhenabho bhagikolaga nu namhala uyo obhakumingaga abhana bhakwe hajikome obhalanga gwikala chiza na bhanhu, kunguno na bhoyi bhagabhalangaga abhana bhabho nhungwa ja gwitogwa na bhanhu, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagabhitanaga bho guyomba giki, “nzugi hajikome nanzule.”
Akahayile kenako kalanga bhabyaji higulya ya guchola likanza lya gubhalanga abhana bhabho lilange lya gwikala chiza na bhanhu, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Yoshua Bin Sira 30:1-3.
Mambo ya nyakati 13:1-2.
Ayubu 31:18.
Warumi 2:19.
Wagalatia 3:24.
KISWAHILI: NJONI KWENYE KIKAO NIWAUSIE.
Alikuwepo mzee aliyekuwa na familia yenye watoto wengi. Mzee huyo, alipenda kuwakusanya watoto wake hao kwenye kikao alichokitumia kuwafundisha mwenendo wa kuishi vizuri kwenye familia yake hiyo. Yeye alifanya hivyo kila siku kwa sababu alitaka kuwafundisha watoto wake hao namna ya kuishi vizuri na watu. Ndiyo maana aliwaita kwa kusema kwamba, “njoni kwenye kikao niwausie.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa wazazi wale ambao huwapatia malezi mema watoto wao maishani mwao. Wazazi hao, hutafuta muda mwafaka ambao huutumia katika kuwafundisha watoto wao hao tabia njema za kuishi na watu kwa upendo, kwa sababu ya uaminifu wao huo, katika maisha yao. Wao huishi kwa furaha katika familia yao kwa sababu ya kuwapatia malezi mema watoto hao, maishani mwao.
Wazazi hao hufanana na yule mzee aliyewakusanya watoto wake kwenye kikao, akawafundisha mwenendo wa kuishi vizuri katika familia yake, kwa sababu nao huwafundisha watoto wao malezi ya kuishi kwa upendo na watu, maishani mwao. Ndiyo maana huwaita kwa kusema kwamba, “njoni kwenye kikao niwausie.”
Msemo huo, hufundisha wazazi juu ya kutafuta muda wa kufaa katika kuwafundisha watoto wao malezi ya kuishi vizuri na watu, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
Yoshua Bin Sira 30:1-3.
Mambo ya nyakati 13:1-2.
Ayubu 31:18.
Warumi 2:19.
Wagalatia 3:24.
ENGLISH: COME TO THE MEETING AND I WILL ADVISE YOU.
There was an old man who had a family which had a good number of children. Such old man liked to gather his children in a meeting that he used for nurturing them good conduct of living well with people. He did that every day because he wanted to nurture his children on how to live well with people. That is why he called them by saying, “come to the meeting and I will advise you.”
This saying is compared to parents who provide good upbringing to their children in their lives. These parents look for the right time that they use for nurturing their children on good habits of living well with people, because of their loyalty, in their lives. They live happily in their families because of providing their children with good upbringing in their lives.
These parents are like the old man who taught his children good conduct of living well in his family, because they also teach their children about upbringing of living in true love with people, in their lives. That is why he calls them by saying, “Come to the meeting and I will advise you.”
This saying imparts in parents an idea of nurturing their children on how to live well with people, so that they can raise well their families, in their lives.
Joshua Ben Sira 30:1-3.
Chronicles 13:1-2.
Job 31:18.
Romans 2:19.
Galatians 3:24.



