Akahayile kenako kaholelile munhu uyo oli nigele litale lya bhanhu umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, oliwilanga gubhalagula bhanhu mpaga bhapila kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gugudilila chiza unimo gokwe. Uweyi agapandika ligele litale ilya bhanbu abho agabhapija umubhulaguji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagalitana iligele lyakwe linilo giki, “ibhimbi lya ntale.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudililaga chiza unimo uyo ogusomela, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagudililaga unimo uyo agusomela bho gubhambilija bhanhu abho bhali na makoye kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalangaga chiza abhanhu bhakwe inzila ja gugutumila unimo gokwe gunuyo bho gubhambilija bhanhu bhingi abho bhali na makoye kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo agikikolaga nuyo olina witegeleja bho gubhalagula bhanhu chiza mpaga obhapija, kunguno nuweyi alina witegeleja bho gugutumila unimo uyo ugusomela bho gubhambilija chiza abhanhu abho bhali na makoye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga abhanhu abho obhambilija bhenabho giki, “ibhimbi lya ntale.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guyitumila imilimo iyo bhalangwa bho gubhambilija abhanhu abho bhali na makoye, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji bhutale, umukaya jabho.
Mithali 19:6.
Danieli 5:11.
KISWAHILI: KUNDI LA MKUBWA.
Msemo huo, huongelea juu ya mtu yule aliyekuwa na kumbi kubwa la watu maishani mwake. Mtu huyo, alijifunza kutibu watu mpaka wanapona kwa sababu ya umakini wake wa kuijali vizuri kazi yake hiyo. Yeye alipata kundi kubwa la watu wale aliowaponyesha magonjwa yao kupitia matatibu yake. Ndiyo maana watu waliliita kundi hiyo la watu kuwa ni “kundi la mkubwa.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huijali vizuri kazi aliyoisomea, katika maisha yake. Mtu huyo, huijali kazi yake hiyo aliyoisomea kwa kuwasaidia watu walio na matatizo kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huwafundisha watu wake vizuri namna ya kuitumia kazi yake hiyo kwa kuwasaidia watu wengi walio na matatizo kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.
Mtu huyo hufanana na yule aliyeutumia ufahamu wake kwa umakini katika kuwatibu watu mpaka wakapona, kwa sababu naye huitumia kazi aliyoisomeka kwa kuwasaidia watu wenye matatizo kwa umakini mkubwa, maishani mwake. Ndiyo maana watu huwaita wale aliowasaidia kuwa ni “kundi la mkubwa.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuitumia elimu waliyofundishwa kwa kuwasaidia watu wenye matatizo, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa, katika familia zao.
Mithali 19:6.
Danieli 5:11.

ENGLISH: THE BIG GROUP OF THE BOSS.
This saying parleys about a person who had a big audience in his life. Such person learned to treat people until they recover because of his good responsiveness enough to take good care of his works. He found a large group of people whose diseases he cured through his treatments. That is why people called that group “the big group of the boss.”
This saying is matched to a person who takes good care of works which he studied in his life. Such person cares about his works which he studied by helping people who have problems because of his helpfulness, in his life. He teaches his people well on how to use his works by helping various people who have problems because of his thoughtfulness in his life.
This person is similar to the one who used his knowledge seriously in treating sich people until they were cured, because he also uses the work which he read to help people who have problems very seriously in his life. That is why people call those whom he helped “the big group of the boss.”
This saying imparts in people an idea of being careful enough to use the knowledge which they were taught for helping people who have problems, so that they can live happily in their families.
Proverbs 19:6.
Daniel 5:11.