Ugwatya guli nti go bhugota ubho bhugitanagwa Ng’watya. Ubhugota bhunubho bhulibhukali noyi ulu munhu ubhubeha agwityamula noyi kunguno ya bhukali bhogo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wila umunhu ng’wunuyo giki, “ogwitula ung’watya.”
Akahayile kenako kagalengajiyagwa kuli munhu uyo agikoloshaga bhanhu bhantula mpaga bhaminya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikoloshaga bhanhu bhakali bho gubhibhengwa kunguno ya nhinda jakwe jinijo umukikalile kakwe. Uweyi agatulagwa mpaga uminyiwa na bhanhu abhakali bhenabho kunguno ya nhinda jakwe ija gubhitila libhengwe abhanhu bhenabho, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agabeha ng’watya mpaka wityamula, kunguno nuweyi agabhikoloshaga bhanhu bhakali mpaga bhantula, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ogwitula ung’watya.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhinda ja gubhikolosha sagala abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umuwikaji bhobho bhunubho.
1Wafalme 2:34.
1 Wafalme 13:26.
KISWAHILI: AMEPAMBANA NA NG’WATYA.
Ng’watya ni mti wa dawa kali inayoitwa Ng’watya. Dawa hiyo ni kali sana kiasi kwamba mtu akiivuta atapiga chafya kwa sababu ya ukali wake huo. Ndiyo maana watu humuambia mtu huyo aliyeuvuta kwamba, “Amepambana na Ng’watya.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwachokoza watu ambao humzidi nguvu mpaka kufikia hatua ya kumuumiza, katika maisha yake. Mtu huyo huwachokoza watu wenye nguvu kuliko yeye ambao huwadharau kwa sababu ya kiburi chake hicho. Yeye hupigwa mpaka anaumizwa na watu hao wenye nguvu kupita yeye, kwa sababu ya kiburi chake hicho cha kuwadharau watu, katika maisha yake.
Mtu huyo hufanana na yule aliyevuta dawa kali ya ng’watya akapiga chafya, kwa sababu naye huwacholokoza watu ambao humzidi nguvu mpaka wanamuumiza, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amepambana na Ng’watya.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na kiburi cha kuchokoza hovyo watu wao, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa maishani mwao.
1 Wafalme 2:34.
1 Wafalme 13:26.
ENGLISH: HE HAS FOUGHT WITH “NG’WATYA.” (SUKUMA TRADITIONAL NAME OF A MADICINAL TREE).
Ng’watya is a Sukuma name which is given to a strong medicinal tree. Such medicine is so strong that if someone inhales it, will sneeze because of its severity. That is why people tell the person who inhales it that, “He has fought with Ng’watya.”
This saying is matched to a person who provokes people who overpower him to the point of hurting him, in his life. Such person provokes stronger people than him by looking down on them because of his egotism. He is beaten until he is hurt by those people who are stronger than him, because of his arrogance of despising people in his life.
This person resembles the one who inhaled a strong medicinal tree until he sneezed, because he also irritates people who defeat him to the point of hurting him in his life. That is why people tell him that, “he has fought with Ng’watya.”
This saying imparts in people an idea of ending pride of recklessly provoking their people, so that they can happily live in their lives.
1 Kings 2:34.
1 Kings 13:26.


